SIRI YA KUINUKA TENA BAADA YA HASARA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 янв 2020

Комментарии • 68

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 4 года назад +7

    Huyu ni mwalimu wangu kama na wewe ni mwalimu wako gonga like twende sawa.

  • @lightmoshi3131
    @lightmoshi3131 4 года назад +4

    Nawaonea wivu watu unaowahudumia apo ana kwa ana,wewe nimtu mkuu sana,Mungu anakutumia kwa namna ya tofauti sana paster wetu👏👏

  • @jamesomwada2984
    @jamesomwada2984 2 года назад +2

    Amin nimebarikiwa na neno

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 года назад +2

    AMINA🙏🙏nabarikiwa sana na mahubiri yako mchungaji.na mungu akubariki akuzidishie kwa wema wake,asante kwa maombi yako kwetu,barikiwa🙏unatufunza mengi katika maisha kupitia maandiko matakatifu jinsi unavyo tuelekeza na kuya dadavua kwa kina.barikiwa sana frm KENYA;...be blessed.🙏

  • @semelameck2172
    @semelameck2172 Год назад

    Aminaa, barikiwa sana mtumish kwa somo hili, hakka nmebarikiwa na somo hili

  • @EzekielMwamba
    @EzekielMwamba 4 месяца назад

    Amen Barikiwa sana mtumishi

  • @Simplepleasures9
    @Simplepleasures9 4 года назад +2

    amen, hakika mhubiri umenisungumza kabizaa, ni kama tupo pamoja. Mungu akubariki Sana tena zaidi... Sifa kwake Maulana.

  • @judithnyanduko8304
    @judithnyanduko8304 4 года назад +3

    May God walk with you forever pastor! You have been a blessing to many

  • @bosireogwera3875
    @bosireogwera3875 Год назад

    Amen powerful message 🙏🙏🙏🙏

  • @danielpaul9296
    @danielpaul9296 4 года назад +1

    Amina,Mungu akubariki sana pr ,najifunza mengi sana na nnapata mabadiliko maishan mwangu

  • @eliadeus236
    @eliadeus236 3 года назад

    Asante Baba
    Mungu wangu na akubariki .

  • @lightmoshi3131
    @lightmoshi3131 3 года назад +1

    Great u man of god

  • @everinekabakilwa7336
    @everinekabakilwa7336 4 года назад +2

    Amen Glory to Jesus Christ and Asante sana kwa mafundisho kwa maana nafarijika sana

  • @exuperkamili5174
    @exuperkamili5174 2 года назад +1

    Mtumishi ameni

  • @verahillah2388
    @verahillah2388 11 дней назад

    Amina

  • @dianamalaba1776
    @dianamalaba1776 4 года назад +1

    Pr umenipa mbinu mpya ya kuomba, Asante Sana kwa somo hili, nmejua Maana halisi ya imani, nabadili mtazamo na namna ya kuomba Kuanzia leo. Ubarikiwee sana pr Mmbaga.

  • @beatricemageka7972
    @beatricemageka7972 4 года назад

    Amina pastor,Mungu na atusaidie tuweze kufahamu jonzi zetu

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 4 года назад +2

    Mtumishi unanibariki sana Mungu ukimpendez naomb kuongea na wew

  • @TommyLee-ib5pk
    @TommyLee-ib5pk 4 года назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kuna kitu kikubwa sana ndani yako wewe ni mwalimu mzuri sana

  • @eliakimstephen8607
    @eliakimstephen8607 4 года назад +1

    barikiwa sana pastor ,n imesikia nami nimeamini ,naenda kutendea kazi

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 4 года назад

    Kwa kweli Niko na njonzi moyo, nikiuliza nitaitimiza vipi, ila kwakisikia maubiri haya, nimeondoa maswali, mungu ashuulike. Amen thank you my lord from qatar.

  • @josephinejob3227
    @josephinejob3227 3 года назад +1

    Be blessed a lot pastor

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Год назад

    Haleluya

  • @kitulohenry2393
    @kitulohenry2393 4 года назад

    pr atukuzwe Mungu kwa ajili yako....unazidi kufikisha ujumbe kwetu..ubarikiwe.

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig 10 месяцев назад

    AMEN

  • @paulmakingi8396
    @paulmakingi8396 4 года назад

    Amina, Mungu akubariki sana pastor

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 3 года назад

    Wewe pastor unanibalikii sana 🇰🇪🇰🇪mungu aedele kukuinua

  • @marycheupe8613
    @marycheupe8613 4 года назад

    Barikiwa mtumishi wa mungu mana nabarikiwa vyaajabu

  • @maliyadinas9645
    @maliyadinas9645 4 года назад

    Mungu akubariki sana mchungazi ni mebarikiwa sana tena ninapo sikiliza mahubiri yako najiskia kuguswa kweli kweli

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад

    Amen hakika mafundisho haya yananibariki sana naona tamaini jipya

  • @glorymarandu5426
    @glorymarandu5426 4 года назад

    Mungu atukuzwe Sana Mungu akutunze na kukutumia vema kwa jina la Yesu

  • @dianamhanila5187
    @dianamhanila5187 4 года назад +1

    Amen Amen

  • @stellamosota26
    @stellamosota26 Год назад

    Amen 🙏

  • @asiamahanga9452
    @asiamahanga9452 4 года назад

    Barikiwa sana Mchungaji

  • @elizabethstephen4049
    @elizabethstephen4049 2 года назад

    Asante MUNGU

  • @risperlumumba966
    @risperlumumba966 4 года назад +1

    Amen 🙏 Barikiwa Mtumishi wa Mungu..

  • @rosemaryotieno3243
    @rosemaryotieno3243 4 года назад

    Ubarikiwe nawe, mchungaji

  • @upendoashery7705
    @upendoashery7705 4 года назад

    Unani bariki Sana mtumishi

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад +1

    Asante Mungu anisaidie sana barikiwa mchungaji

  • @nondoedimo9586
    @nondoedimo9586 2 года назад

    God bless you pastor 🙏❣️

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 года назад

    Amen Thank you

  • @mn9484
    @mn9484 4 года назад +1

    Amina!! Asante Mungu kwa mafundisho.

  • @yusuph1547
    @yusuph1547 4 года назад

    Namshukuru Mungu kwa Mahubiri Tv

  • @maombijofre2302
    @maombijofre2302 10 месяцев назад

    God bless you

  • @RoseRose-vf5km
    @RoseRose-vf5km 4 года назад

    Naji funza barikiwa sna

  • @nippermshana9260
    @nippermshana9260 4 года назад

    Barikiwa sana

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 4 года назад

    May God uplift this minsirty forever

  • @naomijuventus5436
    @naomijuventus5436 4 года назад

    Mbaga nakukubali kwa chakula unachonipa,nami nimekubali kuchapwa na nimemwambia MUNGU inatosha,nasubili mema.

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 4 года назад +1

    yaani pastor unanibariki sana acha niombe MUNGU anipe raho y kukuombea

    • @edouardwalofils4135
      @edouardwalofils4135 4 года назад

      Nivizuri kabisa

    • @jeniferjohn6083
      @jeniferjohn6083 4 года назад

      Brother WILFRED NIMEKUONA LONG TIME SANA KANA BE BLESSED.

    • @farajachalamila5486
      @farajachalamila5486 4 года назад

      Jenifer John tunamshukuru Mungu,kwayote,,maana kama nichangamoto zabiashara tunajaribiwa sana

    • @gaudensiakumalija8871
      @gaudensiakumalija8871 4 года назад

      Barikiwa Sana Pr songa mbele natamani siku moja tuonane Mungu atusaidie.

  • @christinasenga4412
    @christinasenga4412 4 года назад

    NAKUELEWA SANA MTUMISHI

  • @moseretanicolas6020
    @moseretanicolas6020 4 года назад

    Amen neno hili likawe baraka kubwa kwa watu wa MUNGU

  • @joshuamasiaga7051
    @joshuamasiaga7051 4 года назад +2

    Joshua kutoka NyAmongo Tarime pastor nabarikiwa sana na mafundisho yako

  • @samuelkusina3755
    @samuelkusina3755 6 месяцев назад

    Mchg nina tamani nipate nakala za vitabu vyako , nitavipataje. Mchg Samuel A. Kusina.

  • @jestinasimon4130
    @jestinasimon4130 Год назад

    Swali la ufahamu kuhusu mavazi hasa wanawake je tuvaeje?

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Год назад

      1 Timotheo 2:9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;

  • @peninadunda6348
    @peninadunda6348 3 года назад

    Amina

  • @yohananyabu4040
    @yohananyabu4040 4 года назад +1

    Amina