FUNGUO ZA MAFANIKIO BINAFSI KATIKA BIBLIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 янв 2020
  • MUNGU AMETUPATIA FUNGUO,JE! UMEZITUMIA?????

Комментарии • 108

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 2 года назад +1

    Barikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai,nimepata kitu, from Sweden.

  • @fadhilicredo1706
    @fadhilicredo1706 4 года назад +8

    Powerful message pastor be blessed🙏

  • @fei3668
    @fei3668 4 года назад +6

    pastor ur the best and God is using you in his own way🙏

  • @barakaungenge939
    @barakaungenge939 4 года назад +3

    Hakika unafundisha kwa huakika ubarikiwe sanaaaaaa Mungu akupe hekima zaidi

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 4 года назад +5

    Asantee maana leo nimefurahi kweli masomo yananivusha haya siyo mchezo

  • @zephaniakisumo4133
    @zephaniakisumo4133 4 года назад +1

    Barikiwa sana mchungaji kwa mafundisho mazuri. Hakika Mungu anazidi kukutumia ipasavyo.

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 4 года назад +2

    Somo zuri sana nimebarikia mno, nimejifunza kitu kipya, thanks pastor from qatar

  • @violetjoseph8649
    @violetjoseph8649 4 года назад +3

    Wonderful lesson,,, barikiwa Pr kila siku yako mpya!

  • @manoatfl1841
    @manoatfl1841 4 года назад

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu unanibariki sana na unakuza imani yangu kiroho nakupenda sana mkenya nafanya kazi saudia nko vizuri s na mungu n mwema kwangu

  • @yusuph1547
    @yusuph1547 4 года назад +5

    Nimebarikiwa sana na somo,,samahan mchungaji naomba mwendelezo wa somo hili tena

  • @allensanga7887
    @allensanga7887 4 года назад +2

    Powerful message be blessed Pastor 💯🙏

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 6 месяцев назад

    Nabarikiwa sana na nimefurahi na haya mahubiri

  • @monicamartin1947
    @monicamartin1947 4 года назад +2

    Be blessed Man of GOD

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 года назад

    barikiwa sana mchungaji neno lako limenibariki sana na kunibadilisha kua kiumbe kipya.na sasa funguo zangu nitazitumia ipasavyo.jina la mwenyezi mungu na lishukuriwe milele🙏🙏🙏barikiwa sana pastor🙏🙏🙏.big love,more blessings from KENYA🙏🙏🙏💞💞💞💞

  • @silvestarlema72
    @silvestarlema72 Год назад

    Mchungaji ila Kibwa ubarikiwe sana. Mungu aendelee kukutumia km chombo tu maneno yatoke Kwake 🙏

  • @clarenangila1092
    @clarenangila1092 3 года назад

    You have a wonderful massage my God bless you,from saudi arabia

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi8211 Год назад

    Amen ubarikiwe saana pst

  • @marycheupe8613
    @marycheupe8613 4 года назад +1

    Ameen haki mungu akubariki sana mtumishi wa mungu

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 2 года назад

    Mungu akubariki nashukuru sana mungu akubariki nina majukumu mazito nakini nnapokusikiliza nazidi kupambana na kunipa moyo wa imani na matumaini nmeweza kupinga kosa la wazee wetu eti tukaombe mizimu ili tusamehehe na mizimu nimegoma nmesema tuombe na kufunga ili mungu atutoe kwenye huu utumwa wa mazimu

  • @vitusdani4001
    @vitusdani4001 3 года назад

    Barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 8 месяцев назад

    ,😂😂😂😂 past unanibariki sana baba Mungu akubariki Sana

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 3 года назад

    Asante baba maana mwenyewe napitia ayo kila nikitaka kufanikiwa naludi nyuma lkn Mungu wa mbinguni naamini atasimama na mimi sitokata tamaa

  • @emanalaa405
    @emanalaa405 Год назад

    Thank you pastor for your teachings may God bless you and protect you in jesus nam🙏🙏🙏🙏🙏

  • @danielstephen4374
    @danielstephen4374 4 года назад +6

    Powerful message pastor be blessed

    • @lilianw721
      @lilianw721 4 года назад

      Ndugu muchungaji David nakufuatilia sana kutoka hapa Marecani, lakini natamani tuongee sijui nitapata number ya simu yako namna gani?? Or email address yako tuu, ninayo mengi kimaisha yangu ya ndoa yawezekana unisaidiye, jina yangu mama Lilian, na number yangu ya simu. 0117197448378, tena email address yangu ni lilianwanito@gmail.com, tafathali uniite .ubarikiwe sana

  • @ovidiokibuga1086
    @ovidiokibuga1086 4 года назад

    Asante pr!Nakukubali sana matatizo ni fursa kubwa sana.Ufupi wa Zakayo ulimwezesha kukaa na Yesu meza moja baada ya kupanda kwenye mkuyu

  • @rastarasim5810
    @rastarasim5810 Год назад

    I'm still learning day to day...) God bless you pastor 🙏..........🇹🇿

  • @lydiayusuph1925
    @lydiayusuph1925 4 года назад

    Naamini hili somo limetupamwanga watu wengi ahimidiwe mungu kutufunulia kupitia wew barikiwa Sana mchungaji

  • @luluemmanuel386
    @luluemmanuel386 3 года назад

    Unanivusha Sana ,,najifunzaga kufundisha neno la Mungu kupitia wewe mtumishi

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 4 года назад

    Hapo pa funguo za Daudi na Yesu nimeelewa Leo sikuwahi jua. Kila somo natoa kitu kipya.. Barikiwa sana 🙏🙏

  • @nginamugwe8093
    @nginamugwe8093 4 года назад

    Amen Amen Amen...asante kwa mafunzo na pia hukutukatia maombi

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 4 года назад +2

    Wonderful!be blessed pastor

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 года назад +2

    Wonderful massage Amen❤❤

  • @ellenmbota1241
    @ellenmbota1241 3 года назад

    Amen amen Mungu akubariki sana kwa somo zuri sana

  • @lensonkasaki5671
    @lensonkasaki5671 4 года назад +1

    Ubarikiwe pastor!

  • @stevenmpembwa5543
    @stevenmpembwa5543 4 года назад

    Asante kwa some zuru PR. Mungu akubariki

  • @myfairskintz
    @myfairskintz 3 года назад

    Nmebarikiwa sn mpaka usingiz umekata...God bless u dad

  • @mustaphagairo1936
    @mustaphagairo1936 4 года назад +1

    7juu😀😀 napenda sana mahubiri yako

  • @dennischinamo3154
    @dennischinamo3154 4 года назад +1

    Mungu akulinde sana mchungaji

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 4 года назад

    Ni miezi minne imepita kila nikisikilizaa bado inalipa sana. Yaani kila nikichagua video naona ni ujumbe wangu kabisa kwa siku au saa hiyo. Mungu atukuzwe sana. Pastor Ubarikiwe. Mungu aendelee kukufunulia na uendelee kupata msuli wa kurusha kwenye Mahubiri Tv.

  • @maureenjovial6237
    @maureenjovial6237 4 года назад

    Amen asante mchungaji wau umenifungua akili vilivyo maana huwa nalalamika nikipatwa na changamoto bali kwa sasa neema ya Yesu yanitosha kutumia changamoto ili nipate suluhu

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 4 года назад

    Asante sana mch.Nazidi kubarikiwa na mafundisho haya mazuri.

  • @carolynekirera3170
    @carolynekirera3170 3 года назад

    Asante Kwa neno mtumishi wa mungu

  • @roselele341
    @roselele341 4 года назад

    Amina ubarikiwe sana maubiri ya leo yamenifariji pia ninazidi kujifuza

  • @alfapinieli2160
    @alfapinieli2160 4 года назад +1

    Barikiwa xaana mchungaji

  • @justinapaul3880
    @justinapaul3880 4 года назад

    Amina mch, amenipa matumaini, ubarikiwe sana

  • @restmaige9486
    @restmaige9486 4 года назад +2

    Ubariliwe Mtumishi

  • @boniphacerobert9533
    @boniphacerobert9533 4 года назад +1

    Asante kwa somo la Leo.

  • @gattynancy9211
    @gattynancy9211 3 года назад

    Tuombe misuli zaidi ya kubeba changamoto tulizonazo katika maisha yetu. Tuombe Neema zaidi ili Mungu atupatie suhuhisho.
    Tunapoanza siku 10 za maombi Mungu akupe roho mtakatifu uendelee kuwa baraka kwetu Pastor.

    • @atupakisyekyando890
      @atupakisyekyando890 2 года назад

      Barikiwa mchungaji kwa mahubiri mazuri..nimekuelewa Mungu atusaidie kwakweli

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 4 года назад

    Amina mtumishi ninakuelew sana

  • @Simplepleasures9
    @Simplepleasures9 4 года назад +1

    amen, powerful indeed, God bless you man of God

  • @barakankubile2329
    @barakankubile2329 4 года назад +2

    We we ni mtumishi uliyebarikiwa sana !!

  • @sufarsuper8688
    @sufarsuper8688 4 года назад

    Paster .mmbaga nakuelewa sana jumbe zako najfnza mengi kutoka kwako

  • @winifridamushi1341
    @winifridamushi1341 3 года назад

    Baba Mungu umeniona

  • @heavenkingdom8157
    @heavenkingdom8157 2 года назад

    be blessed a hundred times paster

  • @joelfrancis2181
    @joelfrancis2181 2 года назад

    AMEN MUNGU akubarik

  • @nkambagenge425
    @nkambagenge425 4 года назад

    Amina nimebarikiwa sana

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Год назад

    MUNGU atusaidie sana AMEN

  • @kapuruwater2918
    @kapuruwater2918 4 года назад

    Ubarikiwe sana pst

  • @japhetmkumbwa7914
    @japhetmkumbwa7914 4 года назад

    Nakwelewa sana pastor

  • @myfairskintz
    @myfairskintz 3 года назад

    Tunakupenda baba

  • @bruceminyacosprlrdc5084
    @bruceminyacosprlrdc5084 3 года назад

    Asante pastor

  • @kijamalimi7507
    @kijamalimi7507 4 года назад +1

    Be blessed

  • @felysytersonduso8064
    @felysytersonduso8064 4 года назад +2

    Aminaaaa

  • @samledbunt2774
    @samledbunt2774 3 года назад

    God bless you

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 года назад

    SAWA mchungaji wangu.

  • @MaryWilson-vg2mm
    @MaryWilson-vg2mm 3 года назад

    Amem

  • @miriamisack6971
    @miriamisack6971 4 года назад

    Nimebarikiwa sana

  • @user-kq9je6zf3v
    @user-kq9je6zf3v 5 месяцев назад

    Amen 🙏🙏

  • @meddyakimana4104
    @meddyakimana4104 4 года назад +2

    Asante sana Muchungaji kwa somo zuli Mbalikiwe sana. Naomba kuuliza: Swali langu ni hili : Ina maana wale watu bado wanapeleka maombi yao kwenye ule Ukuta Inchini Islaeli wako sahihi? Asante sana naamini Mtanipa mwanga kwa hili.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 года назад

      ILE NI IMANI YAO,HAWANA MAANA KUWA MUNGU YUKO KWENYE UKUTA,HAPANA,ILA ZILE KARATASI NI ISHARA TU YA KILE AMBACHO KIPO MOYONI!! ILA KAMA MTU NAPELEKA KWA IMANI KWAMBA MUNGU YUKO HAPO NA KUWA HAPO NDO MAOMBI YANAJIBIWA SIO SAHIHI MAANA MUNGU YUKO POTE WAKATI WOTE

    • @eliakanyika8443
      @eliakanyika8443 4 года назад

      Asntee kwa jibu zuri

    • @milkamugonya1275
      @milkamugonya1275 4 года назад

      Thanks

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 6 месяцев назад

    Amen

  • @yvonneamekakaombeniwimbomu8312
    @yvonneamekakaombeniwimbomu8312 4 года назад

    Kwa kweli muchungaji una tufariji sana kwenye matatizo yetu.

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n 6 месяцев назад

    AMEN

  • @miriamisack3220
    @miriamisack3220 4 года назад

    Asante mungu

  • @dandamiano1183
    @dandamiano1183 4 года назад

    nice mungu akubariki

  • @nezerinejuma5510
    @nezerinejuma5510 6 месяцев назад

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @bridgitkola5341
    @bridgitkola5341 Год назад

    Naomba ROHO WA BWANA awe mwalimu wangu MILELE nikisoma bibilia niwe napata ufunuo wake, SIO tu kusoma bibilia kama story book

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 года назад

    AMINA 🙏😎.

  • @RoseRose-vf5km
    @RoseRose-vf5km 4 года назад

    AMEN nime pokea

  • @oleangolwisye5012
    @oleangolwisye5012 4 года назад

    Amina

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 4 года назад

    Amina!

  • @euniceosoro7433
    @euniceosoro7433 7 месяцев назад

    Mchugaji naomba uniombee nimekua nachagamoto nimekua kira wakati wakitakakuomba kanisani nimekua nikipiga miyayo sana nahiri tatizo rinamyaka sasa

  • @theresearcheronlinetv3649
    @theresearcheronlinetv3649 4 года назад +2

    Hivi hawa watu wanao- dislike videos na hawatoi kipi kirekebishwe au hawaoneshi sababu ya ku- dislike .... Siwaelewagi kabisa....!!! Muwe mnatoa na maoni nini kirekebishwe

  • @sadikimwalongo7871
    @sadikimwalongo7871 3 года назад

    anina

  • @vicknessngenzi6146
    @vicknessngenzi6146 4 года назад +2

    Asante sana Pastor kwa masomo mazuri kabisaaa ubarikiwe. Lakini ninahitaji msaada sana nahitaji kuonana kama ni ofisini au popote unapopatikana. Mm nko Dar nasina ata idea unapatikana wapi please ni urgent matter

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 4 года назад

    Sifa nashukulani igwe kwako mtumishi wamungu mbarikiwa sana Amina amina

    • @meddyakimana4104
      @meddyakimana4104 4 года назад

      sifa na shukulani ziwe za nani? lekebisha hapo mpendwa

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 года назад

      NADHANI ULIMAANISHA SIFA NA SHUKRANI VIWE KWA MUNGU WETU AMINA! Maana Pr. Mmbaga ni chombo tu mikononi mwa Mungu

  • @lucymwegoha7400
    @lucymwegoha7400 3 года назад

    Mimi huwa nina sema biblia ni zaidi ya saclopidia

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 4 года назад

    Mchungaji hemu nisaidie kuitambua biology na chemistry kwenye Bible

  • @asifiwemwai4263
    @asifiwemwai4263 4 года назад +1

    Mchungaji Mungu akubariki,nmebarikiwa mno mnoo! Mungu akufikishe mbali

  • @monicamartin1947
    @monicamartin1947 4 года назад +1

    Be blessed Man of GOD

  • @lindalocho9685
    @lindalocho9685 4 года назад +1

    Amen

  • @alicekaniki2380
    @alicekaniki2380 4 года назад

    Amina

  • @peninadunda6348
    @peninadunda6348 3 года назад

    Amen