SIFA KUBWA KULIKO ZOTE YA MKULIMA NI UVUMILIVU; YAK 5 : 7 - 11
HTML-код
- Опубликовано: 18 май 2024
- UVUMILIVU maana ya kibiblia ni wateule tumngojee Bwana wetu Yesu Kristo katika maumivu yote bila ya kuwa na manung'uniko ya aina yoyote mioyoni mwetu.
- Kuvumilia hadi Bwana Yesu atakapotokea na kutatua shida zetu (matatizo) yetu bila kunung'unika ndani ya mioyo yetu; bila kutafuta njia nyingine za mkato;
bila kujilinganisha na wana wa ulimwengu huu jinsi wanavyopata mafanikio yao kwa njia za ajabu ndivo mtihani mkubwa mno kwa wateule wa Mungu.
- Shujaa yeyote wa kiroho katika Biblia tunayesoma habari zake na kubarikiwa; ni yule ambaye alikuwa na uwezo wa KUVUMILIA
Malaki. 3 : 13 - 15, Zaburi. 73 : 2 - 19.
Amina baba, ni wengi tunaobarikiwa kupitia ibada hizi. Pamoja sana kutoka Mpanda, Katavi.
Amen sana watumishi wa mungu awabariki ila naomba basi wekeni namba ya sadaka
KABISA BABA ASKOFU,MMEFANYA VEMA SAAANA KUWA LIVE,NAFUATILIA KUTOKEA SANYA JUU,SIHA,KILIMANJARO,