JINSI YA KULITUMIA NENO LA MUNGU ILI LIKUPE MATOKEO PART 2 || PASTOR GEORGE MUKABWA || 18/04/2024
HTML-код
- Опубликовано: 17 апр 2024
- Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
Gospel Teachings for soul winning Purpose. - Кино
Kwa kweli pastor unatusaidia kwanza napenda vile hua unafafanua kiswahili na kingereza be blessed sana
Barikiwa sana mchungaji,unanijuza mengi kiroho,nko kenya, nafuatilia sana
Asante mungu,kwa kunipatanisha na mtumishi wako George..barikiwa ndugu🎉🎉❤❤
Umenisaidia mtumishi wa mungu wacha mungu akubariki
Amen and amen mungu azidi kukubari pia🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu umenifanya nipende mahubiri Yako make namuona Mungu akinishughulikia Kila nisikilizapo mahubiri yako.endelea kunyenyekea baba, Mungu Yuko pamoja na wewe
Mungu akubariki natamani wengi wakusikilize asnte mtumishi wa mungu.
Pastor unanibariki sana.
Toka nianze kukufatisha ktk mafundisho yako Aiseee, nimezidi kufunguliwa na Nimekuwa mtu mwingine haswa ktk Imani... Mungu Akubariki uzidi kutushibisha kiroho na kutufunguwa na kulijuwa neno ipasavyo, barikiwa sanaaaaa 🙏🙏🙏
Mafundisho haya yamenisaidia sana barikiwa mno Mtumishi wa Mungu
Asante Sana Mtumishi ..... Nimepata maarifa makuu katika kujua namna ya kulitumisla Neno la Mungu!
Amina Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Mungu abariki huduma yako uzidi kubariki wengi. Really blessed am not the same again and i will never be the same again.
Asante bwana
Baba unafundisha kwa hekima sana na upole, itoshe tu kusema nakuelewa mnoo na unafundisha unaeleweka sana, mungu azidi kukuongezea umri mrefu na hekima zaidi 🙏🙏🙏🙏
Amen amen 🙏
Amen ukweli mimi nina kufata na tangu ni anze kuku fata niko na komala tena ki roho baba
Amen!!! Oooooh halleluyaaaaaah.
E baba mtumishi tunabarikiwa kupitia Neno Mungu atusaidie afungue fahamu zetu.
Emen amen nimebarikiwa sana sana nimeenda kanisani muda mrefu sijai okoka lakini tangu nikusikize sai nimeoko na nimebadilish a mienendo zangu kupitia wewe mtumishi ubarikiwe sana
God bless you pastor George
Mtu wa mungu kweli mungu akuinuwe saidi
Amen nabarikiwa sanaaaa
Asante Mungu asante Baba asante
Asante pastor! Amen 🙏🙏
Amen and amen, let's praise the lord everyone 🙌🙌🙏🙏
Amina poster
Amen!!!
Amen Amen
Amen na amen
AMEN AMEN
Amen
MUNGU AKUJALIE MAISHA MAREFU PASTOR NAJIFUNZA KUTOKA KWAKO🙏
Amina
Ameeen...
Naomba namba ya sim ya mchungaji jaman
Kweli Baba Mungu leo kanipa neno Isaya 12 yote akabadilisha uzuni wangu. Nikawa na furaha nyingi.
Add volume please
Mch Mukabwa branch zako ziko Arusha?
Hakika nime jifunza kumbe nilikuwa sijui kuomba ndo mana nime chelewa kupokea lkn sasa naenda kupokea haja yangu
Mafundisho mazuri kabisa,kuasiliana nawe ndio balaa,natamani ila sijafaulu
Baba Mungu akutunze ukweli hata nikiwa sehem ambayo net ya kulipata somo kwa cku unazotuma huwa nahisi kupungukiwa
Amina Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Amen amen 🙏🙏
Amen