JINSI YA KULITUMIA NENO LA MUNGU ILI LIKUPE MATOKEO PART 2 || PASTOR GEORGE MUKABWA || 18/04/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2024
  • Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
    - M-Pesa Lipa Namba : 5252176
    - MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
    - KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
    Gospel Teachings for soul winning Purpose.
  • КиноКино

Комментарии • 45

  • @BethMwaniki-hk2xy
    @BethMwaniki-hk2xy Месяц назад +1

    Kwa kweli pastor unatusaidia kwanza napenda vile hua unafafanua kiswahili na kingereza be blessed sana

  • @NannyNanny-fo9yh
    @NannyNanny-fo9yh 16 дней назад

    Barikiwa sana mchungaji,unanijuza mengi kiroho,nko kenya, nafuatilia sana

  • @annbonareri
    @annbonareri Месяц назад

    Asante mungu,kwa kunipatanisha na mtumishi wako George..barikiwa ndugu🎉🎉❤❤

  • @user-kr6xi9mw1x
    @user-kr6xi9mw1x Месяц назад

    Umenisaidia mtumishi wa mungu wacha mungu akubariki

  • @user-ns4jx6sk8e
    @user-ns4jx6sk8e 16 дней назад

    Amen and amen mungu azidi kukubari pia🙏🙏

  • @upendomoses2418
    @upendomoses2418 Месяц назад +3

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu umenifanya nipende mahubiri Yako make namuona Mungu akinishughulikia Kila nisikilizapo mahubiri yako.endelea kunyenyekea baba, Mungu Yuko pamoja na wewe

    • @petermnenuka6968
      @petermnenuka6968 Месяц назад

      Mungu akubariki natamani wengi wakusikilize asnte mtumishi wa mungu.

  • @graceoyoo3418
    @graceoyoo3418 Месяц назад

    Pastor unanibariki sana.

  • @ashantimbangule4978
    @ashantimbangule4978 Месяц назад

    Toka nianze kukufatisha ktk mafundisho yako Aiseee, nimezidi kufunguliwa na Nimekuwa mtu mwingine haswa ktk Imani... Mungu Akubariki uzidi kutushibisha kiroho na kutufunguwa na kulijuwa neno ipasavyo, barikiwa sanaaaaa 🙏🙏🙏

    • @monikadickson3651
      @monikadickson3651 Месяц назад +1

      Mafundisho haya yamenisaidia sana barikiwa mno Mtumishi wa Mungu

  • @lilianlawuo4731
    @lilianlawuo4731 Месяц назад

    Asante Sana Mtumishi ..... Nimepata maarifa makuu katika kujua namna ya kulitumisla Neno la Mungu!

  • @YohanaMgaya-oe6oj
    @YohanaMgaya-oe6oj Месяц назад +1

    Amina Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @lydiahwangoi9001
    @lydiahwangoi9001 Месяц назад

    Mungu abariki huduma yako uzidi kubariki wengi. Really blessed am not the same again and i will never be the same again.

  • @user-vc4cl8xm8u
    @user-vc4cl8xm8u Месяц назад

    Asante bwana

  • @Daniella249
    @Daniella249 Месяц назад

    Baba unafundisha kwa hekima sana na upole, itoshe tu kusema nakuelewa mnoo na unafundisha unaeleweka sana, mungu azidi kukuongezea umri mrefu na hekima zaidi 🙏🙏🙏🙏

  • @Judith-mw4ys
    @Judith-mw4ys Месяц назад

    Amen amen 🙏

  • @JeannettemiaNdaya
    @JeannettemiaNdaya Месяц назад

    Amen ukweli mimi nina kufata na tangu ni anze kuku fata niko na komala tena ki roho baba

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Месяц назад +1

    Amen!!! Oooooh halleluyaaaaaah.

  • @LoyceLugazia-po1ij
    @LoyceLugazia-po1ij Месяц назад

    E baba mtumishi tunabarikiwa kupitia Neno Mungu atusaidie afungue fahamu zetu.

  • @ezrakenei9127
    @ezrakenei9127 Месяц назад

    Emen amen nimebarikiwa sana sana nimeenda kanisani muda mrefu sijai okoka lakini tangu nikusikize sai nimeoko na nimebadilish a mienendo zangu kupitia wewe mtumishi ubarikiwe sana

  • @haruonharounkithinji574
    @haruonharounkithinji574 Месяц назад

    God bless you pastor George

  • @user-sg5yn5dk9q
    @user-sg5yn5dk9q Месяц назад

    Mtu wa mungu kweli mungu akuinuwe saidi

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Месяц назад

    Amen nabarikiwa sanaaaa

  • @doreenephraim4057
    @doreenephraim4057 Месяц назад

    Asante Mungu asante Baba asante

  • @happiness_713
    @happiness_713 Месяц назад

    Asante pastor! Amen 🙏🙏

  • @CatherineMakokha-dg6ws
    @CatherineMakokha-dg6ws Месяц назад

    Amen and amen, let's praise the lord everyone 🙌🙌🙏🙏

  • @sussychemaimak9884
    @sussychemaimak9884 Месяц назад

    Amina poster

  • @prisca4612
    @prisca4612 Месяц назад

    Amen!!!

  • @user-vx5rb6rg1v
    @user-vx5rb6rg1v Месяц назад

    Amen Amen

  • @user-sg5yn5dk9q
    @user-sg5yn5dk9q Месяц назад

    Amen na amen

  • @rachelthomas5679
    @rachelthomas5679 Месяц назад

    AMEN AMEN

  • @Happiness-cr7sv
    @Happiness-cr7sv Месяц назад

    Amen

  • @user-pm3mt6iy6y
    @user-pm3mt6iy6y Месяц назад

    MUNGU AKUJALIE MAISHA MAREFU PASTOR NAJIFUNZA KUTOKA KWAKO🙏

  • @EsterStephano-nt2rb
    @EsterStephano-nt2rb Месяц назад

    Amina

  • @ashamwalimu2783
    @ashamwalimu2783 Месяц назад

    Ameeen...

  • @MmelaRamadhani
    @MmelaRamadhani 26 дней назад +1

    Naomba namba ya sim ya mchungaji jaman

  • @GraceKassana
    @GraceKassana Месяц назад

    Kweli Baba Mungu leo kanipa neno Isaya 12 yote akabadilisha uzuni wangu. Nikawa na furaha nyingi.

  • @Happiness-cr7sv
    @Happiness-cr7sv Месяц назад

    Add volume please

  • @monikadickson3651
    @monikadickson3651 Месяц назад

    Mch Mukabwa branch zako ziko Arusha?

  • @RoseMapunda-pd6vg
    @RoseMapunda-pd6vg Месяц назад

    Hakika nime jifunza kumbe nilikuwa sijui kuomba ndo mana nime chelewa kupokea lkn sasa naenda kupokea haja yangu

  • @j-square1864
    @j-square1864 Месяц назад

    Mafundisho mazuri kabisa,kuasiliana nawe ndio balaa,natamani ila sijafaulu

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Месяц назад

    Baba Mungu akutunze ukweli hata nikiwa sehem ambayo net ya kulipata somo kwa cku unazotuma huwa nahisi kupungukiwa

  • @YohanaMgaya-oe6oj
    @YohanaMgaya-oe6oj Месяц назад

    Amina Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @cerecere5758
    @cerecere5758 Месяц назад

    Amen amen 🙏🙏

  • @FrancoiseNjimbere
    @FrancoiseNjimbere Месяц назад

    Amen