KUNENA KWA LUGHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 окт 2019
  • 16Anayeamini na kubatizwa ataokolewa. Asiyeamini atahukumiwa. 17Na ishara hizi zitaandamana na wale wanaoamini: Kwa jina langu watatoa pepo na watasema kwa lugha mpya. 18Wakishika nyoka au wakinywa kitu chochote chenye sumu, hakitawadhuru. Watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona.”
    #Mgisamtebe #Mafundisho #Kunenakwalugha

Комментарии • 71

  • @kaylamariani3142
    @kaylamariani3142 6 месяцев назад

    Asante Yesu kristo unapo pita kujaza wengine na Mimi usini pite baba

  • @blessedtumaini.1520
    @blessedtumaini.1520 4 года назад +2

    Asante Yesu Kristo kwa mafundisho haya. Mungu Baba akubariki Mwl. Mgisa Mtebe kwa huduma na wote unaotenda kazi nao. Amina.

  • @perrywanjiru2754
    @perrywanjiru2754 4 года назад +1

    Amen barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa mafunzo sifa nautukufu zimulindie MUNGU kwa hinyo upako ametia ndani yako

  • @ibrahimwilliam8201
    @ibrahimwilliam8201 2 года назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu na Mungu azidi kukuinuwa na kukutunza pia ili jamii ya ya kristo izidi kuimarika, kukua kiroho na kuongezeka kwa maarifa ya Mungu.

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 2 года назад

    Amen hii ndo nataka ni elewe vizuri karama za Rohon naomba hili somo mtumishi 🙏🙏

  • @charlesaigo7604
    @charlesaigo7604 Год назад

    Asante Roho mtakatifu kwa ufunuo kwa mtumishi wako

  • @luizabahati5198
    @luizabahati5198 4 года назад +2

    Thank you bro.Mungu aendelee kukutumia tutiwe Maarifa

  • @faithmuli8616
    @faithmuli8616 Год назад

    Mimi natamani sana kujazwa na sijui nitapokea lini mutumishi wa mungu ,natamani sana kunena niombee nijazwa roho mitskatifu

  • @jonessaid3828
    @jonessaid3828 4 года назад

    Ameen, hongera mtumishi kwa kuongeza muda wa haya mafundisho

  • @lailajeremia1259
    @lailajeremia1259 4 года назад

    Ubalikiwe sana mtumishi Mungu azidi kukuinua nimebalikiwa kwa mafundisho

  • @rechoemania8078
    @rechoemania8078 4 года назад +1

    ubarikiwe mtumishi ujumbe nimeupata

  • @tiimanywaj3898
    @tiimanywaj3898 3 года назад

    Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwa mafundisho mazuri

  • @sethadam982
    @sethadam982 4 года назад

    be blessed Man of God

  • @angelananyaro2882
    @angelananyaro2882 4 года назад

    this is such a blessing.ahsante Mwalimu..nimejifunza kutu.utukufu kwa Mungu!

  • @judithruta3688
    @judithruta3688 4 года назад

    Amina, Kwa kweli mwalimu unatufundisha vitu muhimu maishani mwetu hili tuishi maisha ya Ushindi hapa duniani.

  • @simbeyesdtv7100
    @simbeyesdtv7100 4 года назад

    Amen Mwl...naekewa hii chakula.

  • @batrumeoephadamlyangano4609
    @batrumeoephadamlyangano4609 3 года назад

    Ubarikiwe mtumish wa Mungu mtakatifu

  • @deogratiusmkoba5511
    @deogratiusmkoba5511 4 года назад

    Shukrani mwalimu kwa somo

  • @shedracklesudai9682
    @shedracklesudai9682 3 года назад

    Mtumishi ubarikiwe kwa ujumbe mzuri sana

  • @tumpelukongo2830
    @tumpelukongo2830 4 года назад

    Barikiwa mwl..tunakuelewa

  • @neemajosephitambu3587
    @neemajosephitambu3587 4 года назад +1

    Amen Mwalimu

  • @doreenmusee6908
    @doreenmusee6908 3 года назад +1

    Mwalimu asante kazi safi ...we bless Jesus for the now word that comes alive through your mouth....most messages are very short can we get the full range videos of teaching...asante Mwalimu

  • @elishamfinanga9483
    @elishamfinanga9483 3 года назад

    Bwana Yesu akubariki Sana

  • @alamagatasanga5410
    @alamagatasanga5410 4 года назад

    asante mungu kwa kunkfungua

  • @mutakoalphonsine3240
    @mutakoalphonsine3240 4 года назад

    Am blessed here in Rwanda. God bless you man of God.

  • @patrickmusyoka7353
    @patrickmusyoka7353 4 года назад

    Asante mtumishi wa mungu

  • @mwanahamisigomo3764
    @mwanahamisigomo3764 4 года назад +2

    Mungu akubariki mtumishi wamungu , jana nmeskiliza mafundisho yako, nami nikawa natamani kujazazwa roho mtakatifu ninene kwa lugha , nikajikuta ghafula Leo asubuh wakati na sikiliza tena mafundisho nmekaa kwenye sofa nikaanza kunena kwalugha bilahata kujielewa , mungu akubariki sana

    • @jamesnnko8528
      @jamesnnko8528 7 месяцев назад

      Asante Roho Mtakatifu kumjaa Mwanahamisigomo

  • @neddymligo1511
    @neddymligo1511 4 года назад

    Aminamtumishii

  • @mackmillan9040
    @mackmillan9040 3 года назад

    Amina mwalim

  • @eliudbilali2434
    @eliudbilali2434 4 года назад

    Wakati wa Roho kutenda kazi bila kujali mipaka ya kidhehebu...Moto wa Roho Mtakatifu....

  • @kaylamariani3142
    @kaylamariani3142 3 года назад

    Thanks mtumishi

  • @journeywithjesus
    @journeywithjesus 4 года назад

    Amen Mwalimu, imefundishwa vzr sana!!

  • @athanaskitime1484
    @athanaskitime1484 4 года назад +1

    Hongera mwalimu kwa kutupa hii mana,, Tafadhali naomba uwe unatuwekea hata za lisaa limoja....

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 4 года назад

    Good

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 4 года назад +2

    KWA MUDA MREFU SANA NAENDA KANISANI HII KITU NILIKUWA SIJAIELEWA VYEMA KABISA ILA HAPA NIMEPATA MWANGA, UBARIKIWE SANA MWALIMU UMENIPA FUNZO KUBWA SANA KWENYE SOMO HILI.

  • @lovenessdiva7132
    @lovenessdiva7132 4 года назад

    Amen

  • @Kingjoashwelding
    @Kingjoashwelding 10 месяцев назад

    Mungu akuinue sana Mwalim ❤

  • @joesteve878
    @joesteve878 3 года назад

    Nimebarikiwa, sana, nahitaji, ushauri, kutoka, kwako, Nina karama ya kuona maono, na kutafsiri ndoto, nifanyaje, ili, uduma yangu, iwe, wazi?

  • @kaylamariani3142
    @kaylamariani3142 3 года назад

    Tuna jifunza na kubarikiwa

  • @josephfrancis8571
    @josephfrancis8571 Месяц назад

    Huu ni uongo na utapeli wa hali ya juu hizo ni lugha za kipepo zisizo na maana usitudanganye kabisa

  • @jerrykirumba2357
    @jerrykirumba2357 4 года назад +5

    Yaani walimu wakiroho wakusaidie tena kushape lugha uliyopewa yaani waiimarishe!??biblia inasema ikitokea kunena kwa lugha pawe na mfasiri lakini kama wewe ni mgogo ukinena nena kigogo itakujenga wewe mwenyewe maana umeomba mambo yako ya siri na Mungu wako 1 Kor 14:11 "Basi nisipoijua maana ya ile sauti nitakuwa kama mjinga kwake yeye anenaye; naye anenaye atakuwa mjinga kwangu"
    1 Kor 14:22 "Basi, hizi lugha ni ishara, si kwao waaminio, bali kwao wasioamini lakini kuhutubu si kwa ajili yao wasioamini, bali kwa ajili yao waaminio" Yaani Paul anaongea hajui kama mtakuja kutafsiri mnavyopenda ninyi muelewe, sasa rejea kwenye chimbuko la kunena kwa lugha watu walinena na kila mtu alisikia kwa lugha yake mwenyewe si hivyo mnavyojua ninyi mtu anaongea lugha isiyojulikana LENGO LA KUNENA KWA LUGHA ILIKUWA NI UZINDUZI WA KUPELEKA NENO(INJILI)KWA MATAIFA YOTE ILI NAO WASIKIE ILA HAWAKUWA NA UWEZO KWA SABABU HAWAKUJUA LUGHA ZINGINE NDIO ROHO ANAWAJIA NA KUONGEA NA KILA MTU ALISIKIA NENO KWA LUGHA YAKE MWENYEWE Rejea MATENDO YA MITUME 2 : 7 Wakastaajabu sana, wakasema, “Hawa wote wanaozungumza ni Wagalilaya. 8 Imekuwaje basi tunawasikia wakinena lugha ya kila mmoja wetu? 9 Hapa kuna Waparthi, Wamedi, Waelami, wakazi wa Mesopotamia, Yudea Kapadokia, Ponto na Asia, 10 Frigia, Pom filia, Misri na pande za Libya karibu na Kirene; na wageni kutoka Rumi, Wayahudi na watu walioingia dini ya Kiyahudi. 11 Watu wen gine wametoka Krete na Uarabuni. Sisi sote tunasikia watu hawa wakisema katika lugha zetu wenyewe mambo makuu ya ajabu aliyofa nya Mungu.”(UNAWEZA KUANZIA FUNGU LA KWANZA) NA KWENYE WAKORITHO PIA ....Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri.” 1 Kor. 14:27

    • @farajilyambafu4312
      @farajilyambafu4312 4 года назад +1

      Yaan tunachanganyikiwa Nani mkweli hapa mafundisho yamekua mengi sana siku hizi

    • @mackfasonmoshi4629
      @mackfasonmoshi4629 4 года назад

      Mwalimu M M, nimeipenda hiyo Aina ya Kunena kwa lugha iitwayo Glossolia....yaani Lugha ya Kimaombi....Naiita pia 'Prayer Language'....ambayo ni vema na muhimu kwa kila aliyeokoka na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu, ainene KILA siku ktk faragha yake ya maombi....Atajengeka kila leo....Hallelujah...Zidi kutufundisha Mwalimu Wetu...

    • @isayakigava9283
      @isayakigava9283 Год назад

      Inapokuja kwenye swala la kumjibu mwl unahitaji utafiti zaidi ya kile ulichokuwa unakijua vinginevyo unaweza tu toa changamoto kwa sababu mwl kaongea tofauti na unachojua na hapo ni uharibifu.

    • @daudijacob7377
      @daudijacob7377 Год назад +1

      Kweli kabisa her Bwana asifiwe

    • @mackfasonmoshi4629
      @mackfasonmoshi4629 Год назад

      ​@@isayakigava9283 J K anahitajika msaada mkubwa wa kuhabarishwa kuhusu lugha.... Mwl Mgisa yuko vizuri weweeeee!!! Wako na walimu wengine wengi tuuu wa "dizaini hii".... Mfano Kenneth E. Hagin (10 Reasons Why we should Speak in Tongues)...Be Blessed...

  • @johnmkama6687
    @johnmkama6687 4 года назад

    Tunaongeza maarifa

  • @estherkoya8410
    @estherkoya8410 4 года назад +4

    MUNGU atusaidie kuna mafundisho niliyasikia yakanikatisha tamaa ya kunena kwa lugha, ila tusipopata maarifa tunaangamia

    • @lovenessdiva7132
      @lovenessdiva7132 4 года назад

      Kwel

    • @patrickmusyoka7353
      @patrickmusyoka7353 4 года назад

      kwel sister

    • @ngwanafabian7532
      @ngwanafabian7532 4 года назад

      Kila jambo jema na baya lipo pembeni. Karama ya kunena kwa lugha ni ahadi isipokuwa shetani naye anawatumishi wake nao wanaombea ujazo wa roho wachafu. Tunatakiwa kuombewa ujazo wa roho mtakatifu toka madhabahu halisi na mtumishi halisi wa Mungu. Ukweli kunena kwa lugha humjenga mkristo binafsi.

    • @jamesnnko8528
      @jamesnnko8528 7 месяцев назад

      @estherkoyo- nikupe pole mwana wa Mungu kukatishwa tamaa kunena kwa lugha. Ni adui aliefanya hivyo maana alijua ukinena umemmaliza. Usingoje mpaka ufike mbinguni.

  • @forjesus1382
    @forjesus1382 Год назад

    Parts zingine ziko wapi

  • @imejachunga9958
    @imejachunga9958 4 года назад

    Baba Mungu akubariki sana nimejifunza kitu kikubwa naomba msaada wa number yako

  • @jacobmakono389
    @jacobmakono389 4 года назад

    ..hilo li mziki la nini?

  • @roidysimchimba7103
    @roidysimchimba7103 4 года назад

    Asante mtumish

  • @nenolakristomaisha.5611
    @nenolakristomaisha.5611 4 года назад

    LAKINI HUKO SO KUNENA KWA LUGHA Mtumishi hapa tunapishana

  • @edwardtito6805
    @edwardtito6805 4 года назад

    Nilitamani kusikia zaidi hili somo maana lina nihusu kwa100% nijifunze ila naamini Maswali siwezi uliza hapaa ila umenielewesha kwa kiasi

    • @jamesnnko8528
      @jamesnnko8528 7 месяцев назад

      Ukiuliza hapa utawasaidia na wengine hivyo utakuwa umefanya kazi ya Mungu.

    • @jamesnnko8528
      @jamesnnko8528 7 месяцев назад

      Yaani nikutie moyo uulize swali hapa.

  • @josephfrancis8571
    @josephfrancis8571 Месяц назад

    Kaka rudi darasani ukaisome vizuri lugha ya kiyunani kuwa inasema nini juu ya kunena kwa lugha naomba namba yako uniandikie ili tufundishane juu ya hili swala ambalo shetani amelifanya kuwa mtego mkubwa
    Nakuomba tuingie darasani kidogo mimi na wewe ili tuone chimbuko la lugha ya injili ambayo ni kiyunani maana kiswahili kimechukua kutoka kwanye English nayo English imechukua kwa kiyunani sasa twende kwenye lugha mama naomba namba tafadhali.

  • @imejachunga9958
    @imejachunga9958 4 года назад

    Mwalimu naomba number yako na nadhani kwako ntapata maswali ya majibu yangu ya muda mrefu 0719337380

  • @perrywanjiru2754
    @perrywanjiru2754 4 года назад

    Amen barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa mafunzo sifa nautukufu zimulindie MUNGU kwa hinyo upako ametia ndani yako

  • @rechoemania8078
    @rechoemania8078 4 года назад

    ubarikiwe mtumishi ujumbe nimeupata

  • @jaromemikael7043
    @jaromemikael7043 2 года назад

    Amen

  • @levispaultitus8623
    @levispaultitus8623 4 года назад

    Good

    • @paulhando6286
      @paulhando6286 2 года назад

      Things add up daily, hiyo siyo lugha ya Roho mtakatifu. Dalili ndo hizo, manabii wa udanganyifu wataendelea kuja.

  • @atubruno7870
    @atubruno7870 3 года назад

    Amen