2 - OMBA MUNGU IMANI YAKO ILINDWE UNAPOPITA KATIKA MAJARIBU || Mwl Christopher Mwakasege || DODOMA
HTML-код
- Опубликовано: 17 апр 2024
- Semina ya Neno la Mungu Dodoma Tarehe 18 Aprili 2024 || Day 2
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Namshukuru Mungu kwajili ya huduma ya MANA Mungu azidi kuwapa maisha marefu na afya njema
Eeeh Mungu Mbariki mwalimu mwakasege na mke wake diana, pamoja na team yake yote kwa kazi nzuri wanayoifanya 🙏🙏
Namshukuru Mungu kwa mafundisho haya. Hakika kanisa lazma liamke usingizini na kuomba.
Ubarikiwe sana mtumishi kwa somo zuri, Mungu naomba na mimi kuona kama uonavyo wewe
Hallelujah Hallelujah UTUKUFU KWA BWANA YESU MILELE YOTE
Ooh. Nisamehe Yesu. Asante kwa kunijulisha hili.
Hili somo linaimarisha Sana imani yangu
Mungu akutunze Sana mtumishi uliyepakwa mafuta mabichi kila asubuhi
Thank you lord for your love saving me and remind me of your grace please be with me usini adhibu kama wana Israel sikia kilio changu ulilo liruhusu liendelee nimepokea na ninashukuru kwa maana linaenda kutundeka
MUNGU AKUPE MAIẞHA MAREFU Ili uweze Kuwafundisha watu wamjue MUNGU WAO. Asante Kwa somo hili MUNGU amenifungua mahali Fulani. Nasema Asante YESU.
Amen Amen Amen. Babakatika jina la Yesu kristo. Naungama kwako nirehemu nisamehe. Ile nguvu ya maombi nilivokuwa nayo mwanzoni. Imepotea nirehemu nirejeshee tena nikuone kwa upya. Funguka tena machoo yangu ya ndani😭😭😭🙏
MUNGU akubariki mtumishi na azidi kukupa neema na unyenyekevu katika utumishi wako
Asante Mungu kwa kumpa Mtumishi wako neno la uzima
Mungu nipe macho yakuona kile unachokiona wewe
Im real blessed stay blessed Mwl Mwakasege
Mw Mungu aendelee kukutunza vyema mtumishi wa Mungu nafundisho unayo fundishi nimbegu bora unayopanda hakika zitamea na kutoa matunda mazuri yampendezayo Bwana
Asante Munguu
Kwakweli Mungu anisaidie sana kuusu hili somo. Kuimbea Imani yangu. Barikiwa sana Mtumishi wa Bwana
Asante sana BWANA YESU. Barikiwa sana MANA Ministry
Amen asante Yesu.Barikiwa mtumishi
Hili somo limenivusha sana MUNGU aendelee kukutunza
Hakika Mungu ni Mungu barikiwa sana mtumishi
Ameen! na barikiwa sana,
Asante yesu kwa maelekezo hayo
Amen
👏👏🙏
Asante Yesu
Ee Yesu wangu nishike tena 🙏🙏
Asante mwalimu leo kuanzia maombi ulianza namm nimm kabisa mungu akuweke mafundishoyaleo niyakwangu hakika umenifungua namshukuru mungu kwaajiliyako
Mungu akutunze mtumishi
Halleluya halleluya halleluya
AMEN AMEN AMEN
Hallelujah
Ubarikiwe Sana mwalimu
Asante Baba
Sifa na utukufu kwa BWANA YESU KRISTO
Ameen
Mungu hawai Wala hachelelewi
TC
Najiungamanisha na madhabahu hii mwanangu edric akapokee uponyaji juu ya magonjwa ya mara kwa mara
Hakika wewe ni Bwana
MTUMISHI WA MUNGU ALIE HAI MUNGU AKUJALIE MAISHA MAREFU
NAOMBA MUNGU AZIDI KUKUTUNZA MTUMISHI, KWAKWELI NABARIKIWA KILA NAPOPATA WASAA WA KUSIKILIZA MAFUNDISHO HAYA
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen