2_USHUHUDA WA ESTA GASPAR:NILIONA JINA LANGU KTK KITABU MBINGUNI,MALAIKA WAKIIMBA WIMBO WA CHIDUMULE
HTML-код
- Опубликовано: 19 дек 2022
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Bwana nihurumie,mimi mzaifu,mwenye dhambi! Sistahili Yesu,sistahili!!! Naomba uniwezeshe katika safari hii ya kwenda mbinguni;nime guswa na neno toka mtumishi wako🛐🛐🛐
Amen amen barikiwa sana kwahujumbe ambayo una fikishiya watuwote barikiwasana Mama
Ester wajina langu jamani. Nami naomba Mungu anipe kibali nimtumikie Mungu kwa viwango kama wakina Ester Mungu ametupa Neema sana katika kazi yake. Mungu akubariki sana kwa ushuhuda huu ambao binafsi nimesikia kuhukumiwa sana, nimeomba Mungu anirehemu nisimame Imara
Kweli unayosema mama hakika wewe mungu amekuchagua na ni mkweli mungu akubariki mama yangu
Umenibariki sana mama,asifiwe Yesu aliye kuchaguwa
Selina kombe
Ubarikiwe sana mum kwa ujumbe mungu akubariki sana na mungu atusaidie tushinde
Amen ubarikiwe kwa ujumbe wa kweli hakika tumeusikia kazi kwetu kutendea kazi
Ee YESU Turehemu tufungue masikio ya rohoni na mwilini. Mioyo na shingo za chuma ziyeyuke.tupokee NENO LAKO,😭
Amina mungu awabarik
Mungu akubariki sana Mama yangu na Maono ya Mazuri
Mungu akubariki sana sana mtumishi wa Mugu Ester pia neema ya Bwana iwe juu yako mtumishi wa Mungu Jactani kazi yako imekuwa njema sana
Mungu ni Mungu hakuna wakufananishwa na yeye ,yeye ni Mungu Wa kipekee
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Mungu ni mwema siku zote
Amina mtumishi nimebarikiwa sana sana
Barikiwa sana watumishi wa Mungu kwa maelezo mema,,acha tuyasikie natutende jinsi Bwana anavyotaka Amina.
PROMOVER tv stay blessed
Amina Dada Esta tunashukuru sana
Mungu akuzidishie mahali pamepungua kwa ujumbe mzuri,nmejiskia kurudi sana kwa hizi shuuda,jacktan barikiwa sana kwa kumleta huyu mtumishi,
Amen
AMEN 🙏
Mungu akubariki mama ,kwa utumishi ulio itiwa ,ujumbe umetufikia wa mungu kukusanya watu wake Sasa
Ubarikiwe sana
Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen mbarikiwe
Barikiwa mtumishi wa Bwana
Amina
Hallelujah!
Hallelujah
Ni kweli unayosema mama MUNGU atusaidie
Amen
Ameen
Mimi nakubaliana na wewe Mungu Ana desturi ya kutumana hata Amiel katekela nilimsikia akisema babake alipo kufa alienda kuulizia watumishi kama walionyeshwa kifo chake
Ameeeenn naisubir part 3 be blessed all
Barikiwa sana mama yetu
Amen nimebarikiwa
Barikiwa mama. Swali langu ni huyu mama sijamsikia akitaja Roho Mtakatifu ama kumtaja Yesu je mama unaamini?. Hata hivyo nimebarikiwa. Barikiwa sana Jacktan na Audax Barikiwa sana
Kawataja sikiliza vzr
Hukuskia mahali amesema akimuombea mchungaji moses kulola alinena kwa ndimi. Hivi unaddani moses kulola angetumika na mtu ambaye hajajazwa na roho mtakatifu kuna watu wanasema mungu kusimamia roho mtakatifu na yesu kristo
Wasioamini Roho mtakatifu ni wale wanaojiita mashahidi wa Yehova.
@@rubefabi8366 wanasema Roho takatifu, na wanasema ni nguvu.
Hapo tumemsikia mtumishi akisema Roho mtakatifu alimwambia….
Sasa tukiwauliza mashahidi wa yehova, nguvu huwa inaongea?
Thank you so much mama, God bless you.
Same to you!
Amina