2_USHUHUDA WA ESTA GASPAR:NILIONA JINA LANGU KTK KITABU MBINGUNI,MALAIKA WAKIIMBA WIMBO WA CHIDUMULE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 дек 2022
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 43

  • @matthieulugerero9355
    @matthieulugerero9355 Год назад +3

    Bwana nihurumie,mimi mzaifu,mwenye dhambi! Sistahili Yesu,sistahili!!! Naomba uniwezeshe katika safari hii ya kwenda mbinguni;nime guswa na neno toka mtumishi wako🛐🛐🛐

  • @user-bo3vw1bs8d
    @user-bo3vw1bs8d 2 месяца назад +1

    Amen amen barikiwa sana kwahujumbe ambayo una fikishiya watuwote barikiwasana Mama

  • @wiza2309
    @wiza2309 Год назад +1

    Ester wajina langu jamani. Nami naomba Mungu anipe kibali nimtumikie Mungu kwa viwango kama wakina Ester Mungu ametupa Neema sana katika kazi yake. Mungu akubariki sana kwa ushuhuda huu ambao binafsi nimesikia kuhukumiwa sana, nimeomba Mungu anirehemu nisimame Imara

  • @deboraleonard3441
    @deboraleonard3441 Год назад +2

    Kweli unayosema mama hakika wewe mungu amekuchagua na ni mkweli mungu akubariki mama yangu

  • @matthieulugerero9355
    @matthieulugerero9355 Год назад +2

    Umenibariki sana mama,asifiwe Yesu aliye kuchaguwa

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp Год назад +1

    Selina kombe
    Ubarikiwe sana mum kwa ujumbe mungu akubariki sana na mungu atusaidie tushinde

  • @gradyskamwela6163
    @gradyskamwela6163 Год назад +2

    Amen ubarikiwe kwa ujumbe wa kweli hakika tumeusikia kazi kwetu kutendea kazi

  • @amandaangie4806
    @amandaangie4806 Год назад

    Ee YESU Turehemu tufungue masikio ya rohoni na mwilini. Mioyo na shingo za chuma ziyeyuke.tupokee NENO LAKO,😭

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp Год назад +1

    Amina mungu awabarik

  • @espoirmlondani8666
    @espoirmlondani8666 Год назад +1

    Mungu akubariki sana Mama yangu na Maono ya Mazuri

  • @ezekieljob8679
    @ezekieljob8679 Год назад +1

    Mungu akubariki sana sana mtumishi wa Mugu Ester pia neema ya Bwana iwe juu yako mtumishi wa Mungu Jactani kazi yako imekuwa njema sana

  • @ngugit88
    @ngugit88 Год назад

    Mungu ni Mungu hakuna wakufananishwa na yeye ,yeye ni Mungu Wa kipekee

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Год назад +1

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @lauraingosi1428
    @lauraingosi1428 Год назад +1

    Mungu ni mwema siku zote

  • @rebecaleonard8515
    @rebecaleonard8515 Год назад +1

    Amina mtumishi nimebarikiwa sana sana

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Год назад

    Barikiwa sana watumishi wa Mungu kwa maelezo mema,,acha tuyasikie natutende jinsi Bwana anavyotaka Amina.
    PROMOVER tv stay blessed

  • @thabitanicholaus8652
    @thabitanicholaus8652 Год назад +1

    Amina Dada Esta tunashukuru sana

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 Год назад +1

    Mungu akuzidishie mahali pamepungua kwa ujumbe mzuri,nmejiskia kurudi sana kwa hizi shuuda,jacktan barikiwa sana kwa kumleta huyu mtumishi,

  • @amandaangie4806
    @amandaangie4806 Год назад

    AMEN 🙏

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Год назад

    Mungu akubariki mama ,kwa utumishi ulio itiwa ,ujumbe umetufikia wa mungu kukusanya watu wake Sasa

  • @jasminemahindu3423
    @jasminemahindu3423 Год назад +1

    Ubarikiwe sana

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Год назад

    Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @dorcasamina4551
    @dorcasamina4551 Год назад

    Amen mbarikiwe

  • @magrethmalangalila8041
    @magrethmalangalila8041 Год назад

    Barikiwa mtumishi wa Bwana

  • @editarichard3590
    @editarichard3590 Год назад

    Amina

  • @abigailphillip3688
    @abigailphillip3688 Год назад

    Hallelujah!

  • @goddaughter8312
    @goddaughter8312 Год назад

    Hallelujah

  • @lucymerchioly711
    @lucymerchioly711 Год назад

    Ni kweli unayosema mama MUNGU atusaidie

  • @bazurimwemdi9060
    @bazurimwemdi9060 Год назад

    Amen

  • @zahakiosward1575
    @zahakiosward1575 Год назад

    Ameen

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Mimi nakubaliana na wewe Mungu Ana desturi ya kutumana hata Amiel katekela nilimsikia akisema babake alipo kufa alienda kuulizia watumishi kama walionyeshwa kifo chake

  • @flm1530
    @flm1530 Год назад +1

    Ameeeenn naisubir part 3 be blessed all

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Год назад

    Barikiwa sana mama yetu

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Год назад

    Barikiwa mama. Swali langu ni huyu mama sijamsikia akitaja Roho Mtakatifu ama kumtaja Yesu je mama unaamini?. Hata hivyo nimebarikiwa. Barikiwa sana Jacktan na Audax Barikiwa sana

    • @danielmatemu9698
      @danielmatemu9698 Год назад +1

      Kawataja sikiliza vzr

    • @edwardmwalukware9734
      @edwardmwalukware9734 Год назад +1

      Hukuskia mahali amesema akimuombea mchungaji moses kulola alinena kwa ndimi. Hivi unaddani moses kulola angetumika na mtu ambaye hajajazwa na roho mtakatifu kuna watu wanasema mungu kusimamia roho mtakatifu na yesu kristo

    • @rubefabi8366
      @rubefabi8366 Год назад

      Wasioamini Roho mtakatifu ni wale wanaojiita mashahidi wa Yehova.

    • @danielmatemu9698
      @danielmatemu9698 Год назад

      @@rubefabi8366 wanasema Roho takatifu, na wanasema ni nguvu.
      Hapo tumemsikia mtumishi akisema Roho mtakatifu alimwambia….
      Sasa tukiwauliza mashahidi wa yehova, nguvu huwa inaongea?

  • @julianawairimu801
    @julianawairimu801 Год назад

    Thank you so much mama, God bless you.

  • @godsfavour1603
    @godsfavour1603 Год назад

    Amina