AINA ZA MALAIKA WA ZAMU NA JINSI YA KUWATUMA WAKULETEE HITAJI LAKO KWA WAKATI |Shehe Omary Mnyeshani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 37

  • @Bénigne-k4x
    @Bénigne-k4x 3 месяца назад +12

    Karibu kwetu Mungu awabariki tunaipenda promover TV maana huku Burundi kila kukicha tunabadilika kupitia promover,karibu huku Gitega tuna chauku sana naninyi,promover mkiludi nyuma mumusalimie Amiel katekela mumwambie tunampenda sana Paulo wetu huyo wanyakati zamwisho,tunamhihitaji saana n'a Aston Adam mbaya atufikie n'a sd huku Burundi,promover Mungu awandalie sehemu kubwa mbinguni Jactan MUSAFIRI tuko naww MUNGU akubariki pia

  • @Bénigne-k4x
    @Bénigne-k4x 3 месяца назад +10

    Burundi oyeeeee,nampenda Mungu,mtumishi omary Mungu akuinuwe n'a akutumie ZAIDI nawafwatilia nikiw Gitega

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 2 месяца назад +3

    Zidi kuinuliwa mtumishi wa Mungu Omari..wanapromover tv barikiweni sana kwa kazi yenu

  • @EliyaAbdallah
    @EliyaAbdallah 3 месяца назад +9

    MUNGU. Awabariki kwa kazi njema ya mafundisho na shuhuda za kujenga ufalme wa MUNGU

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 3 месяца назад +3

    Baraka tele za Bwana Yesu zimiminike kwako siku zote. Asante sana kwa fundisho hili juu ya malaika. Niko na swali tafadhali wana promover muulize mtumishi Omar kisha mnijibu ama yeye mwenyewe akipata ujumbe huu anijibu please 🙏. Salamu hii ya kiislamu inamaana gani maana hawa watu wanalazimisha sana hiyo salamu??? Inaonyesha iko na maana fiche mimi nahishi nao yaani nashindwa iko na maana gani?

  • @abdulibrahim4202
    @abdulibrahim4202 2 месяца назад +2

    Amina sana shekhe omary, ulifundisha kuhusu PAISA pia nilikua naomba umalizie kutufundisha ile miji 8 ya kiroho

  • @obadiambilinyi27
    @obadiambilinyi27 2 месяца назад +1

    Yani Shekhe unaelimu kubwa sana, bila kujali uliipataje, najifunza sana kutoka kwenye seminar zako.
    Yesu akubariki

  • @harrietkiden7808
    @harrietkiden7808 3 месяца назад +2

    We are Blessed with this teachings

  • @Esthermordecai
    @Esthermordecai 3 месяца назад +3

    God bless and protect this team of servants.

  • @YoyoAlfani
    @YoyoAlfani 2 месяца назад

    Promover Tv, nawapemda sana. Na ninawafiata sana. Ila fanyeni angalisho. Hakuna andiko lolote linalowaruhusu binadam kuhongea na malaika au kuwatuma. Malaika ni watumishi wa Mungu aliye juu na wala hawapokei amri yoyote kutoka kwa binadamu.
    Hapo sheikh Omary anafundisha watu mafundisho ya Jewish Kaballah (uchawi wa kiyahudi) ipatikanayo katika vitabu vya Talmud, Mishnah na vinginevyo.
    Fanyeni angalisho sana. Yesu aliwafiya watu hawa mnao jaribu kupoteza na mafundisho kama haya.

  • @suedahmadi9091
    @suedahmadi9091 2 месяца назад +1

    Yehova Elohim naomba unisaidie kushinda ya Dunia katika jina la Yesu Kristo aliye hai

  • @neemamassame8183
    @neemamassame8183 3 месяца назад +4

    Tunakuomba uandike kitabu au vitabu juu ya malaika hawa wote na mimi nitakusaidia kupata copy right ili watu wanunue na kupata maarifa haya,Mungu akubarki sana

  • @lesbananeslip7223
    @lesbananeslip7223 2 месяца назад +1

    Paster tunaomba ayo mafundisho yote promover please aendeleye kutufundisha awo wamalaika wote wow mimi nabalikiwa sana my God my God please aendeleye tuchuwe gizi tunaweza tukaomba

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 3 месяца назад +3

    Mtimishi huwa nabarikiwa na wewe sana....naweza kukusikiliza hata siku nzima bila shida!!!

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Месяц назад +1

    Kuwajua Malaika na kàzi zao ni vizuri, ila ktk habali za kuwatumia bado kuna shaka, kwa màana sisi hapa Duniani hakuna jina liwalo lote tulilo pewa liw3zalo kutusaidia au kutumià isipokuwa jina là Yesu, tunapoliita jina hilo ndo linamuamulu huyo Malaika husika afanye jambo hilo, siyo sisi kukalili majina ya Malaika fulani na kumtuma au kutumia jina lake, kufanya hivo ni kupunguza Mamlaka ya jina la Yesu, na bidii ya Kumuomba Mungu na kutegemea viumbe watusaidie, jina la Yesu ndo mambo YOTE 🎉🎉🎉

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 2 месяца назад

    Mbona izo zote nikazi za Roho mtakatifu kumaandiko
    Aya ni maarifa mapya unaweza kumbatanisha na neno

  • @NenolabwanaSifayabwana
    @NenolabwanaSifayabwana 3 месяца назад

    Asaaaante saaaana kwa mafundisho.ubarikiwe

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche1119 3 месяца назад +2

    Amina

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 2 месяца назад +3

    Hapo ktk Siasa au safali ktk kueleza umekosea mtumishi, kwa nini, Nikweli hizo kazi zinafanywa na Mikaeli kwa idhini Ya Yesu, hapa duniani hakuna jina tulilopewa lipaswalo kutusaidia au kulitumia tofauti na jina la Yesu, tunaliita jina la Yesu , halafu jina hilo ndo linamuamulu huyo Malaika husika afanye jambo hilo sio sisi, kuomba majina ya Malaika flani, kufanya hivo tunapunguza Mamlaka ya jina la Yesu,na Tunaondoa ile bidii ya kumuomba Mungu,na kuwategemea viumbe hao,

    • @bonifacemwansasu6638
      @bonifacemwansasu6638 2 месяца назад +1

      Wa jina sikiliza kwa makini,mtumishi anasema ita jina la YESU, anajaribu tu kutujuza kazi za malaika

    • @bonifasiemanueli21
      @bonifasiemanueli21 2 месяца назад +1

      @@bonifacemwansasu6638 kasema watumie na kichwa cha habali kimeandikwa, kasema ni watumishi wetu wewe watumie au watume tu,

    • @YoyoAlfani
      @YoyoAlfani 2 месяца назад +1

      ​@@bonifasiemanueli21Malaika ni watumishi wa Mungu aliye juu na wala si watumishi wa wanadamu. Tusome Biblia zetu.
      Mtu yeyote akifundisha kwamba unaweza kumtuma malaika basi anakupeleka mara mpja kwenye uchawi wa kiyahudi (the Jewish kaballah) na sio mafundisho ya Biblia

    • @isaackmanyikaofficial858
      @isaackmanyikaofficial858 2 месяца назад +1

      Ninamuagiza Malaika Mikaeli akufundishe uelewe siri hii kubwa ya Mbinguni kwa Jina la Yesu Kristo

    • @pierreisaya
      @pierreisaya 2 месяца назад

      Kuwana ufahamu nitafauti ya kua na Akili. Fuata vema alioyasema

  • @Priska247
    @Priska247 3 месяца назад +1

    Mungu awabariki team yote, je kuna kitabu ?

  • @SophiaLaluka
    @SophiaLaluka 3 месяца назад +2

    Amen

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 Месяц назад

    Ameen 🇰🇪✝️

  • @suedahmadi9091
    @suedahmadi9091 2 месяца назад

    Yehova Yire

  • @elizabethsimbenga4773
    @elizabethsimbenga4773 3 месяца назад +2

    Tunaomba uendelee kutufundisha wanaotawala ijumatatu mpaka ijumapili

  • @johnjoseph1106
    @johnjoseph1106 3 месяца назад +1

    Msiyarudie mafindisho ya kwanza yaliyo dhaifu

    • @EdwinMbwilo-fj6bf
      @EdwinMbwilo-fj6bf 3 месяца назад +7

      kwa hiyo haya ni mafundisho dhaifu? Huyu ni askali mwasi anayetoa siri za serikali ya giza, tatizo liko wapi mpendwa?

    • @Esthermordecai
      @Esthermordecai 3 месяца назад +3

      Mungu wetu tufundishe kunyamaza kimya.😢

    • @MGALILAYABillionaire
      @MGALILAYABillionaire 3 месяца назад +4

      Inamaana umetumwa? Ila Mungu akusamehe maana haujui unalosema.

    • @silasnatir7915
      @silasnatir7915 3 месяца назад +5

      Marko 4:22 soma hiyo utaelewa maana yake halafu swali kwako je unawesa Pinga na adui umjui Wala Siri sake ?

    • @YoyoAlfani
      @YoyoAlfani 2 месяца назад

      ​@@EdwinMbwilo-fj6bfhaya si mafundisho dhaifu pekee bali ni mafundisho potovu.
      Ni mafundisho ya mapepo katika uchawi wa wayahudi (Jewish kaballah) ambayo yanapatikana kwenye vitabu vya siri vya wayahudi kama vile Talmud, Mishnah na vinginevyo.
      Maandiko hayajaruhusu wanadamu kuwaoimba au kueaita malaika. Malaika ni watumishi wa Mungu aliye juu na wala hawapokei amri kutoka kwa mwanadamu.
      Katika mambo yote ni Yesu pekee anayekufaa.
      Fanyeni angalisho! Yesu yu haja!