Part 1_ULIMWENGU WA ROHO•UFUNUO WA SIRI ZA NYAKATI ZA MWISHO || Prf.Iyke Nathan Uzorma

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 46

  • @ngugit88
    @ngugit88 Год назад +6

    Jacktan wewe hufanya kazi nzuri mambo ambayo nimeyaskia hapa promover TV imekua ya manufaa kwa maisha yangu ya kiroho

  • @SultaniAlly-pw6jc
    @SultaniAlly-pw6jc Год назад +1

    Mungu akubariki sana kaka

  • @gaudiankiwia7631
    @gaudiankiwia7631 Год назад

    Ahsante kwa elimu MUNGU MWENYEZI akuongezee hekima

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 Год назад +5

    Hubarikiwa Sana nikiwa hapa Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 barikiwa Sana

  • @norahabuyeka9617
    @norahabuyeka9617 Год назад +3

    Nashukyru Mungu Kwa KAZI mzuri na Kwa kuwaokoa ili tupone na Giza la shetani

  • @ipyanadanny9959
    @ipyanadanny9959 Год назад +1

    Mungu akubariki mtumishi Asante sana kwa ushuhuda huu

  • @johnemmanuel7805
    @johnemmanuel7805 Год назад +5

    Mungu akubariki sana Jacktan.Huyu Prof Lyke ana vitu vingi ambavyo vimenisaidia kupiga hatua kiroho.

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 Год назад +2

    Jactan unaweza unaweza tena

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 Год назад +2

    Huu si ushuhuda pekee bali ni somo la muhimu sana la kufahamu mwanadamu jinsi tulivyo haswa.

  • @isayanyingi6387
    @isayanyingi6387 Год назад +2

    Da!MUNGU bless this media ameniii

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace7376 Год назад +1

    HALLELLUA HALLELLUA ASAANTE SAANAA YESU CHRISTO📯📯📯🎸🎸📢📢📢📢📢

  • @adelehakizimana1894
    @adelehakizimana1894 Год назад +1

    Tunakusshukuru mutumishi wamungu tukowe kwamafundisho hayo wengitumefungwa nguvuzagiza ansante endereya kutufundisha mung u akubariki

  • @fathima7617
    @fathima7617 Год назад +2

    AMINAA MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI WA MUNGU

  • @HabilyTech
    @HabilyTech Год назад +2

    Nina kitabu chake huyu mzee, yuko vizuri sana.

  • @issachege5606
    @issachege5606 Год назад +1

    Jason nafatilia videoh zako zote nkiiwa kenya ubarikiwe

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад +2

    Amen Mungu ni mwema watakatifu kazi kwenu

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад +1

    Mungu atusaidie saaana,Mbarikiwe saana

  • @اماحمد-ض4ه
    @اماحمد-ض4ه Год назад +1

    Amina Mungu akubariki mtumishi wa Bwana

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Год назад +2

    God bless you man of God

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa7758 Год назад +2

    Ubarikiwe sana jacktan msafiri kwa kazi nzuri ya MUNGU 🙏🙏🇰🇪

  • @esthermwaigwisya1775
    @esthermwaigwisya1775 Год назад +2

    Amen amen

  • @saramss7262
    @saramss7262 Год назад +1

    BWANA Akubarikiii sana Mtumishi

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 Год назад +1

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa kutuletea hii Siri

  • @nurumwita9034
    @nurumwita9034 Год назад +2

    Amen

  • @omusuguevans6350
    @omusuguevans6350 Год назад +3

    Thanks for this masage from Nathan Uzorma 😊😊

  • @elizalaya7887
    @elizalaya7887 Год назад

    haya mbarikiwe sana watumishi

  • @maxiesecurityservicesltd11
    @maxiesecurityservicesltd11 Год назад +3

    Swahili is sweet to listen but very hard to understand. Nimesoma jambo

    • @sarahmsangi7243
      @sarahmsangi7243 Год назад +1

      If you want to learn Swahili tell me.swahili is very simple

  • @fadhili2293
    @fadhili2293 Год назад +5

    Sasa naanza kupata picha kuhusu yale magorofa marefu kama mnala. Magari mazuri sana. Angalau taarifa hii nimepoza moyo, wanaoenda uko wanapigwa changa la macho kuwa wako mbinguni.

  • @venancezumba202
    @venancezumba202 Год назад

    UBARIKIWe sana

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai8690 Год назад

    Amina.

  • @Akinyisafi
    @Akinyisafi Год назад +4

    Ni ukweli watu tunaangamia kwa kukosa maharifa 😢

    • @frankjohachim5405
      @frankjohachim5405 Год назад +1

      Asante kaka jactan ninapendaga sana kusikiliza shuhuda za mtumishi prof ozulma zinaniongezea Imani na Hekima hasa katika kipindi hiki Cha ujana wangu🙌🙌
      Hallelujah from Iraq Bagdad 🇮🇶

  • @ngugit88
    @ngugit88 Год назад

    MTU akihitaji kitabu cha mtumishi lyke Nathan uzorma atakipata wapi

  • @gaudiankiwia7631
    @gaudiankiwia7631 Год назад

    Kwelikweli mwanaadam NI mwaribifu mno mpaka kufuru😂

  • @josephinemauwa8577
    @josephinemauwa8577 Год назад +1

    Ubarikiwe sana na BWANA WETU YESU KRISTO!

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Год назад

    Amen