Part 1_ULIMWENGU WA ROHO•UFUNUO WA SIRI ZA NYAKATI ZA MWISHO || Prf.Iyke Nathan Uzorma
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Jacktan wewe hufanya kazi nzuri mambo ambayo nimeyaskia hapa promover TV imekua ya manufaa kwa maisha yangu ya kiroho
Mungu akubariki sana kaka
Ahsante kwa elimu MUNGU MWENYEZI akuongezee hekima
Hubarikiwa Sana nikiwa hapa Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 barikiwa Sana
Nashukyru Mungu Kwa KAZI mzuri na Kwa kuwaokoa ili tupone na Giza la shetani
Mungu akubariki mtumishi Asante sana kwa ushuhuda huu
Mungu akubariki sana Jacktan.Huyu Prof Lyke ana vitu vingi ambavyo vimenisaidia kupiga hatua kiroho.
Jactan unaweza unaweza tena
Huu si ushuhuda pekee bali ni somo la muhimu sana la kufahamu mwanadamu jinsi tulivyo haswa.
Da!MUNGU bless this media ameniii
HALLELLUA HALLELLUA ASAANTE SAANAA YESU CHRISTO📯📯📯🎸🎸📢📢📢📢📢
Tunakusshukuru mutumishi wamungu tukowe kwamafundisho hayo wengitumefungwa nguvuzagiza ansante endereya kutufundisha mung u akubariki
AMINAA MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI WA MUNGU
Nina kitabu chake huyu mzee, yuko vizuri sana.
Ulikipata wapi kitabu natafuta mnoo vitabu vyake.
Jason nafatilia videoh zako zote nkiiwa kenya ubarikiwe
Amen Mungu ni mwema watakatifu kazi kwenu
Mungu atusaidie saaana,Mbarikiwe saana
Amina Mungu akubariki mtumishi wa Bwana
God bless you man of God
Ubarikiwe sana jacktan msafiri kwa kazi nzuri ya MUNGU 🙏🙏🇰🇪
Amen
Amen amen
BWANA Akubarikiii sana Mtumishi
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa kutuletea hii Siri
Amen
Thanks for this masage from Nathan Uzorma 😊😊
Our pleasure!
@@PromovertvTz 0p,
haya mbarikiwe sana watumishi
Swahili is sweet to listen but very hard to understand. Nimesoma jambo
If you want to learn Swahili tell me.swahili is very simple
Sasa naanza kupata picha kuhusu yale magorofa marefu kama mnala. Magari mazuri sana. Angalau taarifa hii nimepoza moyo, wanaoenda uko wanapigwa changa la macho kuwa wako mbinguni.
Nakuelewa ile minara jamaniiii
Okoka ww usjifarij bure
@@emmanuelkube449 d
UBARIKIWe sana
Amina.
Ni ukweli watu tunaangamia kwa kukosa maharifa 😢
Asante kaka jactan ninapendaga sana kusikiliza shuhuda za mtumishi prof ozulma zinaniongezea Imani na Hekima hasa katika kipindi hiki Cha ujana wangu🙌🙌
Hallelujah from Iraq Bagdad 🇮🇶
MTU akihitaji kitabu cha mtumishi lyke Nathan uzorma atakipata wapi
Christian bookshops
Kwelikweli mwanaadam NI mwaribifu mno mpaka kufuru😂
Ubarikiwe sana na BWANA WETU YESU KRISTO!
Amen