Part3_FALSAFA ZA SHETANI ZA UONGO DHIDI YA BIBLIA•UFUNUO WA SIRI ZA ULIMWENGU WA ROHO|Prf.IykeUzorma
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Amina
Aisee shetani ni baba wa uongo kama neno linavyosema, anapambana sana kuupindua ulimwengu kiakili, prf asingepata neema angekuwa mtu hatari sana, wao walitoka wapi na Mungu mwenyezi yuko wapi kama wanakiri kuwa kuna muumbaji
Asante promover maana najifunza namna adui anadanganya ulimwengu pia prf ikye abarikiwe sana
Nawashuru Sana promover mbarikiwe
nilikuwa nachungulia chungulia , part 3
HALLELLUA HALLELLUA ASAANTE SAANAA YESU CHRISTO 📯📯📯📯📢📢📢🎸🎸🎸🎸
Amina promover tv Mungu azidi kuwabaliki
GOD BLESS PROMOVER TV
Yehovah Mungu wetu atutetee.Yahshuah Messiah ndiye kweli na njia na Uzima.kwa damu yake mwenyewe alitupatanisha na Mungu Muumba vitu vyote.
Kweli shetani ni mjanja kweli kweli,ashindwe katika jina la Yesu Kristo.
YESU atusaidie kwakweri! Barikiwa Sanaa Mtumishi
Mungu akubariki sana yaaani kila wakati naposkiliza maushuuda izi na jifunza kitu
Hakuna njia nyingine ya kwenda kwa Baba ila kwa njia ya Yesu Kristo.
Ukuu wa Mungu unatisha kama nini.Mungu wa mbinguni nisaidie nimalize mwendo sallama
Jesus is our Savior
Part 4 please?
Ni kweli bila ya Lucifer hakuna hata chembe ya nafsi moja ingepotea. Hakika Lucifer ni baba wa uongo kulingana na hoja za pepo anapojaribu kupangua hoja za kanisa inadhihirisha jinsi alivyombobevu katika kuugeuza uongo kuwa ukweli.
Kwe hapa usipokua na roho wa kupambanua utarudi nyuma kiimani
Tunamkumbuka Pasta Katekela plz murudishe tena mbona hapatikana kwahiyi Promover Tv ??
Alifiwa na baba yake mzazi hivi karibuni,baada ya semina ya Dar ipo inapatikana RUclips
Shetani muongo asindwe Kwa jina laYesu!
Nahitaji vitabu vyake nitapata wapi Kwa darsalaam
Utaota usiku
nimesikiliza miaka mingi, tena mambo ya kutisha na sioti, woga,hofu mashaka havina nafasi...tupo kujifunza ili tushinde
Amina
Amina