Part3_FALSAFA ZA SHETANI ZA UONGO DHIDI YA BIBLIA•UFUNUO WA SIRI ZA ULIMWENGU WA ROHO|Prf.IykeUzorma

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 25

  • @priscarmpinda6737
    @priscarmpinda6737 Год назад +1

    Amina

  • @thehopetv2930
    @thehopetv2930 Год назад +1

    Aisee shetani ni baba wa uongo kama neno linavyosema, anapambana sana kuupindua ulimwengu kiakili, prf asingepata neema angekuwa mtu hatari sana, wao walitoka wapi na Mungu mwenyezi yuko wapi kama wanakiri kuwa kuna muumbaji
    Asante promover maana najifunza namna adui anadanganya ulimwengu pia prf ikye abarikiwe sana

  • @JudithElias-ig5nb
    @JudithElias-ig5nb Год назад

    Nawashuru Sana promover mbarikiwe

  • @happymvula
    @happymvula Год назад +3

    nilikuwa nachungulia chungulia , part 3

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace7376 Год назад +2

    HALLELLUA HALLELLUA ASAANTE SAANAA YESU CHRISTO 📯📯📯📯📢📢📢🎸🎸🎸🎸

  • @isayanyingi6387
    @isayanyingi6387 Год назад +2

    Amina promover tv Mungu azidi kuwabaliki

  • @joshuanjiuka2870
    @joshuanjiuka2870 Год назад +4

    GOD BLESS PROMOVER TV

  • @georgetune.2818
    @georgetune.2818 Год назад +1

    Yehovah Mungu wetu atutetee.Yahshuah Messiah ndiye kweli na njia na Uzima.kwa damu yake mwenyewe alitupatanisha na Mungu Muumba vitu vyote.

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Год назад +1

    Kweli shetani ni mjanja kweli kweli,ashindwe katika jina la Yesu Kristo.

  • @bintmwambapa7734
    @bintmwambapa7734 Год назад

    YESU atusaidie kwakweri! Barikiwa Sanaa Mtumishi

  • @marykibali7568
    @marykibali7568 Год назад +1

    Mungu akubariki sana yaaani kila wakati naposkiliza maushuuda izi na jifunza kitu

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Год назад +2

    Hakuna njia nyingine ya kwenda kwa Baba ila kwa njia ya Yesu Kristo.

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Год назад +1

    Ukuu wa Mungu unatisha kama nini.Mungu wa mbinguni nisaidie nimalize mwendo sallama

  • @charlesmbena9121
    @charlesmbena9121 Год назад +2

    Jesus is our Savior

  • @fxtrader407
    @fxtrader407 Год назад +1

    Part 4 please?

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 Год назад +1

    Ni kweli bila ya Lucifer hakuna hata chembe ya nafsi moja ingepotea. Hakika Lucifer ni baba wa uongo kulingana na hoja za pepo anapojaribu kupangua hoja za kanisa inadhihirisha jinsi alivyombobevu katika kuugeuza uongo kuwa ukweli.

  • @Akinyisafi
    @Akinyisafi Год назад +1

    Kwe hapa usipokua na roho wa kupambanua utarudi nyuma kiimani

  • @gerardineakima1766
    @gerardineakima1766 Год назад +1

    Tunamkumbuka Pasta Katekela plz murudishe tena mbona hapatikana kwahiyi Promover Tv ??

    • @happymvula
      @happymvula Год назад +1

      Alifiwa na baba yake mzazi hivi karibuni,baada ya semina ya Dar ipo inapatikana RUclips

  • @marymichael8197
    @marymichael8197 Год назад

    Shetani muongo asindwe Kwa jina laYesu!

  • @jeniphermwani1867
    @jeniphermwani1867 Год назад +1

    Nahitaji vitabu vyake nitapata wapi Kwa darsalaam

    • @josephatjoseph1755
      @josephatjoseph1755 Год назад

      Utaota usiku

    • @happymvula
      @happymvula Год назад

      nimesikiliza miaka mingi, tena mambo ya kutisha na sioti, woga,hofu mashaka havina nafasi...tupo kujifunza ili tushinde

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai8690 Год назад +2

    Amina

  • @jacksonhusein-ug9bd
    @jacksonhusein-ug9bd Год назад +2

    Amina