Pt2_Kitabu cha giza cha kurasa 666 cha mbinu dhidi ya wakristo|USHUHUDA WA JEREMIE MANGUIZA WA CAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 28

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA 11 месяцев назад +11

    Jactan Bwana Yesu akubariki sana unafanya kazi kubwa mno kuliamsha kanisa la wakati wa mwisho , Roho wa Bwana atuamshe Tena

  • @catherineangaufoo2530
    @catherineangaufoo2530 11 месяцев назад +8

    Amen& Amen. "Kila kitu kitapita lakini YESU KRISTO NI BWANA" Mbarikiwe kwa ushuhuda mzuri,umenifungua macho na masikio. Nashukuru.

  • @fitinamarando
    @fitinamarando 11 месяцев назад +7

    PROMOVER TV, Ukweli wana wa Mungu awabariki bila ninyi hii nisingeisikia.

  • @ezekieljob8679
    @ezekieljob8679 11 месяцев назад +5

    Mara zote ninaposikiliza Promover ninapata kitu kikubwa sana barikiwa sana Jactan na team yako

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 10 месяцев назад +3

    Kila kitu kitapita lakini yesu kristo ni bwana wa mabwana amen asente Sana jactan Msafiri

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk 10 месяцев назад +5

    Yani Shetani mpumbavuu sana yanii nilishatangazaga vita ulimwengu wa Roho nakusema shetani sikupendi na siku nikikuona hahaha nitakumaliza .mpuuz hapa kwenye kufunga na kuomba ndio maisha yangu wakaona wanitupia Kansa watanikomesha Hahaha ndio kwanza nikambia Yesu Ahsante kwa kuruhusu jaribu hili nili relax but nilikuwa nakazana kuomba na kumuamin Mungu

  • @adeladamasi4391
    @adeladamasi4391 11 месяцев назад +4

    😂😂🤣🤣🤣yaaaani YESU nimbabe akiamuwa kumpokonya shetani mateka nisekunde nafuhaha sana kwau.ushu.uda😂😂😂😂utukufu.kwa Mungu baba 🙏🙏

    • @ceciliastanley8157
      @ceciliastanley8157 11 месяцев назад

      Mpendwa n wewe adela damasi uliekua ukikaa kota za railway tabora?

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 10 месяцев назад +2

    Amina Sana YESU NI BWANA AMINA 🙏

  • @patrickkatana8823
    @patrickkatana8823 11 месяцев назад +5

    AMEN..NABARIKIWA NA KUINULIWA KIROHO NA HIZI SHUHUDA..🎉🎉

  • @kizadorcas3321
    @kizadorcas3321 9 месяцев назад +3

    Mungu azidi kutukuzwa kwakweli inatisha sana iyi dunuia Mungu atupiganie

  • @lydiahnabwire128
    @lydiahnabwire128 8 месяцев назад +1

    Asante sana mtumishi jacktan kwa kazi hii nzuri Mungu akubariki na akulinde zaidi, hizi shuhuda zanifungua saaana they renew my spirit everyday lazima nije niskize shuhuda kujifunza mapya🎉🎉🎉🎉good job brother 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @SabinaEzekiel-vb5nh
    @SabinaEzekiel-vb5nh Месяц назад +1

    Shuhuda nzuri, Asante promover kwa kazi nzuri.

  • @YoungsHilary-xd2ml
    @YoungsHilary-xd2ml 10 месяцев назад +2

    Mimi sina ,cha kusema sema ,lakn nimetoka nilipo

  • @RoseMary-sw2ec
    @RoseMary-sw2ec 11 месяцев назад +2

    Amina yesu kristo ni bwana..mung aendelee kukutunza na kukubark kak jacktan🙏😊

  • @DenisCasey-kh8ub
    @DenisCasey-kh8ub 8 месяцев назад +1

    Amen yesu Kristo ni Bwana wa maisha yetu asante sana mukombozi wetu kwa upendo wako juu yetu

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 11 месяцев назад +3

    Jamani Jana nimeisaka hii mpaka bac asante

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 11 месяцев назад +2

    Blessed kka jacktan❤ power of testimony

  • @THEODORATHEONEST
    @THEODORATHEONEST 5 месяцев назад +1

    Mungu azidi kutulinda kwakweli

  • @josephatjoseph1755
    @josephatjoseph1755 11 месяцев назад +2

    Haya leo nmewah kucomment

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 11 месяцев назад +1

    Naomba kusaidiwa

  • @BenjaminKihanga
    @BenjaminKihanga Месяц назад

    Amen toka nimeijua Tv hii imenisaidia sana kiroho, barikiwa mtumishi Jactan

  • @florencemueni1183
    @florencemueni1183 11 месяцев назад +2

    Amen Amen ad Amen all glory to God forever and ever

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 11 месяцев назад +1

    Praise God bona nikisikiliza hii mafunzo nasikia kuna KITU kinajaa kwangu nini tatizo

    • @emojongtv3995
      @emojongtv3995 7 месяцев назад

      Maybe una Pepo zinazokuwa na wasiwasi ndani. Ama roho mtakatifu anaingia😂