-Kutazama Part1 mahijiano na mch.mzee Mwateba Bonyeza link hii ruclips.net/video/6XBwnke5jyY/видео.html -Kutazama mahijiano Part2 mahojiano na mch.mzee Mwateba Bonyeza link hii ruclips.net/video/DPyf73Srz2Q/видео.html -Mawasikiano ya mch.Mwateba ni +255755968869 na Mawasiliano ya PROMOVER TV ni +255784074462
Nimesililiza,nimesikia ahsante sana mtumishi wa MUNGU. BWANA akubariki na kuuilinda Wokovu wako tumalize safari yetu salama ktk jina la YESU KRISTO BWANA
Amen Mungu tusaidie wanao kuishi maisha ya utakatifu utimilifu na ukamilifu usio na mawaa wala Unafiki kma alivyonena mtumishi wako Heri weny moyo safi maana hao watamuona Mungu
Kwa wasio na imani watabisha ila kiukweli nimesikiliza shuhuda nyingi za hivi Na swala la watu kujiremba linarudiwa rudiwa hapo kuna kitu ila Kwa miaka ya sasa wadada niwabishi kuelewa na kuacha tuombe Mungu atujalie Neema ya imani
Kitabu cha ufunuo kimeshafunuliwa na malaika , mjumbe wa saba Ufunuo 10:7 na malaki 4:5-6, nabii wa wakati huu wa mwisho aliyethibitishwa na Bwana mwenyewe kwa hali zote,
Amen asante sana Jacktan, kwa kazi njema ,sasa nimeamini kujiremba ni dhambi,kweli mlango ni mwembaba ,maana wengi hatukubali kweli kwa urahisi Mungu atusaidie jamani
Huyo much anasema ukweli mwezi wa 11 tarehe 13 pope na wengine walienda Mt Sinai walitengeneza amri 10 zakwao mwaka 2023 (abidabi) Dubai watachenga kanisa muskiti and hekalu ya wayahudi in one area na watu watakuwa wakifanya maombi pamoja they are paving way for until Christ
@@liesharehema5193 1 Timothy 2:9 [9] Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
Kufanya kazi ya Mungu na woga. Kwa mfano, kuhubiri injili lakini hautaki marafiki wakuseme kuwa "umeokoka sana". Kama ni kumtolea watoa pesa kwa kazi yake kwa kujiskia
Woga ndiyo utampelekea mtu kuipokea namba ya mnyama ,au hofu ,kwakua hapo hakuna ,kulima kununua wala kuuza bila namba ,hiyo ,sasa kama siyo mjasiri utasema kua njaa itakuua ,na ukichukua hiyo ,basi umekwisha
-Kutazama Part1 mahijiano na mch.mzee Mwateba Bonyeza link hii ruclips.net/video/6XBwnke5jyY/видео.html
-Kutazama mahijiano Part2 mahojiano na mch.mzee Mwateba Bonyeza link hii ruclips.net/video/DPyf73Srz2Q/видео.html
-Mawasikiano ya mch.Mwateba ni +255755968869 na Mawasiliano ya PROMOVER TV ni +255784074462
Bible gani ni sahihi na original tun ununue ?
Amen amen ubarikiwe sana mtumishi wa
Mungu
Mtumishi amemvaa Kristo kweli kweli,Yesu na akutunze.
Mungu azidi kumbariki mchungaji mwateba pamoja na Wana PROMOVER TV 🙏🙏 Amen
Mbarikiwe promover tv Kwa Kazi ya kujitolea mnayofanya mtumishi barikiwa sana chapa ya mnyama iko kazini au mpinga kristo
.yesu tutie nguvu.
Nampenda huyu mtumishi .na amejitolea mía Kwa mía kumtumikia yesu.
Prouding of pastor Mwateba(an apostle of faith)
Toka 🇨🇩 aksante kwa hujumbe
Ubarikiwe mtumishi
Makonki wa Imani Hawa Mungu na akutunze mzee wetu
Umeona eee hii ndo chakula ya want wa MUNGU safi sana
MUNGU AKUBARIKI Jacktan kwa kazi uliopewa na MUNGU kweli ujumbe huu ni kweli kabisa MUNGU amulinde mutumishi wake amen
Amen amen
Mwenye masikio na asikie ujumbe wa mungu. Mungu akutunze baba mch.
Amina!!
Be Blessed precious Servant of the Most High GOD 🙏
Amina Amina
Mwimbo mzuri, yesu yuko karibu, amina
Mtumishi 🙏 MUNGU awe pamoja nawe akulinde
Nimesililiza,nimesikia ahsante sana mtumishi wa MUNGU.
BWANA akubariki na kuuilinda Wokovu wako tumalize safari yetu salama ktk jina la YESU KRISTO BWANA
Asante MUMGU.UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU ALIYE JUU.
Promov tv mungu awabariki sana kwa uaminifu wenu
Kweli Mungu ni Mungu, ushuhuda lenye nguvu 🙏
Amen Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen Mungu tusaidie wanao kuishi maisha ya utakatifu utimilifu na ukamilifu usio na mawaa wala Unafiki kma alivyonena mtumishi wako Heri weny moyo safi maana hao watamuona Mungu
MUNGU BABA Akutunze mzee na Ubarikiwe.
Mungu awabariki katika jina la Bwana wetu YESU KRISTO mzee wetu na promover Tv
Mungu ni mwaminifu kila wakati
Amina mchungaji na Mungu azidi kukufunulia ili watu waweze kumjua Mungu zaidi na kuacha yale alioyakataza.
Mungu anisamehe kwa kusuka....na aniwezeshe kukaa jinizi atakavyo
MUNGU akubarika baba yetu pia mimi natamani kufanya kazi ya MUNGU uzeni mwangu be 🙏
Ubarikiwe Sana mtumishi wa Bwana Asante Sana kwa ujumbe wa Bwana Amen
Asante mzee wetu mwenye masikio na atasikia
Amen
Ujana wake adi uzee wake,yeye na yesu, vijana vijana tuamke ,ktk watoa shuhuda hii yenyewe umri huu lakini halali anahubiri Asante yesu
Yes hakuna faida ktk kutenda dhambI Ni hasala kubwa mno na mwisho wa yote tunatenda dhambI jehanamu inasubili WENYE dhambI
Asante sana mtumishi wa Mungu kwa ujumbe nzuri,, promover TV barikiweni kwa kazi mnayofaifanya
MUNGU azidi kuku tunza mtumishi wa YESU KLSTO
Amen and Amen hakika tunazidi kubarikiwa sana,Mungu awe pamoja na Mutumishi wake pamoja na Promover TV.
Amina N kweli 🙏🙏
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏 Ubarikiwe sana Jacktan kwa kazi njema unayofanya... napenda sana kusikiliza huyo mchungaji.
Amen
Mungu akubariki kaka Jactan kwa huduma nzuri na Mungu akukumbuke katika ufalme wake,Kwa sadaka zako,unatulisha kwa shuhuda na Neno LA Mungu,asante
Amen
Ameeeeeeen BWANA YESU asifiwe
Bwana Yesu atusaidie kuhusu kujipamba
Mungu akutetee
AMINA.
Asante Kwa mwendelezo nilimmisi babu yangu
Ni kweli kabisa huu ujumbe huu wa kweli. Mungu atutie nguvu
Mungu akubariki mtangazaji na mtumishi wa MUNGU Asante Sana
Mungu atusaidie kuyaishi mapenzi yake
Kwa wasio na imani watabisha ila kiukweli nimesikiliza shuhuda nyingi za hivi Na swala la watu kujiremba linarudiwa rudiwa hapo kuna kitu ila Kwa miaka ya sasa wadada niwabishi kuelewa na kuacha tuombe Mungu atujalie Neema ya imani
Ninatamani saaana kipawa kama hicho kwaajili ya kazi ya Mungu.
Amen Amen Asante kwa ujumbe ubarikiwe
Ndugu jacktan nataka nije nijifunze mengi kupitia huyo mtumishi wa Mungu, huyo mzee wangu. Tafadhali niandalie anuani yake kamili, ahsante
Amen, ametaja anwani na mawasiliano yake
Mungu wetu uturehemu baba
Mafunzo mazuri sana
Amen asante kwaujumbe mwema
Tuwe macho, duniani hakuna Amani ubarikiwe sana mchungaji
Ni KWELI kabisa shetani Hana ADABU katutoa fahamu tunaenda kiholela TU
Kitabu cha ufunuo kimeshafunuliwa na malaika , mjumbe wa saba Ufunuo 10:7 na malaki 4:5-6, nabii wa wakati huu wa mwisho aliyethibitishwa na Bwana mwenyewe kwa hali zote,
Amina
Naomba promover TV.mweze kusikiliza ushuhuda wa mjumbe wa wa agano ndiye mwenye chakula Cha ulimwengu mzima . Na namba 6 6 6.anafunua wazi.
Asante Sana promover Tv,
Nimeusubiri sana muendelezo huu.
Ni KWELI kabisa tusisuke nywele na KUVAA MAWIGI KUJICHUBUA na dhambI zingine tuache jehanamu PABAYA mno
Mungu nimwema
Abmen amen 🙏🙏
Ameni ameni,tujihoji hasa.unaweza kuhisi mzee amechanganyikiwa,lakini kuna ujumbe mzito hapa,nanabahati kusikia.
Nani kasema amechanganyikiwa
@@symonwycliff8049 Mimi nimesema kwa sababu nipo mimi na mie tunabishana wa ndani akaniambia,huu ni ujumbe mzito utwae kama ulivyo.
Kweli anachosema nilisikia papa kasema biblia ya sasa imepitwa na wakati, MUNGU anisamehe ikiwa nakosea
Amina Bwana awabariki promover kwa kazi njuri Bwana azidi kumlinda mtumishi wake
Barikiwa sana Babu yetu kwa kutuleta ujumbe wa Mungu, hiyo namba yake inapokea pesa??
Amen asante sana Jacktan, kwa kazi njema ,sasa nimeamini kujiremba ni dhambi,kweli mlango ni mwembaba ,maana wengi hatukubali kweli kwa urahisi Mungu atusaidie jamani
Duu Mungu akusaidie
Polee ulikua hujui?
Tabitha ndio hvyo
Uimbaji wake umenishangaza kwa ustadi mkubwa sana,
Nipo Tanga Handeni kilimamzinga karibu Kwa mjumbe wa agano duniani John Isaya Igumi. Ili mpate ufunuo juu ya ufalme wa mbinguni.
Hakika MUNGU ni mkubwa
AMEN
Which brand of Kjv bible looks original to buy. There many in the market. Amen
KJV Holman Bible Publishers, Amen
Huyo much anasema ukweli mwezi wa 11 tarehe 13 pope na wengine walienda Mt Sinai walitengeneza amri 10 zakwao mwaka 2023 (abidabi) Dubai watachenga kanisa muskiti and hekalu ya wayahudi in one area na watu watakuwa wakifanya maombi pamoja they are paving way for until Christ
Je una thibitishoo?
@@samuelngotho6749 dini yenyewe ni chrislam tayari imesha asisiwa kama hujui fuatilia maana wengine mko kama Tomaso.
@@rubefabi8366 The new commandments ni zipi?umeweza kuzipata?nauliza na si kwa ubaya..naoba kuelimishwa
Wameshajeng tyr next year ni ufunguzi tu
@@flm1530 ooh my..
Ni kweli kitu 2019 /2020 biblia zingine 😭😭😭
Hesabu 5:35 haipo na Hesabu 35:5 haisemi hayo nadhani alimaanisha petro na Isaya ndiyo husema juu ya mapambo
hesabu 5:18
Nimabarikiwa sana na huu ujumbe..lakini kuhusu chanjo, ni gani hii anasema yenye haivutiki?
Revelation 15:2-3
Hesabu 5:35
Huyo ni mzee naye anasahau kwan ajabu nini ,kizuri ujumbe umesha penya
😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣Wimbo mzuri
Hata wakiifuta , siri zote tunazo hahaha
Yes watafuta ila roho wa MUNGU yup nasi aaaaa shenanigans haha chake
I need WhatsApp namba ya Pastor
Hana simu ya What'sApp
Nmetafuta hesabu 5:35 sujaiona
hesabu 5:18
Numbers 5:35 ???
Yes numbers 5:35
Mbona imeisha hesabu 5:31
@@liesharehema5193 But the message is true..
I wanted just to read
@@liesharehema5193 1 Timothy 2:9
[9]
Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
Mimi naomba ufafanuo wa uwoga maana hapo pa uwogo sija paelewa
Kufanya kazi ya Mungu na woga. Kwa mfano, kuhubiri injili lakini hautaki marafiki wakuseme kuwa "umeokoka sana". Kama ni kumtolea watoa pesa kwa kazi yake kwa kujiskia
@@symonwycliff8049 Asante sana ,sasa nimeelewa Mungu akubariki sasa ndugu yangu🙏
@@symonwycliff8049 mungu akubariki sana ndugu yangu sasa nime elewa
Woga ndiyo utampelekea mtu kuipokea namba ya mnyama ,au hofu ,kwakua hapo hakuna ,kulima kununua wala kuuza bila namba ,hiyo ,sasa kama siyo mjasiri utasema kua njaa itakuua ,na ukichukua hiyo ,basi umekwisha
Amina amina
Amen tuko pamoja nampenda mtumishi wa MUNGU anainena kweli kabisa
Amen
Kweli anachosema nilisikia papa kasema biblia ya sasa imepitwa na wakati, MUNGU anisamehe ikiwa nakosea
Amen
Amen
Amina mtumishi ,mungu atuwezeshe katika yote