Part3_USHUHUDA WA MCH. MWATEBA:"Mungu ameniambia muda umekwisha,wanakwenda kuifuta Ufunuo 13."

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 132

  • @PromovertvTz
    @PromovertvTz  Год назад +5

    -Kutazama Part1 mahijiano na mch.mzee Mwateba Bonyeza link hii ruclips.net/video/6XBwnke5jyY/видео.html
    -Kutazama mahijiano Part2 mahojiano na mch.mzee Mwateba Bonyeza link hii ruclips.net/video/DPyf73Srz2Q/видео.html
    -Mawasikiano ya mch.Mwateba ni +255755968869 na Mawasiliano ya PROMOVER TV ni +255784074462

    • @_Ananias
      @_Ananias Год назад

      Bible gani ni sahihi na original tun ununue ?

  • @masikanasta1027
    @masikanasta1027 7 месяцев назад +2

    Amen amen ubarikiwe sana mtumishi wa
    Mungu

  • @florianruttahindurwa1189
    @florianruttahindurwa1189 Год назад +8

    Mtumishi amemvaa Kristo kweli kweli,Yesu na akutunze.

  • @misnasma7875
    @misnasma7875 Год назад +6

    Mungu azidi kumbariki mchungaji mwateba pamoja na Wana PROMOVER TV 🙏🙏 Amen

  • @catenzoka2003
    @catenzoka2003 Год назад +3

    Mbarikiwe promover tv Kwa Kazi ya kujitolea mnayofanya mtumishi barikiwa sana chapa ya mnyama iko kazini au mpinga kristo
    .yesu tutie nguvu.

    • @catenzoka2003
      @catenzoka2003 Год назад +1

      Nampenda huyu mtumishi .na amejitolea mía Kwa mía kumtumikia yesu.

  • @mahershalalhashbazi2189
    @mahershalalhashbazi2189 Год назад +6

    Prouding of pastor Mwateba(an apostle of faith)

  • @AlainKuba-h9r
    @AlainKuba-h9r 22 дня назад +1

    Toka 🇨🇩 aksante kwa hujumbe

  • @paulwilliam6851
    @paulwilliam6851 Год назад +1

    Ubarikiwe mtumishi

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Год назад +9

    Makonki wa Imani Hawa Mungu na akutunze mzee wetu

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Год назад

      Umeona eee hii ndo chakula ya want wa MUNGU safi sana

  • @nangongolukundula9367
    @nangongolukundula9367 Год назад +10

    MUNGU AKUBARIKI Jacktan kwa kazi uliopewa na MUNGU kweli ujumbe huu ni kweli kabisa MUNGU amulinde mutumishi wake amen

  • @alicematolah9094
    @alicematolah9094 Год назад +3

    Mwenye masikio na asikie ujumbe wa mungu. Mungu akutunze baba mch.

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431 Год назад +3

    Amina!!

  • @harrietkiden7808
    @harrietkiden7808 Год назад +3

    Be Blessed precious Servant of the Most High GOD 🙏

  • @RivonaNtanyinya
    @RivonaNtanyinya 5 месяцев назад +1

    Amina Amina

  • @mariajerome726
    @mariajerome726 Год назад +4

    Mwimbo mzuri, yesu yuko karibu, amina

  • @berthabosco5122
    @berthabosco5122 Год назад +1

    Mtumishi 🙏 MUNGU awe pamoja nawe akulinde

  • @mahershalalhashbazi2189
    @mahershalalhashbazi2189 Год назад +2

    Nimesililiza,nimesikia ahsante sana mtumishi wa MUNGU.
    BWANA akubariki na kuuilinda Wokovu wako tumalize safari yetu salama ktk jina la YESU KRISTO BWANA

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Год назад +1

    Asante MUMGU.UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU ALIYE JUU.

  • @salomealphonce-ev7ko
    @salomealphonce-ev7ko Год назад

    Promov tv mungu awabariki sana kwa uaminifu wenu

  • @AlainKuba-h9r
    @AlainKuba-h9r 22 дня назад +1

    Kweli Mungu ni Mungu, ushuhuda lenye nguvu 🙏

  • @williamdetto3354
    @williamdetto3354 Год назад +1

    Amen Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @carolinederi5690
    @carolinederi5690 Год назад +3

    Amen Mungu tusaidie wanao kuishi maisha ya utakatifu utimilifu na ukamilifu usio na mawaa wala Unafiki kma alivyonena mtumishi wako Heri weny moyo safi maana hao watamuona Mungu

  • @frolasospeter6000
    @frolasospeter6000 Год назад +2

    MUNGU BABA Akutunze mzee na Ubarikiwe.

  • @rizikibahati8364
    @rizikibahati8364 Год назад +2

    Mungu awabariki katika jina la Bwana wetu YESU KRISTO mzee wetu na promover Tv

  • @salomealphonce-ev7ko
    @salomealphonce-ev7ko Год назад

    Mungu ni mwaminifu kila wakati

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Год назад +4

    Amina mchungaji na Mungu azidi kukufunulia ili watu waweze kumjua Mungu zaidi na kuacha yale alioyakataza.

  • @demaa2183
    @demaa2183 Год назад +3

    Mungu anisamehe kwa kusuka....na aniwezeshe kukaa jinizi atakavyo

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Год назад +2

    MUNGU akubarika baba yetu pia mimi natamani kufanya kazi ya MUNGU uzeni mwangu be 🙏

  • @mwatumuomari3727
    @mwatumuomari3727 Год назад +3

    Ubarikiwe Sana mtumishi wa Bwana Asante Sana kwa ujumbe wa Bwana Amen

  • @uswadipanja7573
    @uswadipanja7573 Год назад +4

    Asante mzee wetu mwenye masikio na atasikia

  • @rizikibahati8364
    @rizikibahati8364 Год назад +3

    Amen

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Год назад +6

    Ujana wake adi uzee wake,yeye na yesu, vijana vijana tuamke ,ktk watoa shuhuda hii yenyewe umri huu lakini halali anahubiri Asante yesu

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Год назад

      Yes hakuna faida ktk kutenda dhambI Ni hasala kubwa mno na mwisho wa yote tunatenda dhambI jehanamu inasubili WENYE dhambI

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Год назад +4

    Asante sana mtumishi wa Mungu kwa ujumbe nzuri,, promover TV barikiweni kwa kazi mnayofaifanya

  • @jacoboboniface9996
    @jacoboboniface9996 Год назад +2

    MUNGU azidi kuku tunza mtumishi wa YESU KLSTO

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Год назад +2

    Amen and Amen hakika tunazidi kubarikiwa sana,Mungu awe pamoja na Mutumishi wake pamoja na Promover TV.

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa7758 Год назад +3

    Amina N kweli 🙏🙏

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai4691 Год назад +4

    Amen Amen Amen 🙏🙏🙏 Ubarikiwe sana Jacktan kwa kazi njema unayofanya... napenda sana kusikiliza huyo mchungaji.

  • @janetisaac1084
    @janetisaac1084 Год назад +3

    Mungu akubariki kaka Jactan kwa huduma nzuri na Mungu akukumbuke katika ufalme wake,Kwa sadaka zako,unatulisha kwa shuhuda na Neno LA Mungu,asante

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Год назад +2

    Ameeeeeeen BWANA YESU asifiwe

  • @grace-oo1zl
    @grace-oo1zl Год назад +2

    Bwana Yesu atusaidie kuhusu kujipamba

  • @mercykoech1487
    @mercykoech1487 Год назад +1

    Mungu akutetee

  • @elizachama1229
    @elizachama1229 Год назад +3

    AMINA.

  • @captainlufumbe4249
    @captainlufumbe4249 Год назад +2

    Asante Kwa mwendelezo nilimmisi babu yangu

  • @saramuna1173
    @saramuna1173 Год назад +3

    Ni kweli kabisa huu ujumbe huu wa kweli. Mungu atutie nguvu

  • @adelambaye1298
    @adelambaye1298 Год назад +2

    Mungu akubariki mtangazaji na mtumishi wa MUNGU Asante Sana

  • @quintavitalis926
    @quintavitalis926 Год назад +2

    Mungu atusaidie kuyaishi mapenzi yake

  • @i.etechnology6336
    @i.etechnology6336 Год назад +1

    Kwa wasio na imani watabisha ila kiukweli nimesikiliza shuhuda nyingi za hivi Na swala la watu kujiremba linarudiwa rudiwa hapo kuna kitu ila Kwa miaka ya sasa wadada niwabishi kuelewa na kuacha tuombe Mungu atujalie Neema ya imani

  • @williamdetto3354
    @williamdetto3354 Год назад +1

    Ninatamani saaana kipawa kama hicho kwaajili ya kazi ya Mungu.

  • @gracelauzi9746
    @gracelauzi9746 Год назад +2

    Amen Amen Asante kwa ujumbe ubarikiwe

  • @michaelmedielisha
    @michaelmedielisha Год назад +6

    Ndugu jacktan nataka nije nijifunze mengi kupitia huyo mtumishi wa Mungu, huyo mzee wangu. Tafadhali niandalie anuani yake kamili, ahsante

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Год назад +3

      Amen, ametaja anwani na mawasiliano yake

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Год назад +2

    Mungu wetu uturehemu baba

  • @rozyderose
    @rozyderose Год назад +2

    Mafunzo mazuri sana

  • @antoinettendayizeye5884
    @antoinettendayizeye5884 Год назад +2

    Amen asante kwaujumbe mwema

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai4691 Год назад +3

    Tuwe macho, duniani hakuna Amani ubarikiwe sana mchungaji

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад +1

    Ni KWELI kabisa shetani Hana ADABU katutoa fahamu tunaenda kiholela TU

  • @nicklasndabiyeho6650
    @nicklasndabiyeho6650 Год назад +6

    Kitabu cha ufunuo kimeshafunuliwa na malaika , mjumbe wa saba Ufunuo 10:7 na malaki 4:5-6, nabii wa wakati huu wa mwisho aliyethibitishwa na Bwana mwenyewe kwa hali zote,

  • @hilariogomesalmasse
    @hilariogomesalmasse Год назад +2

    Amina

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Год назад +1

    Naomba promover TV.mweze kusikiliza ushuhuda wa mjumbe wa wa agano ndiye mwenye chakula Cha ulimwengu mzima . Na namba 6 6 6.anafunua wazi.

  • @kiperadehenerico2303
    @kiperadehenerico2303 Год назад +2

    Asante Sana promover Tv,
    Nimeusubiri sana muendelezo huu.

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад +3

    Ni KWELI kabisa tusisuke nywele na KUVAA MAWIGI KUJICHUBUA na dhambI zingine tuache jehanamu PABAYA mno

  • @bazurimwemdi9060
    @bazurimwemdi9060 Год назад +2

    Mungu nimwema

  • @hindahnambela6628
    @hindahnambela6628 Год назад +4

    Abmen amen 🙏🙏

  • @annachachage4931
    @annachachage4931 Год назад +3

    Ameni ameni,tujihoji hasa.unaweza kuhisi mzee amechanganyikiwa,lakini kuna ujumbe mzito hapa,nanabahati kusikia.

    • @symonwycliff8049
      @symonwycliff8049 Год назад

      Nani kasema amechanganyikiwa

    • @annachachage4931
      @annachachage4931 Год назад

      @@symonwycliff8049 Mimi nimesema kwa sababu nipo mimi na mie tunabishana wa ndani akaniambia,huu ni ujumbe mzito utwae kama ulivyo.

  • @NduguEzekiel
    @NduguEzekiel Год назад +2

    Kweli anachosema nilisikia papa kasema biblia ya sasa imepitwa na wakati, MUNGU anisamehe ikiwa nakosea

  • @اماحمد-ض4ه
    @اماحمد-ض4ه Год назад +2

    Amina Bwana awabariki promover kwa kazi njuri Bwana azidi kumlinda mtumishi wake

  • @rechomethod8288
    @rechomethod8288 Год назад +1

    Barikiwa sana Babu yetu kwa kutuleta ujumbe wa Mungu, hiyo namba yake inapokea pesa??

  • @ngugit88
    @ngugit88 Год назад +2

    Amen asante sana Jacktan, kwa kazi njema ,sasa nimeamini kujiremba ni dhambi,kweli mlango ni mwembaba ,maana wengi hatukubali kweli kwa urahisi Mungu atusaidie jamani

  • @NduguEzekiel
    @NduguEzekiel Год назад +1

    Uimbaji wake umenishangaza kwa ustadi mkubwa sana,

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Год назад +2

    Nipo Tanga Handeni kilimamzinga karibu Kwa mjumbe wa agano duniani John Isaya Igumi. Ili mpate ufunuo juu ya ufalme wa mbinguni.

  • @agathasungura5047
    @agathasungura5047 Год назад +3

    Hakika MUNGU ni mkubwa

  • @salamadzinyau5162
    @salamadzinyau5162 Год назад +2

    AMEN

  • @_Ananias
    @_Ananias Год назад +4

    Which brand of Kjv bible looks original to buy. There many in the market. Amen

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Год назад +7

    Huyo much anasema ukweli mwezi wa 11 tarehe 13 pope na wengine walienda Mt Sinai walitengeneza amri 10 zakwao mwaka 2023 (abidabi) Dubai watachenga kanisa muskiti and hekalu ya wayahudi in one area na watu watakuwa wakifanya maombi pamoja they are paving way for until Christ

    • @samuelngotho6749
      @samuelngotho6749 Год назад

      Je una thibitishoo?

    • @rubefabi8366
      @rubefabi8366 Год назад +2

      @@samuelngotho6749 dini yenyewe ni chrislam tayari imesha asisiwa kama hujui fuatilia maana wengine mko kama Tomaso.

    • @samuelngotho6749
      @samuelngotho6749 Год назад

      @@rubefabi8366 The new commandments ni zipi?umeweza kuzipata?nauliza na si kwa ubaya..naoba kuelimishwa

    • @flm1530
      @flm1530 Год назад +1

      Wameshajeng tyr next year ni ufunguzi tu

    • @samuelngotho6749
      @samuelngotho6749 Год назад

      @@flm1530 ooh my..

  • @veronicadavid4613
    @veronicadavid4613 Год назад +2

    Ni kweli kitu 2019 /2020 biblia zingine 😭😭😭

  • @suzanamanoni4104
    @suzanamanoni4104 Год назад +1

    Hesabu 5:35 haipo na Hesabu 35:5 haisemi hayo nadhani alimaanisha petro na Isaya ndiyo husema juu ya mapambo

    • @sirmyuel
      @sirmyuel 11 месяцев назад

      hesabu 5:18

  • @agnesmwihaki2326
    @agnesmwihaki2326 Год назад +2

    Nimabarikiwa sana na huu ujumbe..lakini kuhusu chanjo, ni gani hii anasema yenye haivutiki?

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 Год назад +1

    Hesabu 5:35

    • @elizag.edmond7637
      @elizag.edmond7637 Год назад +1

      Huyo ni mzee naye anasahau kwan ajabu nini ,kizuri ujumbe umesha penya

  • @troymurimi6320
    @troymurimi6320 Год назад +1

    😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣Wimbo mzuri

  • @nicklasndabiyeho6650
    @nicklasndabiyeho6650 Год назад +3

    Hata wakiifuta , siri zote tunazo hahaha

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Год назад

      Yes watafuta ila roho wa MUNGU yup nasi aaaaa shenanigans haha chake

  • @lisaozokalonji7655
    @lisaozokalonji7655 Год назад +2

    I need WhatsApp namba ya Pastor

  • @shamim-shammy
    @shamim-shammy Год назад

    Nmetafuta hesabu 5:35 sujaiona

    • @sirmyuel
      @sirmyuel 11 месяцев назад

      hesabu 5:18

  • @samuelngotho6749
    @samuelngotho6749 Год назад +2

    Numbers 5:35 ???

    • @nemaodhiambo7274
      @nemaodhiambo7274 Год назад

      Yes numbers 5:35

    • @liesharehema5193
      @liesharehema5193 Год назад

      Mbona imeisha hesabu 5:31

    • @samuelngotho6749
      @samuelngotho6749 Год назад

      @@liesharehema5193 But the message is true..

    • @liesharehema5193
      @liesharehema5193 Год назад

      I wanted just to read

    • @samuelngotho6749
      @samuelngotho6749 Год назад +1

      @@liesharehema5193 1 Timothy 2:9
      [9]
      Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;

  • @lebaokinda6009
    @lebaokinda6009 Год назад +1

    Mimi naomba ufafanuo wa uwoga maana hapo pa uwogo sija paelewa

    • @symonwycliff8049
      @symonwycliff8049 Год назад

      Kufanya kazi ya Mungu na woga. Kwa mfano, kuhubiri injili lakini hautaki marafiki wakuseme kuwa "umeokoka sana". Kama ni kumtolea watoa pesa kwa kazi yake kwa kujiskia

    • @lebaokinda6009
      @lebaokinda6009 Год назад

      @@symonwycliff8049 Asante sana ,sasa nimeelewa Mungu akubariki sasa ndugu yangu🙏

    • @lebaokinda6009
      @lebaokinda6009 Год назад +1

      @@symonwycliff8049 mungu akubariki sana ndugu yangu sasa nime elewa

    • @elizag.edmond7637
      @elizag.edmond7637 Год назад

      Woga ndiyo utampelekea mtu kuipokea namba ya mnyama ,au hofu ,kwakua hapo hakuna ,kulima kununua wala kuuza bila namba ,hiyo ,sasa kama siyo mjasiri utasema kua njaa itakuua ,na ukichukua hiyo ,basi umekwisha

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa7758 Год назад +3

    Amina amina

  • @stellaelias8174
    @stellaelias8174 Год назад +2

    Amen tuko pamoja nampenda mtumishi wa MUNGU anainena kweli kabisa

  • @shuhudazakweli3406
    @shuhudazakweli3406 Год назад +3

    Amen

  • @NduguEzekiel
    @NduguEzekiel Год назад +2

    Kweli anachosema nilisikia papa kasema biblia ya sasa imepitwa na wakati, MUNGU anisamehe ikiwa nakosea

  • @editarichard3590
    @editarichard3590 Год назад +3

    Amen

  • @selentinofrank9131
    @selentinofrank9131 Год назад +3

    Amen