1_USHUHUDA WA ESTA GASPAR:NILIONA JINA LANGU KTK KITABU MBINGUNI,MALAIKA WAKIIMBA WIMBO WA CHIDUMULE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 дек 2022
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 52

  • @edwinndyamukama8918
    @edwinndyamukama8918 Год назад +1

    Ukiona Mungu anaonyesha mambo yatakayokuja kwa bidii Sana,ujue anajua majira na nyakati zimefika. Tajiri aliomba Mungu amtume Lazaro she kuwaambia ndugu zake yatakayowapata wasipobadili njia zao .Ombi la tajiri lilikataliwa. Ila Sasa Mungu kaona vema watu wajue.pia Soma Biblia mpendwa utaelewa! Mungu akubariki dada Esther!

  • @wesongamildred5618
    @wesongamildred5618 Год назад +2

    Asante dadangu kwa ujumbe huyo umenitia nguvu naomba Mungu anisaidie na familia yangu atutie nguvu tupate kuingia mbinguni!!!

  • @ivonakifumu1329
    @ivonakifumu1329 Год назад +1

    Asante mama Kwa ushuhuda huu . MUNGu akubarik sana. ni MUNGU amekutuma tupone na hiyo kuzimu. Hao wanao SEMA ni uongo ni kuwahurumia. Asante

  • @neemafrancis2487
    @neemafrancis2487 Год назад +1

    Amen. Nabarikiwa sana

  • @Daniella2014-r9n
    @Daniella2014-r9n Год назад +5

    Asante maman kwa ushuhuda muzuri unatutia nguvu,Mungu wetu sote atuwezeshe ili Jina langu lionekane kwenye kitabu chauzima,Dunia inatuchosha.tumechoka na vya dunia,Dunia imeozaaaa.

  • @julianawairimu801
    @julianawairimu801 Год назад +2

    Very powerful testimony,am blessed.

  • @elizabethopere2784
    @elizabethopere2784 Год назад +3

    Amen mama yetu mungu amekutumia ktk viwango vya juu sana

  • @florencemueni1183
    @florencemueni1183 Год назад +2

    Amen vry powerful testimony God bless u

  • @upendomgao4137
    @upendomgao4137 Год назад +1

    Ni kweli mtumishi wa Mungu.
    Sema tupone.
    Yesu uturehemu.

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Год назад +1

    mch. moses alikuwa mcha Mungu kweli. hivi kuna wachungaji wangapi saivi wanaoweza kumsikiliza binti mdogo hata amwombe amwombee.

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Год назад +1

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @gradyskamwela6163
    @gradyskamwela6163 Год назад +1

    Utii na unyenyekevu mbele za Mungu hutuwezesha kufanya mambo makubwa pia kujitoa sadaka na kukubali kumtumikia Mungu pamoja na maombi tunapata thawabu ubarikiwe mtumishi wa Mungu kutii kwako na kujitoa nimejifunza kitu

  • @annetteutunga6862
    @annetteutunga6862 Год назад +1

    Asante yesu kwa ushuhuda

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад +1

    Mungu atuhurumie,Natamasi nisikilize tena shuhuda naona napotea tu

  • @helenongara1679
    @helenongara1679 Год назад

    God is REAL! Heaven is real. Hell is real. Mwenyezi Mungu atusaidie sana tufanye maamuzi sahihi tungali hai 🙏🏾 Ahsante Mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda huu mzuri!

  • @christerkilamlilo7013
    @christerkilamlilo7013 Год назад

    Aminq Mama ushuhuda mzuri sana. Tunaomba Roho Mtakatifu atufungue tuyasikie maonyo na kuyaishi

  • @elisonishadrack4410
    @elisonishadrack4410 Год назад

    Amina barikiwa mtumishi umetujenga kiroho ili tukaze mwendo ili kuifikia ijara tuliyoandaliwa

  • @miria659
    @miria659 Год назад

    Ushuhunda mzuri dada ESTA shukrani for sharing with us God bless you.

  • @nyarkristoforjesuskoga3761
    @nyarkristoforjesuskoga3761 Год назад

    UBARIKUWE ESTHER THIS POWERFULL MUNGU AKUBATIKI

  • @baya7067
    @baya7067 Год назад +1

    Amen mungu atusaidie

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Год назад

    Ushuhuda mzurii kumtumikia mungu Kuna faida, mungu akubariki mama ,niwajibu wetu kujitakasa

  • @mwibakechaassani6810
    @mwibakechaassani6810 Год назад

    Asante sana mama kwa ushuhuda huu

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Год назад

    Amen barikiwa sana 🙏

  • @navokisembo
    @navokisembo Год назад

    Amen mama barikiwa na ushuhuda huu

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Год назад

    Barikiwa sana mama yetu ushuhuda nimzuri mnoooo

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 Год назад

    Ushuuda mzuri sana

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa7758 Год назад

    Amina amina

  • @alnordarnold5189
    @alnordarnold5189 Год назад

    Asante Yesu ameen

  • @dorcasamina4551
    @dorcasamina4551 Год назад

    Amen part two

  • @bazurimwemdi9060
    @bazurimwemdi9060 Год назад

    Amen

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Год назад +1

    sasa hii majira mbona itapeleka wanawake wengi motoni jamani

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Год назад

    Ameeeeen BWANA nizaidie

  • @sarabura3314
    @sarabura3314 Год назад

    amen

  • @flm1530
    @flm1530 Год назад

    Ameen

  • @lucymerchioly711
    @lucymerchioly711 Год назад

    Mungu anirehemu kwa yote anisaidie

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Год назад

    Ahsante mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda,kwa kweli Mungu atusaidie tuwe na mwisho mwema,ila mimi najiuliza swali moja mbona shuhuda nyengine waliyowahi kushuhudia wanasema tayari watu wamo kwenye moto wanaungua?na mimi nashangaa kwa sababu hukumu bado,sasa sijui imekaaje hiyo.

    • @jorobency4407
      @jorobency4407 Год назад

      Ni kweli wako kwenye moto maana ukosoma neno ;a Mungu lonasema kuna jehanum ña kuzim.Moja ni sehem ya moto ya kungojea hukumu ña ingine ni ile ambayo watatupwa shetan mwenyewe ña malaika zake pamoja ña wote walioasi milele ni mkali kulikp wa sasa

    • @filbertwerema8459
      @filbertwerema8459 Год назад

      Kuna mambo mawili ya kutofautisha hapa, Jehanamu au ziwa la moto hakuna yeyote aliyetupwa humo mpaka Sasa tangia kuumbwa ulimwengu, ila Kuzimu pia Kuna moto ambao unaendelea kuwatesa watu wanaoenda huko kusubiria hukumu ya Mwisho, hivyo Kuzimu ni sehemu ya mahabusu au mangojeo ya kwenda kwenye hukumu ya Mwisho ambayo ndio ziwa la moto au Jehanamu.

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Tokea 1988 wow Mungu usifiwe

  • @zablonfesto5216
    @zablonfesto5216 Год назад

    Amina Mama ubarikiwe sana

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Mimi Moses kulola humsikia tu nakumuona utube lakini nimetokea kufatilia mafundisho yake kweli na kumpenda

  • @palimwambene9033
    @palimwambene9033 Год назад

    Naomba namba ya mtumishi huyu🙏🏻

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Год назад

    hicho chuo cha biblia bado kipo na masharti hayo? vyuo vya biblia vikiwa hivo lazima wanaosoma hapo watoke imara hata kama walienda huko kubip

  • @navokisembo
    @navokisembo Год назад

    Naomba number za huyu mtumishi nina maswali ya kumuuliza.
    Kwani biblia inatuambia waliokufa wamelala hawajui lolote yaani kuna wale watu wanadhani mtu akifa anaenda mahali kama hapo ukiposema kwenye mateso kumbe biblia haijatuambia hivyo. Naomba ufafanuzi mtumishi

    • @edwardmwalukware9734
      @edwardmwalukware9734 Год назад

      Yesu alipo ongelea swala la lazaro na maskini unadhani alikua anadanganya. Kile kilikua kisa cha ukweli sasa sijui ni maandiko gani unasema

    • @kennethogonda2947
      @kennethogonda2947 Год назад

      Wewe hujasoma biblia vizuri. Umesoma sehemu moja tu na hata hukuielewa. Yawezekana wewe ni wa SDA ama Jehovah witness, hata wakiambiwa ukweli huu kiasi gani hadi waonyeshwe maandiko wanakataa. Wanaamini maandiko ya Ellen White kuliko ya biblia.

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Год назад +1

    MUNGU SIO MWANADAMU KAMBA ILIKUVUTA MPAKA JUKWAANI SI MCHEZO MUNGU WETU NI MKUU SANA

  • @ungwamseke9590
    @ungwamseke9590 Год назад

    Amen

  • @alnordarnold5189
    @alnordarnold5189 Год назад

    Ameen