Part 2_SINTOSAHAU KUZIMU-USHUHUDA WA KWELI WA KATRINA ALIYEKUWA JINI MTU MLA WATU
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- JIUNGE NA MAGROUP YETU YA WASAP KAMA UNGEPENDA KUWA MCHANGIAJI WA KILA MWEZI KAMA IFUATAVYO:-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Doh ushuhuda wa nguvu Sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu alie hai
Duh hatari sana aisee huu Ushuhuda umeshiba sana kuna mengi ya kujifunza
Wapendwa tuendelee kumtumainia Mungu kwa roho na kweli
Good question About the police jacktan
Asante kwa hilo swali maana nilikuwa naliwaza.
Hapo kwa kanumba hajaeleza vizuri
We makoye😹😹😹😹😹kanumba alikufa kishetani amini usiamini sio huyu Dada tu nimemskia wapo wengi Sana wanathibtsha
Mungu akubariki sana mtumishi 🙏🙏
Tunaomba rehema zako Mungu wetu maana wewe ni mwaminifu
Wa pili Leo🇰🇪🇰🇪ushuhuda uendelee
Hongera Dada kwa kukomborewa
Ndugu elfu moja mhuuu! ya kweli haya au namachumvi chumvi tunaongezewamo wamebaki wangapi Sasa dooo mm ukoo wangu upande wa baba na mama hatufiki hata mia mbili
Alimaanisha 100,ni makosa ya kimatamshi tu
@@PromovertvTz Sasa Mia ss kwetu hatutimii Mia hata ukijumlisha na mifugo yetu
Ni story nzuri Ubarikiwe
Mambo
WanaThamini ndoa sababu wanakutumia wewe ili wafanikishe mipango yao duniani sababu huwezi kuja duniani katika umbile la kijini,Mungu alitupa wanadam dominion(utawala) wa hii dunia na ndio maana hata malaika uwa lazima waje kwa mfano wa Mwanadamu! Kumbuka stori ya Yesu na yale mapepo yaloua kondoo alfu2 sababu yalikuwa Yanajua yakifukuzwa yataenda kuadhibiwa kule majini(kuzimu
Nguruwe
Ushuhuda umenibariki sana,,,ila Mtumishi Jacktan nakuomba umshauri huyo dada kama una number yake,,kwamba asivae wigi na suruali,,,Reference Book; Kumbukumbuku la Torati 22:4-5
Suruali ina shida gani,
@@hopealoyce3678 mavaz ya mwanaume asivae mwanamke na mavaz ya mwanamke asvae mwanaume, uksema Ni suruali la kike sawa lkn Ni suruali kwahyo adhabu iko palepale usjdanganye
Wakiristo wa kiroho lamaili hawawez kuchukua chochote kwenye huu ushuda, Kwa ajli ya hiyo miwig na mihelen ya yezebel hiyo
Dah Yesu Tunusuru wanadamu
Ee mungu utulinde ww mwenyewe ss wanadamu tunaokutumainia ww, hapo kwenye pesa hapo ndo wanakotupgia wachungj et anakuombea unakua na kipatoendelevu jmn jmn jmn kumbe ushirikina mtupu mm hawanipati
Ondoa hizo heleni ni mali ya yezebeli
Nikweli kaka ushuhuda wake unatubaliki Lakini kimavazi inasababisa tufikili mengi
Hata nywele bandia pia ni za shetani
Soma yelemia 4:30
Kwani yezebeli mwenyewe anasemaje 😹
@@gosbertmuta5421 mmmmmh
Kuna madhara kukaa bira wokovu
Mungu turehemu
Nikusaidie ndugu achana na mawigi heleni mekap wanja nimachukizo mbele za Mungu
Ni kweli maana ni vitu vyao, wanaweza kukumiliki tena.
Ndo nimeshangaa ujue. Unajua nimegundua kitu..sio story zotee ni za kweli...kumbuka kila Mungu anacho fanya shetani lz aige..tuwe tunawasikiliza sana izi shuhuda tuwe makini..sasa uyu mbona bado kavaa vitu vya kuzimu????tutawatambua kwa matendo yao
Mshamba tu ww
@@mchisraelimbarikiwanassari7579 ndo ujanja wenu wa ulimwengu ndo unawapeleka jehanamu..
Swali langu mtumishi ushuhuda mwingi sana wa watu walio fanikiwa kwanda kuzimu nikwanini huwa wanatumwa duniani kupigana na kanisa na sio misikiti
Utajibiwa endelea kufatilia
Ndege wako manati ya nn🤐
@@brigithadidas5128 ahaha mwaga mtama kwani iko nini🤣🤣🤣
Msikini na majini ni ndg
@@esaumahundi5076 amina mahundi nimejibiwa asante sana
Balikiwa dadangu
We MUNGU tuhurumie na neema yako na rehema isitupungukie
Ndg 1000? Au umekosea mm naowajya ata 50 hawafiki
Eee Mungu baba aturehemu sana.
Hongera mtumishi wa Bwana Jactan samahani naomba kujua maana dada Katrina anasema alikuwa na uwezo wa kuwa anaonekana mara tatu yeye yule yule naomba atueleze anafanyaje kuwa na miili mitatu
Amen, ushuhuda wake umeshafika mwisho, pengine hilo swali atajibu kwenye msimu mwingine wa tutakapomkaribisha
@@PromovertvTz tunaomba namba yake
Jini anakunywa pombe anavuta bang?
Ndio
@@preciousgrayson2021 Nasikia ukivuta bangi majini wachawi hawakusogelei du Mungu atsaidie
mambo mengi huwa inatokea kwa ndoto tuyaona physical I am learning
Sure!
Achana na bidhaa za Yezebel. Ushuda mzuri ila naingiwa na mashaka kua bado uko upande wa pili?
Kumbe shetani nae aliumba vitu
Wewe achana na mambo yako sikiliza kwanza mambo nipolepole
Upande wa pili kunasemaje
😂kwa bible wapi unasema
@@gosbertmuta5421 unaonekana hauko sawa
Apa kwenye ndugu 1000 bado sijaelewa alitakiwa aulizwe swal ili jambo analo ongea liwe lais kufikilika kakin naona jactani anasikiliza tu
Mi mwenyewe kanistua haiwezi ikawa ukoo gani huo mkubwa namna hiyo 1000 duuu
Alimaanisha 100,ni makosa ya kimatamshi tu
@@PromovertvTz hata 100 bado
@@gosbertmuta5421 Tutamtafta siku nyingine afafanue
Isaya 42:22
Maneno magumu haya
Anajichanganya sana
Mungu turehemu watoto wako
1Timothy 2:9
Kunani
Ndio maana Mungu anasema pesa na dhahabu ni sanamu ya mataifa wazituimainio watafanana nao
biblia inasema FEDHA NA DHAHABU NI MALI YANGU MIMI ASEMA BWANA WA MAJESHI.
@@egospeltz9486 wewe unabashili maandiko hata uwelewi unatapatapa unasoma biblia kama hadithi soma zaburi 135 :15-18,unatoa maneno hata huo mstari ulipoandikwa hujui,acha ubabaishaji
@@marianachriss2444 inamaana hilo andiko halipo!!?
@@fridageorge2809 soma Torati 22:5,mwanzo 35:1-5,kutoka 33:4-5, 1 Timotheo 2:9
Mataifa wanasemaje