Part 2_SINTOSAHAU KUZIMU-USHUHUDA WA KWELI WA KATRINA ALIYEKUWA JINI MTU MLA WATU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • JIUNGE NA MAGROUP YETU YA WASAP KAMA UNGEPENDA KUWA MCHANGIAJI WA KILA MWEZI KAMA IFUATAVYO:-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 86

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад +2

    Doh ushuhuda wa nguvu Sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu alie hai

  • @mutabirwakashasha5428
    @mutabirwakashasha5428 3 года назад +4

    Duh hatari sana aisee huu Ushuhuda umeshiba sana kuna mengi ya kujifunza

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад +3

    Wapendwa tuendelee kumtumainia Mungu kwa roho na kweli

  • @estasage5506
    @estasage5506 3 года назад +2

    Good question About the police jacktan

  • @daimavlog
    @daimavlog 3 года назад +1

    Asante kwa hilo swali maana nilikuwa naliwaza.

  • @deusmakoye9999
    @deusmakoye9999 3 года назад +2

    Hapo kwa kanumba hajaeleza vizuri

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      We makoye😹😹😹😹😹kanumba alikufa kishetani amini usiamini sio huyu Dada tu nimemskia wapo wengi Sana wanathibtsha

  • @ibrahimkanyata6211
    @ibrahimkanyata6211 3 года назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi 🙏🙏

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 года назад +3

    Tunaomba rehema zako Mungu wetu maana wewe ni mwaminifu

  • @jossyayielo7576
    @jossyayielo7576 3 года назад +5

    Wa pili Leo🇰🇪🇰🇪ushuhuda uendelee

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 3 года назад

    Hongera Dada kwa kukomborewa

  • @deusmakoye9999
    @deusmakoye9999 3 года назад +2

    Ndugu elfu moja mhuuu! ya kweli haya au namachumvi chumvi tunaongezewamo wamebaki wangapi Sasa dooo mm ukoo wangu upande wa baba na mama hatufiki hata mia mbili

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 года назад +1

      Alimaanisha 100,ni makosa ya kimatamshi tu

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      @@PromovertvTz Sasa Mia ss kwetu hatutimii Mia hata ukijumlisha na mifugo yetu

  • @egospeltz9486
    @egospeltz9486 3 года назад +3

    Ni story nzuri Ubarikiwe

  • @myself4128
    @myself4128 3 года назад +2

    WanaThamini ndoa sababu wanakutumia wewe ili wafanikishe mipango yao duniani sababu huwezi kuja duniani katika umbile la kijini,Mungu alitupa wanadam dominion(utawala) wa hii dunia na ndio maana hata malaika uwa lazima waje kwa mfano wa Mwanadamu! Kumbuka stori ya Yesu na yale mapepo yaloua kondoo alfu2 sababu yalikuwa Yanajua yakifukuzwa yataenda kuadhibiwa kule majini(kuzimu

  • @lutherstephano6910
    @lutherstephano6910 3 года назад +3

    Ushuhuda umenibariki sana,,,ila Mtumishi Jacktan nakuomba umshauri huyo dada kama una number yake,,kwamba asivae wigi na suruali,,,Reference Book; Kumbukumbuku la Torati 22:4-5

    • @hopealoyce3678
      @hopealoyce3678 3 года назад

      Suruali ina shida gani,

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      @@hopealoyce3678 mavaz ya mwanaume asivae mwanamke na mavaz ya mwanamke asvae mwanaume, uksema Ni suruali la kike sawa lkn Ni suruali kwahyo adhabu iko palepale usjdanganye

  • @ElishaBensoni-y7k
    @ElishaBensoni-y7k 4 дня назад

    Wakiristo wa kiroho lamaili hawawez kuchukua chochote kwenye huu ushuda, Kwa ajli ya hiyo miwig na mihelen ya yezebel hiyo

  • @isabelmwansasu2791
    @isabelmwansasu2791 3 года назад +1

    Dah Yesu Tunusuru wanadamu

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 года назад +1

    Ee mungu utulinde ww mwenyewe ss wanadamu tunaokutumainia ww, hapo kwenye pesa hapo ndo wanakotupgia wachungj et anakuombea unakua na kipatoendelevu jmn jmn jmn kumbe ushirikina mtupu mm hawanipati

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 3 года назад +8

    Ondoa hizo heleni ni mali ya yezebeli

  • @esaumahundi5076
    @esaumahundi5076 3 года назад +3

    Kuna madhara kukaa bira wokovu

  • @leahkatto8820
    @leahkatto8820 3 года назад +1

    Mungu turehemu

  • @grolimodesta1211
    @grolimodesta1211 3 года назад +3

    Nikusaidie ndugu achana na mawigi heleni mekap wanja nimachukizo mbele za Mungu

    • @rmaryp6269
      @rmaryp6269 3 года назад

      Ni kweli maana ni vitu vyao, wanaweza kukumiliki tena.

    • @seasonepisode3328
      @seasonepisode3328 3 года назад

      Ndo nimeshangaa ujue. Unajua nimegundua kitu..sio story zotee ni za kweli...kumbuka kila Mungu anacho fanya shetani lz aige..tuwe tunawasikiliza sana izi shuhuda tuwe makini..sasa uyu mbona bado kavaa vitu vya kuzimu????tutawatambua kwa matendo yao

    • @mchisraelimbarikiwanassari7579
      @mchisraelimbarikiwanassari7579 3 года назад +1

      Mshamba tu ww

    • @seasonepisode3328
      @seasonepisode3328 3 года назад

      @@mchisraelimbarikiwanassari7579 ndo ujanja wenu wa ulimwengu ndo unawapeleka jehanamu..

  • @nasht8604
    @nasht8604 3 года назад +4

    Swali langu mtumishi ushuhuda mwingi sana wa watu walio fanikiwa kwanda kuzimu nikwanini huwa wanatumwa duniani kupigana na kanisa na sio misikiti

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 года назад

      Utajibiwa endelea kufatilia

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 3 года назад +3

      Ndege wako manati ya nn🤐

    • @nasht8604
      @nasht8604 3 года назад

      @@brigithadidas5128 ahaha mwaga mtama kwani iko nini🤣🤣🤣

    • @esaumahundi5076
      @esaumahundi5076 3 года назад

      Msikini na majini ni ndg

    • @nasht8604
      @nasht8604 3 года назад

      @@esaumahundi5076 amina mahundi nimejibiwa asante sana

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 3 года назад +1

    Balikiwa dadangu

  • @juliamuthoni7534
    @juliamuthoni7534 3 года назад +1

    We MUNGU tuhurumie na neema yako na rehema isitupungukie

  • @brigithadidas5128
    @brigithadidas5128 3 года назад +1

    Ndg 1000? Au umekosea mm naowajya ata 50 hawafiki

  • @mariamzambi1995
    @mariamzambi1995 3 года назад

    Eee Mungu baba aturehemu sana.

  • @rhemaupendo5716
    @rhemaupendo5716 3 года назад

    Hongera mtumishi wa Bwana Jactan samahani naomba kujua maana dada Katrina anasema alikuwa na uwezo wa kuwa anaonekana mara tatu yeye yule yule naomba atueleze anafanyaje kuwa na miili mitatu

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 года назад

      Amen, ushuhuda wake umeshafika mwisho, pengine hilo swali atajibu kwenye msimu mwingine wa tutakapomkaribisha

    • @eddyjuniortz2234
      @eddyjuniortz2234 3 года назад

      @@PromovertvTz tunaomba namba yake

  • @samsonngweina5048
    @samsonngweina5048 3 года назад +1

    Jini anakunywa pombe anavuta bang?

  • @annewanjiku52
    @annewanjiku52 3 года назад

    mambo mengi huwa inatokea kwa ndoto tuyaona physical I am learning

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 3 года назад +1

    Achana na bidhaa za Yezebel. Ushuda mzuri ila naingiwa na mashaka kua bado uko upande wa pili?

  • @manfredherman2898
    @manfredherman2898 3 года назад +2

    Apa kwenye ndugu 1000 bado sijaelewa alitakiwa aulizwe swal ili jambo analo ongea liwe lais kufikilika kakin naona jactani anasikiliza tu

    • @deusmakoye9999
      @deusmakoye9999 3 года назад +1

      Mi mwenyewe kanistua haiwezi ikawa ukoo gani huo mkubwa namna hiyo 1000 duuu

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 года назад

      Alimaanisha 100,ni makosa ya kimatamshi tu

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад +1

      @@PromovertvTz hata 100 bado

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 года назад

      @@gosbertmuta5421 Tutamtafta siku nyingine afafanue

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад +1

    Isaya 42:22

  • @acci6516
    @acci6516 8 месяцев назад +2

    Maneno magumu haya

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison289 3 года назад

    Anajichanganya sana

  • @lutherstephano6910
    @lutherstephano6910 3 года назад +1

    1Timothy 2:9

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 3 года назад

    Ndio maana Mungu anasema pesa na dhahabu ni sanamu ya mataifa wazituimainio watafanana nao

    • @egospeltz9486
      @egospeltz9486 3 года назад +4

      biblia inasema FEDHA NA DHAHABU NI MALI YANGU MIMI ASEMA BWANA WA MAJESHI.

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@egospeltz9486 wewe unabashili maandiko hata uwelewi unatapatapa unasoma biblia kama hadithi soma zaburi 135 :15-18,unatoa maneno hata huo mstari ulipoandikwa hujui,acha ubabaishaji

    • @fridageorge2809
      @fridageorge2809 3 года назад

      @@marianachriss2444 inamaana hilo andiko halipo!!?

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@fridageorge2809 soma Torati 22:5,mwanzo 35:1-5,kutoka 33:4-5, 1 Timotheo 2:9

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      Mataifa wanasemaje