MCH.AKERWA MKOA WA SIMIYU TZ KUKABIDHIWA KWA WAGANGA WAJADI,AONYA"UMEKABIDHIWA KWASHETANI TUWAOMBEE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 36

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche1119 Месяц назад +2

    Maneno yenye nguvu ya Mungu aliye hai aishuye milele!

  • @HalenBahati
    @HalenBahati Месяц назад +1

    Waachie kwa jina la Yesu Kristo

  • @elizabethawuor5402
    @elizabethawuor5402 Месяц назад

    Asifiwe yesu nisaidie maombi Kwa ajili ya mtoto wangu anapata zero yuko sekondari ninafanyakazi ngumu yamjengo ukiomba najua atafungukiwa Mimi nimkenya niliona Kwa RUclips ukiombea watu na Mimi nilikuwa mgonjwa sana wewe ukasema kilamtu na awe na imani hatakama uko mbali kweli nilibeba Imani ulipo maliza maombi nika pokea uponyaji nikawa mzima u arikiwe sana nimekuwa kiroho Kwa ajili ya kusikia mahubiri yako Niko nawenzangu tuna barikiwa sana mungu azidi kukubariki Nina roho ya uchungu sana nikiona wenzangu wamenishindawale tulio anzanao maisha naumia sababu Niko nyuma sana niombe na Mimi mungu anisaidie nifanye kazi yake na ukweli mtupu

  • @user-28Gerardineakimana
    @user-28Gerardineakimana Месяц назад +1

    Hallelujah hallelujah Amen Amen

  • @JeremiaShimba-cq8mq
    @JeremiaShimba-cq8mq Месяц назад +1

    Mmmm ase Usalama wetu ni YESU!

  • @anthonymaina7100
    @anthonymaina7100 Месяц назад

    Kutoka Kenya nami nafuatilia Sana...mkoa Wa simiyu TZ MUNGU auokoe

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 Месяц назад +1

    Ila Yesu amponye dah😊

  • @NeemaSulle
    @NeemaSulle Месяц назад

    Naomba namba ya MCH KATEKELA iwekwe humu kwa mawasiliano

  • @leticiamakoye4871
    @leticiamakoye4871 Месяц назад

    Ubarikiwe. Kamanda wa yesu

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf Месяц назад

    Amen amen mtumishi wamungu

  • @EdwinMbwilo-fj6bf
    @EdwinMbwilo-fj6bf Месяц назад +1

    Hayo yote yataisha kwa walokole kujaa Roho Mt sana tu.

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Месяц назад

    Shalom!
    Hii Imeenda

  • @wemangota8945
    @wemangota8945 Месяц назад

    mungu atusaidie

  • @PaulinaMajengo
    @PaulinaMajengo Месяц назад

    Nataman sana huyu mama aliyeharibiwa miguu aje atoe ushuhuda wa matendo makuu ya Mungu wetu

  • @AlbethAlbeth-wh6qd
    @AlbethAlbeth-wh6qd Месяц назад

    Amina pasta

  • @eunicekileo
    @eunicekileo Месяц назад

    Watuache hiyo miungu haikuwasaidia hawakujenga' hawakusoma' hawakula vizuri halafu mnakabidhi watu kwao lli iweje

  • @ZawadiDaudi-js7wl
    @ZawadiDaudi-js7wl Месяц назад

    Ameeeeeeen

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 Месяц назад

    Pole

  • @SelemanZakalia
    @SelemanZakalia Месяц назад +1

    Bendeara chuma mlingot chuma wachane mutumishi

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 Месяц назад +1

    Maumivu Sana jamani dah

  • @AshilatAbas-qe4fh
    @AshilatAbas-qe4fh Месяц назад

    Wapigwe

  • @pastormalitiushuhuda9965
    @pastormalitiushuhuda9965 Месяц назад +1

    YAANI KACHEMKA KWELI SHETANI AMEPEWA KIBALI

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 Месяц назад

    Ivi jamani nampataje huyu mtumishi wa Mungu, tafadhari nisaidieni namba yake

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb Месяц назад

    Huyo mkuu wa huo mkoa ndiye amepata majanga ya .... na yule mwana chuo!!

    • @tadeymdota8480
      @tadeymdota8480 Месяц назад

      Hapana huyu ndiyo kachukua nafasi ya yule, huyu anaitwa Kihongosi

    • @RoseMayige-gn9qb
      @RoseMayige-gn9qb Месяц назад

      @@tadeymdota8480 ooh! Ahsante kwa kunijulisha! Hata aliyeondoka pia alikua tatizo kwa hiyo scandal iliyomwondoa! Mungu auponye Mkoa wa Simiyu.

  • @pastormalitiushuhuda9965
    @pastormalitiushuhuda9965 Месяц назад

    NI KWELI MGANGA NI MCHAWI KABISA

  • @E.emillymillyBlessings
    @E.emillymillyBlessings Месяц назад +1

    Mbona ikifika kwa maombi mnakata jamani naomba mwache kwa maombi tuombe pia pamoja tunakombolewa hakika

    • @rosekishinhi8246
      @rosekishinhi8246 Месяц назад

      True, hiyo ni muhimu saaanaaaa

    • @E.emillymillyBlessings
      @E.emillymillyBlessings Месяц назад

      @@rosekishinhi8246 ndio please promover tunaomba mwajie sehemu ya maombi tunaitaji kukombolewa pia

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Месяц назад

    Baba Babu zako walitibiwa wapi acha ujinga wewe

  • @user-hz8mp5cp7v
    @user-hz8mp5cp7v Месяц назад

    Mwambie huyo mch katekela apokee simu yangu, kwani nimemkosea Nini?.