MKRISTO ISHI KATIKA KUSOMA NENO LA MUNGU USIMEZWE NA MITANDAO ADUI AMEKUSUDIA MABAYA|MCH KATEKELA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 22

  • @HalenBahati
    @HalenBahati 5 месяцев назад +7

    Amina mtumishi wa Mungu ni kweli kabisa kuhusu TikTok,kuna kijana hapa Kenya amekua sana TikTok anaitwa Brain Chira, alikufa kifo cha kutatanisha alizikwa juzi Mungu awasidie watoto wetu haki

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 5 месяцев назад +4

    AMEM MTUMISHI KATEKELA MUNGU AKUBARIKI UNA MAFUNDISHO MAZURI SANA

  • @MghambaNasemba
    @MghambaNasemba 4 месяца назад

    Munguakukubarki mtumishi wa Mungu nimejifunza mengikupitia mahubìri yako na shuhuda napenda niulizeswali katika maelezokuhusu chanjo yakorona nakikombe cha babu sikukupata vizuri

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 5 месяцев назад +3

    Jamani mimi nampenda Yesu

  • @angelpascal3579
    @angelpascal3579 5 месяцев назад +2

    Amen mtumishii

  • @asnatkwamboka6306
    @asnatkwamboka6306 5 месяцев назад +2

    Kweli mtu was mungu, kuna kijana mmoja alikua anasaidia viwete alikufa ,mwingine baba Mona naye kaenda ivyo , Brian shira kaenda evyo whah, tiktok

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 5 месяцев назад +1

    Mwenyezi Mungu atusaidie sana

  • @DIGNAJASTIN-dl8yj
    @DIGNAJASTIN-dl8yj 5 месяцев назад +2

    Amen mtumish

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c 5 месяцев назад +1

    AMEN MTUMISHI WA MUNGU

  • @nallymwamba1330
    @nallymwamba1330 5 месяцев назад +1

    Amen Amen

  • @angelamugoywa4917
    @angelamugoywa4917 5 месяцев назад

    Ameen Bwana yesu abewasifa

  • @alfredkuria7673
    @alfredkuria7673 5 месяцев назад +1

    Amina

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f 5 месяцев назад +1

    Amina mtumishi mungu akuweke viwango vya juu

  • @kakanicodemus3632
    @kakanicodemus3632 5 месяцев назад +2

    Mtumishi naomba uelezee kuhusu pasaka

  • @ainekishagodwin1877
    @ainekishagodwin1877 5 месяцев назад

    Amina mtumishi

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 5 месяцев назад

    Amen

  • @user-sk4zx4nt1q
    @user-sk4zx4nt1q 5 месяцев назад +1

    nakufuatilia sn mtumishi

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 5 месяцев назад

    Hawafi Ndugu Kama Hivyo Diamond angeshakufa

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 5 месяцев назад +1

      Wewe wajua diamond Yuko kikao Cha hao wengine?It's either ukuwe na Mungu ama ukuwe hiyo side nyingine ,kama upo tu huna kikao basi wewe utaangamia bila kujua.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 5 месяцев назад

    Mbona Nabii mkuu hafi ??na Musa Kuhani

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 5 месяцев назад +1

      Umesema vizuri ni Nabii na Kuhani meaning wanatumikia Mungu,,,yuamanisha kama utatrend na huko Kwa Mungu Wala ushetani basi utaliwa juu huna kikao

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf 5 месяцев назад +1

    Amen mtumishi