MKRISTO ISHI KATIKA KUSOMA NENO LA MUNGU USIMEZWE NA MITANDAO ADUI AMEKUSUDIA MABAYA|MCH KATEKELA
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Amina mtumishi wa Mungu ni kweli kabisa kuhusu TikTok,kuna kijana hapa Kenya amekua sana TikTok anaitwa Brain Chira, alikufa kifo cha kutatanisha alizikwa juzi Mungu awasidie watoto wetu haki
AMEM MTUMISHI KATEKELA MUNGU AKUBARIKI UNA MAFUNDISHO MAZURI SANA
Munguakukubarki mtumishi wa Mungu nimejifunza mengikupitia mahubìri yako na shuhuda napenda niulizeswali katika maelezokuhusu chanjo yakorona nakikombe cha babu sikukupata vizuri
Jamani mimi nampenda Yesu
Amen mtumishii
Kweli mtu was mungu, kuna kijana mmoja alikua anasaidia viwete alikufa ,mwingine baba Mona naye kaenda ivyo , Brian shira kaenda evyo whah, tiktok
Mwenyezi Mungu atusaidie sana
Amen mtumish
AMEN MTUMISHI WA MUNGU
Amen Amen
Ameen Bwana yesu abewasifa
Amina
Amina mtumishi mungu akuweke viwango vya juu
Mtumishi naomba uelezee kuhusu pasaka
Amina mtumishi
Amen
nakufuatilia sn mtumishi
Hawafi Ndugu Kama Hivyo Diamond angeshakufa
Wewe wajua diamond Yuko kikao Cha hao wengine?It's either ukuwe na Mungu ama ukuwe hiyo side nyingine ,kama upo tu huna kikao basi wewe utaangamia bila kujua.
Mbona Nabii mkuu hafi ??na Musa Kuhani
Umesema vizuri ni Nabii na Kuhani meaning wanatumikia Mungu,,,yuamanisha kama utatrend na huko Kwa Mungu Wala ushetani basi utaliwa juu huna kikao
Amen mtumishi