WAZIRI Prof. MBARAWA AKAGUA VIVUKO, SGR KUINGIA BANDARINI, ASEMA KUHUSU NAULI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 май 2024

Комментарии • 20

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 23 дня назад +3

    😂😂😂 Mwananch sio mtu mzuri hata kidogo ukiwasikiliza tu kila mmoja atakwambia kivuko kijengwe karibu na anapoishi

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 23 дня назад +1

    Kazi iendelee

  • @JohnFortunatus
    @JohnFortunatus 23 дня назад +1

    Let's go my country 🔥🔥🔥

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 23 дня назад +1

    Tafadhali mizingo uchafu tren itachakaa muda mfupi.hilo mlitazame ni muhimu vibegi ya mgogoni sio viloba magunia hapana jamani

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 23 дня назад

    Na hiyo reli tuwape waarabu au vipi Mbarawa itakupendeza sana!

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 22 дня назад

    Msije kupanga bei ambazo shirika litashindwa kufanya services

  • @TwalibuAlbaamiryShoka
    @TwalibuAlbaamiryShoka 23 дня назад

    Tunaomba tiketi ziuzwe kwa QR Code au kwa mfumo wa Card

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 23 дня назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @loqciousmayai6307
    @loqciousmayai6307 22 дня назад

    Tulipeni pesa zetu za Nssf tumechoka

  • @kamilikapeta2574
    @kamilikapeta2574 22 дня назад

    Mbalawa huwa asmikwweli

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu 23 дня назад

    hiyo ni awamu ya tano bado maana huyo hajachaguliwa na wananchi

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 23 дня назад

    Daaa kumbe lile neno TUPO KWENYE MCHAKATO limeludi tena? wakati tulishaga lisahau Daaa aise RIP mzee baba Magufuli 😢😢😢

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 23 дня назад

      kipiiii kinafanywa bila mchakatooo wewe achaa ukondooo wako😂😂😂

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 22 дня назад

    Shida ya watanzania wanataka wavukio kila eneo na mahali popote. Hata ulaya haiko hivyo.

  • @beatricefelix1271
    @beatricefelix1271 21 день назад

    hakuna lolote hizo ni siasa tu hakuna kitakachofanyika hapo

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 23 дня назад +1

    Tanzania hatimae tumekua kama wa ulaya

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 22 дня назад

    Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 21 день назад

      Wako wapi sasa si ungewaona unapiga kelele kila kona sijui unataka uteuzi ukiona ivo hawapo we ulishaona mwanamke anakuwa interested nakuendesha gari moshi 😂😂😂😂

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 18 дней назад

      @@canibalgazaboy8325 wapo wengi wameomba wamekataliwa Na wengine wana qualifications hata wahudumu wa train wamechukua wanawake wabaya wazee wa kanda ya ziwa ndugu zao !