SIKU YA PILI, ABIRIA WAZIDI KUMIMINIKA SAFARI ZA SGR DAR - MORO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 96

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 3 месяца назад +6

    Shirika lilikuwa limekufa. Namkumbuka magufuli kwa kufufua hili shirika. Hongera mama samia kwa kumaliza kazi ipasavyo. 5 tena kwako mama❤

    • @rahmaomary5134
      @rahmaomary5134 3 месяца назад

      Mradi wa SGR ulizinduliwa kipindi cha raisi wanne

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 3 месяца назад

      ​@@rahmaomary5134unafikiri nani atakuelewa na maneno yako,hata kama ulikuwa humpend jpm,tutamkumbuka tu

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 3 месяца назад

      ​@@rahmaomary5134Pro-Magufuli hawataki kukubali kuwa mradi ulibuniwa na mchakato ulianzishwa na Kikwete.

    • @herodiduma9906
      @herodiduma9906 3 месяца назад

      Mipango yote ni awamu ya 3 utekekezaji awamu wa 5

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha4268 3 месяца назад +6

    kikubwa mradi uwe na mwendelezo. ni project nzur sana KIUCHUMI

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 месяца назад +1

    Hongereni Serikali sikivu kwa kuleta mambo haya mazuri kwa wananchi, Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mpe afya na nguvu SSH

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 месяца назад +13

    Watanzania hawana utamaduni wa kupanga foleni yaani tabia za vijiweni wafundisheni kupanga foleni Na tengenezeni matangazo ya kuwaonya abiria kuhusu uhabiribifu wa miundo mbinu ya ndani ya train

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 месяца назад

      wazo zuri sana

    • @kiatu
      @kiatu 3 месяца назад

      Ustaarabu kwetu ni changamoto

    • @vt-kn6qf
      @vt-kn6qf 3 месяца назад

      Please TRC mkajifunze Airport mifumo ya habiria kuweka foleni kuhelekea kwenye mabehewa Please 🙏 icho sio kituo cha daladala please

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 3 месяца назад

    Hongera SANA mama SAMIA KWA KUKAMILISHA ULICHO WAAHIDI WA TZ KWAMBA KAZI IENDELEE NA KWELI

  • @UnitedAfrica-uw9ct
    @UnitedAfrica-uw9ct 3 месяца назад +8

    USAFI WATANZANIA USAFI CHONDE CHONDE.......! , msije na mizigo ya mihogo na ndizi humo sio mahala pake.....

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 3 месяца назад

    Daaaa kiukwer mimi izo ofice zao kama irport daa bonge la dude seeeeeee mpka laaa 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗

  • @AloneChuga
    @AloneChuga 3 месяца назад +9

    Rip jpm

  • @iddrashid7054
    @iddrashid7054 3 месяца назад +3

    Mikoa ifungue vituo vya mabasi karibu na stedheni za SGR ilikusaidia wasafiri watakao kuwa wanashuka kuunganisha na safari barabara pia za kuenda stesheni ziboreshwe isije kuwa mtu unasafiri Dar Dodoma 4hrs halafu stesheni mpaka stendi ya mabasi 2hrs

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 месяца назад +6

    Muwafunze wa TANZANIA KUPANGA FOLENI MAANA HAWANA ADABU TOFAUTI NA NCHI ZINGINE NA HIYO NDIO INDICATOR YA KUJUA NI MTANZANIA JITAHIDI KUWAPIGIA KELELE KUHUSU HILO NI TABIA INAYO CHUKIZA SANA

    • @beaugosseadam6831
      @beaugosseadam6831 3 месяца назад +2

      Kila kitu hutona na Malezi pamoja na Tabia njema ya kujifunza. Wabongo wengi Malezi na Tabia zao ni za vijiweni. Hata Wasomi au Viongozi ukiwaangalia utaona dalili za ushamba tuuu

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 месяца назад +1

      hii tabia kwa wa Tanzania imekuwa ni kero sana ilitakiwe iwe kaulimbiu ya kitaifa kwa sababu hii tambia inaambatana na rushwa unakuta mtu kakukuta Dukani anataka audumiwe yeye kwanza inachukiza sana

    • @atkentravelafrica4361
      @atkentravelafrica4361 3 месяца назад +2

      Jambo jema na la kupendeza sana, Lakini kuna jambo moja la muhimu nalo ni mizogo ya abiri. Handleling ya mizigo ya abiria bado utaratibu wake haujazingatiwa vizuri na trc. Mzigo yote inapaswa kuwekwa lable na kuwa rapped na kuhifadhiwa katika behewa la mizigo. Sasa hapa naona tusha Beba na box zenye kuku katika behewa za abiria.

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 месяца назад +1

      ​@@atkentravelafrica4361TRC ingebakia kwene ku deal na usafiri hudumu zingine wangeachia Private sector ,itakufa na uchafu utakuwa kama walivyo shindwa kuendesha uwanja wa Taifa na Mwendo kasi wanajua kuazisha miradi tu lakini kuendeleza na kusimamia ni 000000000000000000

  • @carolinamushi6316
    @carolinamushi6316 3 месяца назад +1

    Hongera sana Raisi wetu kwa kazi nzuri. Mungu ibariki Tanzania 🙏

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa 3 месяца назад

      Kazi ya JPM ungesema Rip Jpm

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 месяца назад +10

    Wenye mabasi mjipange msihujumu tu 😂😂😂

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 месяца назад

      Hawawezi kwasababu usafiri huo ni single railway truck labda ingekua Doubled truck railway

  • @alexifunya7548
    @alexifunya7548 3 месяца назад +6

    Twende na wakati tukate tiketi online

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 месяца назад +11

    Barabara za morogoro kuelekea station ni mbaya sana. Tanroad wanafanya kazi kwa mazoea.

  • @jumaibrahimu1341
    @jumaibrahimu1341 3 месяца назад

    Tujitahd folen zisiwepo kama Air port kazi nzuri

  • @bnyangoma
    @bnyangoma 3 месяца назад +2

    Kwa nini inatakiwa NIDA namba?

  • @sporttz15
    @sporttz15 3 месяца назад +6

    Online website haifanyi kazi

    • @shaban6644
      @shaban6644 3 месяца назад +1

      Online ipo Kwa maboresho, tunaenda Na physical kwanza.

    • @kisutabora5914
      @kisutabora5914 3 месяца назад

      @@shaban6644 muwafikirie watalii wa nchi za nje iwe rahisi pia kwao kujiandikisha mtandaoni. Sasa hivi haiwezekani hata akiweka email

    • @mcback4384
      @mcback4384 3 месяца назад +1

      ​@@shaban6644miaka yote mnafanya majaribio ya nini? Incompetence kabisa

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 месяца назад

      ulitegemea itafanya kazi 😂😂😂😂

  • @SaleheAbdallah-i8b
    @SaleheAbdallah-i8b 3 месяца назад +2

    ongereni sana maendereo mazuri lakini mngefanya vitumike vitambulisho hata vyakupigia kura sio nida peke yake kunawengine hawana nida

    • @IkoUwasi-it6qy
      @IkoUwasi-it6qy 3 месяца назад

      sasa hujui kuwa NIDA ndio cha kupigia kura ndio maana kimebeba vitu vingi

    • @mcback4384
      @mcback4384 3 месяца назад

      Hapakuwa hata na haja ya NIDA, wangesema number yako tu ya simu, hakuna number ya simu isio na NIDA

  • @Beauthoms
    @Beauthoms 3 месяца назад

    Keep it up trc

  • @kanchanananayakkara8959
    @kanchanananayakkara8959 3 месяца назад

    Such a beautiful train❤

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa3518 3 месяца назад

    sisi wa Mbeya lringa na Njombe ngosha alitutenga😢

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 3 месяца назад +1

    Kwa kweli ni Hatua

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 3 месяца назад +1

    Mwalim Humphrey siku nyingi sana MWALIMU wangu uko wapi?

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961 3 месяца назад +2

    SAFI SANA. NCHI INAPAA

  • @majatamsafiri5
    @majatamsafiri5 3 месяца назад

    Watanzania ni vema kushirikiana katika kutunza miondombinu ya reli yetu ili endelee kuwa bora

  • @RamadhaniZuberi-qs7xv
    @RamadhaniZuberi-qs7xv 3 месяца назад +1

    Daa wapo wanaotuna hatuna macho wanatuminisha selikali haijafanya chochote cha maendeo

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa3518 3 месяца назад

    mwafrika anaitwa pelegrin!!!!!

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa4928 3 месяца назад +2

    Jitahidini kutumia technology watu waweze kukata online na kupata ticket kabisa kusiwepo mwingiliano na watu, inasaidia kuweka mazingira mazuruli ya kuepuka msongamano

    • @kisutabora5914
      @kisutabora5914 3 месяца назад

      Pia wawafikirie abiria waliopo nchi za nje kufanya booking kirahisi. Sasa hivi haiwezekani, lazima kujiandikisha, ila abiria wa nje mtandao inawagomea, hauruhusu, si nzuri kwa watalii

  • @bongohackss
    @bongohackss 3 месяца назад

    Thanks to Magufuli, RIP dady

  • @magorymara5515
    @magorymara5515 3 месяца назад +1

    Hili shirika wasipouzingatia usafi basi itakuwa ni kwa mapenzi yao wenyewe make kila kitu wamerahisishiwa ni sheria tu ndo wanatakiwa kuziweka kwa pande zote kwa abiria mpaka wafanyakazi ili tusijeonekana wa hovyo kama nchi

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 месяца назад +1

    Haya mabox mngezuia abiria kuingia nayo ndani ya train mngeruhusu mabegi tu

  • @allymganga3223
    @allymganga3223 3 месяца назад

    Ruti ziko 2 moja ndio hii ya saa 10 ya asubui inakuwa saa ngapi

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa 3 месяца назад

    Itunzeni hiyo miundombinu idumu Rip Jpm

  • @alfredmhana235
    @alfredmhana235 3 месяца назад +1

    Wamiliki wa mabasi wapunguze vurungu zawo kwa baraba.hiyo Haina foleni au eti kumsubiki kiwete Apite kwanza.

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray8700 3 месяца назад +1

    Inapendeza ila tunaomba teknolojia ichukue nafasi yake. Online tunakataje

  • @FredyVincent951753852456
    @FredyVincent951753852456 3 месяца назад +2

    Ili kuboresha ustaarabu TRC watengeneze mabehewa yenye sehemu za mizigo ya Watanzania . Hatuwezi kuacha asili watanzania hupewa zawadi za chakula na kadhalika( yawepo mabehewa maalum ya kubebea zawadi zao)

  • @joevang4685
    @joevang4685 3 месяца назад +1

    r.i.p jpm

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 3 месяца назад

    Mifumobya card vipi hongereni

  • @kisutabora5914
    @kisutabora5914 3 месяца назад +1

    Siti la watu 3, linasimama kila kituo

  • @mwajumabandula6122
    @mwajumabandula6122 3 месяца назад

    Sasa km huna NIDA huendi 😢😢

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 3 месяца назад

    Shida ni ufisadi tu nchi hii, RIP JPM

  • @ahmedronga7583
    @ahmedronga7583 3 месяца назад

    Km huna nida uwezi safir?

  • @HildaMwakalebera
    @HildaMwakalebera 2 месяца назад

    Kama sina nida je kwa siwezi panda

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege68 3 месяца назад

    NIDA inahusikaje na mtz kusafiri Dar Moro?

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 3 месяца назад

    Rip magu dah

  • @Japanese-lz1or
    @Japanese-lz1or 3 месяца назад +1

    Dahhh sasa mabsi yangu niamishe ruti sasa

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 3 месяца назад +1

      subiri nikutajie sababu kadhaa za mabasi kuendelea kuwepo hiyo route ya dar moro, 1. mabasi yanatoka mapema kuliko hiyo treni, baai la kwanza la moro dar ni saa kumi na moja kamili asubuhi linatoka na giza, na hadi saa tatu upo Dar, wakati treni ya moro dar ni saa mbili, 2. stesheni ya Dar ipo mbali na maeneo mengi mji, maeneo mengi watu wataamua kupanda basi, kwasababu foleni za kwenda posta zitaendelea kupoteza muda vilevile.
      3. mabasi hayana ratiba, sasa hivi basi la dar moro dar linaondoka linapojaa yani kama daladala, na tiketi unakatia mlangoni mwa basi, mambo ya kusafiri kwa muda maalum kutakuwa na watu ambao wana safari za ghafla, na wengine wataona usumbufu , wataendelea kupanda basi,

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy 3 месяца назад

      ​@@filamupictures9349Pia usisahau kuwa Kuna factor ya convenience, kwa mfano mtu anataka ashuke kimara Moja kwa Moja badala ya kushuka town then achukue taxi,
      Pia Kuna wakati ambapo treni haipo kwenye ratiba, imejaa, au umekimbiwa..
      Yani kuwaza kuwa treni inaua mabasi ni kujinyima ufikiri

    • @mcback4384
      @mcback4384 3 месяца назад

      ​@@filamupictures9349hata hivyo hakungetokea mabasi yasiwepo kabisa lakini huwezi pinga kwamba hawa abiria wote unaowaona hapa walikua ni wa mabasi kabla SGR haijaanza operation

  • @sunguraally2456
    @sunguraally2456 3 месяца назад

    Kwa Mteja ambae hana kitambulisho cha NIDA ila NAMBA ya NIDA anayo,anaruhusiwa kukata TIKET?

  • @AbelnegoPhilimon
    @AbelnegoPhilimon 3 месяца назад

    Daraja la walalahoi likoje, tuonesheni jinsi watu wanavyokaa kwenye daraja la chini

  • @samsonmweta5040
    @samsonmweta5040 3 месяца назад

    Tunaomba ratiba iwe wazi tujipange kufanya utalii 😂

  • @HassaniMzee
    @HassaniMzee 3 месяца назад

    Naomba maelekezo jinsi ya kukata tiketi mtandaoni

  • @jerryjohn8030
    @jerryjohn8030 3 месяца назад +1

    Hii ni kuipa mda kama mwendokasi 😂😂

    • @mcback4384
      @mcback4384 3 месяца назад

      Ubovu wa huduma ya mwendokasi ni basi chache, hii mzee trains sio chache, kuna ambazo ni doubldeck zenyewe hata mzigoni bado hazijaingia

  • @karyori69
    @karyori69 3 месяца назад

    Mbona online booking hamna nyie vp?

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад

    SAF SANA ...... MITANO TENA

  • @nicolausminja689
    @nicolausminja689 3 месяца назад

    🤔TRC kumenoga!

  • @straitnews3441
    @straitnews3441 3 месяца назад

    Kwa ticket online zipo au hazipo

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct 3 месяца назад +1

      Hakuna ticket online ndio kwanza wanapambana kufanya tovuti ifanye kazi

    • @iathumani
      @iathumani 3 месяца назад +2

      Tickets online zipo acha kujibu usichojua. Nimekata online two times.

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct 3 месяца назад

      @@iathumani juzi imebidi niende pale station kukata ticket kwa hiyo najua ninacho kisema , na nimeongea na mtu wa ICT TRC ame confirm bado site yao haiko tayari usitete ujinga...kila mtu anataka huduma nzuri....kama ATCL wana mfumo mzuri wa Ticket wao TRC kwanini wanachelewa kuanzisha jambo ambalo linawaletea pesa kirahisi...i wasted one hour trying to get a ticket.

  • @shedrackmutalemwa7310
    @shedrackmutalemwa7310 3 месяца назад

    Mtandaoni unakataje ticket

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 3 месяца назад

    Hizo electronic mbona kuna mtu kasimama wakati ni machine yenyewe inafunguka au ni mhovu hizo machine!!!!?

  • @iddrashid7054
    @iddrashid7054 3 месяца назад

    Usafiri uwe 24hrs

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 месяца назад

      Hakuna kitu kama hicho Duniani

  • @williamssempoli2294
    @williamssempoli2294 3 месяца назад +1

    Safi sana! Mfanyabiashara unatoka Moro asbh unashuka steshen unaingia Kariakoo unafanya yako then unageuza kiurahisi

  • @mahamudumbaruku5237
    @mahamudumbaruku5237 3 месяца назад

    Kwaiyo kama auna namba ya nida autaweza pata tiketi.