Watanzania hawana utamaduni wa kupanga foleni yaani tabia za vijiweni wafundisheni kupanga foleni Na tengenezeni matangazo ya kuwaonya abiria kuhusu uhabiribifu wa miundo mbinu ya ndani ya train
Mikoa ifungue vituo vya mabasi karibu na stedheni za SGR ilikusaidia wasafiri watakao kuwa wanashuka kuunganisha na safari barabara pia za kuenda stesheni ziboreshwe isije kuwa mtu unasafiri Dar Dodoma 4hrs halafu stesheni mpaka stendi ya mabasi 2hrs
Muwafunze wa TANZANIA KUPANGA FOLENI MAANA HAWANA ADABU TOFAUTI NA NCHI ZINGINE NA HIYO NDIO INDICATOR YA KUJUA NI MTANZANIA JITAHIDI KUWAPIGIA KELELE KUHUSU HILO NI TABIA INAYO CHUKIZA SANA
Kila kitu hutona na Malezi pamoja na Tabia njema ya kujifunza. Wabongo wengi Malezi na Tabia zao ni za vijiweni. Hata Wasomi au Viongozi ukiwaangalia utaona dalili za ushamba tuuu
hii tabia kwa wa Tanzania imekuwa ni kero sana ilitakiwe iwe kaulimbiu ya kitaifa kwa sababu hii tambia inaambatana na rushwa unakuta mtu kakukuta Dukani anataka audumiwe yeye kwanza inachukiza sana
Jambo jema na la kupendeza sana, Lakini kuna jambo moja la muhimu nalo ni mizogo ya abiri. Handleling ya mizigo ya abiria bado utaratibu wake haujazingatiwa vizuri na trc. Mzigo yote inapaswa kuwekwa lable na kuwa rapped na kuhifadhiwa katika behewa la mizigo. Sasa hapa naona tusha Beba na box zenye kuku katika behewa za abiria.
@@atkentravelafrica4361TRC ingebakia kwene ku deal na usafiri hudumu zingine wangeachia Private sector ,itakufa na uchafu utakuwa kama walivyo shindwa kuendesha uwanja wa Taifa na Mwendo kasi wanajua kuazisha miradi tu lakini kuendeleza na kusimamia ni 000000000000000000
Jitahidini kutumia technology watu waweze kukata online na kupata ticket kabisa kusiwepo mwingiliano na watu, inasaidia kuweka mazingira mazuruli ya kuepuka msongamano
Pia wawafikirie abiria waliopo nchi za nje kufanya booking kirahisi. Sasa hivi haiwezekani, lazima kujiandikisha, ila abiria wa nje mtandao inawagomea, hauruhusu, si nzuri kwa watalii
Hili shirika wasipouzingatia usafi basi itakuwa ni kwa mapenzi yao wenyewe make kila kitu wamerahisishiwa ni sheria tu ndo wanatakiwa kuziweka kwa pande zote kwa abiria mpaka wafanyakazi ili tusijeonekana wa hovyo kama nchi
Ili kuboresha ustaarabu TRC watengeneze mabehewa yenye sehemu za mizigo ya Watanzania . Hatuwezi kuacha asili watanzania hupewa zawadi za chakula na kadhalika( yawepo mabehewa maalum ya kubebea zawadi zao)
subiri nikutajie sababu kadhaa za mabasi kuendelea kuwepo hiyo route ya dar moro, 1. mabasi yanatoka mapema kuliko hiyo treni, baai la kwanza la moro dar ni saa kumi na moja kamili asubuhi linatoka na giza, na hadi saa tatu upo Dar, wakati treni ya moro dar ni saa mbili, 2. stesheni ya Dar ipo mbali na maeneo mengi mji, maeneo mengi watu wataamua kupanda basi, kwasababu foleni za kwenda posta zitaendelea kupoteza muda vilevile. 3. mabasi hayana ratiba, sasa hivi basi la dar moro dar linaondoka linapojaa yani kama daladala, na tiketi unakatia mlangoni mwa basi, mambo ya kusafiri kwa muda maalum kutakuwa na watu ambao wana safari za ghafla, na wengine wataona usumbufu , wataendelea kupanda basi,
@@filamupictures9349Pia usisahau kuwa Kuna factor ya convenience, kwa mfano mtu anataka ashuke kimara Moja kwa Moja badala ya kushuka town then achukue taxi, Pia Kuna wakati ambapo treni haipo kwenye ratiba, imejaa, au umekimbiwa.. Yani kuwaza kuwa treni inaua mabasi ni kujinyima ufikiri
@@filamupictures9349hata hivyo hakungetokea mabasi yasiwepo kabisa lakini huwezi pinga kwamba hawa abiria wote unaowaona hapa walikua ni wa mabasi kabla SGR haijaanza operation
@@iathumani juzi imebidi niende pale station kukata ticket kwa hiyo najua ninacho kisema , na nimeongea na mtu wa ICT TRC ame confirm bado site yao haiko tayari usitete ujinga...kila mtu anataka huduma nzuri....kama ATCL wana mfumo mzuri wa Ticket wao TRC kwanini wanachelewa kuanzisha jambo ambalo linawaletea pesa kirahisi...i wasted one hour trying to get a ticket.
Shirika lilikuwa limekufa. Namkumbuka magufuli kwa kufufua hili shirika. Hongera mama samia kwa kumaliza kazi ipasavyo. 5 tena kwako mama❤
Mradi wa SGR ulizinduliwa kipindi cha raisi wanne
@@rahmaomary5134unafikiri nani atakuelewa na maneno yako,hata kama ulikuwa humpend jpm,tutamkumbuka tu
@@rahmaomary5134Pro-Magufuli hawataki kukubali kuwa mradi ulibuniwa na mchakato ulianzishwa na Kikwete.
Mipango yote ni awamu ya 3 utekekezaji awamu wa 5
kikubwa mradi uwe na mwendelezo. ni project nzur sana KIUCHUMI
Hongereni Serikali sikivu kwa kuleta mambo haya mazuri kwa wananchi, Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mpe afya na nguvu SSH
Watanzania hawana utamaduni wa kupanga foleni yaani tabia za vijiweni wafundisheni kupanga foleni Na tengenezeni matangazo ya kuwaonya abiria kuhusu uhabiribifu wa miundo mbinu ya ndani ya train
wazo zuri sana
Ustaarabu kwetu ni changamoto
Please TRC mkajifunze Airport mifumo ya habiria kuweka foleni kuhelekea kwenye mabehewa Please 🙏 icho sio kituo cha daladala please
Hongera SANA mama SAMIA KWA KUKAMILISHA ULICHO WAAHIDI WA TZ KWAMBA KAZI IENDELEE NA KWELI
USAFI WATANZANIA USAFI CHONDE CHONDE.......! , msije na mizigo ya mihogo na ndizi humo sio mahala pake.....
Daaaa kiukwer mimi izo ofice zao kama irport daa bonge la dude seeeeeee mpka laaa 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Rip jpm
Mikoa ifungue vituo vya mabasi karibu na stedheni za SGR ilikusaidia wasafiri watakao kuwa wanashuka kuunganisha na safari barabara pia za kuenda stesheni ziboreshwe isije kuwa mtu unasafiri Dar Dodoma 4hrs halafu stesheni mpaka stendi ya mabasi 2hrs
Muwafunze wa TANZANIA KUPANGA FOLENI MAANA HAWANA ADABU TOFAUTI NA NCHI ZINGINE NA HIYO NDIO INDICATOR YA KUJUA NI MTANZANIA JITAHIDI KUWAPIGIA KELELE KUHUSU HILO NI TABIA INAYO CHUKIZA SANA
Kila kitu hutona na Malezi pamoja na Tabia njema ya kujifunza. Wabongo wengi Malezi na Tabia zao ni za vijiweni. Hata Wasomi au Viongozi ukiwaangalia utaona dalili za ushamba tuuu
hii tabia kwa wa Tanzania imekuwa ni kero sana ilitakiwe iwe kaulimbiu ya kitaifa kwa sababu hii tambia inaambatana na rushwa unakuta mtu kakukuta Dukani anataka audumiwe yeye kwanza inachukiza sana
Jambo jema na la kupendeza sana, Lakini kuna jambo moja la muhimu nalo ni mizogo ya abiri. Handleling ya mizigo ya abiria bado utaratibu wake haujazingatiwa vizuri na trc. Mzigo yote inapaswa kuwekwa lable na kuwa rapped na kuhifadhiwa katika behewa la mizigo. Sasa hapa naona tusha Beba na box zenye kuku katika behewa za abiria.
@@atkentravelafrica4361TRC ingebakia kwene ku deal na usafiri hudumu zingine wangeachia Private sector ,itakufa na uchafu utakuwa kama walivyo shindwa kuendesha uwanja wa Taifa na Mwendo kasi wanajua kuazisha miradi tu lakini kuendeleza na kusimamia ni 000000000000000000
Hongera sana Raisi wetu kwa kazi nzuri. Mungu ibariki Tanzania 🙏
Kazi ya JPM ungesema Rip Jpm
Wenye mabasi mjipange msihujumu tu 😂😂😂
Hawawezi kwasababu usafiri huo ni single railway truck labda ingekua Doubled truck railway
Twende na wakati tukate tiketi online
Barabara za morogoro kuelekea station ni mbaya sana. Tanroad wanafanya kazi kwa mazoea.
😁😁🤣🤣 hii ndio bongo kaka
unataka vitu vizuli kwani upo uraya
Sanaaaa
Tujitahd folen zisiwepo kama Air port kazi nzuri
Kwa nini inatakiwa NIDA namba?
Online website haifanyi kazi
Online ipo Kwa maboresho, tunaenda Na physical kwanza.
@@shaban6644 muwafikirie watalii wa nchi za nje iwe rahisi pia kwao kujiandikisha mtandaoni. Sasa hivi haiwezekani hata akiweka email
@@shaban6644miaka yote mnafanya majaribio ya nini? Incompetence kabisa
ulitegemea itafanya kazi 😂😂😂😂
ongereni sana maendereo mazuri lakini mngefanya vitumike vitambulisho hata vyakupigia kura sio nida peke yake kunawengine hawana nida
sasa hujui kuwa NIDA ndio cha kupigia kura ndio maana kimebeba vitu vingi
Hapakuwa hata na haja ya NIDA, wangesema number yako tu ya simu, hakuna number ya simu isio na NIDA
Keep it up trc
Such a beautiful train❤
sisi wa Mbeya lringa na Njombe ngosha alitutenga😢
Kwa kweli ni Hatua
Mwalim Humphrey siku nyingi sana MWALIMU wangu uko wapi?
SAFI SANA. NCHI INAPAA
Watanzania ni vema kushirikiana katika kutunza miondombinu ya reli yetu ili endelee kuwa bora
Daa wapo wanaotuna hatuna macho wanatuminisha selikali haijafanya chochote cha maendeo
mwafrika anaitwa pelegrin!!!!!
Jitahidini kutumia technology watu waweze kukata online na kupata ticket kabisa kusiwepo mwingiliano na watu, inasaidia kuweka mazingira mazuruli ya kuepuka msongamano
Pia wawafikirie abiria waliopo nchi za nje kufanya booking kirahisi. Sasa hivi haiwezekani, lazima kujiandikisha, ila abiria wa nje mtandao inawagomea, hauruhusu, si nzuri kwa watalii
Thanks to Magufuli, RIP dady
Hili shirika wasipouzingatia usafi basi itakuwa ni kwa mapenzi yao wenyewe make kila kitu wamerahisishiwa ni sheria tu ndo wanatakiwa kuziweka kwa pande zote kwa abiria mpaka wafanyakazi ili tusijeonekana wa hovyo kama nchi
Haya mabox mngezuia abiria kuingia nayo ndani ya train mngeruhusu mabegi tu
Ruti ziko 2 moja ndio hii ya saa 10 ya asubui inakuwa saa ngapi
Itunzeni hiyo miundombinu idumu Rip Jpm
Wamiliki wa mabasi wapunguze vurungu zawo kwa baraba.hiyo Haina foleni au eti kumsubiki kiwete Apite kwanza.
Inapendeza ila tunaomba teknolojia ichukue nafasi yake. Online tunakataje
Ili kuboresha ustaarabu TRC watengeneze mabehewa yenye sehemu za mizigo ya Watanzania . Hatuwezi kuacha asili watanzania hupewa zawadi za chakula na kadhalika( yawepo mabehewa maalum ya kubebea zawadi zao)
r.i.p jpm
Mifumobya card vipi hongereni
Siti la watu 3, linasimama kila kituo
Sasa km huna NIDA huendi 😢😢
Shida ni ufisadi tu nchi hii, RIP JPM
Km huna nida uwezi safir?
Kama sina nida je kwa siwezi panda
NIDA inahusikaje na mtz kusafiri Dar Moro?
Rip magu dah
Dahhh sasa mabsi yangu niamishe ruti sasa
subiri nikutajie sababu kadhaa za mabasi kuendelea kuwepo hiyo route ya dar moro, 1. mabasi yanatoka mapema kuliko hiyo treni, baai la kwanza la moro dar ni saa kumi na moja kamili asubuhi linatoka na giza, na hadi saa tatu upo Dar, wakati treni ya moro dar ni saa mbili, 2. stesheni ya Dar ipo mbali na maeneo mengi mji, maeneo mengi watu wataamua kupanda basi, kwasababu foleni za kwenda posta zitaendelea kupoteza muda vilevile.
3. mabasi hayana ratiba, sasa hivi basi la dar moro dar linaondoka linapojaa yani kama daladala, na tiketi unakatia mlangoni mwa basi, mambo ya kusafiri kwa muda maalum kutakuwa na watu ambao wana safari za ghafla, na wengine wataona usumbufu , wataendelea kupanda basi,
@@filamupictures9349Pia usisahau kuwa Kuna factor ya convenience, kwa mfano mtu anataka ashuke kimara Moja kwa Moja badala ya kushuka town then achukue taxi,
Pia Kuna wakati ambapo treni haipo kwenye ratiba, imejaa, au umekimbiwa..
Yani kuwaza kuwa treni inaua mabasi ni kujinyima ufikiri
@@filamupictures9349hata hivyo hakungetokea mabasi yasiwepo kabisa lakini huwezi pinga kwamba hawa abiria wote unaowaona hapa walikua ni wa mabasi kabla SGR haijaanza operation
Kwa Mteja ambae hana kitambulisho cha NIDA ila NAMBA ya NIDA anayo,anaruhusiwa kukata TIKET?
Daraja la walalahoi likoje, tuonesheni jinsi watu wanavyokaa kwenye daraja la chini
Si ndo ilo uchumi
Tunaomba ratiba iwe wazi tujipange kufanya utalii 😂
Naomba maelekezo jinsi ya kukata tiketi mtandaoni
Hii ni kuipa mda kama mwendokasi 😂😂
Ubovu wa huduma ya mwendokasi ni basi chache, hii mzee trains sio chache, kuna ambazo ni doubldeck zenyewe hata mzigoni bado hazijaingia
Mbona online booking hamna nyie vp?
Upon. Ingia/tafuta/google sgrticket.trc.co.tz
Online booking ipo
SAF SANA ...... MITANO TENA
🤔TRC kumenoga!
Kwa ticket online zipo au hazipo
Hakuna ticket online ndio kwanza wanapambana kufanya tovuti ifanye kazi
Tickets online zipo acha kujibu usichojua. Nimekata online two times.
@@iathumani juzi imebidi niende pale station kukata ticket kwa hiyo najua ninacho kisema , na nimeongea na mtu wa ICT TRC ame confirm bado site yao haiko tayari usitete ujinga...kila mtu anataka huduma nzuri....kama ATCL wana mfumo mzuri wa Ticket wao TRC kwanini wanachelewa kuanzisha jambo ambalo linawaletea pesa kirahisi...i wasted one hour trying to get a ticket.
Mtandaoni unakataje ticket
Hizo electronic mbona kuna mtu kasimama wakati ni machine yenyewe inafunguka au ni mhovu hizo machine!!!!?
Usafiri uwe 24hrs
Hakuna kitu kama hicho Duniani
Safi sana! Mfanyabiashara unatoka Moro asbh unashuka steshen unaingia Kariakoo unafanya yako then unageuza kiurahisi
Kwaiyo kama auna namba ya nida autaweza pata tiketi.