PROF. MBARAWA AKAGUA UJENZI WA SGR ISAKA-MWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amezungumzia kuridhishwa kwake na kasi ya ujenzi wa reli ya kisasa SGR sehemu ya Isaka-Mwanza KM 341na kuwataka wakazi wa kanda ya ziwa kujipanga kutumia fursa hiyo ya uchumi.
    Amesema wakati ujenzi wa SGR ukiendelea ni wakati wa wadau mbalimbali kubuni fursa za kibiashara na kihuduma zitakazoendana na matumizi ya treni mpya ya kisasa.

Комментарии •