Hongera sana Mama Samiha.Treni zimependeza sana ila hofu yangu ni suala La usafi sijui tumejipangaje.na Walichofeli Waandishi wa habari kwenye hii dhiara ya majaribio hawakuwauliza wakurugenzi juu ya suala la USAFI.
Uyo dada anasema asane laisi samia kwa kulinda kibarua chake ionekane samia ndo anafanya kaz hii lakin kwenye comet ni magufuli2 we ka na uyo samia wako
Rais SH.Kazi nzuri endelea hivi hivi kuipatia maendeleo makubwa nchi yako Tanzania ndo nyumbani tutazunguka huko tutarudi nyumbani Tanzania.Big up SH,My president.
Ningependekeza Rangi ya viti vya Bussiness ibadilishwe au ifanyiwe ubunifu ipendeze, rangi moja tu tena ya orange haiji kabisa! Viti vya Economy vina muonekano mzuri kuliko vya Bussiness!
@@robertphilip385 alimuua nani Kwa ujinga acha kusifia wapumbavu wanaojiita viongoz wakat wanakula rushwa tu ... Hayo maendeleo unayoyaona Leo ni mipango ya magufuri yote ... Mnasifia kiongoz anaueshindwa kubalance bei ya sukari na miunodombinu ya umeme nchi gani hiyo
Lazma ujue kwamba sio kila mpango mkakati unapo pangwa na serikali ni lazma ufanyike kwa wakati huo huo hasa ktk miradi mikubwa ya kimkakati inahitaji umakini wa hali ya juu ikiwezekana yanakusanywa maoni juu ya kilicho wasilishwa hivyo basi wala usikatae hii miradi mikubwa ya nchi inakuwepo ila utekelezaji wake ndo huchua muda wazo linakuja awamu ya 6 ila utekelezaji unakuja awamu hata ya 8@@user-fl3fb5gh6b
VERY COOL..Lakini nimeshangaa kuona katika VIDEO HII kwenye dakika ya 3:32 ....UTAONA TRENI IKIWA NJIANI KWENYE MWENDO HUKU BAADHI YA MILANGO IKIWA WAZI.....Huku EUROPE HAKUNA TRENI YA UMEME INAYOWEZA KUFANYA KITUKO KAMA HICHO...#USALAMA KWANZA ... NI KOSA KUBWA HATA IKIWA NI MAJARIBIO...HAIRUHUSIWI....
Magu hooooyeeee mungu akupunguzie adhabu uko ulipo wameaanza kujaribu miladiyako baba ila wameiijumusana Sina uakika Kama watamaliza Kama ulivyotaka iwe baba watu wanaujumusana miladiyako
Hunger sn Tanzania km alivyosema JPM Tz ni nchi Tajikistan basically ht kulipwa mshaha kwa mtu m1 m1 inawezekana. DHAHABU,ALMASI , BANDARI NA MBUGA ZA WANYAMA ,
Tumetoka Mbali Nakumbuka.Nimewahi Kupanda Treni Ya Makaa Yamawe Nikitoka Mombo Kwenda Arusha Nikiwa Mdogo Na Marehemu Bibi Yangu Nikaja Kupande Tofauti Na Ile Nikiwa Mkubwa Na Leo TZ Tunaingia Ya Kutumia Umeme Kweri Tumepiga Hatua IPO Siku Nahiyo Nitaipanda
Kuwe na viatu maalum vyakupandia maana navyowajua wabongo ilo kapeti litajaa mchanga wiki tu namaganda ya karanga maana mwingine atanunua mahindi asafiri huku anatafuna ainjoi safari
Hi Sio project ya mtu binafsi hela haitoki Kwa mfuko wake ama account..bali ni ishuru ya mwananchi..tuwache kuwasifia watu ambao wamechaguliwa kufanya kazi .. anybody can do it.
Matapeli wakubwa,umeme haujawahi kuwatosha wananchi hata tren ya kawaida mmezishindwa ndo itakuwawendokasi mabasi ya mwendokasi yenyewe mmeyaua asilimia hamsini ccm acheni utapeli wa fikra kwa watanzania hiyo trenni showoff hakuna kitu hapo tupeni umeme wa uhakika hata majumbani tu
With this new railway Tz is set to be a serious logistics hub in Africa .
Congratulations Watanzania!
Tanzania nchi tajiri na Mama samia atasababisha wananchi wapate usafiri Mzuri. ❤❤❤ Keep Moving forward Tanzania.
Dr, Samia yupo vizuri, na hatuna shaka nae, maana alikua pacha wa jpm, shida ni Yale mafisadi yalio chini yake.
Tuyataje au tuyaache😂😂
Yataje
Hongera nchi ya Tanzania Hongera mama samia songa mbele kwa kujenga Tanzania 🇹🇿
Maua maua ndugu yetu Hayati Magufuli. Pumzika kwa Amani Baba
Ndio nn
AMBACHO HUJAKIJUA NI KIPI@@sultansallah8772
Machoko utayajua humu
Usafi please na utunzani
Sio mauchafu kutupwa ovyo
Hongera sana Mama Samiha.Treni zimependeza sana ila hofu yangu ni suala La usafi sijui tumejipangaje.na Walichofeli Waandishi wa habari kwenye hii dhiara ya majaribio hawakuwauliza wakurugenzi juu ya suala la USAFI.
Asante sana magufuli, ndiyo leo wamemaliza kazi ya train 🚉
Bado hawajamaliza, bado sana
Uyo dada anasema asane laisi samia kwa kulinda kibarua chake ionekane samia ndo anafanya kaz hii lakin kwenye comet ni magufuli2 we ka na uyo samia wako
Hongera Mama Samia kwa kazi nzuri
@@halunimnenwa5224
Na wewe nenda chato kakae na huyo Magufuli wako
Hongera Mama Samia kwa mwendelezo na Kupiga hatua mbele
MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI 💪💪💪🇹🇿 Hakika Raisi Dkt John MAGUFULI alitengeneza ALAMA icon ambayo haitasahaulika milele na Taifa 🇹🇿 na DUNIA 💪💪💪💪
Hongera sana baba huko uliko
big question is! je tutaweza kuendeleza na kutunza, au itakuwa kama mabasi ya mwendokasi☹
Kuna vingi vya kumuiga mzee wetu magufuli mungu amsamee baazi yamakosa yake🙏🙏
Hakuna aliyekamilika mkuu.
Asante Mungu kwa neema hii ya usafiri huu hii hakika ni hatua kubwa Sana
Wahoooo am exceedingly humbled am profoundly honoured in My President 's leadership. Her Excellency Samia Suluhu Hassan...
Ongea kiswahili wew
Hongera kwa serikari
Rais SH.Kazi nzuri endelea hivi hivi kuipatia maendeleo makubwa nchi yako Tanzania ndo nyumbani tutazunguka huko tutarudi nyumbani Tanzania.Big up SH,My president.
Ningependekeza Rangi ya viti vya Bussiness ibadilishwe au ifanyiwe ubunifu ipendeze, rangi moja tu tena ya orange haiji kabisa! Viti vya Economy vina muonekano mzuri kuliko vya Bussiness!
Hongera sana Tz hongera Mama yetu Samia hongera Watanzania wote kwa ushirikiano na mapokezi mazuri
Jembe Magufuli aliona mbali , iko poa sana
Baba magufuri tutakukumbuka 😢😢😢 daima
Tusiwe wabinafsi,magufuli kweli alianzisha lkn si wapo walioendeleza!kwanini wote tusiwapongeze?
Hakika Jembe letu baba upumzike kwa amani , amina🎉🎉🎉
Msingemuua mwamba mpaka Leo tungekuwa mbali sana ... Rip malume Magu walikuua ili wanifanye wao ndio walioleta maendeleo
Pole😅
Yule mjinga na yeye aliua wengi anaeua Kwa upanga nayeye atauwawa Kwa upanga kwahiyo utetee ujinga
@@robertphilip385 alimuua nani Kwa ujinga acha kusifia wapumbavu wanaojiita viongoz wakat wanakula rushwa tu ... Hayo maendeleo unayoyaona Leo ni mipango ya magufuri yote ... Mnasifia kiongoz anaueshindwa kubalance bei ya sukari na miunodombinu ya umeme nchi gani hiyo
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
Huyo alikwenda kunawa kwenye fountain tap itakuwa haijui matumizi yake. Hiyo ni kwa matumizi ya kunywa maji
Mh!umemuona kumbe?
Ndio wanatakiwa wawafundishe abiria jinsi yakutumia vitu vilivyomo humo ndani bila hivyo ni shida.
R I P Magufukuli uliyo achaa bado na endelea Kwa wa Tanzania Allah akupe Nuru uko uliko Sleep well still remember you comred
hili ni wazo la jakaya ndie alieanzisha maqufuli akarithi rejeeni historia
Atii wazo la kikwete,mbona alishindwa
@@user-fl3fb5gh6b alishindwa wapi wewe wafadhili wakwanza katika ujenzi huu wa reli ni nani aliewashauri au ulikua bado unanyoya?
@@user-fl3fb5gh6bna huyo magu wenu pia kashinda. Bisamia oyee. Magu kazi yake alikuwa ni kufilisi watu tu
Lazma ujue kwamba sio kila mpango mkakati unapo pangwa na serikali ni lazma ufanyike kwa wakati huo huo hasa ktk miradi mikubwa ya kimkakati inahitaji umakini wa hali ya juu ikiwezekana yanakusanywa maoni juu ya kilicho wasilishwa hivyo basi wala usikatae hii miradi mikubwa ya nchi inakuwepo ila utekelezaji wake ndo huchua muda wazo linakuja awamu ya 6 ila utekelezaji unakuja awamu hata ya 8@@user-fl3fb5gh6b
Tanzania congratulations and I hope magufuli alifanya makubwa walio achiwa wanatekeleza vizuri kazi iliyo bakia kongole Mama samia
PONGEZI kubwa kwa Raisi Dkt John pombe MAGUFULI
Nawaza huo mgao wa umeme sasa?
Magufuli hayupo kimwili lakini bado anaendelea kufanya kazi
Kama lengo ni kumpongeza hayati Magu basi na Mh SSH apewe maua walikua wote.Tusisahau hio plz😂😂👏👏👏
kweli tanzania imendelea sana kuliko kenya pongezi wa bongo
lazima mtaje Kenya
Maguuu maua yake huko mbinguni amen
Nani kakwambia yupo mbinguni
Mimi nimesema!!!@@letthedeadburythedead2148
@@letthedeadburythedead2148 basi huko aliko
Kila kitu magu, magu nyie mnazani hakuna mwingine angeweza kufanya hivo...
@@piusgadau6328kumbuka yy ndo kaanzisha
KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉
Mama fanyen kwel tok dar to arusha kabla ya afcon itakuw mmechez...watu watatak kutalii zaid kupitia tren
👏👏👏👏👏👏👏👏
Hasante marehemu maghufuri kwa kuanzisha treni hii na hongera mama samia kwa kukamilisha treni kufanyakazi leo
160kph ni ndogo sana kwa tren ya umeme...inabid iwe kuanzia 200kph na zaid
Thanks JPM & SSH
Hongera TRC. Hio full a/c ikipata hitilafu madirisha yanaweza kushushwa?
Tuta kukumbuka daima JPM congratulations jembe
Congratulation tanzanian thats a big step
mashaAllah kama ndege❤
VERY COOL..Lakini nimeshangaa kuona katika VIDEO HII kwenye dakika ya 3:32 ....UTAONA TRENI IKIWA NJIANI KWENYE MWENDO HUKU BAADHI YA MILANGO IKIWA WAZI.....Huku EUROPE HAKUNA TRENI YA UMEME INAYOWEZA KUFANYA KITUKO KAMA HICHO...#USALAMA KWANZA ... NI KOSA KUBWA HATA IKIWA NI MAJARIBIO...HAIRUHUSIWI....
Ndio Bongo hii mzazi acha tu
Hongera sana kazi inaendelea
Hongera mama samia
Mama Samia namba one tz. Hana ubaguzi yy ni kazi kazi. Wenye roho nyeusi wabakinazo tu.
Samia kafanya Nini wew boya!
@@miltonjohn9779 boya mwenyewe mkundu mweusi kama nyani. Ww huwezi kuona kafanya nini kwani roho yako inachuki binafsi. Chuki zinamfanya mtu awe kipofu.
Nampongesa rais wetu samia , hakika hajatuangusha , huyu ni kiongoz kwelikwel
PONGEZI kubwa Ziende kwa Raisi wetu DKT John pombe MAGUFULI 💪💪🇹🇿🫡
Much better than Kenya big up wooooohoooooo
is Coming
Tren yenyewe yamwaka 70 tunataka treni ya mchongoko sio hiyo
tumba hilo la kizamani
@@whatisthetruth.8793 lakini hili tumba pia hatukuwa nalo
I si ya mtumba ya mtumba mabeewa yamefika yale ya gorofa bado vichwa
Tuitunze jamani tuwache Uswahili na tuwe na nidhamu big up Tanzania!
Magufur mungu akutunze pastor
Hongera sana président Samia na heshima kubwa sana kwa malehemu Magufuli
Tanesco naye ni nani😂😂😂
Hawamjui vzr.. Ye yuko pale anawazoom tu😂😂
Magu hooooyeeee mungu akupunguzie adhabu uko ulipo wameaanza kujaribu miladiyako baba ila wameiijumusana Sina uakika Kama watamaliza Kama ulivyotaka iwe baba watu wanaujumusana miladiyako
Ishu ni yatadumu au ndio wahusika watachukua Salio la wamiliki wa mabasi ili wayauwe ili wapate wateja kwenye mabasi
Hilo nalo neno na mafundi wanaojua kuyarekebisha wanao au mpaka watoke nje.
Bale kigamboni Ile Panton Kuna TV sijui Ile TV inafanya kazi gani hiii miaz kumi na Moja napita na mv hapa kazi tv Ile sijui wausika wapo kaburini😊
Itawaka kipindi cha kampen kuwa mtulivu😂😂😂😂
Kwahiy hizi treni ni 2,yani moja wakati inqkwenda dar nyengne inqkwenda moro ?? Au vp wana comments?
Hamna treni treni wamesha ichakachua ilitakiwa ije ya kufanana na ndege Hiyo ndio mwendo Kasi,,,Sasa hii Kama ya kwenda kigoma 😮😮😮😮😅
Amna treni hapa temepigwa kwa wenzetu izo ni treni za kubeba mizigo muonekano wa nje kama semi trela
Hunger sn Tanzania km alivyosema JPM Tz ni nchi Tajikistan basically ht kulipwa mshaha kwa mtu m1 m1 inawezekana. DHAHABU,ALMASI , BANDARI NA MBUGA ZA WANYAMA ,
Mbona za wenzetu hazipo hv au zile ni za Gesi😂😂😂😂
mtumba huu 🤣🤣🤣 ulikuwa ushatupwa wao wameenda kuununua
Samahani mwenzako yupi 😂
Mwenzako yupi? Hatuwezi kua grade moja hapa duniani labda mbinguni😂😂😂
@@KiongoziMwandamizi hata mbinguni hawezi kalia kiti cha Musa,
R I P Magufuli 💪, japo sidhan kama ndo ilikua aina ya mabehewa uliyoyakusudia na mda ulioupanga kuanza kufanyakazikwa trenii
Kusema kweli mumetushinda yetu ya kenya
Naomba kazi
This is way better than the kenyan SGR..and for way cheap..Uhunye alituosha manze😢
Kama Uhuru aliwaosha,Ruto atawakatakata Kama kitunguu.
Hizo siti za Watu watatu hapana aisee.... sijui watakuwa wanapima watu kg.....
😂😂😂ata hawa wamegongwa pia...
Zitsenda mpaka Nsirobi?
Yeah! Tanzania kila la heri na maendeleo.
Tatizo watanzania wengi sio wastaarabu na wachafu wape mwezi tu treni itakuwa kama choo
Hapa ndio shida inapoanza ukawaida, kuchukulia vitu poa, kuharibu vitu...natamani wachapwe viboko hawa wachafuzi
Dada unaongea points tupu😊😊😊
Nice one
Mnajitoa ufahamu mwanzilishi hatajwi kabisa,
Hongera sana Mama Samia , yeyote leo atakayekutukana Mama Samia Mimi ninaye 😊
Tumetoka Mbali Nakumbuka.Nimewahi Kupanda Treni Ya Makaa Yamawe Nikitoka Mombo Kwenda Arusha Nikiwa Mdogo Na Marehemu Bibi Yangu Nikaja Kupande Tofauti Na Ile Nikiwa Mkubwa Na Leo TZ Tunaingia Ya Kutumia Umeme Kweri Tumepiga Hatua IPO Siku Nahiyo Nitaipanda
Nauli bei gani?
Ongeleni sana
Mimi nina wasiwasi mkubwa kwenye usafi wa ndani na nje ya treni,na ubora wa huduma zote,tukifeli hapo kwa muda mfupi treni itakuwa haitamaniki kabisa!
Kama umeme ndo mnakta hivi sasa hii treni itakuwaje
M'mungu ailinde Tran hii amen🙏
Mungu harindi train bari ninyi msiharibu train hiyo. Kwakua mungu hatokushika mkono usiharibu kama unataka kuharibu.
Mfundishe watu ustaarabu Sasa, na ninyi pia muwe wastaarabu, lkn keep nyume na hilo jata hizo meza zitakiwa viti au stand za mizigo
ziitwe JPM rail ways hilo jina la mwendokasi limekaa kishamba sana
Hongera Sana Kwa serikali na za kipekee Kwa magufuli huko aliko
Je itakuwepo na treni ya mizigo?
Ndio walisema ipo
Kuwe na viatu maalum vyakupandia maana navyowajua wabongo ilo kapeti litajaa mchanga wiki tu namaganda ya karanga maana mwingine atanunua mahindi asafiri huku anatafuna ainjoi safari
😂😂😂😂
Tanzania on top
Hiyo ya economy ina Changamoto kidogo ,mtu wa dirishani akitaka kutoka ataleta usumbufu kwa aliyekaa pembeni yake
Mbona muda ni mrefu sana..dar to moro dk 90 ni nyingi sana..
Ilibidi iwe 90mn
Bas tutafanya dakika 9
@@adkajisi4536😂😂 ilibidi iwe 90 mn badala ya dk 90
MAGUFULI ❤R.I.P
Yani Hii Train ina viti kama Vya Ndege
Wewe Dada Kenya wanayo usitudanganye au hujawahi kufika Kenya ?
huku kenya ni ya disel sio nishati
@@jossycally Mwaka 2017 Kenya walianza kuwa na SGR train iliyojengwa na Wachina. Huamini ebu Google uone
@@leokamil6284ile ni ya diesel sio umeme
Ya Kenya ni ya diesel ya Tanzania ni ya umeme. Alimaanisha hii ni treni ya kwanza ya umeme East Africa.
@@t1910j Mimi naona kiswahili ndio lugha ya taifa Tanzania lakini bado kuelewa imekuwa shida waziri alisema ya disel pia iko 😊
Hii safi sana, nchi inasonga mbele. Dar to Morogoro kwa dk 90? Itakuwa inakimbia sana. Safi sana hii.
Hilo kontena napanda naendanalo wapi mm
Bayaaa! Eti kutoka dar to moro masaa matano!! C bora Nipande abood
Hi Sio project ya mtu binafsi hela haitoki Kwa mfuko wake ama account..bali ni ishuru ya mwananchi..tuwache kuwasifia watu ambao wamechaguliwa kufanya kazi .. anybody can do it.
Brooo watu wanataka vinafasiii 😂😂😂
Matapeli wakubwa,umeme haujawahi kuwatosha wananchi hata tren ya kawaida mmezishindwa ndo itakuwawendokasi mabasi ya mwendokasi yenyewe mmeyaua asilimia hamsini ccm acheni utapeli wa fikra kwa watanzania hiyo trenni showoff hakuna kitu hapo tupeni umeme wa uhakika hata majumbani tu
Safi sana ila naomba nauli isiwe kubwa sana
Tutaweza kuitunza? Hapo Kuna changamoto
Msifieni basi na JPMagufuli huyo ndio mwamba aliye tufumbua macho na kuweka kifua mbele
Ethiopia ndio ilikuwa nchi ya kwanza east africa kutumia reli ya umeme
Ethiopia haipo east africa
TATIZO LA TZ NAWAZA ILE SIKU UTAKUTA RELI IMEIBIWA CHUMA KIMEENDA KUUZWA KWENYE NONDO
Ikitokey umeme umekatika itakuwak sas???