MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 май 2024

Комментарии • 53

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 23 дня назад +6

    Kwa mambo haya
    Yanayo onekana ktk macho
    Yetu watanzania inabidi
    Tumuombee tusichoke ktk
    Maombi yetu Dr Magufuli
    Vile vile Dr samia tusimsahau
    Kwa kazi alizo achiwa

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 23 дня назад +8

    Mdogomdogo Tanzania inaanza kung'aa kwenye miundombinu🎉🎉🎉🎉

  • @abelg2488
    @abelg2488 23 дня назад +5

    All the best madereva. Uadilifu ubora na bidii viwe ngao na nguzo katika utendaji wenu

  • @ibraton4071
    @ibraton4071 23 дня назад +9

    Hvi Hakuna bajeti ya kusafisha hilo jengo la zaman la reli ya zaman maana jengo zuri hila hapo pembeni pachafu sana

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 23 дня назад +3

    Mko sawa maana President Magufuri alifanya kazi kubwa sana

  • @usamaahmed2624
    @usamaahmed2624 23 дня назад +3

    Hii ni sawa na ndege ni umakini wa hali ya juu unapaswa kuzingatiwa, safety first na kuondoa kabisa mazoea (complacent') ili hivi vyombo vidumu na kuepusha ajali zembe, report every unusual incident before, during and even after, and cleanness and inspection ya chombo ni muhimu sana.. All the best Driver.. VIVA TANZANIA VIVA!!!

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 23 дня назад +1

      Tatizo hatu tunzi vitu angalia mgr hovyo,,, angalia mwendokasi bus,,,,hovyo,,,,, tuna weza tuza....bora Management iwe wa turkey aw wa Korea hatuwezi.....wata iba fencing wata iba chuma angalia miaka 2 from now

    • @usamaahmed2624
      @usamaahmed2624 23 дня назад

      ​@@zawadix9574very true..

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 22 дня назад +1

    Jamani huu mchongoko wetu mbona hapo mbele Pako wazi au ndo mchongoko wa kitanzania ulivyo, unakuwa wazi hapo mbele😂😂

    • @jelasnkoma4240
      @jelasnkoma4240 21 день назад

      Pako wazi sababu ya "Railway Coupling" Yaani kuunganisha
      Kuna kofia yake ipo ndani haijavishwa ila wakivisha inachongoka.

  • @benjaminyohana5581
    @benjaminyohana5581 20 дней назад +1

    kuna Marubani wa Ndege , Manahondha wa Meli Madereva wa Magari na Hao wa Treni wanaitwaje au ndio Madereva kama wa Magari ya kawaida, wataalam tafadhalini naomba mnijuze hili

  • @user-dd3ek5fh5g
    @user-dd3ek5fh5g День назад

    R.I.P JPM 😢

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 23 дня назад +2

    Hivi ,Hakuna mpango WA Hao Wakolea kufungua kiwanda cha kujenga na ubunifu WA Train? Sio bei sana kufungua kiwanda na Technology tunanuna kwao.wataraam wetu amukeni basi

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 23 дня назад

      Kwanza kutunza hizi treni hatu wezi kabisa ata line ya sgr uta skia matatizo...

    • @herodiduma9906
      @herodiduma9906 23 дня назад

      ​@@zawadix9574kwa hiyo kulikuwa hakuna haja ya kutengeneza

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 20 дней назад

    Kichwa gani hicjo buana! Magufuli alichoagiza na kilichokuja no tofauti

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 23 дня назад

    Mwambieni mbarawa hiyo ndio Treni tunausubiri kwa hamu sana.

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 23 дня назад

    Hongera trc hongera sana lakini MTA weza tunza hizo ..... Jamani tu maintenance vizuri sio tu furahi mpya miakia miwili Ina kuja hovya kama reli ya mgr ..... Na ma basi mwendokasi....... Maintenance jamani Ina tu shindwa

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 22 дня назад

      Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 23 дня назад

    Mbana hao manahoza wenyewe waupande mmoja 2 duuu acha inyeshe 2one panavuja

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 19 дней назад

    Zaid ya 150 ndo lugha gan si useme tu speed 160 basi

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 22 дня назад

    Unapnda Traine kwa masaa 2 toka morogoro unafika uendako kwa masaa 2 sehemu ya 30km

  • @Kivuruge255
    @Kivuruge255 23 дня назад

    Station ni nzuri ila sas hiyo station ya mgr ndo kipenger mabati yamechakaa hakuna mandhali nzuri. Pafanyien maintenens bas nap papendeze

  • @inchallah6382
    @inchallah6382 22 дня назад

    Congrats TZ .. That's a big achievement and I wanna say Bravo.... But..but..but.. I'm more concerned about it's passengers capacity.. 450 to 500 passengers at 150KPH is relatively small compared to Kenyan Diesel power SGR with a passenger capacity of between 1678 to 2300 passengers one way, cruising at 120KM/Hour... "I think something is not adding up for TZ SGR" .It's inversely proportional to the hype created about it .... I think Kenyan SGR is making sense..

    • @emilbocco5895
      @emilbocco5895 20 дней назад +1

      What is the cost of electricity compared to diesel, and where do we pay the money for electricity and where do you pay for diesel, Tanzania sgr is something African countries need to learn

    • @alexissangali8650
      @alexissangali8650 11 дней назад

      450 -500 passengers is EMU train, express short distance train,every hour they will be departing to and fro Morogoro or Dodoma,1600 -2000 passengers trains are long distance one,from Daresalaam to Tabora up to Mwanza and Kigoma,these are the ones the same like yours

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 18 дней назад

    Mmechakachua c zile alizonunua jpm

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 22 дня назад

    Ni uwongo tu,miradi inasusua tu, RIP JPM

  • @modenasayi
    @modenasayi 23 дня назад +1

    Lini mnaanza test ???

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 22 дня назад

      Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.

    • @pascojm6816
      @pascojm6816 21 день назад

      Sasa kama hao wanawake hawajitokezi au hawana sifa unawalaumu nini? ​@@Kabwela776

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 22 дня назад

    Kwa hiyo hicho kichwa huko mbele kitakuwa wazi ?

  • @moawallashabbir1762
    @moawallashabbir1762 22 дня назад

    LITAANZA LINI???

  • @dennismacha9941
    @dennismacha9941 23 дня назад +1

    Ndugu mwandishi tafadhali.hawaitwi madereva.wanaitwa manahodha.kiswahili fasaha kizingatiwe

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 23 дня назад +3

      Siyo manahodha ni madereva. Manahodha ni wa meli.

    • @ototek8037
      @ototek8037 23 дня назад

      Jikaguwe kwanza, nahodha baharini huko! mitumbwi boti na meri.
      Kwa nchi kavu dereva, angani ni rubani. cheki kwanza

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 22 дня назад

    Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 22 дня назад

    Madereva mbona hamna wanawake???? 🙄🙄🙄🙄😳😳😳😕😕😕😕😡😡😡😡😡 hii sikuipenda kabisa ni mambo ya primitive Na kutoa ajira kwa kuangalia jinsia , waseme wanawake ni wangapi wamewaajili ambao ni madereva???? Tanzania haiwezekani hii we have to boycot kupanda hii treni ni ubaguzi wanawake wa Tanzania wametengwa kutoajiliwa wako wanawake mahiri

  • @Peterkamgisha
    @Peterkamgisha 2 дня назад

    Safi sana ila kadogosa atukumbuke sisi tuliojitolea kujenga sgr mpaka hapo tunaomba atupe ticket na sisi tunufaikw

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 22 дня назад

    Mbona asilimia kubwa hao madereva ni wazee ???? Kwanini msiajiri vijana wanaume Na wanawake , wazee baada ya muda afya ni mgogoro mara sight ya macho mbovu hivi hili shirika mbona kama halina vision nzuri hamna mshauri ???? Hii nchi ya ovyo sana yaani hamuwezi kuona siku za baadaye huwezi kuwapa mafunzo wazee ambao wengi wagumu hata kuadapt kwenye technologia mpya au mnataka kuua watu Na kwa Nini wanawake hamkuajiri this is very bias ????

  • @user-yr3yi2yr6i
    @user-yr3yi2yr6i 23 дня назад +1

    Why madereva ni wazee
    Wapeni vijana bana wazee wa nn au ndo mjuano

    • @wilhardtarimo386
      @wilhardtarimo386 23 дня назад

      Vijana jau sana

    • @amosibilingi4299
      @amosibilingi4299 23 дня назад

      Vijana sio, utajikuta umefika mwanza bila taarifa, maana hiyo spidi sio ya kawaida

    • @issajuma7372
      @issajuma7372 23 дня назад

      Sio kweli, Vijana wapewe nafasi

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 23 дня назад

      Uzoefu na maadili ni muhimu kwa madereva wa reli.

    • @gideonmwanjila8616
      @gideonmwanjila8616 23 дня назад

      Wazee ndio hujua kuendesha treni vizuri. Kuondoa na kusimamisha sio kwa haraka kama vijana