MUSEVENI alivyokataa kuufungia MCHELE wa TANZANIA mbele ya RUTO na kutema CHECHE nzito

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 май 2024
  • Credits to Citizen TV
    No Copyright Infringement Intended
    For Removal Email: info@snstz.com
    Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Авто/МотоАвто/Мото

Комментарии • 232

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 29 дней назад +78

    Mungu ambariki Rais Musseven ni Moja kat ya Marais wazalendo Africa hii Mungu ampe maisha marefu na afya njema Amiiin yarrab 🤲🥰❤️🇺🇬🇹🇿

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv 29 дней назад +53

    Asante kaka yangu mkuu mseveni Tanzania we love you

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 29 дней назад +46

    Yoweri Kaguta Museni kiongozi mwenye msimamo namkubali sana..Mimi napenda viongozi wenye msimamo against western countries haijalishi anatoka wapi..Africa lazima tuwe pamoja ili tuendelee..Mungu blessed Museveni and Africa

  • @user-ff4sh6lq7t
    @user-ff4sh6lq7t 29 дней назад +18

    Museveni is mzalendo and good leader in east Africa bravo kaguta

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 29 дней назад +18

    Safi museveni upo sahihi mbaba wa Afrika

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 29 дней назад +32

    "Ikumbukwe; Pokea msaada huku ukitambua ya kuwa, Mtu anayekusaidia ananunua uwezo wako wa kufanya maamuzi" salaam za heri kwako raisi Mseveni.

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 29 дней назад +12

    Babu mseveni Viva mzee vivaaaaaaa......

  • @mkatavitv1014
    @mkatavitv1014 29 дней назад +6

    NDOHAYA MLISEMA JANA KAMA RAISI MMOJA NIMZURI NIWAKUMUACHA TU/HAYA MAMBO YAKUBADIRI MARAISI NILOS SANA

    • @othmanally1230
      @othmanally1230 21 день назад

      Uko saw haina haja ya kubadil rais kama huyu acha akae mpaka afe

  • @LeventinaNyamya
    @LeventinaNyamya 29 дней назад +15

    Viongozi km hawa Afrika wenye moyo wa uzalendo nadhani kabaki pekee yake .MUNGU mbariki Musseveni mpe maisha marefu

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 28 дней назад

      NENDA UGANDA UONE NCHI ILIVYO CHAFU NDO UTAJUA MZALENDO AU MWANASIASA TU KAMA WANASIASA WENGINE NA SOON FAMILIA YAKE YOTE ITAKUA SERIKALINI KAMA ILIVYO ADA

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 28 дней назад

      ​@@atutweve4160sasa uchafu wa ganda wenyewe wendawazimu

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 29 дней назад +15

    I believe it was ruto who advised him to stop the tanzanian rice.

  • @shabanilugi5858
    @shabanilugi5858 25 дней назад +3

    Magufuli ayupo Ila ina Tia Moyo kuona tuna Mzee wetu kwenye hekima Kama Museveni Asante the president Africa love you

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 29 дней назад +14

    My role model,Mr genius,Sir Kaguta,uishi maisha marefu mzee wa Kazi

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 29 дней назад +5

    Safi Sana Mzee Rais Mseveni
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    +254

  • @komboruga4271
    @komboruga4271 29 дней назад +19

    Ndizi zilizuiwa kuingia zenj from bara to ndiz zenj ni ghali wakat bara ni rahisi.
    Zenj wanaagiza Michele kutoka nje wakat Michele wa mbeya ni rahis na bora kwa mapishi kuliki huo wa nje.

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce 29 дней назад +6

      Acha waendelee kuagiza nje na sisi wabara hatujal Wala Nini

    • @lazarombuze9776
      @lazarombuze9776 28 дней назад +3

      Ukishaona ivo ujue Kuna mkataba aliingia kiongozi mmoja MJINGA

    • @radhiasalum7156
      @radhiasalum7156 26 дней назад

      Zenji washazoea mapishori alafu iyo mapishori wadudi kibao😢😢yani nilikuwa mgeni nilikuwa nakula tu baada ya siku mbili nikaanza kuingia jikoni kupika siku napika iyo michele yao daaaaaa nachangua naona wadudu n awal wakipika hawachagui wanaosha tu asee nilisikitika moyoni toka siku iyo nilikuma ugli mpaka nikaonfoka😂😂😂😂

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 22 дня назад

      ​@@EzzyEddy-il3ceata sukari ya zenji wabara wameizuia isiuzwe...ila wazenji hatujali wala nini..maisha yanakwenda..riziki anatoa mungu na si mpango wa mtu yeyote.

  • @imanyamiela5886
    @imanyamiela5886 27 дней назад +5

    Mseveni ni mtoto alieandaliwa nyerere so hayo ni mawazo ya baba yetu wa taifa Mungu aendelee kumtunza huko alipo

  • @kassimbayuu5217
    @kassimbayuu5217 29 дней назад +12

    Smaa upo vizuri snaa

  • @andreatutu6179
    @andreatutu6179 25 дней назад +2

    Appreciate UGANDA na tunawapenda sana

  • @user-pt8wo4ss2p
    @user-pt8wo4ss2p 29 дней назад +4

    Nimeipenda sana maongezi ya mseven

  • @mkatavitv1014
    @mkatavitv1014 29 дней назад +2

    AISEE NOMA SANA MZEE YUKO SAWA

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 29 дней назад +9

    Umeongea Hoja Nzuri na Hupendi Kulaliwa na Wazungu ila Kibaya Zaidi Rais Wengi Wa Afrika Mashariki na Kati Hawajitambui na Siyo Wazalendo "

    • @reubenhizza
      @reubenhizza 29 дней назад +1

      Kenya na Rwanda ndio wanaotushudha sana umoja wa Afrika Mashariki. Bado wananyenyekea mno wakolini wao

  • @19ddr
    @19ddr 29 дней назад +6

    Huyu miseveni namkubali sana

  • @abdallahnamuha3357
    @abdallahnamuha3357 22 дня назад +1

    Dj smaa Mwanangu snaa kwenye geopolitics

  • @musasaguti4760
    @musasaguti4760 29 дней назад +1

    Mzee Museveni uko vizuri sana, mawazo yako na maoni yako yakifanyiwa kazi kwa vitendo, nchi zetu na watu wake watastawi na maendeleo yatapatikana. Hongera sn Mzée. Viongozi wetu tufanyie kazi ushauri huo

  • @binmakame3881
    @binmakame3881 29 дней назад +2

    Allah amlinde mh. Museven

  • @komboruga4271
    @komboruga4271 29 дней назад +9

    Tanzania hatuuwezi uzalendo km wa Museveni.
    Imagine bidhaa inanunuliwa Zanzibar ukifika bara ushuru , nini maana ya nchi moja? Waloweka hixo kodi ni kutuumiza kwa kunufaisha wachache.

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 29 дней назад

      Sasa ww unategemea Zanzibar itapata wapi Kodi

    • @mduda_i
      @mduda_i 27 дней назад

      @@abuuramadhan8093ipate kodi ya nini akati huwa inapokea hela kwenye budget ya kila mwaka, Unataka ipate kodi kutoka Tanzania bara kwani Zanzibar sio Part ya Tanzania?? Hamtosheki na tunachowapa mna greed

    • @AlliyMohamedAlliy
      @AlliyMohamedAlliy 24 дня назад

      🤦‍♂️​wee ni kichwa mchungwa!@@abuuramadhan8093

    • @kiatu
      @kiatu 23 дня назад

      @@abuuramadhan8093 Kwani kodi inauzwa Tanganyika?😅

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 22 дня назад

      Tatizo watanganyika mmedanganywa mpk mmekua hamjijui nyinyi ni nani?tanganyika na zanzibar ni nchi 2 tofauti .mnalazimisha iwe moja.kujengeka kwa tanzania ni kwa kuungana baadhi ya mambo tu. Na si vyenginevyo hebu kwanza anzeni hapo mjiulize tanganyika iko wapi??why zanzibar ipo?tuendelee tu kusukumana maana hakuna anaeridhishwa si bara wala zanzibar

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 29 дней назад +7

    Dah! Muamar Ghadaf's dream...Mungu Amuhifadhi.

    • @missp1814
      @missp1814 22 дня назад +1

      shida ya Ghadaf alichelewa sana,alihangaika sana na waarabu alafu wakamtenda,ndo akageukia Africa kwa kuchelewa.....angaenza harakati zake mapema Angeweka mabadiliko kidogo

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 29 дней назад +4

    Mungu sio Bwana.

  • @dayanahally
    @dayanahally 29 дней назад +9

    Congratration museven you did well 4 africa

    • @reubenhizza
      @reubenhizza 29 дней назад

      Jamaa ameshapileza malengo, hajui trna anataka nn. Anaenda kwa mzuka mzuka tu miaka m4 iishe

  • @Godfreyolekidongo
    @Godfreyolekidongo 28 дней назад +2

    Raisi Museveni hongera kwakuwa mzalendo👏👏

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 27 дней назад

      nashangaa na watu wasiojua usiku wagiza wanao msifia bila kuchunguza kimakini eti mzalendo 🤦

  • @ZubedaNzunda-wb3vd
    @ZubedaNzunda-wb3vd 29 дней назад +4

    Heshima kubwa sana kwako mzee

  • @ramagwama
    @ramagwama 29 дней назад +5

    Ii ndo inafanywa kenya kukataa mahindi ya tz kwa sabbu ii ndomana bidhaa ya unga ghali kama nn

  • @imanyamiela5886
    @imanyamiela5886 27 дней назад +3

    Aisee umeelezea vyema sana na kupiti hii chanel yenu tutazinduka,binafsi ninahasira sana na hawa magharibi lakini sina kipaza sauti,Mungu awabaliki sana guyz

  • @user-vt2oj3sr4k
    @user-vt2oj3sr4k 29 дней назад +4

    Magufuli.... ungekuepo hapa..... dunia ilipo fkia ungetumia akili..kuish nao😢 hawa ndo marafiki ulipaswa kushiriana nao... God bless 🙏 ulipo baba

  • @MirajiNjonjomi
    @MirajiNjonjomi 28 дней назад +2

    Mwanaume msimamo bana Kwa mfano musseven ❤

  • @rehemamnatende400
    @rehemamnatende400 29 дней назад +3

    Asante baba🎉🎉❤❤

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 28 дней назад

    Hongera sana rais Mseven love from🇹🇿🇹🇿👏👏👏

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 29 дней назад +6

    Ujue ruto alikuwa marekani

  • @frankub8107
    @frankub8107 29 дней назад +3

    hata north Malawi swahili wanaongeya

  • @musasaguti4760
    @musasaguti4760 29 дней назад +1

    Hongera sn Museveni

  • @Solomonking257
    @Solomonking257 29 дней назад +4

    Naona huu mzee kaongea mambo ya maana ila Africa Nina ucoroni bado na kinachotusumbua zaidi ni ubinafsi ulio ndani ya hawa viongozi

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 6 дней назад

    Tatizo la umoja wa nchi za Afrika Mashariki ni Kenya.

  • @Gody360
    @Gody360 29 дней назад +2

    Pamoja sana mzeee

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 27 дней назад

    Mseveni mungu akupe maisha marefu

  • @betinvestment3204
    @betinvestment3204 29 дней назад +2

    Natamani mpaka kesho nije kusikia tu kiongozi mmoja kabeba japo michanga ya nchi zote za east Africa alaf anawasubili viongozi wenzie mezani waje kuunganisha iwe nchi moja kwa ujasili mmoja hata kama kunaugumu kiasi gani isijalishe liwalo na liwe iwe nyumba moja

  • @user-ew7zb3jx7t
    @user-ew7zb3jx7t 26 дней назад

    Kaka nakupenda sana mimi nakufatilia nikiwa Oman unafanya vizuri sana nakuekuelewa ila viongozi wetu wa kiafrica kinachowatesa uchu wa madaraka na kutaka umimi

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 23 дня назад

    Huyu ndye mfalme wa Africa kwa Sasa ,anao udhubutu.,wengine ni ndumila kuwili,vibaraka na hawana vision yoyote zaidi ya kupokea maagizo Toka magharibi .

  • @sifaoksbagirishyasie2410
    @sifaoksbagirishyasie2410 14 дней назад

    Waliwatambua kwamba mna penda kuwa tegemezi, nakusema santeee Kila Mara, ingawa Kila kitu kinatoka huko. Saidieni waafrika wanao maliza siku nzima makanisani,. kuzaa nakuzaaana, bila kufikiria Mtoto atsishi je. Chapeni kazi, time is money. Hata kama ni faida chache. Mnyakue heshima tena . Jamani hapakuage vya Bure tuamke na mvivu mvuteni. Ache kupenda heshima na Sifa zabure. Maendeleo ya jirani ifurahie in positiv way . Ili ikunufaiche pia. Umoja Na kuchukuliana hapo Mambo yatawezekana.
    Tusiache Nakuelimishana.
    Maneno na matendo. Nakufikiria mbali au maisha ya baadaye.
    Sante kwa interview hii

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 24 дня назад

    Huyu raisi , nampenda Sana , kukataa ushoga Uganda ,,baba,yangu museveni nAkupenda Sana Tanzania tunakupenda

  • @abubakariswai
    @abubakariswai 28 дней назад

    Hii formula nitaitumia kwenye maisha yangu wallah vikipanda kama sio muhimu achananacho Kuna option nyingine ❤

  • @louangesid
    @louangesid 23 дня назад

    Nampendaga huyu raisi Museveni mie❤

  • @johnabery-vn7eb
    @johnabery-vn7eb 29 дней назад +3

    Ruto alikuA ameenda kumkataza mseveni ili awaflahish wazng

  • @joycekonga4095
    @joycekonga4095 24 дня назад

    dj smaaa umetisha sana

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 28 дней назад

    Big up sana mu8 mzalendo

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 22 дня назад

    Asante museven, kenya njaa itawatia dole la kati

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 29 дней назад +1

    Mbona mmepindisha ctory hapo alikua anatoa tu mfano i watched the whole speech

  • @Is-hakaAbdallah
    @Is-hakaAbdallah 29 дней назад +3

    Hawa ndiyo viongozi tunao wahitaji Africa sio wageni wa Dunia kaziyao kuzunguka kwenda kulialia kwa watu weupe kutaka misaada

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 29 дней назад

      Magaribibi hawakawii kutuita gaidi nasi baadhi yetu tunashabikia sijui ni nani aliyetuloga waafrika

  • @RamadhaniMohamedi-de2vc
    @RamadhaniMohamedi-de2vc 28 дней назад +1

    Uyu mzee kaja kuamsha marehemu wote tatizo viongozi wetu vigeu geu lakini mweshimiwa rais museven kaongea ukweli tutumie bizaa za urusi kama mafuta vyengine kama chakula na salafu ziwe zetu.

  • @dominic4727
    @dominic4727 29 дней назад +4

    Dj smaa wewe ni pan Afrika kama mimi

  • @user-xy6ed7ve6r
    @user-xy6ed7ve6r 28 дней назад +1

    Naomba ufafanuzi wa kwa nini Pep Guardiola alikataa kumpa mkono mtu mmoja wakati wa sherehe za Ubingwa wa EPL

  • @Maulidism
    @Maulidism 17 дней назад

    You are the Father now who dares not to listen, thx to RUclips this speech shall persist

  • @user-kb8yw1up1k
    @user-kb8yw1up1k 29 дней назад +2

    True mr museven

  • @user-lf1bd4vj9c
    @user-lf1bd4vj9c 18 дней назад

    Maisha mazuri tutayasikia tu kama viongozi wataki kuelewa ukoloni mambo Leo, ndiyo kitu kinachotutesa nchi za Africa.

  • @aiyaavibes7610
    @aiyaavibes7610 22 дня назад

    Kaka big up.... ulivyotaja swala la mafuta.... Nimeumia sanaa... ni kweli mafuta ya MRUSI ni bei chee___lakini tunalazimishwa kununua mafuta kwa bei ya juu.... inatuumiza sanaaaaa sisi watu wa hali ya kawaida____

  • @Qqambaa
    @Qqambaa 17 дней назад

    Ama kweli kupendwa na kuchukiwa ni kitu kimoja leo nitasifiwa kesho nitakashifiwa

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 29 дней назад

    Museveni must very smart in History

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 18 дней назад

    Dj Sma tufanyie alisis ya siasa za malema, na ndoto zake nizaukweli au, fanya analisis plz.

  • @MussajumaMiheza
    @MussajumaMiheza 25 дней назад

    Big up strong Man

  • @nextstudiostz
    @nextstudiostz 22 дня назад

    Dah! Nimemmis Magufuli🥲
    Uyu mzee ni damu moja na the late JP Magufuli

  • @StephanoMoses
    @StephanoMoses 26 дней назад

    Namuelewa sana komesha komesha yao mashoga hii apa

  • @abdallahkaskas6168
    @abdallahkaskas6168 29 дней назад +3

    Mi kila siku nasema Kwanini Wamasai na Wasomali wanafana sana , alafu Kuna Warangi pia 😂

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 24 дня назад

    Mzee yupo sawa soko la Africa ni kubwa shida ni hii mipaka na vikwazo vinaturudiaha nyuma sana, ukweli ukifika boda ya Sirari na Mtukula biashara ya mchele ni kubwa sana

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 29 дней назад

    MUNGU hamlinde zaidi Rais kweli anafanya vizuri sana kutetwa wafrika

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht 29 дней назад

    Wallahi mzee huyu Allah SWT amuweke vizuri amjaalie afya na amuepeshe na uzee wa kuwakumtoa akili

  • @abuuawalina2625
    @abuuawalina2625 29 дней назад

    Museven, we're together

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 29 дней назад

    Nice

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 29 дней назад +2

    Alllah mlinde mze wetu

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 25 дней назад

    Museven🎉❤

  • @harunmruma2291
    @harunmruma2291 29 дней назад +3

    Usiwaamini wakenya

  • @animalchannel296
    @animalchannel296 28 дней назад +1

    HUYU MWANAUME... TUNAHITAJI WANAUME KAMA HAWA AFRIKA TUTATOBOA

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 29 дней назад

    Aise nimekupenda sana aise rais wa Uganda. Pamoja sana ndugu yangu wa Africa 🌍. Pamoja sana na marafiki wa Africa 🌍. Lkn ujue juzi jamaa yangu mmoja alikuwa marekani. Huyu ni adui. Mwangalieni sana. Unaenda kutafuta nini kule marekani? Ni upumbavu mtupu. Unaenda kutafuta nini huko? Kila kitu kiko hapahapa Africa 🌍.

  • @omarmussa5755
    @omarmussa5755 29 дней назад

    Naomba mama samia akamtembelee rais mseven ni rafiki mwema sana.

  • @BlandineMatata
    @BlandineMatata 16 дней назад

    Aaaaaaah ki swahili kigumu nilizani kwagis waganda wanaongueya kinguereza uyu atakiongueya kaka maji alafu naona kama kingereuza kigumu kwake

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 29 дней назад +1

    Afrika viongozi wetu wanatakiwa waamke, tunaagiza vyakula vya nje badala ya kuuziana wenyewe, pumbavu sana.

  • @stressfreezone1522
    @stressfreezone1522 29 дней назад

    Msaada pia ni kwasababu yakutu control.

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 25 дней назад

    Kiukweli mm naishi uganda ase waganda ni wavivu kweli kweli

  • @bama9271
    @bama9271 15 дней назад

    Sasa hapo unachambua au una tafsiri tu!!

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 19 дней назад

    M7 huyo East Africa Community Vipi kwani haturusiwi kufanya Biashala pamoja ? M7 naomba uwambie mawazili WA Feza watengeneze sarafu Moja . East Africa hela.

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 24 дня назад

    Huwa nawaambiaga Ugandans siku itakuja watamkumbuka Rais M7 usiku wa manane huku masikio yao yakigubikwa na milio ya mbwa

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 29 дней назад

    👏👏👏👏👏👏

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 25 дней назад

    I was very young boy museven akija kufungua kilifi bridge

  • @user-pt8wo4ss2p
    @user-pt8wo4ss2p 29 дней назад +1

    Lakini malais wengine watafanyia kazi???

  • @salimomary6913
    @salimomary6913 23 дня назад

    Mungu Mlinde baba yetu

  • @faustinaurio3703
    @faustinaurio3703 17 дней назад

    Kenya walipiga uuzaji wa vitunguu eti vina chemical (vinakaushwa na madawa)

  • @MasomeAbell-cr1um
    @MasomeAbell-cr1um 25 дней назад

    AKUMBUKWE JEMBE WA TANZANIA MAGUFULI ❤ PUMZIKA KWA AMANI

  • @jaybajay9973
    @jaybajay9973 21 день назад

    Nanani anae nunua unacho zalisha ...(produce kuzalisha)

  • @Kujason12
    @Kujason12 28 дней назад

    Rais yupo sawa tena makini sana tatizo hua linakuja pale viongozi wetu kutokua na umoja kila mmoja hua anapambania maslahi yake

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 12 дней назад

    Mbona Magufuli alikua anapigania hii kwa miaka 5 ya utawala wake,, mlikua wapi kumuunga mkono JPM

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 25 дней назад

    Babu oyeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 28 дней назад

    congratulations

  • @ErickMsodoki-de2gl
    @ErickMsodoki-de2gl 20 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤