MUSEVENI alivyokataa kuufungia MCHELE wa TANZANIA mbele ya RUTO na kutema CHECHE nzito
HTML-код
- Опубликовано: 26 май 2024
- Credits to Citizen TV
No Copyright Infringement Intended
For Removal Email: info@snstz.com
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi Авто/Мото
Mungu ambariki Rais Musseven ni Moja kat ya Marais wazalendo Africa hii Mungu ampe maisha marefu na afya njema Amiiin yarrab 🤲🥰❤️🇺🇬🇹🇿
amiin
@@ARNOLDKARISA-fs3ht 🙏
Amen
Allahumma aamiin
Asante kaka yangu mkuu mseveni Tanzania we love you
Yoweri Kaguta Museni kiongozi mwenye msimamo namkubali sana..Mimi napenda viongozi wenye msimamo against western countries haijalishi anatoka wapi..Africa lazima tuwe pamoja ili tuendelee..Mungu blessed Museveni and Africa
Museveni is mzalendo and good leader in east Africa bravo kaguta
Safi museveni upo sahihi mbaba wa Afrika
"Ikumbukwe; Pokea msaada huku ukitambua ya kuwa, Mtu anayekusaidia ananunua uwezo wako wa kufanya maamuzi" salaam za heri kwako raisi Mseveni.
Babu mseveni Viva mzee vivaaaaaaa......
NDOHAYA MLISEMA JANA KAMA RAISI MMOJA NIMZURI NIWAKUMUACHA TU/HAYA MAMBO YAKUBADIRI MARAISI NILOS SANA
Uko saw haina haja ya kubadil rais kama huyu acha akae mpaka afe
Viongozi km hawa Afrika wenye moyo wa uzalendo nadhani kabaki pekee yake .MUNGU mbariki Musseveni mpe maisha marefu
NENDA UGANDA UONE NCHI ILIVYO CHAFU NDO UTAJUA MZALENDO AU MWANASIASA TU KAMA WANASIASA WENGINE NA SOON FAMILIA YAKE YOTE ITAKUA SERIKALINI KAMA ILIVYO ADA
@@atutweve4160sasa uchafu wa ganda wenyewe wendawazimu
I believe it was ruto who advised him to stop the tanzanian rice.
💯 true
Ni yeye mweusi kama ngozi ya mk*ndu😂
ruto is not a president is kibalaka
Magufuli ayupo Ila ina Tia Moyo kuona tuna Mzee wetu kwenye hekima Kama Museveni Asante the president Africa love you
My role model,Mr genius,Sir Kaguta,uishi maisha marefu mzee wa Kazi
Safi Sana Mzee Rais Mseveni
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
+254
Ndizi zilizuiwa kuingia zenj from bara to ndiz zenj ni ghali wakat bara ni rahisi.
Zenj wanaagiza Michele kutoka nje wakat Michele wa mbeya ni rahis na bora kwa mapishi kuliki huo wa nje.
Acha waendelee kuagiza nje na sisi wabara hatujal Wala Nini
Ukishaona ivo ujue Kuna mkataba aliingia kiongozi mmoja MJINGA
Zenji washazoea mapishori alafu iyo mapishori wadudi kibao😢😢yani nilikuwa mgeni nilikuwa nakula tu baada ya siku mbili nikaanza kuingia jikoni kupika siku napika iyo michele yao daaaaaa nachangua naona wadudu n awal wakipika hawachagui wanaosha tu asee nilisikitika moyoni toka siku iyo nilikuma ugli mpaka nikaonfoka😂😂😂😂
@@EzzyEddy-il3ceata sukari ya zenji wabara wameizuia isiuzwe...ila wazenji hatujali wala nini..maisha yanakwenda..riziki anatoa mungu na si mpango wa mtu yeyote.
Mseveni ni mtoto alieandaliwa nyerere so hayo ni mawazo ya baba yetu wa taifa Mungu aendelee kumtunza huko alipo
Smaa upo vizuri snaa
Appreciate UGANDA na tunawapenda sana
Nimeipenda sana maongezi ya mseven
AISEE NOMA SANA MZEE YUKO SAWA
Umeongea Hoja Nzuri na Hupendi Kulaliwa na Wazungu ila Kibaya Zaidi Rais Wengi Wa Afrika Mashariki na Kati Hawajitambui na Siyo Wazalendo "
Kenya na Rwanda ndio wanaotushudha sana umoja wa Afrika Mashariki. Bado wananyenyekea mno wakolini wao
Huyu miseveni namkubali sana
Dj smaa Mwanangu snaa kwenye geopolitics
Mzee Museveni uko vizuri sana, mawazo yako na maoni yako yakifanyiwa kazi kwa vitendo, nchi zetu na watu wake watastawi na maendeleo yatapatikana. Hongera sn Mzée. Viongozi wetu tufanyie kazi ushauri huo
Allah amlinde mh. Museven
Tanzania hatuuwezi uzalendo km wa Museveni.
Imagine bidhaa inanunuliwa Zanzibar ukifika bara ushuru , nini maana ya nchi moja? Waloweka hixo kodi ni kutuumiza kwa kunufaisha wachache.
Sasa ww unategemea Zanzibar itapata wapi Kodi
@@abuuramadhan8093ipate kodi ya nini akati huwa inapokea hela kwenye budget ya kila mwaka, Unataka ipate kodi kutoka Tanzania bara kwani Zanzibar sio Part ya Tanzania?? Hamtosheki na tunachowapa mna greed
🤦♂️wee ni kichwa mchungwa!@@abuuramadhan8093
@@abuuramadhan8093 Kwani kodi inauzwa Tanganyika?😅
Tatizo watanganyika mmedanganywa mpk mmekua hamjijui nyinyi ni nani?tanganyika na zanzibar ni nchi 2 tofauti .mnalazimisha iwe moja.kujengeka kwa tanzania ni kwa kuungana baadhi ya mambo tu. Na si vyenginevyo hebu kwanza anzeni hapo mjiulize tanganyika iko wapi??why zanzibar ipo?tuendelee tu kusukumana maana hakuna anaeridhishwa si bara wala zanzibar
Dah! Muamar Ghadaf's dream...Mungu Amuhifadhi.
shida ya Ghadaf alichelewa sana,alihangaika sana na waarabu alafu wakamtenda,ndo akageukia Africa kwa kuchelewa.....angaenza harakati zake mapema Angeweka mabadiliko kidogo
Mungu sio Bwana.
Congratration museven you did well 4 africa
Jamaa ameshapileza malengo, hajui trna anataka nn. Anaenda kwa mzuka mzuka tu miaka m4 iishe
Raisi Museveni hongera kwakuwa mzalendo👏👏
nashangaa na watu wasiojua usiku wagiza wanao msifia bila kuchunguza kimakini eti mzalendo 🤦
Heshima kubwa sana kwako mzee
Ii ndo inafanywa kenya kukataa mahindi ya tz kwa sabbu ii ndomana bidhaa ya unga ghali kama nn
Aisee umeelezea vyema sana na kupiti hii chanel yenu tutazinduka,binafsi ninahasira sana na hawa magharibi lakini sina kipaza sauti,Mungu awabaliki sana guyz
Magufuli.... ungekuepo hapa..... dunia ilipo fkia ungetumia akili..kuish nao😢 hawa ndo marafiki ulipaswa kushiriana nao... God bless 🙏 ulipo baba
Mwanaume msimamo bana Kwa mfano musseven ❤
Asante baba🎉🎉❤❤
Hongera sana rais Mseven love from🇹🇿🇹🇿👏👏👏
Ujue ruto alikuwa marekani
hata north Malawi swahili wanaongeya
Hongera sn Museveni
Naona huu mzee kaongea mambo ya maana ila Africa Nina ucoroni bado na kinachotusumbua zaidi ni ubinafsi ulio ndani ya hawa viongozi
Tatizo la umoja wa nchi za Afrika Mashariki ni Kenya.
Pamoja sana mzeee
Mseveni mungu akupe maisha marefu
Natamani mpaka kesho nije kusikia tu kiongozi mmoja kabeba japo michanga ya nchi zote za east Africa alaf anawasubili viongozi wenzie mezani waje kuunganisha iwe nchi moja kwa ujasili mmoja hata kama kunaugumu kiasi gani isijalishe liwalo na liwe iwe nyumba moja
Kaka nakupenda sana mimi nakufatilia nikiwa Oman unafanya vizuri sana nakuekuelewa ila viongozi wetu wa kiafrica kinachowatesa uchu wa madaraka na kutaka umimi
Huyu ndye mfalme wa Africa kwa Sasa ,anao udhubutu.,wengine ni ndumila kuwili,vibaraka na hawana vision yoyote zaidi ya kupokea maagizo Toka magharibi .
Waliwatambua kwamba mna penda kuwa tegemezi, nakusema santeee Kila Mara, ingawa Kila kitu kinatoka huko. Saidieni waafrika wanao maliza siku nzima makanisani,. kuzaa nakuzaaana, bila kufikiria Mtoto atsishi je. Chapeni kazi, time is money. Hata kama ni faida chache. Mnyakue heshima tena . Jamani hapakuage vya Bure tuamke na mvivu mvuteni. Ache kupenda heshima na Sifa zabure. Maendeleo ya jirani ifurahie in positiv way . Ili ikunufaiche pia. Umoja Na kuchukuliana hapo Mambo yatawezekana.
Tusiache Nakuelimishana.
Maneno na matendo. Nakufikiria mbali au maisha ya baadaye.
Sante kwa interview hii
Huyu raisi , nampenda Sana , kukataa ushoga Uganda ,,baba,yangu museveni nAkupenda Sana Tanzania tunakupenda
Hii formula nitaitumia kwenye maisha yangu wallah vikipanda kama sio muhimu achananacho Kuna option nyingine ❤
Nampendaga huyu raisi Museveni mie❤
Ruto alikuA ameenda kumkataza mseveni ili awaflahish wazng
dj smaaa umetisha sana
Big up sana mu8 mzalendo
Asante museven, kenya njaa itawatia dole la kati
Mbona mmepindisha ctory hapo alikua anatoa tu mfano i watched the whole speech
Hawa ndiyo viongozi tunao wahitaji Africa sio wageni wa Dunia kaziyao kuzunguka kwenda kulialia kwa watu weupe kutaka misaada
Magaribibi hawakawii kutuita gaidi nasi baadhi yetu tunashabikia sijui ni nani aliyetuloga waafrika
Uyu mzee kaja kuamsha marehemu wote tatizo viongozi wetu vigeu geu lakini mweshimiwa rais museven kaongea ukweli tutumie bizaa za urusi kama mafuta vyengine kama chakula na salafu ziwe zetu.
Dj smaa wewe ni pan Afrika kama mimi
Naomba ufafanuzi wa kwa nini Pep Guardiola alikataa kumpa mkono mtu mmoja wakati wa sherehe za Ubingwa wa EPL
You are the Father now who dares not to listen, thx to RUclips this speech shall persist
True mr museven
Maisha mazuri tutayasikia tu kama viongozi wataki kuelewa ukoloni mambo Leo, ndiyo kitu kinachotutesa nchi za Africa.
Kaka big up.... ulivyotaja swala la mafuta.... Nimeumia sanaa... ni kweli mafuta ya MRUSI ni bei chee___lakini tunalazimishwa kununua mafuta kwa bei ya juu.... inatuumiza sanaaaaa sisi watu wa hali ya kawaida____
Ama kweli kupendwa na kuchukiwa ni kitu kimoja leo nitasifiwa kesho nitakashifiwa
Museveni must very smart in History
Dj Sma tufanyie alisis ya siasa za malema, na ndoto zake nizaukweli au, fanya analisis plz.
Big up strong Man
Dah! Nimemmis Magufuli🥲
Uyu mzee ni damu moja na the late JP Magufuli
Namuelewa sana komesha komesha yao mashoga hii apa
Mi kila siku nasema Kwanini Wamasai na Wasomali wanafana sana , alafu Kuna Warangi pia 😂
Mzee yupo sawa soko la Africa ni kubwa shida ni hii mipaka na vikwazo vinaturudiaha nyuma sana, ukweli ukifika boda ya Sirari na Mtukula biashara ya mchele ni kubwa sana
MUNGU hamlinde zaidi Rais kweli anafanya vizuri sana kutetwa wafrika
Wallahi mzee huyu Allah SWT amuweke vizuri amjaalie afya na amuepeshe na uzee wa kuwakumtoa akili
Museven, we're together
Nice
Alllah mlinde mze wetu
Museven🎉❤
Usiwaamini wakenya
HUYU MWANAUME... TUNAHITAJI WANAUME KAMA HAWA AFRIKA TUTATOBOA
Aise nimekupenda sana aise rais wa Uganda. Pamoja sana ndugu yangu wa Africa 🌍. Pamoja sana na marafiki wa Africa 🌍. Lkn ujue juzi jamaa yangu mmoja alikuwa marekani. Huyu ni adui. Mwangalieni sana. Unaenda kutafuta nini kule marekani? Ni upumbavu mtupu. Unaenda kutafuta nini huko? Kila kitu kiko hapahapa Africa 🌍.
Naomba mama samia akamtembelee rais mseven ni rafiki mwema sana.
Aaaaaaah ki swahili kigumu nilizani kwagis waganda wanaongueya kinguereza uyu atakiongueya kaka maji alafu naona kama kingereuza kigumu kwake
Afrika viongozi wetu wanatakiwa waamke, tunaagiza vyakula vya nje badala ya kuuziana wenyewe, pumbavu sana.
Msaada pia ni kwasababu yakutu control.
Kiukweli mm naishi uganda ase waganda ni wavivu kweli kweli
Sasa hapo unachambua au una tafsiri tu!!
M7 huyo East Africa Community Vipi kwani haturusiwi kufanya Biashala pamoja ? M7 naomba uwambie mawazili WA Feza watengeneze sarafu Moja . East Africa hela.
Huwa nawaambiaga Ugandans siku itakuja watamkumbuka Rais M7 usiku wa manane huku masikio yao yakigubikwa na milio ya mbwa
👏👏👏👏👏👏
I was very young boy museven akija kufungua kilifi bridge
Lakini malais wengine watafanyia kazi???
Mungu Mlinde baba yetu
Kenya walipiga uuzaji wa vitunguu eti vina chemical (vinakaushwa na madawa)
AKUMBUKWE JEMBE WA TANZANIA MAGUFULI ❤ PUMZIKA KWA AMANI
Nanani anae nunua unacho zalisha ...(produce kuzalisha)
Rais yupo sawa tena makini sana tatizo hua linakuja pale viongozi wetu kutokua na umoja kila mmoja hua anapambania maslahi yake
Mbona Magufuli alikua anapigania hii kwa miaka 5 ya utawala wake,, mlikua wapi kumuunga mkono JPM
Babu oyeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
congratulations
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤