MANARA AFUNGUKA MAZITO KUHUSU MO NA BABRA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 авг 2021
  • Aliyekua Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Sunday Manara amejitokeza mbele ya Vyombo vya Habari kwa Mara ya kwanza baada ya kuondolewa katika Nafasi Hiyo Siku chache zilizopita

Комментарии • 45

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 2 месяца назад +3

    Mmmh sasa hivi msemaji wa vijiweni kwa sasa
    Baada ya kufoka ikawaje😂😂😂😂

  • @frankkiunsi2655
    @frankkiunsi2655 21 день назад +1

    Upo sahihi bro.

  • @hosseamelikioli9410
    @hosseamelikioli9410 2 года назад +3

    Genius master mind super man . Experience speak . Haj mamara viva 💪💪 God bless you

  • @ndiopebinamu7447
    @ndiopebinamu7447 Год назад +2

    Yanga babalao simba mamalao

  • @user-cc8le8bx5s
    @user-cc8le8bx5s 25 дней назад +2

    Usihuzunike sana kakaangu Julia yanga kulabata

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 2 месяца назад

    Manara uko sahihi

  • @simonmush7708
    @simonmush7708 Год назад

    😅 uko vizuri kaka

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr Месяц назад +2

    Haji Manara upo sahihi
    Simba tunataka revolution tunataka transparent

  • @user-wu1bm2by6z
    @user-wu1bm2by6z Месяц назад

    Au sio

  • @user-qw4pm2xe4j
    @user-qw4pm2xe4j Месяц назад

    Umesema kweli

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 2 месяца назад +1

    We kazee kalaleeee
    Huna jipyaaaaa kamlinde mkeo hukoooo

  • @VictoNyese
    @VictoNyese Месяц назад

    Manara ulibezwa maneno yako leo wanakukumbuka

  • @tumainirichard5678
    @tumainirichard5678 2 года назад +1

    Rich people will use and dump you wakikuchoka just like that ndo walivyo. Siyo mpenzi wa mpira but I can feel vile walivyo m disappoint pamoja na kwamba alijitoa sana simba

  • @izacklugongo654
    @izacklugongo654 2 года назад

    Haji mm nimekuelewa vizili sana ila ninaushali kwako ,,,,,,?

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 года назад

    Msema pekee yake hakosei uzuri wake kwamba MO yeye hakujibu

  • @user-uf4sj1uy9p
    @user-uf4sj1uy9p 8 месяцев назад

    Haji.Manara mbona wewe muongo usiokuwa na kumbukumbu.Senzo kaondoka Simba sababu Morison na ndiyo kilicho muondoa Tanga.Achakudanganya Watu.

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi2106 6 месяцев назад

    Haji nimekuelewa

  • @nebatymwashiuya7588
    @nebatymwashiuya7588 2 года назад

    Utakuaje maarufu unanuka shida tuu

  • @SamuelMatalu
    @SamuelMatalu 8 месяцев назад

    Chawa!

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 2 месяца назад

      Ukimskiliza manara vzr utagundua anguko letu simba lilianzia wapi ila kama kichwani nikiaz uwez kugundua

  • @christophermakunzo4232
    @christophermakunzo4232 Год назад

    Kwa wingi wa maneno hayo lazima ufukuzwe...

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 2 месяца назад

      Sawa swali baada ya kufukuzwa simba tuko wap

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Год назад

    Sasa huko yanga umepewa kazi gani? Mbona wamekuacha wamemchukua Ally Kamwe?

  • @mengimagimbi483
    @mengimagimbi483 2 года назад

    Pambana Bradha maisha ndivo yarivywo tazama ungo yupo wap?

  • @BakariAzizi
    @BakariAzizi 3 месяца назад

    Simba niykwako iko moyoni namin ipo siku utarudi moyo wako unaonekana wap ulipo ulikua unawapa hamasa sna wachezaj cham alikua kila sku anazaliwa upya

  • @nebatymwashiuya7588
    @nebatymwashiuya7588 2 года назад

    Wamemwaga mchuzi Sio makelele hayo

  • @bullahsambiga5662
    @bullahsambiga5662 2 года назад +1

    Ulikua unatukashif San yanga leo kikwap

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 2 месяца назад

      Ukiwa uji kichwani unakua na mawazo mgando ulitaka asifanye kaz!

  • @festomartin6170
    @festomartin6170 3 месяца назад

    Kama unachosema Haji ni ukweli mtupu, basi itawachukua muda mrefu sana Simba kufanya maendeleo ya mpira

  • @user-qw4pm2xe4j
    @user-qw4pm2xe4j Месяц назад

    Hakika wewe mkweli

  • @AyubuHamisi-sh2fg
    @AyubuHamisi-sh2fg Год назад

    Hili Kuma ndo linaharibu mpira uongo kila kukicha

  • @nebatymwashiuya7588
    @nebatymwashiuya7588 2 года назад +1

    Kweli wewe bwege huna adabu mo kakubeba Leo unaonekana mtu umeanza kujiona bora

  • @BenjaminiMiyay
    @BenjaminiMiyay Месяц назад

    Dodoma tanzania

  • @johsonsamson5291
    @johsonsamson5291 2 года назад

    Mimi shabiki wa yangu ila manara wewe ni nimpambanaji

  • @ericsallu5331
    @ericsallu5331 2 года назад

    Haji story teller unataka uonewe huruma...umeshatoka kaa kimya wataka urudishwe SIMBA.???

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 8 месяцев назад

    Huyu ni mgonjwa wa akili tunaita Ana narcissistic personality disorder plus super gonorrhoea Ana o habitation Muhimbili
    . Inabidi aende Somalia akatibiwe

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando2315 2 года назад +1

    MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA, HAJI USIWE MNAFIKI, ULIYOMSEMA SENZO ALIPOTOLEWA NI YAPI NA LEO WASEMA NINI,? ACHA UBABAISHAJI MPIRA SASA UMEKUWA NA WEWE KUWA, FUATA TARATIBU ZA KAZI ACHA DOMO KAYA HATUKUUNGI MKONO NG'O, KAFIE MBALI NA SHIDA ZAKO.

    • @oktaviangaspar5602
      @oktaviangaspar5602 2 года назад +1

      Manara Hana tofauti na mwanamke wa baa Kila mwanaume wakwake. Mtoto wa kiume unakuwa dizaini hii ukimpa hela atamkana hata baba ake huyo kenge

  • @lyegojaphet1964
    @lyegojaphet1964 2 года назад

    Bwana usituvuluge smba ni clabu kubwa ulifikili utakaa milele hapo kimekuuma kuondoka smba