Ngome Tv
Ngome Tv
  • Видео 257
  • Просмотров 745 016
AKAMATWA NA MIFUKO 130 YA SUKARI KARIAKOO, DC MPOGOLO AWAKA
Wafanyabiashara Wakamatwa na Mifuko 130 kufuatia Msako wa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi
Просмотров: 392

Видео

ANUNUA MLIMA ELFU 20, DC LUDIGIJA AMUWAKIA
Просмотров 249 месяцев назад
Mtu mmoja amejitokeza hadharani katika mkutano wa wananchi mbele ya mkuu wa Wilaya ya Kwimba akidai kuuziwa eneo la Mlima kwa gharama ya Tsh 20,000/=
MEYA KUMBILAMOTO ATATUA KERO YA MAJI SAFI VINGUNGUTI
Просмотров 69 месяцев назад
Mstahiki Meya wa Jiji la Dsm ametoa Mabomba kwa ajili ya Kusambaza Maji katika Mtaa wa Butiama kata ya Vingunguti.
UJIRANI MWEMA CUP MIONO NI BALAA, RIDHIWANI KIKWETE APAGAWA NA NYOMI, AHIDI UWANJA WA KISASA.
Просмотров 8711 месяцев назад
Fainali za Michuano ya Ujirani mwema Cup zimehitimishwa jana ambapo Mshindi wa Kwanza ametunukiwa Ng'ombe huku Mshindi wa pili akipewa Seti ya Jezi, Mgeni rasmi wa fainali hizo alikua Mhe Ridhiwani Kikwete ambae ni mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu waziri wa Utumishi wa Umma ameahidi kujenga uwanja wa Kisasa Jimboni humo.
" HAWA WANAPASWA KUKATWA " - RC CHALAMILA :
Просмотров 39Год назад
" HAWA WANAPASWA KUKATWA " - RC CHALAMILA :
RC CHALAMILA ALIVYOLIVAA SAKATA LA BANDARI NA DP WORLD
Просмотров 1 тыс.Год назад
Mkuu wa Mkoa wa Dsm , Albert Chalamila Amewataka Wananchi wa Mkoa huo Kuachana na maneno ya Propaganda na Uzushi yanayosemwa kuhusu Uwekezaji unaotarajiwa Kufanyika Katika Bandari ya DSM.
RC CHALAMILA " SITAKI KUMUONEA MTU "
Просмотров 53Год назад
RC CHALAMILA " SITAKI KUMUONEA MTU "
RC CHALAMILA " HII NI HUJUMA " AWAKA AKIWALAUMU WASIMAMIAJI WA DAMPO LA PUGU DSM
Просмотров 163Год назад
Mkuu wa Mkoa wa DSM Mhe Albert Chalamila amewataka Wasimamiaji wa Dampo la Pugu kujitathmini kufuatia Mazingira mabovu ya Dampo hilo
RC CHALAMILA ALIVYOCHUKIZWA NA USHOGA
Просмотров 23 тыс.Год назад
RC CHALAMILA ALIVYOCHUKIZWA NA USHOGA
MACHINGA WALIA WAKIMUAGA DC LUDIGIJA ILALA
Просмотров 25Год назад
MACHINGA WALIA WAKIMUAGA DC LUDIGIJA ILALA
GOLI LA AZIZ KI FAULO NDANI YANGA VS MTIBWA MANUNGU
Просмотров 83Год назад
GOLI LA AZIZ KI FAULO NDANI YANGA VS MTIBWA MANUNGU
SIKIA MAOMBI YA MEYA KUMBILAMOTO KWA RAIS DKT. SAMIA
Просмотров 60Год назад
SIKIA MAOMBI YA MEYA KUMBILAMOTO KWA RAIS DKT. SAMIA
CHANJO YA POLIO AWAMU YANNE ILALA KUANZA RASMI
Просмотров 7Год назад
CHANJO YA POLIO AWAMU YANNE ILALA KUANZA RASMI
UKIMPA PESA OMBA OMBA DSM UNAKAMATWA, DC AKEMEA WAFANYABIASHARA WANAORUDI BARABARANI.
Просмотров 83Год назад
UKIMPA PESA OMBA OMBA DSM UNAKAMATWA, DC AKEMEA WAFANYABIASHARA WANAORUDI BARABARANI.
MABUSHA NA MATENDE KUKOMESHWA DSM KWA NJIA HII!!!
Просмотров 28Год назад
MABUSHA NA MATENDE KUKOMESHWA DSM KWA NJIA HII!!!
UKIMWI ULIVYOWATAJIRISHA WANAWAKE CHANIKA
Просмотров 230Год назад
UKIMWI ULIVYOWATAJIRISHA WANAWAKE CHANIKA
UVCCM MIONO WASHIRIKI KUJENGA MADARASA , WAMPONGEZA RAIS SAMIA
Просмотров 70Год назад
UVCCM MIONO WASHIRIKI KUJENGA MADARASA , WAMPONGEZA RAIS SAMIA
DIWANI APAGAWA KUPATA KITUO CHA POLISI MSATA
Просмотров 161Год назад
DIWANI APAGAWA KUPATA KITUO CHA POLISI MSATA
DIAMOND PLATNUMZ AFUNGUKA MAZITO MLIMANY CITY, AZINDUA SAFARI YA QATAR NA WASAFI BET
Просмотров 117Год назад
DIAMOND PLATNUMZ AFUNGUKA MAZITO MLIMANY CITY, AZINDUA SAFARI YA QATAR NA WASAFI BET
DAMAX WAJA NA SULUHISHO LA UKATILI WA KIJINSIA , WAANZA NA VINGUNGUTI
Просмотров 20Год назад
DAMAX WAJA NA SULUHISHO LA UKATILI WA KIJINSIA , WAANZA NA VINGUNGUTI
WANAFUNZI WAPEWE CHAKULA WAKIWA SHULENI - RC MAKALLA
Просмотров 15Год назад
WANAFUNZI WAPEWE CHAKULA WAKIWA SHULENI - RC MAKALLA
DUUH!!!! HALI YA KINA CHA MAJI MTO RUVU INATISHA ,RC DSM AFANYA ZIARA , ATAJA MKAKATI WA KUPATA MAJI
Просмотров 1,5 тыс.Год назад
DUUH!!!! HALI YA KINA CHA MAJI MTO RUVU INATISHA ,RC DSM AFANYA ZIARA , ATAJA MKAKATI WA KUPATA MAJI
TUNATOA MIKOPO YA KUANZISHA VIWANDA - DC ILALA
Просмотров 59Год назад
TUNATOA MIKOPO YA KUANZISHA VIWANDA - DC ILALA
ALICHOSEMA MWENYEKITI CCM BAGAMOYO ZAHORO SHARIFF KWA VIJANA WA UVCCM MSATA
Просмотров 103Год назад
ALICHOSEMA MWENYEKITI CCM BAGAMOYO ZAHORO SHARIFF KWA VIJANA WA UVCCM MSATA
RAIS SAMIA AMEBEBA MAONO YA MWL. NYERERE - M/KITI UVCCM MSATA
Просмотров 73Год назад
RAIS SAMIA AMEBEBA MAONO YA MWL. NYERERE - M/KITI UVCCM MSATA
JENGO LA GHOROFA KIVULE LILOMCHUKIZA DC WA ILALA, AAGIZA KUVUNJWA MKATABA WA UJENZI
Просмотров 155Год назад
JENGO LA GHOROFA KIVULE LILOMCHUKIZA DC WA ILALA, AAGIZA KUVUNJWA MKATABA WA UJENZI
DC LUDIGIJA AWAKA BODABODA WANAOTAKA KUPAKI IKULU
Просмотров 90Год назад
DC LUDIGIJA AWAKA BODABODA WANAOTAKA KUPAKI IKULU
WAUZA NYAMA VINGUNGUTI WATII KUUZIA MABUCHANI
Просмотров 24Год назад
WAUZA NYAMA VINGUNGUTI WATII KUUZIA MABUCHANI
"WALITAKA KUNIUA DEREVA WANGU KANIOKOA " - KUMBILAMOTO
Просмотров 67Год назад
"WALITAKA KUNIUA DEREVA WANGU KANIOKOA " - KUMBILAMOTO
WAANZA KUREJESHA BILIONI 10 ZILIZOIBWA HALMASHAURI YA JIJI DSM, DC ILALA AWA MBOGO
Просмотров 36Год назад
WAANZA KUREJESHA BILIONI 10 ZILIZOIBWA HALMASHAURI YA JIJI DSM, DC ILALA AWA MBOGO

Комментарии

  • @alimau7939
    @alimau7939 18 дней назад

    Katika watu waliokosa akili na mabaniani nao wamo

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 18 дней назад

    Dunia unapata moto na Akherah unakusubiri moto wa jahannam Allhamdulillah Alaa niymatil Islam wasunnah

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 18 дней назад

    Allhamdulillah Alaa niymatil Islam wasunnah

  • @frankkiunsi2655
    @frankkiunsi2655 Месяц назад

    Upo sahihi bro.

  • @user-cc8le8bx5s
    @user-cc8le8bx5s Месяц назад

    Usihuzunike sana kakaangu Julia yanga kulabata

  • @user-qw4pm2xe4j
    @user-qw4pm2xe4j Месяц назад

    Hakika wewe mkweli

  • @user-qw4pm2xe4j
    @user-qw4pm2xe4j Месяц назад

    Umesema kweli

  • @VictoNyese
    @VictoNyese Месяц назад

    Manara ulibezwa maneno yako leo wanakukumbuka

  • @BenjaminiMiyay
    @BenjaminiMiyay 2 месяца назад

    Dodoma tanzania

  • @user-wu1bm2by6z
    @user-wu1bm2by6z 2 месяца назад

    Au sio

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr 2 месяца назад

    Haji Manara upo sahihi Simba tunataka revolution tunataka transparent

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 2 месяца назад

    Mmmh sasa hivi msemaji wa vijiweni kwa sasa Baada ya kufoka ikawaje😂😂😂😂

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 2 месяца назад

    We kazee kalaleeee Huna jipyaaaaa kamlinde mkeo hukoooo

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 2 месяца назад

    Manara uko sahihi

  • @andrewmalamsha3042
    @andrewmalamsha3042 3 месяца назад

    Hata kama makonda anapiga Kaz baada ya kusema atawataja mawazir mmeaza kumsumbua msimpe stress makonda mwachen apige kazi.

  • @BakariAzizi
    @BakariAzizi 3 месяца назад

    Simba niykwako iko moyoni namin ipo siku utarudi moyo wako unaonekana wap ulipo ulikua unawapa hamasa sna wachezaj cham alikua kila sku anazaliwa upya

  • @ibrahimsendui2779
    @ibrahimsendui2779 3 месяца назад

    Yeye amenunua kutoka kwa nani na je sheria ilianzia wakati ananunua au imeasia kwako tu mzee ukiona kila kitu unajaribu kuweka wazi na kulasimisha jamii kukuamini lazima tuangalie kwa umakini.

  • @stevemahely
    @stevemahely 3 месяца назад

    Mtanga ni Mtanga tu Rangi imerudi imekuwaje hapo?.

  • @DrogbaWilly-co6pu
    @DrogbaWilly-co6pu 3 месяца назад

    Umenena

  • @projestinemuganyizi2660
    @projestinemuganyizi2660 3 месяца назад

    Mbona mtu anamteua? Tumueleweje?

  • @projestinemuganyizi2660
    @projestinemuganyizi2660 3 месяца назад

    Makonda ni tatizo la taifa, adhibitiwe

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 3 месяца назад

    Kwani huyu makonda si alitaliwa awe jela zamani lakini anaringia serekali inamlinda tu

  • @SaimonMrema
    @SaimonMrema 3 месяца назад

    Huyu makonda siana tetea nakusikiliza kero Yan hahaaa fisiamekabi ziwabu cha etindo mtetezi wakati m nyanganyi hovyo kabisa

  • @SaimonMrema
    @SaimonMrema 3 месяца назад

    Daihakiyako hadimwisho weshaa zoweya kupora malizawatu

  • @user-uo6nw1gb8b
    @user-uo6nw1gb8b 4 месяца назад

    Daaa makonda fika mahali uone aibu

  • @EngineAmosi
    @EngineAmosi 4 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r 4 месяца назад

    Mfanya Kazi wa mama ni wizi

  • @user-tg7qf4ei5n
    @user-tg7qf4ei5n 4 месяца назад

    Munaanza kuingiza uyanga na u5imba

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 4 месяца назад

    Makonda anadhani cheochake kinanguvu ya kuendeleza zulma kama kawaida yake wakati alipokuwa mkuu wa mkowa wakati wa magufuli huyu makonda aliwazulumu matajiri wengi

  • @amoschacha6401
    @amoschacha6401 4 месяца назад

    Mbona hakuna sehemu ilyomtaja makonda??

  • @amoschacha6401
    @amoschacha6401 4 месяца назад

    Mbona hakuna sehemu ilyomtaja makonda??

  • @dezruh
    @dezruh 4 месяца назад

    Aisee

  • @festomartin6170
    @festomartin6170 4 месяца назад

    Kama unachosema Haji ni ukweli mtupu, basi itawachukua muda mrefu sana Simba kufanya maendeleo ya mpira

  • @user-pw6he7zf3c
    @user-pw6he7zf3c 4 месяца назад

    Duh mm nadhulumu hlafu nashangaa wanaudhulumu tuna sfr ndefu sn mana wengi wanaushindani wa mali

  • @user-pv2of5yo7f
    @user-pv2of5yo7f 4 месяца назад

    Makonda yupo vizuli

  • @user-pv2of5yo7f
    @user-pv2of5yo7f 4 месяца назад

    Kula chuma iyo

  • @user-wq3lc5qv6y
    @user-wq3lc5qv6y 4 месяца назад

    Msipede kuropoka ropoka chagia hoja za msigi jamii ikuerewe umereza mabo megi sana na umeonyesha hati nyingi mwanasheria amesahau kuuereza uma kiwaja hicho mteja wako nyaraka ya manunuzi hujaonyesha ariuziwa nani ?

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 4 месяца назад

    Hat sio kizibitisho. Kwa kila mwenye nacho maana tumeshudia kesi zakugushi hat tena Kwa njia hiyo nahiyo presha ya kukimbilia huruma ya mitandao inamana gan mahakama zinakazi gani au wazir wa Aridhi hayupo?

  • @ismaillaizer1998
    @ismaillaizer1998 4 месяца назад

    Makonda n mwizi jambazi sugu km sabaya

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 4 месяца назад

    Makonda nataka anyongwe ameua watu xana😪😪😪😪kenge yule

  • @jimmykagaruki12
    @jimmykagaruki12 4 месяца назад

    Hilo jengo nimefanya kazi na grupu 6 tena tulianza kuvunja jengo la zamani ndipo ujenzi uwanze na Ghalibu ndio mwenye mali nakumbuka sana

    • @daudkhatib-qn5tr
      @daudkhatib-qn5tr 3 месяца назад

      Tatizo makonda ni mtu anaepe da kuzulumu matajiri tokea wakati wa magufuli huyu makonda amewazulumu hata wakina manji

  • @V24hrs
    @V24hrs 4 месяца назад

    huyo ghalibu saidi Mohamedi ni raia wa nchi gani.??

    • @zahranassor7809
      @zahranassor7809 4 месяца назад

      Kaulizie uhamiaji

    • @Jal210
      @Jal210 4 месяца назад

      Mjinga wewe acha ubaguzi huyo ni mtanzania ila ngozi tu

  • @V24hrs
    @V24hrs 4 месяца назад

    Hujasema mteja wako alinunua kiwanja hicho kutoka kwa nani kwa mkataba mkataba . wacha longolongo

    • @ephremmtuya3094
      @ephremmtuya3094 4 месяца назад

      Hapo anathibitisha umiliki halali suala la alinunua kwa nani kama ni mhimu litakuja baadaye , 2006 Makonda alikuwa kijana mdogo

  • @mbachoclassic7818
    @mbachoclassic7818 4 месяца назад

    Kwa sasa yeye ni Boss sijui ile kesi imeishia wp🙈 dunia inakwenda kasi sana

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband 4 месяца назад

    Kwishaaaaaaa

  • @user-bn2ks3su8v
    @user-bn2ks3su8v 4 месяца назад

    This is very nice for listening

  • @alexlesilwa1586
    @alexlesilwa1586 4 месяца назад

    Wanafiki tu sikuzote walikuwa wapi leo wamchafue mwenzao

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 4 месяца назад

    makonda akifa atupwe baaharini ariwe na papa asizikwe kwa uharifu alo uufanya wakati akiwa mkuu wa mkoa akiongoza genge la watu wasiojurikana viongozi hatari ni hawa sabaya gambo makonda chalamila omera ogopa ogopa bhadugu bhanee

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 4 месяца назад

    makonda tapeli mwizi zuruma hafai ata akifa atupwe baharini ariwe na papa asizikwe kwa mabaya ariyo fanya kwa kuongoza kundi la iharifu litwalo watu wasio julikana huyu na sabaya gambo omera chalamila ipo siku jela watakwenda tu labda mungu asiwepo

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn2090 4 месяца назад

    Mambo ya kitoto kutaka. Kitu ambacho sio chako huo ni wizi