RC CHALAMILA ALIVYOLIVAA SAKATA LA BANDARI NA DP WORLD
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Mkuu wa Mkoa wa Dsm , Albert Chalamila Amewataka Wananchi wa Mkoa huo Kuachana na maneno ya Propaganda na Uzushi yanayosemwa kuhusu Uwekezaji unaotarajiwa Kufanyika Katika Bandari ya DSM.
Mummm!
Inshu sio kwamba tunapinga uwekezaji, mkataba wa hovyo kabisaa