FULL MATCH HIGHLIGHTS | GABON 0-2 DR CONGO | GOLI LA MAYELE | AFCON 2023 TV3 TANZANIA GAME ON
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp....
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
#Tv3Tanzania #GameOn
#Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala
je vous adore le commentaire éprouve vraiment de l amour a fiston mayele
So trough this video, I can see how fiston mayele kalala aka the king , is so loved in Tanzania . As a Congolese 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 I'm so proud of him and so happy for young Africans fans 🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Jag älkar mitt land Kongo, I love my country Congo, Napenda inchi yangu Kongo Salut á tous les Congolais et j' aime la RDCongo na Mungu wi bariki Afrika na bariki pia na Kongo salamu kutoka Sweden(Suéde)
Fiston Kalala Mayele 🔥🔥🔥🔥
💛💚Young Africans💛💚
Jamani mayeleee oyeeeeee
Mayele mzee wa vibration zenyewe!!! I like this man and it's humbleness!! Salute from Kigali!! Fan wa league ya TZD
dj
Mchezaji mkubwa anahitaji kupewa nafasi tu hata mda mdogo ataleta tofauti.
Mayele anazidi kujibrand what a striker 🎉🎉
❤king Mayele
Tv3 tanzania tunawapenda sana.
Asante kwakutupa matangazo kwa luga ya kiswahili.
Yani tuna enjoy sana.
Na hongera sana kwa Team ya DR congo kwa ushindi.
Na Asante sana kwa fiston kalala mayele kwa kutu entertain.
Asante kalala mayele kwa kazi nzuri maana Mimi ni mwana jangwani
Nalipenda sana taifa langu DRC, nawafurahiabpia watanzania, kwa kuwathamini wachezaji wakongomani katika teams zao za soccer!
Mungu bariki Congo n'a Tanzania.
Journalist Reporter wa Tanzania iko Hatari kweli. Tunakupenda Sana uku Congo, 🇨🇩 Fiston kalala Mayeleeeeeeeeeeeee😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@jeanclaudemusimbi8209 Tuna mshabikia sana mhariri wetu wa lugha la kiswahili wakati anaturushia habari za match. Sisi wa kongomani tupo pamoja nawe
Nilipenda pale iko na esabiya mu français 😂😅😂😅😂
we love you Mayele fiston merci beaucoup
Mim kama shabiki wa simba hakika nimefurahi sana sana kw Muwakilishi wetu kutoka ligi ya Tanzania akiwa congo Fiston Mayele kupiga goli. Maan baadh ya makocha wanasema mabeki wa kibongo ni wepesi ndio maan dube, Mayele wanawika kwenye ligi yetu kwhyo matukio hayo yanaonyesha kilicho kizuri hakijifichi big up sana king mayele. Chukua mauwa yako 😊🎉🎉🎉
Umesema kweli kaka unajua Hawa wachambuzi wasoka la bongo wengi ni WA michongo kaka kizuri kitabaki kuwa kizuri kaka uko sawa Asante sana mtani tuko pamoja
Bravo sana
Nakubaliii mtaniii💚💛
Hahh mayele bana
Wachambuzi wanalazimishwa kuzungumza visivyotakiwa Kwa kulipwa hongo
We are so glad for you mayele , continue like this
🇨🇦One touch one goal, what a striker Mayele🫡
Asante sana kwa waandishi. Hongera sana DRC
The King of Yanga Fiston traum tor
FISTON KALALA MAYELE DE KING OF YOUG AFRICAN S TANZANIA.
Yoka biso mboka elengi ✌️🇨🇩
Félicitations Mayele, Yanga, nous t'aimons #Daimambelenyumamwiko
Huyu ni predator the King of NBC PL ✅ Fiston kalala mayele
Mayele ni mwamba kwelikweli , mungu ampe maisha marefu kisoka kwani ni miongoni mwa wachezaji wanaleta heshima barani afrika
Sawa Mungu ampe maisha marefu atafute timu achezee
Sio Yanga hapo atadumaa tu
@@sadih5333 siyo kweli ndugu yangu acha fitna
@@sadih5333Tu es très jaloux de Mayele pourquoi ????.
Hôtep 👁️🔮🔥
Huyu jamaaaa ni best player
Kalala oza. Mystique,but ya Victoire na danse wana,ah somo
Tv3💪🏾💪🏾🤳🏾 eshima kwenu
Il a cruisifier le gardien félitation le jeune congolais ❤
Mayele to world 🌍
Merci beaucoup fiston mayele notre avenir
Je suis Congolais de père et de mère, et j'aime mon pays ❤
ruclips.net/video/u3n1lUXZ9v8/видео.htmlsi=DltLEBK9t1epa_xu
The journalist trying to speak french 😄😄 I like it !!!!
He's liying
C'est en direct ?
❤❤❤❤tunapenda sana mchezaji wetu mayele ❤❤❤❤kwamtetemo
Great goal Mayele
Hapo kwa kutetema ,,,sisi wana yanga tumewashinda wa Congo
Huyu jamaa anajua anajua tena 🔥🔥🔥
Mayele Ni mmoja tu the king
Vive mon équipe ❤
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩my country
Nani asinge tetema nasi? Kalala ahsante sana merci beaucoup mwana mboka🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🐆🥰 on t’aime par ici, saluer nous notre belle sœur quand tu va la retrouver en train de te remettre tes trophées qu’elle était parti prendre pour toi!
🎉🎉🎉my beautiful country Drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🦅💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾🔥🔥🔥🔥🔥👉🏾🫡🫡🫡🫡🫡🫡✌️FIMBO NA FIMBO 🏃🏾🧑🏾🦯👨🏾🦯🤳🏾🤳🏾.
Mimi niko congo naku kubali sana kaka mungu aku bariki
Pa pa pa pa pat 😮
I LIKE TZ LEAGUE
Merçi l' Univers pour ces bénédictions
My people 🎉❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mayeleeeeeeeee
Mayere ni mtu hatari sana akipata chance hakosei
RDC Word 🇨🇩💪
Nakukumbari mayele nakuombeya
Watu Wana tetema🥰🥰🥰🥰🥰
Mayele nimmoja tuuu.king
Enonga anavyotetema kwa nguvu..alimiss hili livaibration..The king is only one..
Toujours mon grand frère preso
Inoga nae katetema...kumbe huwa anapenda hilo vibe
. mayele yangaaaaaaaa
Fresh
Le pauvre gardien de but Gabonais! Il n'a vu que du feu!!!
match de la renaissance de léopard
Cool
Viongozi Yanga timu yeyote inayemtaka MAYELE ofa NI bilioni 15.
Swala kitaifa support iwepo sio Ona mayele anafunga Innonga anatetema❤...Jana Tanzania inashinda tuwape sifa wachezaj wetu mashabiki fln washabikia Adebayo jmn swala kitaifa tuwe serious tupo tyr kumsifia Adebayo ambae si wetu tunsingiaza Mambo ya Vilab kwny taifa😂😂 so poa sema sema wabongo sifa😮😊
Wee lijinga tu
Mayele in DRCONGO lingala langage mean clever.
Huyu mayele anatakiwa acheze ulaya, mayele juuuuuuuuu
Mimi ni Yanga, Ila Huyu Mayele akibaki Yanga msimu huu Basi Mganga wetu apewe Maua Yake.
Hili jamaa sio la kucheza hapa 😂
🤣🤣🤣🤣
😮Hili Mayele hatari aisee
Felicitation pour vous vous etez le meilleur reporteur je pensee beaucoup a kabulo muana kabulo pour le moment et notre ministre de sport de la rdc
Ninawaheshimu watoa maoni kwa njia wanayotoa maoni katika mchezo huu, heshima, from DRC
Salute broo
Well done Fiston kalala Mayele❤👏👏👏💪🤳🙏
Maeyeleeeeeeeee
safi mayele
Kifaransa niatarii
Huyu mayele hatar
Gabon watajilaumu wenyewe wamekosa goli Saba za wazi
Jamani nyie mmemuona inonga baka nae anatetema jamani 😂😂😂
Mayelé veut dire intelligent
Kumbe hata Inonga anapenda kutetema eee?
Makabi namuona paleee
Meme le portier Gabonais n"a pas vu le ballon venire en boxe c"est un ko debout
Trebien
Mayele ananyimwa pas na hyo kiungo lasta ,anaroho ya ovyo
Waroma vini
Fiston IKO Matata kabisa kweli 😂😂👍
I wish I could understand Swahili.
is easiest language to learn, even mayele speaks it very well
Wishes come true
asanteni timu langu la rdc, na subiri tutwange na M23
Mungu awabariki sana
Gabon walikuwa wanamsikia tuu predictor sasa wamemjua ni
Nani
Na musikilia uyu gardien uruma alisimama na kushangara nyuma ya ile Gool
Ok
Mayele ni mwamba kweli😅😅
F.mayele zobo le soir 💪⚽🥅🇨🇩
Mayel usiondok yanga 2nakuhitaj
Ca pourait etre vraie sembleblable que c"est ce match qui a cree le coup d"etat du Gabon que ali Bongo soit renverser du pouvoire
Kulikuwa na ulazima Gani kumtaja inonga akiwa benchi nyambafu
Safi watangazaji tunatakiwa tuboreshe lugha yetu kwa mfano mpira sio mpila
😂❤
Kwa namna ya watangazaji wetu kama unamsikiliza kupitia redioni basi utasema mpira ulikuwa ni mkali na timu ama moja kushambuliwa sana kumbe ni midadi tu!! Nilizoea kumsikiliza Charles na Kikeke wakitangaza match za EPL zilizo kali sana na zenye move murua na hatari lakini hawakuwa na mdadi kama hawa wa kisasa!!
Mayelee
Waambie wale wanaosema Mayele ni mchezaji wa kawaida tu, akiwa mbali wanamsifia akiwa nchini wanasema wakawaida na waliposikia anatakiwa nje wamefurahi ajabu, duuuh mbumbumbu bwana wanashangaza🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😂😂😂😂😂😂
Iyo kuhesabu ya mtangazaji mbona atuhelewi kutoka 7-9 mbona atuja sikiya 8 😂😂😂
Mayele nimeona inonga anatetema.Yupo bench harafu.Waliochukia tunawsjua
WEWE ULIWAHI KUKAA BENCHI HATA TIMU YA MTAANI KWENU WACHA UJINGA
@@salimmalaka256 😆😆😆😆😆😆
@@salamasaidi6620 TOPOLO HILO 😂 😆 😂 😆 😆
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔰🔰🔰💛💛💛💛💛