WAANZA KUREJESHA BILIONI 10 ZILIZOIBWA HALMASHAURI YA JIJI DSM, DC ILALA AWA MBOGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Mkuu wa wilaya ya Ilala Ng'wilabuzu Ludigija ameagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU kuwachukulia hatua haraka kwa wote waliokaidi kurejesha fedha zaidi ya 10.1B , waliotajwa kwenye Ripoti ya C.A.G ya Mwaka 2020 - 2021

Комментарии •