Huduma ukiwa umeitwa ni rahisi kweli pastor Emmanuel mgaya Mungu azidi kukupandisha viwango hakika nabarikiwa sema vijana wa leo ukimtumikia Mungu unaonekana upo nje na wakati hata haina haja ya kuwambia wakuelewe acha Mungu azidi kuwaonesha ukuu wako wandishi umewambia ukweli 🙏🙏
Songa mbele mtumishi wa Mungu achana na wanadamu, Yesu alisema nataka mkajifunze neno hili nataka rehema na wala si sadaka,songa songa mbele nyuma mwiko.
Hahahah haha we mwandishi umesema la mwisho sisi tunaupako naweza kukuombea likatokea yoyote hahahah nimecheka Sana uko vizuli mwinjilist mchungaji naona injili imeanzia hapo hapo kwa waandishi ubarikiwe Sana mtumishi songa mbele achana na maneno yao huwa wito wa kweli unavita hivyo maneno yao yasikuvunje moyo
Hongera sana Pastor .Ushauri wangu uachane na uigizaji
Nakukubali sana bro
Muchungaji Masanja uwa una nifurahisha kweli
Yani walisema ya mwisho bado maswali haishii💪💪🙏🙏
😂😂😂😂 eti kwani ubishop ni wako? Heleluya!! 😂😂😂 soo funny masanja.
Amina😅😅😅🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥weweeeeeeeewoooooooo🙋🙋🙋🙋🙋💪💪💪
Huduma ukiwa umeitwa ni rahisi kweli pastor Emmanuel mgaya Mungu azidi kukupandisha viwango hakika nabarikiwa sema vijana wa leo ukimtumikia Mungu unaonekana upo nje na wakati hata haina haja ya kuwambia wakuelewe acha Mungu azidi kuwaonesha ukuu wako wandishi umewambia ukweli 🙏🙏
We mtumikie Mungu wako hata Yesu walimsema we songa mbele
Ubarikiwe Sana bishop watakuelewa tu
Stay blessed son if God. Pigania ulichopewa na Mungu na wito wako utimize. Binadamu huwa hawaachi kusema siku zote
Sifa na utukufu kwa Mungu, hongera Masanja kwa kutoa huduma ya neno la Mungu
Nakuelew san bro one day lazma nfike kanisani kwako nabarikiw san
Barikiwa mtumishi
Mtumishi hainaja yakuwasikiliza wanadamu mwangalie mungu aliyekuita wanadamu wapo kwa ajiri ya kukatisha tamaa ubarikiwe sana
Nimefurahia hii kaka. Uzidi kubarikiwa sana. Huduma ni njema sana.
Hongereni sana mtumishi. Papa Masanja Mkandamizaji. Nimecheka sana
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
ubarikiwe Sana mtumishi kijana ,watakuelewa tu, sifa na utukufu kwa bwana
Mungu aliye mbinguni azidi kukufunulia maono ya kulitangaza neno lake kwetu.
Mungu akubariki sana
Nabarikiwa sana na mtumishi masanja. Watakuelewa taratibu tuu
Songa mbele mtumishi wa Mungu achana na wanadamu, Yesu alisema nataka mkajifunze neno hili nataka rehema na wala si sadaka,songa songa mbele nyuma mwiko.
Hongera Sana mpendwa kwa ibada yako
Songa mbere na kazi ya MUNGU, MUNGU yupo nawe karibu saana uku kagera mleba
Hongera ssna
Hongera sana mungu ni mwema
😂😂😂 hongera saana Beshop
Hahahah haha we mwandishi umesema la mwisho sisi tunaupako naweza kukuombea likatokea yoyote hahahah nimecheka Sana uko vizuli mwinjilist mchungaji naona injili imeanzia hapo hapo kwa waandishi ubarikiwe Sana mtumishi songa mbele achana na maneno yao huwa wito wa kweli unavita hivyo maneno yao yasikuvunje moyo
Hakika nimekuelewa
Sadaka siyo lazima
Msanii mwingine huyo bingwa wa kudhihaki
Songa mbere na kazi ya MUNGU, MUNGU yupo nawe, karibu saana uko kagera mleba,
Utukufu kwa God
Ubarkiwe paster Mungu azid kukuinua
Mimi binafsi nakuelewa sana Mungu azid kukutumia paster
Uyu masanja ana akili nyingi hivyo kama hauna akili ni vigumu kumuelewa
Masanja amehama Eagt au?
Hakuna kanisa hapo ni biashara ya wajinga ndio waliwao.