MASANJA NIMEFUNGUA KANISA WAMENUNA WALITAKA NIFUNGUE DANGULO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • MASANJA NIMEFUNGUA KANISA WAMENUNA WALITAKA NIFUNGUE DANGULO

Комментарии • 37

  • @vumiliailomo5949
    @vumiliailomo5949 Год назад

    Hongera sana Pastor .Ushauri wangu uachane na uigizaji

  • @fredricjames774
    @fredricjames774 3 года назад

    Nakukubali sana bro

  • @salomeomashibo1971
    @salomeomashibo1971 3 года назад +1

    Muchungaji Masanja uwa una nifurahisha kweli
    Yani walisema ya mwisho bado maswali haishii💪💪🙏🙏

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy870 3 года назад +2

    😂😂😂😂 eti kwani ubishop ni wako? Heleluya!! 😂😂😂 soo funny masanja.

  • @millicentakinyi5504
    @millicentakinyi5504 2 года назад

    Amina😅😅😅🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥weweeeeeeeewoooooooo🙋🙋🙋🙋🙋💪💪💪

  • @dickson6684
    @dickson6684 3 года назад +1

    Huduma ukiwa umeitwa ni rahisi kweli pastor Emmanuel mgaya Mungu azidi kukupandisha viwango hakika nabarikiwa sema vijana wa leo ukimtumikia Mungu unaonekana upo nje na wakati hata haina haja ya kuwambia wakuelewe acha Mungu azidi kuwaonesha ukuu wako wandishi umewambia ukweli 🙏🙏

  • @mamastellar6841
    @mamastellar6841 2 года назад

    We mtumikie Mungu wako hata Yesu walimsema we songa mbele

  • @fanuelburra5664
    @fanuelburra5664 3 года назад +1

    Ubarikiwe Sana bishop watakuelewa tu

  • @annambezi6226
    @annambezi6226 3 года назад +2

    Stay blessed son if God. Pigania ulichopewa na Mungu na wito wako utimize. Binadamu huwa hawaachi kusema siku zote

  • @rumb5876
    @rumb5876 3 года назад +1

    Sifa na utukufu kwa Mungu, hongera Masanja kwa kutoa huduma ya neno la Mungu

  • @besttrendingcovers1838
    @besttrendingcovers1838 3 года назад +1

    Nakuelew san bro one day lazma nfike kanisani kwako nabarikiw san

  • @susankasyoka853
    @susankasyoka853 3 года назад +1

    Barikiwa mtumishi

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 3 года назад

    Mtumishi hainaja yakuwasikiliza wanadamu mwangalie mungu aliyekuita wanadamu wapo kwa ajiri ya kukatisha tamaa ubarikiwe sana

  • @VinceJoyn
    @VinceJoyn 3 года назад

    Nimefurahia hii kaka. Uzidi kubarikiwa sana. Huduma ni njema sana.

  • @MadamRehemaRamadhani
    @MadamRehemaRamadhani 3 года назад

    Hongereni sana mtumishi. Papa Masanja Mkandamizaji. Nimecheka sana

  • @johnshija2271
    @johnshija2271 3 года назад +1

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @tulizomwinuka8503
    @tulizomwinuka8503 3 года назад

    ubarikiwe Sana mtumishi kijana ,watakuelewa tu, sifa na utukufu kwa bwana

  • @maryndalu2236
    @maryndalu2236 3 года назад

    Mungu aliye mbinguni azidi kukufunulia maono ya kulitangaza neno lake kwetu.

  • @hobokelajackson1947
    @hobokelajackson1947 3 года назад +1

    Mungu akubariki sana

  • @elieneaezekiel5102
    @elieneaezekiel5102 3 года назад

    Nabarikiwa sana na mtumishi masanja. Watakuelewa taratibu tuu

    • @scolapius1884
      @scolapius1884 3 года назад

      Songa mbele mtumishi wa Mungu achana na wanadamu, Yesu alisema nataka mkajifunze neno hili nataka rehema na wala si sadaka,songa songa mbele nyuma mwiko.

  • @emmanuelteemba8288
    @emmanuelteemba8288 3 года назад

    Hongera Sana mpendwa kwa ibada yako

  • @jovithajovinary9305
    @jovithajovinary9305 3 года назад +1

    Songa mbere na kazi ya MUNGU, MUNGU yupo nawe karibu saana uku kagera mleba

  • @neemajulius1256
    @neemajulius1256 3 года назад

    Hongera ssna

  • @josephgerald5540
    @josephgerald5540 3 года назад

    Hongera sana mungu ni mwema

  • @sarahisaack9674
    @sarahisaack9674 3 года назад

    😂😂😂 hongera saana Beshop

  • @esthersalum2119
    @esthersalum2119 3 года назад +1

    Hahahah haha we mwandishi umesema la mwisho sisi tunaupako naweza kukuombea likatokea yoyote hahahah nimecheka Sana uko vizuli mwinjilist mchungaji naona injili imeanzia hapo hapo kwa waandishi ubarikiwe Sana mtumishi songa mbele achana na maneno yao huwa wito wa kweli unavita hivyo maneno yao yasikuvunje moyo

  • @luganomwakasole4063
    @luganomwakasole4063 3 года назад +1

    Hakika nimekuelewa

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 3 года назад +1

    Sadaka siyo lazima

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 9 месяцев назад

    Msanii mwingine huyo bingwa wa kudhihaki

  • @jovithajovinary9305
    @jovithajovinary9305 3 года назад

    Songa mbere na kazi ya MUNGU, MUNGU yupo nawe, karibu saana uko kagera mleba,

  • @joshuahamuriofficial9487
    @joshuahamuriofficial9487 3 года назад

    Utukufu kwa God

    • @ednamwashilo6515
      @ednamwashilo6515 3 года назад

      Ubarkiwe paster Mungu azid kukuinua

    • @ednamwashilo6515
      @ednamwashilo6515 3 года назад

      Mimi binafsi nakuelewa sana Mungu azid kukutumia paster

  • @fredgasper7578
    @fredgasper7578 3 года назад

    Uyu masanja ana akili nyingi hivyo kama hauna akili ni vigumu kumuelewa

  • @nelsabugo3613
    @nelsabugo3613 3 года назад +1

    Masanja amehama Eagt au?

  • @fridalyanguka1733
    @fridalyanguka1733 9 месяцев назад

    Hakuna kanisa hapo ni biashara ya wajinga ndio waliwao.