JENGO LA GHOROFA KIVULE LILOMCHUKIZA DC WA ILALA, AAGIZA KUVUNJWA MKATABA WA UJENZI
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Dc wa Ilala Amechukizwa na hali ya kusuasua kwa ujenzi wa Jengo la Ghorofa Mbili katika Hospitali ya Wilaya hiyo iliyopo Kivule Kitunda Dsm ambapo amemuagiza Mkurugenzi wa Jiji kuhakikisha Wanasitisha Mkataba wa Ujenzi waliokubaliana na Mkandarasi ambaye ni Suma Jkt
Na bado et rusting mhhh ananyatia shati lake mhh