TUNATOA MIKOPO YA KUANZISHA VIWANDA - DC ILALA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Mkuu wa Wilaya ya Ilala Ng'wilabuzu Ludigija amesema kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii imefanya Vizuri kwa kuwezesha Vikundi mbali mbali Mikopo inayotokaa na Mapato ya Ndani na Sasa Mlengo wao ni kuwezesha Vikundi kwa kiwango cha Mitaji ya Viwanda Vidogo vidogo kama ilivyofanya kwa Vijana waliowezeshwa Tsh milioni 100 wakaanzisha Zahanati katika kata ya Kipunguni Dsm

Комментарии •