MAMBO MANNE YA KUFANYA KILA ASUBUHI UAMKAPO Sehemu ya Kwanza - Innocent Morris

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • MAMBO MANNE YA KUFANYA KILA ASUBUHI UAMKAPO Sehemu ya Kwanza - Innocent Morris
    Katika somo hili utajifunza mambo manne muhimu na ya kupewa kipaumbele kila asubuhi uamkapo. Na somo hili litabadili kabisa maisha yako. Litakusaidia kukua kiroho na kukutoa hatua moja kwenda hatua nyingine.
    Chukua kalamu yako na daftari ujifunze somo hili.
    Ubarikiwe sana.
    Innocent Morris
    +255652796450 (WhatsApp)
    Instagram Page: holyspiritconnect
    Facebook Page: Holy Spirit Connect
    Contact: +255652796450 (WhatsApp)
    Instagram Link:
    / holyspiritconnect
    Facebook Link:
    / holyspiritconnect
    RUclips Link:
    / holyspiritconnect

Комментарии • 302

  • @ThereziaDanielKajuna
    @ThereziaDanielKajuna Месяц назад +2

    Baba naomba nipe kiu na ham ya kuomba siku zote za maisha yangu

  • @abemaabihudi3547
    @abemaabihudi3547 2 месяца назад +3

    Ee Yesu naomba Roho wako mtakatifu anipe nguvu ya maombi niwe mwana maombi

  • @ChristinaNyarobi
    @ChristinaNyarobi День назад

    Mungu naomba ukawe wa kwanza kila siku kwenye maisha yangu 🙏🙏🙏

  • @rosekiwale8302
    @rosekiwale8302 7 дней назад

    Ushuhuda kuna siku niliamka na kuanza maombi na wewe kweli siku hiyo nilikuwa kwenye taabu kubwa sana . Ila kwa ile siku niliomba na wewe nilifanikiwa shida yangu ilitoweka . Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @ivona-p4t
    @ivona-p4t 4 месяца назад +2

    Ee Mungu naomba unitimizie haja za moyo wangu maana wewe pekee ndo wanijua mfalme , nianze nawewe niendelee nawewe na nimalize nawewe🙏🙏🙏

  • @DevothaMwakaboko
    @DevothaMwakaboko 3 дня назад

    Asant mungu naomba kibali niwe kama wewe nianze nawe mungu wangu

  • @chikuamedeus8700
    @chikuamedeus8700 24 дня назад +1

    Baba naomba unipe kiu yakuomba baba Kwanzia Sasa mpka mwisho wa Maisha yangu

  • @julianasuleman219
    @julianasuleman219 5 месяцев назад +2

    Ninakushukuru Mungu kwa siku ya leo nakuomba neema na upendo amani kwa siku hii ya leo. Tembea nami bwana siku hii ya leo nawaomnea wanangu na ukoo wote amani upendo na kulujua wewe tu daima amen

  • @richardshayo9162
    @richardshayo9162 5 месяцев назад +4

    Ewe mwenyezi mungu naomba umbariki babayangu aponemacho ugonjwa utoweke awemzima namkabizi kwako stephen shayo amina .

  • @roseboamo5777
    @roseboamo5777 5 месяцев назад +5

    Ee mungu nipe nguvu nakuomba asbh na mchana na usiku, mungu wangu. Nashukuru kwa upendo wako bwana naamini fadhili zako bwana yesu. Hakuna mungu kama wewe bwana yesu, nope kibali yako nipokee siku hii mpya kwa upendo. Nuru yako ikaangaze kwa watoto wako ma familia yetu. Ikaangaze kwenye biashara yangu na nyumbani kwangu amen.

  • @SalomeSanga-d7g
    @SalomeSanga-d7g 9 дней назад

    Mungu wangu nifundishe kufanya maombi kila siku kwanye maisha yangu

  • @BeatriceBaruti-rw5yj
    @BeatriceBaruti-rw5yj 18 дней назад

    Mungu nisaidie wewe uwe wa kwanza maishani mwangu

  • @evasambila8529
    @evasambila8529 5 месяцев назад +9

    Baba Kwa weza na nguvu zako Nakushukuru Kwa ukuu wako, Nakushukuru Kwa upendo wako Nakushukuru kwa uponyaji wako , mtumishi wa Mungu Mungu akubariki sana

    • @holyspiritconnect
      @holyspiritconnect  5 месяцев назад

      Ameen ameeen

    • @Ammyrichi
      @Ammyrichi 5 месяцев назад

      Jina la bwana na libarikiwe Kwan yeye ni mweza wa yote

  • @atugonzageorge1587
    @atugonzageorge1587 2 месяца назад

    Eeee Yesu usifiwe na upewe sifa naomba Neema yako iniinue ktk maombi na kukujua ww ck zote za ujana wangu, nikujue bwana na nikutumikie ck zote za maisha yangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rosekiwale8302
    @rosekiwale8302 7 дней назад

    Asante mtumishi mafundisho yako mazuri mno . Mungu akubariki sana kwa upendo . Mungu aendelee kukuinua mtumishi wa Mungu

  • @SecyBaby
    @SecyBaby 5 месяцев назад +1

    Eemungu nipe Imani yakusali Kila siku na kusoma BIBILIA niskusahau MUNGU wangu 🙏 naomba Mimi na family yangu

  • @AbdulbaqShiloo
    @AbdulbaqShiloo 4 месяца назад +1

    thank you for good lesson a man of God ....am blessed

  • @salamalupenza5082
    @salamalupenza5082 5 месяцев назад +2

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho ya neno la uzima.Roho mtakatifu niongoze ktk kila yatua ya maisha yangu. NAKUPENDA SANA YESU WANGU ❤❤

  • @MaryNiima
    @MaryNiima Месяц назад

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu. Naomba Bwana nitie guvu ya maombi na niweze kukuweka nafasi ya kwanza katika maisha yangu.

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 5 месяцев назад +2

    Laminate ubarikwe sana Mtumishi wa Mungu ili nilikuwa silijuhi naanza maisha haya

  • @SalomeNgala-q6x
    @SalomeNgala-q6x 11 дней назад

    Mungu naomba unipe roho was maombi

  • @jacintanzembi1454
    @jacintanzembi1454 3 месяца назад

    Naomba mungu anipe hiki kibali cha kuomba🙏mungu aendelee kukujalia hekima utufudishe zaidi

  • @lucyikamba8184
    @lucyikamba8184 5 месяцев назад

    Ee Mungu baba naomba unisaidie nianza na wewe kila siku katika maisha yangu. Mbariki Mtumishii wako anayefundisha neno lako hili.

  • @ChirtinaNoel
    @ChirtinaNoel 5 месяцев назад +2

    🙌🏻🙇🏻Baba nakushukuru kwa ajili ya mtumishi wako huyu kwa kutuondolea ujinga tuliokua nao wakujisahau unipe rehema na kibali cha kunyenyekea miguuni mwako nipe moyo wakukushukuru nipe moyo wa sifa nipe moyo wa toba nipe kukutanguliza kabla ya jambo lolote nipe kumbukumbu na hofu yako🙏🏻🙏🏻🙇🏻barikiwa mtumishi wa mungu

  • @warshatissa7128
    @warshatissa7128 5 месяцев назад +8

    Jinsi ninavyo barikiwa. Basi mungu ukawabariki watumishi wote zaidi Yangu ameen

  • @willeyshambaa1226
    @willeyshambaa1226 Месяц назад

    Mungu baba Nipe Kiu ya maombi ya asubui muchana mpaka na usiku baba

  • @RachelAmos-j2s
    @RachelAmos-j2s 3 месяца назад

    mungu baba naomba kama kuna agano lolote limewah wekwa kwangu I'll nisifanikiwe nisiolew nisipendwe nisipatane na watu ninalikataa kwa damu ya yese kirsto nakataa kila laana iliyotamkwa na kunenwa kwangu pamoja na kizazi changu baliki kaz zang baliki kizazi changu bwana naomba maadui zangu wote niwaone kwa macho ya nyama waje wakiwa wamedharirika bwana wapigwe warudishe kila kitu waricho kichukua kutoka wangu baba nakuomba najua me ni mwenydhambi ila nikiwa kwako kila kitu kinawezekana🙏🏻🙌

  • @MERCYLULINGA
    @MERCYLULINGA Месяц назад

    Mungu ulie mkuu unastaili nipe uwezo wa kusali na kumanisha ninachokiomba

  • @herriethmsese4381
    @herriethmsese4381 5 месяцев назад

    Asante Mungubkwa kunipa kibali Cha kusukia neno lako leo naamini una makusudi nami katika Jina la Yesu🙏

  • @mwangebulongo
    @mwangebulongo 6 месяцев назад +2

    Baba MUNGU nashukuru kwa kuniamsha salama mimi na familia yangu asante baba kwa ukuu wako nakwabudu nakutukuza kwa maana wewe nimzuri naomba ulinzi wako asubui uwa funike watoto wangu na mume wangu na damu ya yesu sante baba wa stahili sifa na utukufu amina 🙏

    • @CharlesSimiyu-t5w
      @CharlesSimiyu-t5w 5 месяцев назад

      Ubarikiwe mtumishi Kwa mafunzo yko nimekuwa nimefungwa Kwa muda mrefu kupitia maisha yangu

  • @MarietaRukag-ch1vr
    @MarietaRukag-ch1vr 5 месяцев назад

    Asante Yesu kwa kunipa kibali cha
    kuiona siku mpya nyingine leo.Asante
    sana Yesu mpendwa
    wangu mzuri .🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉.

  • @whitneyMolel
    @whitneyMolel 5 месяцев назад

    Eee mungu naomba unifungue ktk vifungo vyote niliofungwa mimi na watoto wangu . Kwa jina la yesu

  • @MUTONIDenyse-r8h
    @MUTONIDenyse-r8h 2 месяца назад

    Paster innocent umekuwabaraka kwetu Sasa ubariniwe sasa

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265 4 месяца назад

    Naomba kuuliza Mtumishi ivi tunamshukuru Mungu au tunamshukuru Yesu,na kusifu tunamsifu nani hapo nisaidie mm vinanichanganya.

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 5 месяцев назад

    Hakika umekuwa sauti iliyotumwa na Mungu ,
    mimi nimpungufu ,
    Mungu azidi kukutumia na akuinue sana

  • @DorcusSaul-wv9rd
    @DorcusSaul-wv9rd 3 месяца назад +1

    Mungu Baba,, naomba uniondolee uvivu wa kuomba,,, niamkapo nianze nawe,,, nitembee nawe nmalize siku nawe,, asante sana kwa mafunzo mena..

    • @IraneShirindo
      @IraneShirindo 3 месяца назад

      Asante nashukuru mungu naomba ewe mungu unijaze chemchem ya sazote kutafuta uso wako

  • @hellenbarnaba9069
    @hellenbarnaba9069 4 месяца назад

    Ooh!! Mungu Akubariki Sana 🙏🙏🙏 kutuamsha tujue Umuhimu wa Mungu kwanza. Maombi kwanza . Kumshukuru MUNGU kwa Neema take bure sisi tusiostahili. Mungu Nisaidie Tusaidie tuongoke.

  • @ginzelakupaza8130
    @ginzelakupaza8130 5 месяцев назад

    Mungu naomba ukabariki biashara yangu malaika wako kilaupande wakasimame wanilelee wanunuzi ninakushukuru mungu wangu hujaniacha hata siku moja nakutegemea peke yako

  • @marthakasekwa796
    @marthakasekwa796 2 месяца назад

    Ee Mungu tusaidie kutimiza haya maana roho ziko radhi ila miili ni nidhaifu.

  • @marthakasekwa796
    @marthakasekwa796 2 месяца назад

    Nimeanza kukufuatilia mtumishi, Mungu akuwezeshe uendelee na utumishi mwema.

    • @RebeccaNgassa
      @RebeccaNgassa 2 месяца назад

      asante mtumishi Mungu ni siri kumbwa ipo ndani ya maombi mungu tusaidie tujue siri hii.

  • @JanethMsechu
    @JanethMsechu 2 месяца назад

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @irenefranco3315
    @irenefranco3315 4 месяца назад

    Hua unanibariki mtumishi wa YESU 🙏, hakika sichoki kukusikia

  • @evamiraji2379
    @evamiraji2379 5 месяцев назад

    Ameen.. Mimi napenda sana kusali sala ya Baba yetu.. sasa hapo sijui nakosea

  • @doricagwichala1563
    @doricagwichala1563 4 месяца назад

    Thank you Holly spirit.
    Powerful message,
    May God bless you Man of God

  • @MwamvitaMyombo
    @MwamvitaMyombo 2 месяца назад

    Ee Mungu Naomba Unikumbushe kila siku nikushukuru kwa maombi kuanzia Asubuhi,mchana ,Jioni na wakati wa usiku

  • @AgnesLubisa
    @AgnesLubisa Месяц назад

    Mungu nisaidie nipate mme sahihi nifunge nae ndoa

  • @sarahlussingu6029
    @sarahlussingu6029 5 месяцев назад

    Amen…Mungu naomba endelea kunipa kibali cha kukuomba kila siku asubuhi na Juini na wakati wa Usiku wa manane pia nisemezane na wewe Muumba Mbingu na Ardhi…nitakushukuru…nitakusifu na kukuabudu Mungu wa Mbinguni mimi pamoja na watoto wangu na familia kwa ujumla.

  • @EdithaNyambo
    @EdithaNyambo 5 месяцев назад

    Ubarikiwe sana Mtumishi,nimekuwa nikiomba kila niamkapo lakini nimegundua kuna maeneo siku sahihi. Mafundisho yako yamenifungua sana na nimepata ufahamu mkubwa.

  • @FaustinaMkumbwa
    @FaustinaMkumbwa 5 месяцев назад

    Mungu ambariki mtumishi nimejifunza kitu Mungu anisaidie niwe mtendaji Wa neno

  • @IsakaMarwa
    @IsakaMarwa 5 месяцев назад

    Mungu nitetee ndoa yangu naona magumu sina amani mungu nisaidie

  • @richardshayo9162
    @richardshayo9162 5 месяцев назад +1

    Amina.

  • @dynesdaud564
    @dynesdaud564 6 месяцев назад +3

    Mungu naomba unipe kiu ya kukushukuru kila asubui kwa jina la yesu

  • @IsakaKiyalo-s3v
    @IsakaKiyalo-s3v 5 месяцев назад

    Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana na neno hili ambalo mungu amekutumia unifundishe kupitia mtandao huu katika jina la yesu kristo na ubarikiwe

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 4 месяца назад

    Mungu baba naomba unifungue vifungo vyote nilivyofungwa maana Sina amani Raha maisha magumu madeni ni mengi biashara wateja wamepungua Eeee baba mungu naomba unisaidie

  • @faithkimuto9452
    @faithkimuto9452 3 месяца назад

    Asante mungu wangu Kwa kuona siku hii🙏🙏🙏

  • @Jackchuma
    @Jackchuma 5 месяцев назад +1

    Ameen nimebarikiwa sana mtumishi wa MUNGU Namuomba MUNGU anipe neema ya kuomba kila siku asubuhi na jioni.

  • @genevievesunday
    @genevievesunday 6 месяцев назад

    Mungu wangu nisaidie Kila iitwapo Leo nianze na wewe. Ubarikiwe 🙏 sana mtumishi wa Mungu.

  • @nathaliajohn
    @nathaliajohn 5 месяцев назад +2

    Mungu tetra maisha yangu simama na familia yangu watoto wangu

  • @richardshayo9162
    @richardshayo9162 5 месяцев назад

    Mwenyezi mungu naomba unipenguvu yakuomba kilasiku usiku nahasubuhi najikabithi kwako jessus maifrend

  • @annangowi5517
    @annangowi5517 4 месяца назад

    Ahsante Mtumishi wa Mungu kwa fundisho zuri
    Mungu akubariki sana kwa huduma hii

  • @ELIZIANASAMWELI
    @ELIZIANASAMWELI 5 месяцев назад

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa mafundisho mazur ya kumtafuta mungu inatupasa tumtafute mungu kwa bidii sana

  • @JescaNgeleza
    @JescaNgeleza 5 месяцев назад

    Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe mno, Mimi huwa naset alarm nikiamka naiondoa Kisha nashukuru Mungu je! Nakuwa nakosea?

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 5 месяцев назад

    Nimebarikiwa sana mtumishi na mafundisho yako....❤❤

  • @WinnyMmbaga
    @WinnyMmbaga 6 месяцев назад

    Baba mungu wambinguni nakushukuru kwaniamshasalama naomba unilinde Mimi pamoja nafamilia yangu walinde wa jukuu zangunaomba nakushukuru AMINA

  • @REGINAJulius-s9w
    @REGINAJulius-s9w 4 месяца назад

    Nimeelewa mtumishi ❤

  • @NaomiElly-d8x
    @NaomiElly-d8x 14 дней назад

    Ubarikiwe mtumishi

  • @ChristinaJoseph-u4w
    @ChristinaJoseph-u4w 5 месяцев назад

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.Nimeuwika Kwa upya kabisa.

  • @hasanygodda9242
    @hasanygodda9242 6 месяцев назад

    EE MWENYEZI MUNGU NAOMBA NISAIDIE KUELEWA NA KUFWATA NENO LAKO....
    AMEN MTUMISHI

  • @ELIZIANASAMWELI
    @ELIZIANASAMWELI 5 месяцев назад

    Mtumishi wa mungu ubarikiwe kwa mafundisho nami namwomba mungu anifanye kama daud na kama wana wajangwani nisikate taama katika safali ya kwenda mbinguni

  • @DeodataDeogratias
    @DeodataDeogratias 5 месяцев назад

    Mungu Naomba nipate nguvu Kila siku ya kuomba Asubuhi na jioni Amina

  • @AntoJojo-ny1yt
    @AntoJojo-ny1yt 4 месяца назад

    Mungu akuzidishiy mafuta

  • @NaetweFue-sx5ju
    @NaetweFue-sx5ju 5 месяцев назад

    Amina.Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Kwa mafundisho mazuri

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 5 месяцев назад

    Barikiwa sana ❤️🙏🙏🙏🙏🔥🔥🙏🙏🏼

  • @julianagodwin
    @julianagodwin 4 месяца назад

    Mungu naomba unisaidie

  • @FrankNyanza
    @FrankNyanza 5 месяцев назад +1

    Mungu Nakushukuru kwa nafasi nyingine tena kwa uhai huu ulonipatia mimi pamoja na familia yangu

  • @kitwanajohn8237
    @kitwanajohn8237 5 месяцев назад

    Nabarikwa sana na mafundisho Yako mtumishi wa BWANA

  • @josephtesha872
    @josephtesha872 5 месяцев назад

    Barkiwa baba asnte kwae kushare

  • @MarietaRukag-ch1vr
    @MarietaRukag-ch1vr 3 месяца назад +1

    Asante Kwa maombi haya ya kumshukuru kila asubuhi.
    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.🎉🎉🎉🎉❤

  • @FransiscaShirima-s7v
    @FransiscaShirima-s7v 4 месяца назад

    Ee mwenyezi Mungu nipe macho ya rohon nifungue fahamu zangu

  • @FransiscaShirima-s7v
    @FransiscaShirima-s7v 4 месяца назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi najifunza kumuomba Mungu kupitia wewe

  • @RamadhanIdd-bz2te
    @RamadhanIdd-bz2te 5 месяцев назад +1

    Grace Asante mungu Kwa mapenzi yako yote kunipa uhai na kuomba hata unifunze kuomba kila siku mana unaniamsha nikiwa haibaba ni ngufu

  • @ClayONeal-s5c
    @ClayONeal-s5c 6 месяцев назад +1

    Aamen mungu naomba nisaidie nianze na wewe kila siku ktk jina la yesu

  • @MarthaKamendu
    @MarthaKamendu 2 месяца назад

    Eeh MUNGU nisaidie kukuweka kipaumbele kwenye maisha yangu

  • @evamiraji2379
    @evamiraji2379 5 месяцев назад

    Mtumishi Mungu amekubariki kwa sauti nzuri sana iliyotulia, na inayopenya vizuri masikioni pa wasikilizaji...

  • @CyilviaLawrence
    @CyilviaLawrence 5 месяцев назад +2

    Ee Mungu naomb unisaidie

  • @LEAHAwinja-sv1oc
    @LEAHAwinja-sv1oc 5 месяцев назад +1

    Amen Amen Eee mungu nakushukuru kwa kila kitu naomba unpe moyo wa maombi kila siku niamkapo

  • @hussenhafidh3729
    @hussenhafidh3729 6 месяцев назад

    Mungu nakupenda, naomba unipe kiu ya maombi muda wote, Amina

  • @jenniferaidaimbukwa4778
    @jenniferaidaimbukwa4778 3 месяца назад

    Ee mungu,nakushukuru,Baba,yangu,kwa mafundisho haya,Na,unipengufu,ya,kuomba,kila,niamukapo,asubuhi

  • @ennasolomon5202
    @ennasolomon5202 2 месяца назад

    Nashukuru kwa.maombi na mafundisho

  • @RehemaNdewingia
    @RehemaNdewingia 5 месяцев назад +1

    Ubarekiwe mtumishi kwa utumishi mzuri wa kutufundisha ubarikiwe .

  • @rahelchilale1075
    @rahelchilale1075 5 месяцев назад +2

    AMEN 🙏.

  • @EgnessMdamanyi
    @EgnessMdamanyi 6 месяцев назад +1

    Amen, barikiwa mtumishi wa mungu kwa kutukumbusha kuanza na mungu Kila iitwapo Leo🙏

  • @angelajacksonnkandi1779
    @angelajacksonnkandi1779 6 месяцев назад

    Mungu nisaidie nami nipate nguvu ya kuomba aasubuhi na jioni na usiku wa manane nisaidie

  • @EllyMariki
    @EllyMariki 5 месяцев назад +1

    Hakika Mungu ndo kil kitu ktk maisha yetu Jehova tunalitukuza jina lako

  • @KyondwaBrigitte
    @KyondwaBrigitte 5 месяцев назад

    Mungu nakuomba unipe hamu na nguvu ya kuomba kila siku asubui mcana na jioni .

  • @evamgaya8240
    @evamgaya8240 5 месяцев назад +1

    Asante kwa somo zuri, nilikuwa gizani jamani, asante Mungu kwa ajiri ya Mtumishi wako

  • @henrytarimo9802
    @henrytarimo9802 5 месяцев назад

    Ameni ameni kwa ufunuo huu mtumishi wa BWANA

  • @lucasmaro4172
    @lucasmaro4172 6 месяцев назад +1

    Amina.
    Atukuzwe Mungu atendaye mambo makuu kwenye maisha yetu.

  • @AhamedAl-y4b
    @AhamedAl-y4b 4 месяца назад

    Asante mtumishi wa mungu ❤

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo 5 месяцев назад +1

    hata mimi hili lakuomba asubuhi nilikua silijui hivyo naanza leo. ubarikiwe sana mtumishi wa mugu.