MAMBO MANNE YA KUFANYA KILA ASUBUHI UAMKAPO Sehemu ya Kwanza - Innocent Morris
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- MAMBO MANNE YA KUFANYA KILA ASUBUHI UAMKAPO Sehemu ya Kwanza - Innocent Morris
Katika somo hili utajifunza mambo manne muhimu na ya kupewa kipaumbele kila asubuhi uamkapo. Na somo hili litabadili kabisa maisha yako. Litakusaidia kukua kiroho na kukutoa hatua moja kwenda hatua nyingine.
Chukua kalamu yako na daftari ujifunze somo hili.
Ubarikiwe sana.
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
RUclips Link:
/ holyspiritconnect
Baba naomba nipe kiu na ham ya kuomba siku zote za maisha yangu
Ee Yesu naomba Roho wako mtakatifu anipe nguvu ya maombi niwe mwana maombi
Mungu naomba ukawe wa kwanza kila siku kwenye maisha yangu 🙏🙏🙏
Ushuhuda kuna siku niliamka na kuanza maombi na wewe kweli siku hiyo nilikuwa kwenye taabu kubwa sana . Ila kwa ile siku niliomba na wewe nilifanikiwa shida yangu ilitoweka . Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Ee Mungu naomba unitimizie haja za moyo wangu maana wewe pekee ndo wanijua mfalme , nianze nawewe niendelee nawewe na nimalize nawewe🙏🙏🙏
Asant mungu naomba kibali niwe kama wewe nianze nawe mungu wangu
Baba naomba unipe kiu yakuomba baba Kwanzia Sasa mpka mwisho wa Maisha yangu
Ninakushukuru Mungu kwa siku ya leo nakuomba neema na upendo amani kwa siku hii ya leo. Tembea nami bwana siku hii ya leo nawaomnea wanangu na ukoo wote amani upendo na kulujua wewe tu daima amen
Ewe mwenyezi mungu naomba umbariki babayangu aponemacho ugonjwa utoweke awemzima namkabizi kwako stephen shayo amina .
Ee mungu nipe nguvu nakuomba asbh na mchana na usiku, mungu wangu. Nashukuru kwa upendo wako bwana naamini fadhili zako bwana yesu. Hakuna mungu kama wewe bwana yesu, nope kibali yako nipokee siku hii mpya kwa upendo. Nuru yako ikaangaze kwa watoto wako ma familia yetu. Ikaangaze kwenye biashara yangu na nyumbani kwangu amen.
Mungu wangu nifundishe kufanya maombi kila siku kwanye maisha yangu
Mungu nisaidie wewe uwe wa kwanza maishani mwangu
Baba Kwa weza na nguvu zako Nakushukuru Kwa ukuu wako, Nakushukuru Kwa upendo wako Nakushukuru kwa uponyaji wako , mtumishi wa Mungu Mungu akubariki sana
Ameen ameeen
Jina la bwana na libarikiwe Kwan yeye ni mweza wa yote
Eeee Yesu usifiwe na upewe sifa naomba Neema yako iniinue ktk maombi na kukujua ww ck zote za ujana wangu, nikujue bwana na nikutumikie ck zote za maisha yangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante mtumishi mafundisho yako mazuri mno . Mungu akubariki sana kwa upendo . Mungu aendelee kukuinua mtumishi wa Mungu
Eemungu nipe Imani yakusali Kila siku na kusoma BIBILIA niskusahau MUNGU wangu 🙏 naomba Mimi na family yangu
thank you for good lesson a man of God ....am blessed
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho ya neno la uzima.Roho mtakatifu niongoze ktk kila yatua ya maisha yangu. NAKUPENDA SANA YESU WANGU ❤❤
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu. Naomba Bwana nitie guvu ya maombi na niweze kukuweka nafasi ya kwanza katika maisha yangu.
Laminate ubarikwe sana Mtumishi wa Mungu ili nilikuwa silijuhi naanza maisha haya
Mungu naomba unipe roho was maombi
Naomba mungu anipe hiki kibali cha kuomba🙏mungu aendelee kukujalia hekima utufudishe zaidi
Ee Mungu baba naomba unisaidie nianza na wewe kila siku katika maisha yangu. Mbariki Mtumishii wako anayefundisha neno lako hili.
🙌🏻🙇🏻Baba nakushukuru kwa ajili ya mtumishi wako huyu kwa kutuondolea ujinga tuliokua nao wakujisahau unipe rehema na kibali cha kunyenyekea miguuni mwako nipe moyo wakukushukuru nipe moyo wa sifa nipe moyo wa toba nipe kukutanguliza kabla ya jambo lolote nipe kumbukumbu na hofu yako🙏🏻🙏🏻🙇🏻barikiwa mtumishi wa mungu
Ameen ameeen
Mungu akubariki pia
Jinsi ninavyo barikiwa. Basi mungu ukawabariki watumishi wote zaidi Yangu ameen
Ameen ameeen
Ubarikiwe pia
@@holyspiritconnect ameen 🙏♥️
Mungu baba Nipe Kiu ya maombi ya asubui muchana mpaka na usiku baba
mungu baba naomba kama kuna agano lolote limewah wekwa kwangu I'll nisifanikiwe nisiolew nisipendwe nisipatane na watu ninalikataa kwa damu ya yese kirsto nakataa kila laana iliyotamkwa na kunenwa kwangu pamoja na kizazi changu baliki kaz zang baliki kizazi changu bwana naomba maadui zangu wote niwaone kwa macho ya nyama waje wakiwa wamedharirika bwana wapigwe warudishe kila kitu waricho kichukua kutoka wangu baba nakuomba najua me ni mwenydhambi ila nikiwa kwako kila kitu kinawezekana🙏🏻🙌
Mungu ulie mkuu unastaili nipe uwezo wa kusali na kumanisha ninachokiomba
Asante Mungubkwa kunipa kibali Cha kusukia neno lako leo naamini una makusudi nami katika Jina la Yesu🙏
Baba MUNGU nashukuru kwa kuniamsha salama mimi na familia yangu asante baba kwa ukuu wako nakwabudu nakutukuza kwa maana wewe nimzuri naomba ulinzi wako asubui uwa funike watoto wangu na mume wangu na damu ya yesu sante baba wa stahili sifa na utukufu amina 🙏
Ubarikiwe mtumishi Kwa mafunzo yko nimekuwa nimefungwa Kwa muda mrefu kupitia maisha yangu
Asante Yesu kwa kunipa kibali cha
kuiona siku mpya nyingine leo.Asante
sana Yesu mpendwa
wangu mzuri .🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉.
Eee mungu naomba unifungue ktk vifungo vyote niliofungwa mimi na watoto wangu . Kwa jina la yesu
Paster innocent umekuwabaraka kwetu Sasa ubariniwe sasa
Naomba kuuliza Mtumishi ivi tunamshukuru Mungu au tunamshukuru Yesu,na kusifu tunamsifu nani hapo nisaidie mm vinanichanganya.
Hakika umekuwa sauti iliyotumwa na Mungu ,
mimi nimpungufu ,
Mungu azidi kukutumia na akuinue sana
Mungu Baba,, naomba uniondolee uvivu wa kuomba,,, niamkapo nianze nawe,,, nitembee nawe nmalize siku nawe,, asante sana kwa mafunzo mena..
Asante nashukuru mungu naomba ewe mungu unijaze chemchem ya sazote kutafuta uso wako
Ooh!! Mungu Akubariki Sana 🙏🙏🙏 kutuamsha tujue Umuhimu wa Mungu kwanza. Maombi kwanza . Kumshukuru MUNGU kwa Neema take bure sisi tusiostahili. Mungu Nisaidie Tusaidie tuongoke.
Mungu naomba ukabariki biashara yangu malaika wako kilaupande wakasimame wanilelee wanunuzi ninakushukuru mungu wangu hujaniacha hata siku moja nakutegemea peke yako
Ee Mungu tusaidie kutimiza haya maana roho ziko radhi ila miili ni nidhaifu.
Nimeanza kukufuatilia mtumishi, Mungu akuwezeshe uendelee na utumishi mwema.
asante mtumishi Mungu ni siri kumbwa ipo ndani ya maombi mungu tusaidie tujue siri hii.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Hua unanibariki mtumishi wa YESU 🙏, hakika sichoki kukusikia
Ameen.. Mimi napenda sana kusali sala ya Baba yetu.. sasa hapo sijui nakosea
Thank you Holly spirit.
Powerful message,
May God bless you Man of God
Ee Mungu Naomba Unikumbushe kila siku nikushukuru kwa maombi kuanzia Asubuhi,mchana ,Jioni na wakati wa usiku
Mungu nisaidie nipate mme sahihi nifunge nae ndoa
Amen…Mungu naomba endelea kunipa kibali cha kukuomba kila siku asubuhi na Juini na wakati wa Usiku wa manane pia nisemezane na wewe Muumba Mbingu na Ardhi…nitakushukuru…nitakusifu na kukuabudu Mungu wa Mbinguni mimi pamoja na watoto wangu na familia kwa ujumla.
Ubarikiwe sana Mtumishi,nimekuwa nikiomba kila niamkapo lakini nimegundua kuna maeneo siku sahihi. Mafundisho yako yamenifungua sana na nimepata ufahamu mkubwa.
Mungu ambariki mtumishi nimejifunza kitu Mungu anisaidie niwe mtendaji Wa neno
Mungu nitetee ndoa yangu naona magumu sina amani mungu nisaidie
Amina.
Mungu naomba unipe kiu ya kukushukuru kila asubui kwa jina la yesu
Ameen
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana na neno hili ambalo mungu amekutumia unifundishe kupitia mtandao huu katika jina la yesu kristo na ubarikiwe
Mungu baba naomba unifungue vifungo vyote nilivyofungwa maana Sina amani Raha maisha magumu madeni ni mengi biashara wateja wamepungua Eeee baba mungu naomba unisaidie
Asante mungu wangu Kwa kuona siku hii🙏🙏🙏
Ameen nimebarikiwa sana mtumishi wa MUNGU Namuomba MUNGU anipe neema ya kuomba kila siku asubuhi na jioni.
Ameen
Mungu wangu nisaidie Kila iitwapo Leo nianze na wewe. Ubarikiwe 🙏 sana mtumishi wa Mungu.
Mungu tetra maisha yangu simama na familia yangu watoto wangu
Mungu nimwema Asante jessus
Mwenyezi mungu naomba unipenguvu yakuomba kilasiku usiku nahasubuhi najikabithi kwako jessus maifrend
Ahsante Mtumishi wa Mungu kwa fundisho zuri
Mungu akubariki sana kwa huduma hii
Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa mafundisho mazur ya kumtafuta mungu inatupasa tumtafute mungu kwa bidii sana
Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe mno, Mimi huwa naset alarm nikiamka naiondoa Kisha nashukuru Mungu je! Nakuwa nakosea?
Nimebarikiwa sana mtumishi na mafundisho yako....❤❤
Baba mungu wambinguni nakushukuru kwaniamshasalama naomba unilinde Mimi pamoja nafamilia yangu walinde wa jukuu zangunaomba nakushukuru AMINA
Nimeelewa mtumishi ❤
Ubarikiwe mtumishi
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.Nimeuwika Kwa upya kabisa.
EE MWENYEZI MUNGU NAOMBA NISAIDIE KUELEWA NA KUFWATA NENO LAKO....
AMEN MTUMISHI
Mtumishi wa mungu ubarikiwe kwa mafundisho nami namwomba mungu anifanye kama daud na kama wana wajangwani nisikate taama katika safali ya kwenda mbinguni
Mungu Naomba nipate nguvu Kila siku ya kuomba Asubuhi na jioni Amina
Mungu akuzidishiy mafuta
Amina.Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Kwa mafundisho mazuri
Barikiwa sana ❤️🙏🙏🙏🙏🔥🔥🙏🙏🏼
Mungu naomba unisaidie
Mungu Nakushukuru kwa nafasi nyingine tena kwa uhai huu ulonipatia mimi pamoja na familia yangu
45
Nabarikwa sana na mafundisho Yako mtumishi wa BWANA
Barkiwa baba asnte kwae kushare
Asante Kwa maombi haya ya kumshukuru kila asubuhi.
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.🎉🎉🎉🎉❤
Ameen ameeen
Mungu akubariki pia
Ee mwenyezi Mungu nipe macho ya rohon nifungue fahamu zangu
Mungu akubariki sana mtumishi najifunza kumuomba Mungu kupitia wewe
Ameen ameeen
Amen 🙏🙏 nimebarikiwa
Grace Asante mungu Kwa mapenzi yako yote kunipa uhai na kuomba hata unifunze kuomba kila siku mana unaniamsha nikiwa haibaba ni ngufu
Ameen
Aamen mungu naomba nisaidie nianze na wewe kila siku ktk jina la yesu
Ameen
Eeh MUNGU nisaidie kukuweka kipaumbele kwenye maisha yangu
Mtumishi Mungu amekubariki kwa sauti nzuri sana iliyotulia, na inayopenya vizuri masikioni pa wasikilizaji...
Ee Mungu naomb unisaidie
Amen Amen Eee mungu nakushukuru kwa kila kitu naomba unpe moyo wa maombi kila siku niamkapo
Ameen
Mungu nakupenda, naomba unipe kiu ya maombi muda wote, Amina
Ee mungu,nakushukuru,Baba,yangu,kwa mafundisho haya,Na,unipengufu,ya,kuomba,kila,niamukapo,asubuhi
Nashukuru kwa.maombi na mafundisho
Ubarekiwe mtumishi kwa utumishi mzuri wa kutufundisha ubarikiwe .
Ameen
AMEN 🙏.
Amen, barikiwa mtumishi wa mungu kwa kutukumbusha kuanza na mungu Kila iitwapo Leo🙏
Ameen
Mungu nisaidie nami nipate nguvu ya kuomba aasubuhi na jioni na usiku wa manane nisaidie
Hakika Mungu ndo kil kitu ktk maisha yetu Jehova tunalitukuza jina lako
Ameen
Mungu nakuomba unipe hamu na nguvu ya kuomba kila siku asubui mcana na jioni .
Asante kwa somo zuri, nilikuwa gizani jamani, asante Mungu kwa ajiri ya Mtumishi wako
Ameen ameeen
Mungu akubariki pia
Ameni ameni kwa ufunuo huu mtumishi wa BWANA
Amina.
Atukuzwe Mungu atendaye mambo makuu kwenye maisha yetu.
Ameen
Asante mtumishi wa mungu ❤
hata mimi hili lakuomba asubuhi nilikua silijui hivyo naanza leo. ubarikiwe sana mtumishi wa mugu.