MADADAPOA WATIMUA MBIO Mwananyamala, NI BAADA ya MEYA KINONDONI KUSHTUKIZA KWENYE MADANGURO YAO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • MADADAPOA WATIMUA MBIO Mwananyamala, NI BAADA ya MEYA KINONDONI KUSHTUKIZA KWENYE MADANGURO YAO...
    Katika hali ya kuendelea kulinda maadili ya Kitanzania na kuhakikisha kizazi kinachokua hakiingii katika biashara haramu ya kuuza miili yao, mchana wa leo Mstahiki Meya wa Kinondoni jijini Dar es Salaam amefanya ziara fupi ya kujionea hali halisi ilivyo katika eneo la Mwananyamala.
    Madadapoa wanadaiwa kufanya biashara za kuuza miili yao, hatua ambayo imekuwa ikipingwa vikali na wadau mbalimbali ikiwemo hata Baraza la Madiwani...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 393

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +5

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @mosesndimgwanko1079
    @mosesndimgwanko1079 Год назад +2

    Asanteni viongoz kwa kuliona hilo,hayo majumba naona tu yafungwe.Tunatengeneza kizazi cha uharibifu xana.

  • @danieldavid4733
    @danieldavid4733 Год назад +16

    Vita hii ni Kali na Ngumu Mheshimiwa Mwenyezi Mungu akutie Nguvu

  • @rajabukhamis467
    @rajabukhamis467 Год назад +11

    Asanteni sana viongozi wetu kwa msimamo wenu maana nishida unakuta mtoto mdogo mwenye miaka 15 anaenda kufanya mapenzi namtu mkubwa pesa ndogo tena wengi wanafunzi nandio maana wanafunzi wengi shuleni wanakua vicho box baadae tunawalaumu walim kumbe wanashindwa kufanya vizuri kumbe wameanza kufanya ngono zembe mapema

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 Год назад +2

    Wallahy mtihani c mdg dah! ???? Mwenyezmungu tuswameh waja wko. Vikuze vizazi vyetu kwenye maadili mema.

  • @othmanhussein-ed7mj
    @othmanhussein-ed7mj Год назад +25

    Duh innaa lilaahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Год назад +2

    Atuwezi fanya kazi aina moja waacheni wanasaidia watu mmesha halibu maisha toga juuu

  • @jothamekisouke2326
    @jothamekisouke2326 Год назад +1

    Daaaah uyo chapombe msemaji wa kwanza ameongea vzuri sana,hao wadada wanaharbu Sana jamniii iliyowaznguka!!
    Lkini viongozi wanapata manufaa Sana na hao wadada wanaojiuza hapo,haiwezkani wawaache tu wafnye uchfu wao

  • @lionking3015
    @lionking3015 Год назад +4

    Mm nadhani hata hoteli kubwa kubwa wanazoenda kina Kajala na irene uwoya pia ni danguro tu..utofauti ni mazingira tu..hata mtandao wa Instagram na tiktok ni danguro mana madada wengi wanazitumia kujiuza mitandaoni na kujiadvertise kama kina gigy..nadhani ni bora sheria iwe msumeno sio kwa wanyonge tu

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Год назад +6

    SubhanaAllah 😭😭😭 ndiyomaana mvua hainyeshi mazao yamekauka Wallah huu mtihani

  • @evaemil856
    @evaemil856 5 месяцев назад

    Huyu mayor anatumia haki za binadamu, maadili na sheria Ya nchi. Safi Sana.

  • @manilabonalumanula9210
    @manilabonalumanula9210 Год назад +1

    Safi sana Mstahiki Meya. Lkn itakapotokea hapo acha watu wako kimya kimya wasiojulikana kwa wenyeji ili iwe rahisi kusafisha wachafuzi wa jamii. Maana hao viongozi wenyeji usiwategemee watakudanganya.

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      Kabisa na watakuwa wanapata fungu

  • @caswaralbadry8481
    @caswaralbadry8481 Год назад

    Laana hii itaisha lini ni jukumu kwa kila mtanzania wasione wengine mungu atawaacha hapana ukiwa na uwezo wa kukemea au kuzuia na ukakaa kimya kulizuia hili basi na ww unahusika kuadhibiwa na mungu moto mkali ,

  • @samwelkalinjuna9739
    @samwelkalinjuna9739 Год назад

    HONGERA sana mh stahiki mayor songoro kwa jambo hili kwakweri hali si hali ndani ya jiji hili la dar es salaam na si hapo tu hili zoezi Liwe la jiji zima maadili ya momonyoka

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Год назад +6

    Makahaba DAR wapo wengi sana kila mahali ukienda manzese,kimara,temeke,buguruni yani wapo kibao na walio wengi wanatoka mikoani

    • @loner_wolf
      @loner_wolf Год назад

      Tafakari..... Wapo wa mkoa na wapo wa hapa hapa......

    • @sarahomary3615
      @sarahomary3615 Год назад +1

      ​@@loner_wolf Hapana nakataa WA dar wamezoea mji ila WA mikoani wengi wanavamia mji Wanakuja na ulimbukeni na wengi wanaambiwa Kuna kazi za ndani wakiona maisha hayapo Sawa ndiyo hivyo wanaanza kujiuza

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      ​@@sarahomary3615 Wote hata wa dar wanayafanya hayo.

  • @sylasmusic6773
    @sylasmusic6773 Год назад +1

    Wafanye nini wakati hata biashara ni shida tu acheni hizo dada huduma. zenu ni nzuri

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Год назад +10

    Mtihani dah😢😢😢😢

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Год назад +7

    Safi sana mstahiki mayor umeongea vizuri sana.. kazi iendelee

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +7

    Hatari sana!! Hongera sana Meya Kwa kujitoa muhanga!!

    • @saebajoma8419
      @saebajoma8419 Год назад

      Kwahiyo ndugu yangu kuuza mwili nikazi mbona kazi zipo nyingi tuu ukiamua ​@@WAASINASTYCRAZY

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@WAASINASTYCRAZY Afya yako ya akili haiko Sawa,,,

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@WAASINASTYCRAZY Hahahaha,,,,,kama Una elimu basi ni ya kimchongomchongo, haiwezekani mtu msomi kutoa hoja ya kipumbavu kabisa, ,,,, there are so many Hustlers in this country who are struggling legally to earning their lives!!! We unatuambia eti Kwa kuwa hawana kazi basi wakauze miili Yao! Mjinga sana wewe, tena usirudie tena kudai usomi Kwa Hoja za kijinga, maana unaiangusha tasnia ya kisomi

  • @bongelabwana1940
    @bongelabwana1940 Год назад +3

    Tunahtaji Viongoz wenye Mitazamo na hofu na Mungu,Namuona atafika mbali

  • @starmakervideos1984
    @starmakervideos1984 Год назад

    sio sawa
    maisha magumu dada zetu wafnyaje yaan. acheni usengne viongoz mnakurupuka sana. hamtoi suluhisho nyie mnajua kukataza tu.

  • @emanuelpallangyo3698
    @emanuelpallangyo3698 Год назад +5

    Toeni kwanza elimu kwao then mfanye mpango wakuwapa mikopo kwa ajili ya biashara kwa ataye hitaji

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 Год назад +4

    Yaan mashallah hongera sana

  • @fikiriselemani100
    @fikiriselemani100 Год назад +6

    Halafu vjumba vyenyewe vbovu vnachafua hadhi ya Jiji letu ,Bora vivunjwe ,

  • @DIO-jd8xs
    @DIO-jd8xs Год назад +4

    Situnataka haki sawa

  • @jeanmusamba3253
    @jeanmusamba3253 Год назад +5

    ni hatari sana si ukimwi tu kuna hepatitis B ni mbaya kuliko ukimwi

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 Год назад +3

    Hii ndio faida ya kuwachagua viongozi wanaomcha Mungu

    • @WAASINASTYCRAZY
      @WAASINASTYCRAZY Год назад

      Mnawafukuza kwan si wapo nchini kwao ,mnawafukuza badala ya kuwataftia kazi ,hao ni watanzania walioshindwa na maisha wakaona wajikimu kwa kujiuza ,serekali inawaona kheri wafe njaaa,hawana thaman ndanio ya taifa yao,hao wanasaidia familia zao kwa kazi hiyo na hiyo nch haina kazi sasa watu waishi vp wakati serekali mmeshindwa kuwaudumikia wala kuwaajili wananch wake? acheni ukilitimba mikopo mnapeana wenyewe wenye nyumba dadazetu tuwataftie chakufanya msiwafungie biashara zao kwan tupo kwenye umasikini uliokithili ,acheni ukilitimba

    • @christianchando7041
      @christianchando7041 Год назад

      @@WAASINASTYCRAZY Mikopo ya akina mama, vijana na walemavu, ni 10% ya mapato yote ya Halmashauri kwa mwaka. Mfano Halmashauri ya Kinondoni asilimia 10 huwa ni bilioni 2 mpaka tatu. HIZO WANAKOPESHWA BILA RIBA WALA DHAMANA YOYOTE

    • @WAASINASTYCRAZY
      @WAASINASTYCRAZY Год назад

      @@christianchando7041 kukopa mpaka uwe na kitu chakuweka rehani,kama tanzania haina dini mnakatazia nini watu kujiuza kwani kakuuza wewe? kwan si anajiuza ilin apate pesa yakula sasa unataka uwe unampa wewe pesa yakula au unataka afe? mikopo sipanka niwe na akili ya biashara ? serekali haiwezi kuongoza wananch wake ,hasa wewe raia unaongelea hivyo wananch wenzako waliojikimu kwa kujiuza ili wasife njaa> sasa mnataka wawe majambazi au? kama mnauwezo si muwasomeshe au muwape kazi waitakayo? mnajua nch ipo kwenye umasikini uliokithioli na wananch waacheni wafanye wanachoona kinawawezehsa kimaisha ,au mnataka mtu weke sote jela au tufe sote ? nyie mmesomeshwa na mpo maoffisin mkitaka malaya mnaenda bar kubwa na mahotelini sasa sisi walala hoi mnataka tuwabale watoto wa watu au? mnataka tuwanajisi watoto wenu wakiume au? mbona viongozi hawana akili ?wao wameshiba sisi tiukijikwamua kiuchumi kwa njia tuziojuazo nyie mnatukataza kwan nch mmeumbiwa nyie pekeyenu?

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 Год назад

    Mtihani!mvua hazinyeshi!maisha magumu!matendo yetu!hizi sio asili yetu!nyakati za mwisho!mungu tusamehe tuongoze!

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 Год назад

    HONGERA MH WANAWAKE WAMEKUWA NA MABALAA NA WAMESAHAU KAMA KUNAMUNGU

  • @naimasuleiman6489
    @naimasuleiman6489 Год назад +1

    Na hivo vyumba vimejengwa kwa hivo tu au subhnaAllah

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 Год назад +12

    Ili jambo liishe mpaka Mama asemee au bunge liseme maana ndoa nyingi leo zinazofungwa zimekufa kwasababu hiyo

  • @Saidkhel
    @Saidkhel Год назад

    Wanunuzi wanalalamika kwenye comment bongo bhana

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Год назад +3

    Mola awasimamie mpaka, biashara hii ikome, inshaallah safi sana meya.

    • @hallin9561
      @hallin9561 Год назад

      hii biashara haitokaa ifutike kaka, iwe saudia, dubai, Vatican, itali, American na kwingine kote, ni vile zinafanyika kwa siri sana, niliwahi kupelekwa kwenye dangulo moja Zanzibar kama wew ni mgeni haujui. wenyeji wanapajua

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 6 месяцев назад

    Mh. Diwani Kata ya Makunusho Mohd. mwogope Mungu. Hela yangu uliyonitapeli wakati unatoa gari langu Bandarini uliahidi utanilipa kwanini hunilipi???? Wewe sasa ni kiongozi je unafuraha kudhulumu.

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 Год назад

    Hongera Sanaa Mh Songoro kwa hekima yk na busara zakoo Allah akujaze nguvu ya uongozi wk

  • @thamani5842
    @thamani5842 Год назад +12

    Innalillah waina ilayhi raj un

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Год назад +1

    Safi

  • @hamdaniamli-mj3zp
    @hamdaniamli-mj3zp Год назад

    Ahsante meya umesomeka

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Год назад +2

    si vyema kuwafukuza wanatoa huduma kwa watu ambao hawawezi kupata huduma hiyo hasa vijana wasio na ndoa muhim wapimwe afya ili wasiwe chanzo cha maradhi kwa jamii. pia kama inawezekana wawezeshwe mwanamke akiwezeshwa basi jamii imewezeshwa

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Год назад

    Jambo zuri sana hilo,chukueni hatua yasibaki maneno tu. Wengine wenu ni wateja🤔

  • @stephenemuya8575
    @stephenemuya8575 Год назад +1

    Hii ni siasa tu amna kitu hapo waishapita viongozi wengi ilo eneo amna kitu wanafanya amna solution wanoyokuja nayo Amna Kitu Hapo

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 Год назад +10

    Ao ao wenyewe watoa maoni ndio wateja wakuu jioni

  • @nassorsalum
    @nassorsalum Год назад +3

    kaz amna mjini vitu viko juu maisha magumu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      Kwahiyo kama kazi hamna ndio wauze miili Yao?

    • @zuberimohamedi5761
      @zuberimohamedi5761 Год назад

      Kwahiyo na ww unajiuza?

    • @nassorsalum
      @nassorsalum Год назад +1

      @@zuberimohamedi5761 eeh njoo uninunue

    • @nassorsalum
      @nassorsalum Год назад +1

      @@zuberimohamedi5761 unatakiwa ujuwe kwann wanajiuza

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@nassorsalum Acha ujinga wewe, kwahiyo kuuza mwili wako ndio suluhisho la matatizo yako

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 Год назад

    Anaefanya ivyo sio kama anapenda kazidiwa na maisha magumu

  • @ahmedyhassan4059
    @ahmedyhassan4059 Год назад +1

    Wanafanya ukimwi uzid vijana watt zetu sijui k watapona badae uko,,Allah tupo mwisho mwema

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад +1

    Mkuu Wa Mkoa Sijui Anapambana Nanini Ndani Ya Dar .Uchafu Kila Kona Mbona Wakati Wa Makonda Mengi Yalikua Kwenye Kupotea Viongozi Wenye Kupokea Pesa Kamata Ndani Sasaivi Mpaka Wazazi Awaley Watoto Wa Kike Kwasababu Wanajua Unalea Malaya Kumbe Watoto Halisi

  • @josephshelukindo2269
    @josephshelukindo2269 Год назад +5

    Hata kama Wana maisha magumu..waangalie Kaz za kufanya sio hiyo..

  • @shafiimusa6572
    @shafiimusa6572 Год назад +2

    Ongera sana meya wa kinondoni

  • @ramadhanmustafa1941
    @ramadhanmustafa1941 Год назад +1

    Fukuzilia hao wote wanatuharibia ndugu zetu

  • @mussakadelia5681
    @mussakadelia5681 Год назад

    mheshimiwa meya, kutoa mikopo siyo vibaya ila changamoto ni kwamba hao watu wanaenda kufanya biashara gani, na wamejiandaa vipi kuwapa elimu ya ujasiriamali kabla ya kuwapa mikopo,
    hii issue ni ngumu sana na haiwezi kuleta matokeo chanya, watakula hiyo mikopo na kurudi kwenye madanguro tena

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 Год назад +3

    Ni zaidi ya miaka 40 hizo nyumba zipo, kazi ipo.

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад +7

    Mhh hatari ila hii hapana nimezunguka Arusha sijawahi ona huu ujenzi vyumba utadhani mabanda ya kuku😭🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️

  • @mchwikesenior4221
    @mchwikesenior4221 Год назад +2

    Natamani huyu awe waziri ili maono yake yafanye kazi nchi nzima. Big up bro💪

    • @stephenemuya8575
      @stephenemuya8575 Год назад

      SIASA TU HIZI MKUU MWAKANI ATAENDA MWINGINE YOUR JUST AN NPC IN TANZANIA

    • @WAASINASTYCRAZY
      @WAASINASTYCRAZY Год назад +2

      Mnawafukuza kwan si wapo nchini kwao ,mnawafukuza badala ya kuwataftia kazi ,hao ni watanzania walioshindwa na maisha wakaona wajikimu kwa kujiuza ,serekali inawaona kheri wafe njaaa,hawana thaman ndanio ya taifa yao,hao wanasaidia familia zao kwa kazi hiyo na hiyo nch haina kazi sasa watu waishi vp wakati serekali mmeshindwa kuwaudumikia wala kuwaajili wananch wake? acheni ukilitimba mikopo mnapeana wenyewe wenye nyumba dadazetu tuwataftie chakufanya msiwafungie biashara zao kwan tupo kwenye umasikini uliokithili ,acheni ukilitimba

    • @MohammedAli-rh5si
      @MohammedAli-rh5si Год назад +1

      Mmh🤣🤣

    • @fainajaffary4070
      @fainajaffary4070 Год назад

      @@WAASINASTYCRAZY 😁😁😁😁🤣🤣kunywa soda bby😍

  • @zuwenaally6403
    @zuwenaally6403 Год назад +3

    Subuhaanah lahu kama badae ya kuku jomani 😢😢😢😢😢

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Год назад

    Hiiiiiiiiii Nchi tamu sana

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Год назад

    acheni wafanye kazi yao wanasaidia jamii makahaba walikuwepo kabla na baada ya kuzaliwa Kwa yesu

  • @barakamarandu6163
    @barakamarandu6163 Год назад +1

    Sema lkn ukiangalia kwa upande mwingine izo pis zina tu save sana maana nikiwa na arosto naruka hapo chap na buku mbili

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад +1

      Utakufa na magonjwa

    • @barakamarandu6163
      @barakamarandu6163 Год назад

      @@Mina.15 Hamna magonjwa mama nachumvini nazama fresh to nawaungisha to jmn Kwan kuna baya

    • @Swahili14
      @Swahili14 Год назад

      @@barakamarandu6163 Hello bro 😂

  • @filbertabdallahmdee2676
    @filbertabdallahmdee2676 Год назад +1

    Kwel jaman jamii inaangamia embu serikali iingilie kati na ikiwezekana sheria ziwe Kali kuhusu wanawake wanaojiuza

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 Год назад +8

    Hata kama kazi ya ukahaba upo basi usiwe wazi namna hii, yani hawa wanafanya kaz km duka......

  • @Jaz_bey
    @Jaz_bey Год назад

    Mama ntilie wanafanya kaz afu Wana kamatwa na site afu kuna ombaomba wa naitwa wagogo wazima hawana tatizo wanaombaomba hapa mjini kwann serkal isiwakamate iwapeleke maporin wana fanya nn hapa mjin wamechanganyana na vilema kilema aombe nawaoo wambe

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад +5

    daaah allha anusuru vizazi vyetu lnshallha na haya mambo maana hao wanao jiuza wapo sehemu ya jamii kabisa mtt akitumwa dukani hapo ndo njia na temeke pia maeneo ya dabo kibini kwa chacha pale na maeneo ya wailes masangati kwa nyuma yamejaa kama yote😭

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      Inawezekana kukemea na yasiendelee kama hivyo ni sisi majirani tunapuuzia ndio hivyo yanaonekana kawaida tu.TUBADILIKE

    • @modycombo7421
      @modycombo7421 Год назад

      Navijumba vyao vinakuwahivyo hivyo vya mstar

    • @modycombo7421
      @modycombo7421 Год назад

      Navijumba vyao vinakuwahivyo hivyo vya mstar

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Год назад

    Safi sana mkuu

  • @mohddelo
    @mohddelo Год назад

    Safi mkuu

  • @magrethmkongwee8512
    @magrethmkongwee8512 Год назад +3

    Unafiki kazi jmn! Kwamba leo ndio wamejua !?

  • @evaemil856
    @evaemil856 5 месяцев назад

    Serikali ingebomoa haya maeneo na kuwajengea wananchi nyumba Safi za bei nafuu na mazingira bora. Wangejenga ghorofa kadhaa za vyumba viwili mpaka viatu au vinne. Mpango mji, na kupawekuea hadhi hizo biashara za ovyo zingeisha. Maadili yazingatiwe.

  • @jothamekisouke2326
    @jothamekisouke2326 Год назад

    Duuuh hiyo milango Sasa ilivyo!! Bei ya elfu 2 Ni ukimwi,Na Magonjwa mengi

  • @lusakulazephania32
    @lusakulazephania32 Год назад

    Wanatusaidia sana hawa madada

  • @jumamasasi4424
    @jumamasasi4424 10 месяцев назад +1

    Wana habar kweli mnakazi hatal

  • @stamalamkulungwa8708
    @stamalamkulungwa8708 Год назад +1

    Jamani sasa wanawake mtaani wanatulingia Huko watu walikuwa wanapunguza haja zao sasa ukiwatoa itakuwaje

  • @NANCYWARD488
    @NANCYWARD488 Год назад +4

    wateja waache kwenda kununua hizo ngono tuone kama watakuwepo. shida si hao bali ni wateja, pia hizo pesa za mikopo mkakopeshe watu waliozoea kupata pesa kwa kufanya ngono mnautani kweli aisee, hakuna atakaefanya biashara hapo ya kupigwa na jua siku nzima wakati alizoea kukaa kivulini na kupata pesa, watafutieni Kazi viandani huko mkawapeleke, mikopo ni kuchezea tu pesa kodi zetu.

    • @issasulleman8573
      @issasulleman8573 Год назад +1

      sasa wateje tukiacha kwenda kununua ! mnataka tuanze kubaka au! na nyinyi mnatulingia, mkitongozwa tu mnaanza kutupatia majukumu makubwa kama wazazi wenu sasa si bola nikanunue alfu 3

    • @gockoomzawa226
      @gockoomzawa226 Год назад +1

      Mkitongozwa si mnakataa

    • @NANCYWARD488
      @NANCYWARD488 Год назад

      @@gockoomzawa226 na nyie mnaogoa majukumu ndio maana mnaenda kununua vya harakaharaka na bei nafuu

    • @gockoomzawa226
      @gockoomzawa226 Год назад +1

      @@NANCYWARD488 tena huko akuna ata kuumizwa moyo

    • @NANCYWARD488
      @NANCYWARD488 Год назад

      @@issasulleman8573 ndio wawaache sasa ili nyie msiotaka majukumu mpate pakwenda

  • @crisndembwele4016
    @crisndembwele4016 Год назад +2

    Mnaanzaga vizuri ila mwisho huwa mbiyo za sakafuni. Hao hata kwenye vitabu vyadini wapo kuzuiya ni ngumu maana watatafta njia yoyote kaziyao iendelee mtumie akili na lisiwe zoezi la skumoja araf mnapoa

    • @princekarani7836
      @princekarani7836 Год назад

      Mzee kuishinda ihi biashara ni ngumu kuliko kitu chochote dunia ihi,biashara ambazo huwezi kuzitokomeza dunia ihi ni madawa ya kulevya,umalaya,(kuuza mwili),kuuza viungo vya binadamu,uwezi zuia ata siku moja,kingine kilichoikumba dunia ni ush..ga

  • @suleimayahya2099
    @suleimayahya2099 Год назад +1

    Biashara itakua inawalipa vizuri coz mademu wa mitandaoni bei zao juu

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Год назад +6

    Msiba mkubwa
    . Allah tunusuru na huu mtihani
    Watu wanaangamia

    • @Awatee
      @Awatee Год назад

      🤲🤲

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 Год назад +6

    Sisi wanaume ndo hatuelewiki unakuta mtu yupo hapo analalamika na yeye ndo mteja wa hao watu anafikiri hayo mambo yataisha vipi inatkiwa kwanza wanaume tuache kununua hao watu mwisho wasiku wafanye kazi waache uvivu

    • @Awatee
      @Awatee Год назад

      Wewe umeongea lkn wengine sio rahisi kuelewa

    • @emanuelleopod3949
      @emanuelleopod3949 Год назад +1

      Na sisi tusiyo na hela za kuhonba unadhani tutaacha kwenda kwa hao watu?

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад +3

    Subuhanallah

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Год назад +13

    wanasiasa bwana eti mwenye nyumba asipojitokeza tutavunja tuweke kituo cha afya hiyo kesi yake utakimbia familia hawa ma meya si ndo wanatokana na madiwani sasa kuna diwani gani mwenye akili timamu

    • @mkundukunuks
      @mkundukunuks Год назад

      Kama Yule wa vingunguti kumbi la Moto Hana hata akili moja

    • @kisoso890
      @kisoso890 Год назад

      Haha machoko Hao wananunua vibint vya insta na tiktok na Twitter wanajifanya kutumia mtandao wa Twitter kama vile sehemu special kumbe kule Twitter Kuna laana kufuru utamkuta eti account yangu ya Twitter kumbe ni bora anaetumia Facebook yupo OK kuliko huko Twitter
      Kaka meya kafanye kazi maji shida barabara shida unakuja kataka kuharibu raha zetu mbwa wew

    • @abdallahrenatus6677
      @abdallahrenatus6677 Год назад

      Bodhaa kama haipo mteja atatoka wapi?

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Год назад

    Hapo ni karibu kabisa na hospital ya mwananyamala,,Yan utakuta Bango kabisa linakuelekeza hapo limeandikwa BIASHARA YA MAJENEZA,ila biashara ni watu Wala huon hayo majeneza

  • @oliverjason4335
    @oliverjason4335 Год назад

    Sitetei ukahaba Ila iyo mikopo ni ubabaifu wengi hupati iyo pesa kwa haraka Kona nyingi mpk unakata tamaa unaamua kuacha

  • @othmanhussein-ed7mj
    @othmanhussein-ed7mj Год назад

    Duh

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 Год назад +10

    Hao wanaojiuza,maana yake wana wateja.Wateja wao ni wanaume...Hivyo nawaomba,muwaambie wanaume.Kama wanaume hawataenda kwa hao wadada,hao wadada hawatapata wateja itakuwa ni rahisi kutafuta kazi zingine za halali.

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 Год назад

      Hiyo haiwezi kutokea

    • @bongelabwana1940
      @bongelabwana1940 Год назад +1

      I think you are a member

    • @emanuelleopod3949
      @emanuelleopod3949 Год назад +1

      Sasa dada angu nyie mnataka pesa ndefu mara ya kusukia mara hujala mambo kibao ila nikienda kwa hao madada poa napata kwa buku tatu tu aisee

    • @dinnambogoye9582
      @dinnambogoye9582 Год назад

      @@emanuelleopod3949 kweli broo , pia madem wengine wanajikuta wanaliinga Sana

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Год назад

      @@emanuelleopod3949 tumia kinga kwa umakini kabisa

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад

    Jamani kinadada taire! "Unameng'enywa" kwa pesa, tena Shilingi elfu mbili ya Tanzania?
    elfu mbili?

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Год назад

    HELLA

  • @hallin9561
    @hallin9561 Год назад

    muwaache wadada wafanye biashara zao kwa amani, nyinyi ni wauzaji wa mihadarati lakin wananchi wametulia

  • @lucaspaulo5371
    @lucaspaulo5371 Год назад

    Harafu msiseme makahaba tu na wanunuzi pia je mnawafahamu maana ni wengi kuliko wanaouza kama mmoja anaweza kuuza watano hadi kumi wako mia sasa zidisha mara hiyo ni ngapi? Halafu wateja wengi ni hao wa serikalini ndio wanaopandisha na bei 10000 harafu kahaba akisha kuwa staa wananunua wafanya biashara na wakubwa kuanzia 50000 mpaka ...… Mi naboeka na serikali yetu wala siwalaumu makahaba chanzo ni nini mpaka mtu akawe kahaba hamjiulizi?

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад +2

    Hapo labda wavunje nyumba zote hizoooo ndy wataondoka...

  • @abdallahkassim318
    @abdallahkassim318 Год назад

    Wapewe million 40 pia

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy4595 Год назад +1

    Saf sana Meya
    Kama mulifungia mitandao ya x vipi hawa panya

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 Год назад

      Eeh! Wanashindwa nn kuwafungia kama X waliweza kuwafungia watu wasione??

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Год назад +1

    Kwani uchaguzi lini tz
    Maana huyu jamaa alikua akiishi jirani na hilo eneo kabla ya kua diwani hadi leo ni meya
    Na hakuwahi kukemea tatizo la tz viongozi hufanya kazi kwa mihemko
    Kikubwa tuone utekelezaji
    Maana waandishi wa habari washawahoji sana na hakuna khatua yoyote

  • @Jaz_bey
    @Jaz_bey Год назад +1

    Umeongea kwel angekuwepo magufuli hapo tunge bomoa kabsa maana laana tupu

  • @tumainidmgutu
    @tumainidmgutu Год назад +5

    Binafsi bado sijaona kama hiyo njia itasaidia kwakweli kwasababu badp kuna maswali mengi yanakosa majibu kwenye, naogopa kumlaumu au kumshitaki mtu , itoshe tu kusema kila mmoja atekeleze wajibu wake ipasavyo kama ni serikali na pia kama mwananchi vivuo hivyo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад +1

      Na hii inasaidia watu kubaka wawape vibali walipe kodi

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      True

    • @richardbenny156
      @richardbenny156 Год назад

      unaunga mkono umalaya na ushoga si ndio?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад

      @@richardbenny156 Hujui kutofautisha wewe ,Ushoga na umalaya ni vitu viwili tofauti malaya wanasaidia watoto wasigeuzwe mashoga na wasibakwe.Hivi hujui kama kuna wanaumme hawajui kutongoza au wakitongoza hawakubaliwi .Ila kwa malaya ni fedha yako tu na watu kama hao ndio hatari kwa kubaka vichwaa wa kike na watoto. Malaya wawekeeni kihalali walipe kodi ,kwani kuna mtu analazimishwa kwenda kwa malaya ?ni mapendekezo ya mtu kwenda kutimiziwa haja zake

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад +1

      ​@@leokamil6284 ah sjawahi kuona mtu akili hna kma hizo zko hujui maradhi ypo mengi hjui familia ngap zitaanguka na kuarhirika unatka wawe kma Thailand

  • @geraldalfred1781
    @geraldalfred1781 11 месяцев назад

    Hili zoezi liliishia wapi mbona mambo yanaendelea kama kawaida

  • @othumansaidy2626
    @othumansaidy2626 Год назад +2

    Jaman ndio biashara sio mzuri ila wanasaidia kupunguza nyeto megeton.😂😂

  • @SamsonMwanosa-km6xc
    @SamsonMwanosa-km6xc 10 месяцев назад

    Selikali fanyeni mpango wa kuzuia ushoga hawa wahaya walikua wanatutoa baridi kwenye mvua hii

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад

    Hiyo sehemu kongwe

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Год назад +1

    maisha magum wache ichi imewashinda kuna vitu kedekede vya maana havion umeoma kww madada poa tu wache watu wajipatie ridhik na wangne wakate kiu kwa wepes bila vikwazo

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Год назад

      Innaalillah wainnaailayhi rajiun Allah Akusamehe na Akuongoze katika haqi

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Год назад +7

    Meya uwamzi wako ni mzuri sana na tena hivyo viwanja vya hizo nyumba ni kiolela hazina hata hati za sehemu hiyo ni wavamizi walio jenga maeneo hayo

    • @mohamedrashid9035
      @mohamedrashid9035 Год назад +1

      @@WAASINASTYCRAZY wwe kweli hamnazo wewe unapenda ujinga wanao fanya kuuza uchi ni kazi watoto watajifunza nini badae.wanaka mikoa na vijijini kuja kuza miili wanawacha mashamba kulima hata ni mtanzania ndio ufanye maovu ndani ya nchi

  • @aloycemallya
    @aloycemallya Год назад +5

    Hii habar imenisikitixha kwakwel😁😁

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад +2

    Ngoja tuone.....mwisho wake

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад +1

    Mkitaka Kumaliza Tatizo Tanzania Hi Kwenye Mambo Ayo Hiundwe Shelia Ikitokea Nyumba Inatumika Kwenye Biashara Iyo Basi Nyumba Itaifishwe Mala Moja Likiwa Agizo Nchi Nzima Basi Tutaludisha Eshima Kuanzia Kwenye Ndoa Na Wananchi Watafanya Kazi Kumaliza Tatizo Ilo Nyumba Zibinausishwe Sasa Mtaenda Mpaka Lini Kwenda Apo Akumalizi Tatizo

    • @WAASINASTYCRAZY
      @WAASINASTYCRAZY Год назад

      Mnawafukuza kwan si wapo nchini kwao ,mnawafukuza badala ya kuwataftia kazi ,hao ni watanzania walioshindwa na maisha wakaona wajikimu kwa kujiuza ,serekali inawaona kheri wafe njaaa,hawana thaman ndanio ya taifa yao,hao wanasaidia familia zao kwa kazi hiyo na hiyo nch haina kazi sasa watu waishi vp wakati serekali mmeshindwa kuwaudumikia wala kuwaajili wananch wake? acheni ukilitimba mikopo mnapeana wenyewe wenye nyumba dadazetu tuwataftie chakufanya msiwafungie biashara zao kwan tupo kwenye umasikini uliokithili ,acheni ukilitimba

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Год назад +1

    Wanatusitiri jaman mabahili sisi

    • @Awatee
      @Awatee Год назад

      Bila ya aibu siku ukifia umo kwa dada poa ndio utajua stara Mhh aibu kubwa jina ilo halafu unakwenda hap tafuta mke uwoe uko upate stara 🤣