UJIRANI MWEMA CUP MIONO NI BALAA, RIDHIWANI KIKWETE APAGAWA NA NYOMI, AHIDI UWANJA WA KISASA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Fainali za Michuano ya Ujirani mwema Cup zimehitimishwa jana ambapo Mshindi wa Kwanza ametunukiwa Ng'ombe huku Mshindi wa pili akipewa Seti ya Jezi,
    Mgeni rasmi wa fainali hizo alikua Mhe Ridhiwani Kikwete ambae ni mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu waziri wa Utumishi wa Umma ameahidi kujenga uwanja wa Kisasa Jimboni humo.

Комментарии • 1