Mimi Mtanzania naishi ulaya na nakuhakikishia kuwa haya mambo ya ushoga yapo mpaka kitandani, si kwenye TV tu. Wazungu wapo wa aina 2, raia wa kawaida na the ruling elite. Raia wa kawaida tunaoishi nao mitaani wanaburuzwa tu na the ruling elite. Hawa ruling elite ndio wanaopanga mipango ya muda mrefu ya kuitawala dunia. Hawa ndio wanakuja na different agendas kuhakikisha wanaendelea kukandamiza nchi nyengine. Wazungu wanaamini evolution theory, wanajiona wao ni top of the food chain. Sisi tuliobaki tupo kwa ajili ya kuwahudumia wao. Kumbuka wamarekani husema 'our oil in the middle east'. Dunia nia yao, kwa maoni yao, na walobaki ni watumwa wao wa kudumu.
Tutumie akili za ziada sio kila kitu tuongee azarani mataifa makubwa kutumia uzafu wetu sisi ni taifa ndogo ktk dunia hatuna nguvu ya kubishana nao lakini tuwabane kiakili sababu nchi nyingi za kiafrica wanafiki Hawa watatubana tuu lakini katazeni vyombo vya habari kutangaza tutumie akili za ziada kibano kwa mashoga sheria Kali kutoa habari njee mpaka nchi za kiafrica zisimame kikamilifu
🔥🔥🔥hii ni hazina ya taifa safi RC
Safi sana mku wamkoa mimi naungana nawewe maana hatamimi nachukizwanao sana
Ongea Kiswahili wew kingeleza kiiiiingi .........
Akili kubwa sio akina January makamba na vipara hewa
Hongera Sana mtumishi Mkuu RC tupo pamoja uko vizuri msomi WETU...
Mwalimu wa history .. mwamba..... Nimekuelewaaa
Namm nakoment nakuunga mkono umeongea vitu fact sana 💪🤛
Nimekupenda sana mkuu upige vita ushoga tz please 🥰❤👌💯🇴🇲
Sawa bro pambana Ila kuwa makini Muombe Sana Mungu akulinde maana hii nchi inaviongozi waajubu sijawahiona
Wazungu Wanataka kumaliza waafrica wasizaliane!
Akili kubwa sana hii Safi sana Mkuu wa mkoa
Viongozi kama hawa Africa ni wachache sana ukweli Ndio uo
Pambania Uraisi uko sawa nakupa watu 100
Fanya kazi usiogope kufukuzwa uko vizuri
Chalamila you are very intelligent unakoenda ndiko sehemu sahihi, wazungu wakae kwao hatutakufa kwani lazima tukae na misaada
Afu unakuta jitu uko limeshiba masheli sheli linaanza ooh huyu hafai kua mkuu wa mkoa anapendelewa😥😥tunaitaji viongoz kama Hawa katika hii africa
Wewe ni mwalimu mzuri sana.
Safi
Chalamila uko vizuri sana piga kazi
Akili nyingi sana
Waharibu vizazi ili warudi Tena kututawala uwiiii uwiii ndinalyo nene
Good Mind
BUbarikiwe sana
Chalamila wewe ni kiongozi msema kweli unayoyasema sio ya kupuuzwa nakuelewa kiongozi wangu
Mkuu unastahili kua kiongozi zaidi yahiyo ngazi
Umechagua njia nzuri ya kupambana ushenzi.
Watu wa pwani wanapenda ushoga 😂😂
Mwamba... Mm nimekuelewaaa ... Sanaaaa.... Respect moree
Safi sana kiongozi
HAHAHA HII MASHINE AISEEEEEEE.
Umeongea vitu vizito sana viongozi ndio wakutuvusha
Daah ❤maua yko mkuu
Akili kubwa
Nimekuelewa mkuu mwenye akili atakuelewa
RC . SIYO KWAMBA
Hutakiwi....
Ni kwamba ile nia
Hakuna tena...I mean
You have no interest...
Wazungu hawatupendi hata kidogo tuamuke tupambane vikali nahili jambo
Jiniaz
RC oyeeeeeee
Sikuwi kufikiria kama watu wenye akili nyingi kiasi hiki wapo,hawa watunzwe sana ,walindwe sana,
Longe kaka nguruvi ikutange
Safi sana.
Makonda alianza kuwadhighulikia watu wakamwandama...
Kama na wewe huwataki hawa watu na wewe Anza kuwadhighulikia !!
Kweli mkuu wangu ❤
P
Pp
0
P
P
P
P
chuma ichi
Vuruga umalaya Dar wanaojiuza fukuza hizo mbuzi
uko mkweli ni ukweli mtupu,aliyasema magu hayo.
Mh Chalamila,nguvu zako zinaeleweka na wewe ni muwazi,tuko na wewe
Mimi Mtanzania naishi ulaya na nakuhakikishia kuwa haya mambo ya ushoga yapo mpaka kitandani, si kwenye TV tu. Wazungu wapo wa aina 2, raia wa kawaida na the ruling elite. Raia wa kawaida tunaoishi nao mitaani wanaburuzwa tu na the ruling elite. Hawa ruling elite ndio wanaopanga mipango ya muda mrefu ya kuitawala dunia. Hawa ndio wanakuja na different agendas kuhakikisha wanaendelea kukandamiza nchi nyengine. Wazungu wanaamini evolution theory, wanajiona wao ni top of the food chain. Sisi tuliobaki tupo kwa ajili ya kuwahudumia wao. Kumbuka wamarekani husema 'our oil in the middle east'. Dunia nia yao, kwa maoni yao, na walobaki ni watumwa wao wa kudumu.
mpka nionane na daftari ndo ninanii mhhh
Piga kazi mkuu wa mkoa
Uko vzur sana
New version CHLMLAA
Punguza hotubaaaa duuu
Tutumie akili za ziada sio kila kitu tuongee azarani mataifa makubwa kutumia uzafu wetu sisi ni taifa ndogo ktk dunia hatuna nguvu ya kubishana nao lakini tuwabane kiakili sababu nchi nyingi za kiafrica wanafiki Hawa watatubana tuu lakini katazeni vyombo vya habari kutangaza tutumie akili za ziada kibano kwa mashoga sheria Kali kutoa habari njee mpaka nchi za kiafrica zisimame kikamilifu
Acha kuvunja watu moyo. Kificho hadi lini ili iweje.
Huyu ni magufuli wa ukweli usiogope kufa Kuna siku afrika itazima and
Pambana mseveni yuko sawa
Wanasema ukitaka kumshinda adui ficha silaha zalo
Fanya kazi usiogope kufukuzwa uko vizuri
Akili kubwa
Rais huyu sio mkuu wa mkoa