RC CHALAMILA ALIVYOCHUKIZWA NA USHOGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • RC CHALAMILA ALIVYOCHUKIZWA NA USHOGA

Комментарии • 68

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Год назад +4

    🔥🔥🔥hii ni hazina ya taifa safi RC

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Год назад +3

    Safi sana mku wamkoa mimi naungana nawewe maana hatamimi nachukizwanao sana

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Год назад +1

    Ongea Kiswahili wew kingeleza kiiiiingi .........

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Год назад +6

    Akili kubwa sio akina January makamba na vipara hewa

  • @foundationforcommunityhope7327

    Hongera Sana mtumishi Mkuu RC tupo pamoja uko vizuri msomi WETU...

  • @seniorlecturerperfectboy5615
    @seniorlecturerperfectboy5615 Год назад +3

    Mwalimu wa history .. mwamba..... Nimekuelewaaa

  • @onesmoelias2285
    @onesmoelias2285 Год назад +1

    Namm nakoment nakuunga mkono umeongea vitu fact sana 💪🤛

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Год назад

    Nimekupenda sana mkuu upige vita ushoga tz please 🥰❤👌💯🇴🇲

  • @user-dv8nw3mi3p
    @user-dv8nw3mi3p Год назад

    Sawa bro pambana Ila kuwa makini Muombe Sana Mungu akulinde maana hii nchi inaviongozi waajubu sijawahiona

  • @Sppah697
    @Sppah697 Год назад +1

    Wazungu Wanataka kumaliza waafrica wasizaliane!

  • @davidmzia5446
    @davidmzia5446 Год назад +3

    Akili kubwa sana hii Safi sana Mkuu wa mkoa

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 Год назад +1

    Viongozi kama hawa Africa ni wachache sana ukweli Ndio uo

  • @matayokanuya3203
    @matayokanuya3203 Год назад +1

    Pambania Uraisi uko sawa nakupa watu 100

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 Год назад +1

    Fanya kazi usiogope kufukuzwa uko vizuri

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Год назад

    Chalamila you are very intelligent unakoenda ndiko sehemu sahihi, wazungu wakae kwao hatutakufa kwani lazima tukae na misaada

  • @sadamissa5687
    @sadamissa5687 Год назад +1

    Afu unakuta jitu uko limeshiba masheli sheli linaanza ooh huyu hafai kua mkuu wa mkoa anapendelewa😥😥tunaitaji viongoz kama Hawa katika hii africa

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy5678 Год назад +2

    Wewe ni mwalimu mzuri sana.

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 Год назад

    Safi

  • @tidodalalisanga
    @tidodalalisanga Год назад +1

    Chalamila uko vizuri sana piga kazi

  • @hassankalwelamseya2562
    @hassankalwelamseya2562 Год назад

    Akili nyingi sana

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Год назад +2

    Waharibu vizazi ili warudi Tena kututawala uwiiii uwiii ndinalyo nene

  • @apostlefrankevarist831
    @apostlefrankevarist831 Год назад +1

    Good Mind

  • @angelaangela5805
    @angelaangela5805 Год назад +1

    BUbarikiwe sana

  • @MsubiManeno-zq1ss
    @MsubiManeno-zq1ss Год назад

    Chalamila wewe ni kiongozi msema kweli unayoyasema sio ya kupuuzwa nakuelewa kiongozi wangu

  • @SafariAbdallaman-we3sd
    @SafariAbdallaman-we3sd Год назад

    Mkuu unastahili kua kiongozi zaidi yahiyo ngazi

  • @omarimsangi4075
    @omarimsangi4075 Год назад +3

    Umechagua njia nzuri ya kupambana ushenzi.

  • @seniorlecturerperfectboy5615
    @seniorlecturerperfectboy5615 Год назад +1

    Mwamba... Mm nimekuelewaaa ... Sanaaaa.... Respect moree

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Год назад +1

    Safi sana kiongozi

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Год назад +2

    HAHAHA HII MASHINE AISEEEEEEE.

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Год назад +2

    Umeongea vitu vizito sana viongozi ndio wakutuvusha

  • @user-oi2cj9nu7h
    @user-oi2cj9nu7h Год назад +1

    Daah ❤maua yko mkuu

  • @nasmamoza6831
    @nasmamoza6831 Год назад +2

    Akili kubwa

  • @justinemajariwa6656
    @justinemajariwa6656 Год назад +1

    Nimekuelewa mkuu mwenye akili atakuelewa

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Год назад +1

    RC . SIYO KWAMBA
    Hutakiwi....
    Ni kwamba ile nia
    Hakuna tena...I mean
    You have no interest...

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Год назад +1

    Wazungu hawatupendi hata kidogo tuamuke tupambane vikali nahili jambo

  • @Rai_online_tv
    @Rai_online_tv Год назад +1

    Jiniaz

  • @bigmachinempower4680
    @bigmachinempower4680 Год назад +1

    RC oyeeeeeee

  • @saidkondo5112
    @saidkondo5112 Год назад

    Sikuwi kufikiria kama watu wenye akili nyingi kiasi hiki wapo,hawa watunzwe sana ,walindwe sana,

  • @marthasinyangwe3727
    @marthasinyangwe3727 Год назад

    Longe kaka nguruvi ikutange

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 Год назад +1

    Safi sana.

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 Год назад +1

    Makonda alianza kuwadhighulikia watu wakamwandama...
    Kama na wewe huwataki hawa watu na wewe Anza kuwadhighulikia !!

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Год назад +2

    Kweli mkuu wangu ❤

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Год назад +1

    chuma ichi

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Год назад

    Vuruga umalaya Dar wanaojiuza fukuza hizo mbuzi

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 Год назад

    uko mkweli ni ukweli mtupu,aliyasema magu hayo.

  • @silaskojwando2450
    @silaskojwando2450 Год назад

    Mh Chalamila,nguvu zako zinaeleweka na wewe ni muwazi,tuko na wewe

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Год назад

    Mimi Mtanzania naishi ulaya na nakuhakikishia kuwa haya mambo ya ushoga yapo mpaka kitandani, si kwenye TV tu. Wazungu wapo wa aina 2, raia wa kawaida na the ruling elite. Raia wa kawaida tunaoishi nao mitaani wanaburuzwa tu na the ruling elite. Hawa ruling elite ndio wanaopanga mipango ya muda mrefu ya kuitawala dunia. Hawa ndio wanakuja na different agendas kuhakikisha wanaendelea kukandamiza nchi nyengine. Wazungu wanaamini evolution theory, wanajiona wao ni top of the food chain. Sisi tuliobaki tupo kwa ajili ya kuwahudumia wao. Kumbuka wamarekani husema 'our oil in the middle east'. Dunia nia yao, kwa maoni yao, na walobaki ni watumwa wao wa kudumu.

  • @Mzena4343
    @Mzena4343 Год назад

    mpka nionane na daftari ndo ninanii mhhh

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 Год назад

    Piga kazi mkuu wa mkoa

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 Год назад +2

    Uko vzur sana

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 Год назад +1

    New version CHLMLAA

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Год назад

    Punguza hotubaaaa duuu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Год назад +2

    Tutumie akili za ziada sio kila kitu tuongee azarani mataifa makubwa kutumia uzafu wetu sisi ni taifa ndogo ktk dunia hatuna nguvu ya kubishana nao lakini tuwabane kiakili sababu nchi nyingi za kiafrica wanafiki Hawa watatubana tuu lakini katazeni vyombo vya habari kutangaza tutumie akili za ziada kibano kwa mashoga sheria Kali kutoa habari njee mpaka nchi za kiafrica zisimame kikamilifu

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 Год назад +2

    Fanya kazi usiogope kufukuzwa uko vizuri

  • @naseemmakombe4032
    @naseemmakombe4032 Год назад +2

    Akili kubwa