ALLY KAMWE" DUBE ATAWAFUNGA SANA/CHAMA HAWEZI KUCHEZA SIMBA TENA/WANAOKOTA OKOTA WACHEZAJI/AZIZ KI
HTML-код
- Опубликовано: 6 июл 2024
- Meneja Habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga Ali kamwe Leo July 7,2024 amezungumza na Mpenja Tv,punde tu alipotua kwenye uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport akitokea Mbeya, Aidha amefunguka kuhusu usajili unaoendelea huku akigusia kuhusiana na usajili wa Prince Dube.
Hatunaga mda wa kwenda kuzurura nje ya nchi na kuja kuwa nafasi ya tatu🤣🤣🤣🤣 Simba mtaumia Sana na chama
Tisubili Ligi tu mengine tutajionea🎉
Tuxungumzie kuhusu kuchokonoA 😂😂 🔥 😊
Ninani amesema simba hakuna mchezaji wakucheza yanga?
Naamin kuwa maneno mengi huwa ayajengi mambo n uwanjan
Mimi naamini mchezaji anaweza kuwa bora sana hata kama timu yake inashika nafasi ya kumi nyie mmemchukua kibabage singida fountain gates ambayo iko nafasi ya 10 je anafanya vibaya?
eti FAST & FURIOUS 😂😂😂
Madrid ya Africa 🌍
Mbona Utopolo mna mchezaji anaitwa joyce why mnamkejeli mchezaji wetu Deborah?
Ivi tukisema simba washuke dalaja inawezekana mwaka huu
Nawashangaa Sana wakinadebora wapowengi humu tupishen bn
Chizi wee hayo yako
Semaji la kafuu😝😝😆😂
Simba hina lia pole jamani
ww acha
Mbwa akibweka sana harudishi mawe ya adui
Mshafulia vyura..igeni Simba kwenda nje
Huna jipya
Atarudije wakati umri umeenda, simba haichukui wazee!
Kwn debora fc uku Wana fata nn