AHMED ALLY" SIMBA TUNA FEISAL KAMA 70/CHAMA TUTAMPA THANK YOU/MANURA NI MCHEZAJI WETU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • Leo July 16,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ameeleza maandalizi yao kuelekea Msimu mpya wa Ligi kuu ya NBC PL.
    Aidha Ahmed Ally amezungumzia Maandalizi ya Kuelekea Simba Day tarehe 03 Agosti 2024

Комментарии • 84

  • @zakwetuupdate3387
    @zakwetuupdate3387 Месяц назад +9

    MASHINE INATEMA madini🔥🔥🔥

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc Месяц назад +15

    Samaji huwa hapendi kuzungumzia Yanga kabisa nani anagundua ilo

    • @danielchamoto9376
      @danielchamoto9376 Месяц назад +3

      Ana akili sana huyu jamaa😂😂

    • @athumanibakari8618
      @athumanibakari8618 Месяц назад +2

      Ndiyo Rahaa ya Kuwa na Msemaji Msomi

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 Месяц назад

      @@athumanibakari8618yule ashura kutwa simba simba 🎉

    • @abdallahal-khaify
      @abdallahal-khaify Месяц назад +1

      Yule dogo wa nyuma mwiko kazi yake kuzungumzia habari za Simba badala ya kuzungumzia nyuma mwiko yao anaweweseka na Simba , juzi analeta habari za uongo kuwa eti "wamefungwa goli sita kisha hawasemi " .

    • @seikhan5115
      @seikhan5115 Месяц назад +1

      hii ni fact kwel hyu mwamba aongelei timu ya yanga yupo bize na simba tu 😅😅😅
      UBAYA UBWELA

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Месяц назад +3

    Chama anawaumiza Sanaa Simba hiiiii Kali sana

    • @user-vd3ce2zv5p
      @user-vd3ce2zv5p Месяц назад +1

      Mbona mnafosi tuumie kiukweli mimi sioni cha kumuumiza kwa uyo chama alikua anajiona star sana

    • @simonjoseph4337
      @simonjoseph4337 Месяц назад

      Panya nn ww

    • @bone102
      @bone102 Месяц назад

      Kama hujui chama kaondoka Simba mara ya pili nw sasa tuumie vip wakat tushazoea kuondoka kwake

    • @KajunaJovinary
      @KajunaJovinary Месяц назад

      ​@@bone102na alivyorudi mkamshangilia sana maana ndo mlienda kushiriki shirikisho na mkatolewaaa😅😅😅😅😅

  • @SaidiMngoko
    @SaidiMngoko Месяц назад +3

    Chama aliwahi kuondoka,lakini simba ilibaki kwenye nafasi nzuri kuliko sasa wakati chama yupo simba!! Au mmesahau

  • @wencerich
    @wencerich Месяц назад +4

    Machine ya kuongea hana mda wa kuwaongelea Team nyingine Akili nyingi kwa kichwa 😂😂😂😂😂😂

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf Месяц назад +3

    Semaji bora ndani ya medani ya michezo nchini na dunia

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Месяц назад +4

    Hapa pa Chama mnajiabisha sana. Ni aibu kubwa. Ni kama mwanamke unamwacha halafu unajifungia chumbani kulia kisa mke yupo nyumba ya jirani.

  • @Salum-ij6mg
    @Salum-ij6mg Месяц назад +3

    Uyu ana cha kuoji

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Месяц назад +2

    Jamani chama anaezungumziwa na awa wandishi siyo chama uyu wa sasa nichama wa miaka 4 nyuma.

  • @HalifaMohamedMohamed-pr5eh
    @HalifaMohamedMohamed-pr5eh Месяц назад

    Everything is possible on the earth surface when you will depend on GOD 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @bensonokwaro9225
    @bensonokwaro9225 Месяц назад

    na kama "ubaya ubwela' itakuwa kweli mbona 2ta enjoy kuckiliza tambo zako ahmed

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад

    Simba nguvu moja 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @IddyMzuri
    @IddyMzuri Месяц назад

    JAMAA ANAJUA AISEE, HUYU NI SEMAJI LA FAMILY

    • @KajunaJovinary
      @KajunaJovinary Месяц назад

      Anajua au ni comedian?? Yani ww humjui Kazi?? Ndo anamsifia utafikiri ni Puyo

  • @bensonokwaro9225
    @bensonokwaro9225 Месяц назад

    semaji hvi unatoaga wapi maneno ww❤

  • @THADEOCHUNDU-eu3ez
    @THADEOCHUNDU-eu3ez Месяц назад

    Sema Chama anakuumiza wewe sio simba.

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Месяц назад

    Semaji la cuf,Shirikisho na Simba sports ❤❤❤ ubaya ubwela Yanga maji yamemwagikaaa Eng ????

  • @briansenga584
    @briansenga584 Месяц назад

    Zungumzia Simba dogo narudia kamuangalie Jane

    • @briansenga584
      @briansenga584 Месяц назад

      Yeah ndiyo maana nimesema huyo dogo azingua

  • @user-hd5rn8fh5b
    @user-hd5rn8fh5b Месяц назад

    Mashiiiiine ya kuongea😂😂😂😂 ,❤❤🦁🦁🦁💪

  • @niyogushimaOscar-bh6mj
    @niyogushimaOscar-bh6mj Месяц назад

    Hivi huyu jama ako anauliza ao ako anamwambia habari ya yanga na Azam?mpenja huu ulimtowa wapi kweri umetuangusha

  • @halidmauga96
    @halidmauga96 Месяц назад +1

    Hakuna mahojiano ya kusikiliza,

  • @emmanuelzwallo3933
    @emmanuelzwallo3933 Месяц назад

    Kwa WACHEZAJI HAO NDO UNASEMA UNAKUSANYA MATAJI?NGOJA NICHEKE SASA

  • @gaspergasper5163
    @gaspergasper5163 Месяц назад +2

    Eti Shakira shakiraa😂😂🙌🏽

  • @mrishotv5553
    @mrishotv5553 Месяц назад +1

    Kweli ss hii pw

  • @serekachacha-zg2vp
    @serekachacha-zg2vp 24 дня назад

    Jamani jeni yu wapi

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Месяц назад

    Utopolo hawana msemaji waangalie hapa wanaokota okota na hawana hata semina ya kuwafunza wasemaji wao wanaokota na kuacha msaji awe mropokaji tu.kaambieni hako kashoga kenu kaende shule au kamtafte huyu bwana ahamed ali kajifuze.huyu bwana mpaka hata siyo mwanasimba unapata hamu tu ya kumsikiza siyo hako kajinga kenu mnakaachia kuropoka tu

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Месяц назад +1

    Haka kajamaa hakajui kuhoji.. jenny yupo wapi sijui.. hiki kinjemba kinaboa kinavyo hoji..

  • @DullahJazza
    @DullahJazza Месяц назад

    Semaji umenifulaisha nasa

  • @janethelly4986
    @janethelly4986 Месяц назад +1

    Ww ndio umepoa na unaboaa😂,semaji ajawahi kupoa ata dk mojaa😂😂mpenja plz turudishie jane uyu cjui mmemtoa wap😅

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Месяц назад

    Mi pia ntakuja Simba Day Kukuona unajua kuongea hauna jazba una akili sana

  • @ImuKibene
    @ImuKibene Месяц назад

    Sijawai kuuona mwandishi wa hovyo kama uyu Yan hovyo kabsaa

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Месяц назад

    Kwani ww umekujaa kuuliza mambo ya Simba au umetumwa nayanga

  • @kennyjohn-ov7sn
    @kennyjohn-ov7sn Месяц назад

    Shakila shakila

  • @briansenga584
    @briansenga584 Месяц назад

    Wewe muandishi kasikilize interview za Jane ujifunze namna ya kumuuliza maswali semaji unazingua Sana unakaa na wachezaji kila SAA WA wapinzani wewe jiangalie alfu jitathimini

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla Месяц назад

    Munakumbuka la chama2 la fei hamlikumbuki nyuma mwiko

  • @allynicco4607
    @allynicco4607 Месяц назад

    hvi huyu mtangazaji anataaluma kweli? hana hata ubunifu

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 Месяц назад

    Tumeenjoy intewvier

  • @ChembeaKhalfani
    @ChembeaKhalfani Месяц назад

    Jamaa wa ovy ujui hat kuhoj

  • @emmanuelsiyengo7401
    @emmanuelsiyengo7401 Месяц назад

    Hiyo imeenda semaji

  • @HukerRama
    @HukerRama Месяц назад +1

    Ahmed ni hatar😅😅😅😅😅😅😅

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo Месяц назад

    U nawaingiza mashabiki chaka

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Месяц назад

    Hiiii mashiiiiiiiiine ya kuongea

  • @JeremiahKiberenge
    @JeremiahKiberenge Месяц назад

    Huyu jamaa hata hajui kufanya interview kabisa yaani anahoji vitu vya hovyo kweli.

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Месяц назад

    Dawa imeingia kuna mtu anatakiwa kutoka nyuma mwiko kumbe ni janja janja

  • @abdallahal-khaify
    @abdallahal-khaify Месяц назад

    Shida mnarogwa na kisha mnakwama .

  • @Snydacut
    @Snydacut Месяц назад

    Ww ndio mashine ya kuogea. world wide

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo Месяц назад

    Presha zitawaua ngoja inyeshe

  • @SaidiMngoko
    @SaidiMngoko Месяц назад

    Mmesahau nafasi ya simba wakati chama uko nje?

  • @MsafwaTv
    @MsafwaTv Месяц назад

    Jobe ni shujaa wetuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @castromhilu6491
    @castromhilu6491 Месяц назад

    Mwandishi ubongo wake mgumu kuelewa

  • @Mwinyi-xo7jt
    @Mwinyi-xo7jt Месяц назад

    Twataka Jane ndio amuhoji semaji

    • @jairosmnahi1218
      @jairosmnahi1218 Месяц назад

      Kaondoka hpo mpenja tv sijajua khamia wap ila aliagwa tyr

  • @JustineSanga-r9e
    @JustineSanga-r9e Месяц назад

    Makoloooooo mpaka msemeeee.

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda Месяц назад

      Hujui makolo maana yake kwa kizaramo ni wajomba wako😅😅😅😅😅 hahahahaha

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v Месяц назад

    Huyo alikuwa jeuri atakula jeuri yake

  • @MsafwaTv
    @MsafwaTv Месяц назад

    Ubaya ubwela

  • @AmonBenjamin-z1o
    @AmonBenjamin-z1o Месяц назад

    Semaji bhna😂😂😂😂

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 Месяц назад

    Mwambieni semaji aingie na Simba mnyama mwenyewe wa zoo wako ambao wamezoea watu

  • @AmonBenjamin-z1o
    @AmonBenjamin-z1o Месяц назад

    Samaji nimoja tuu😅😅

  • @alistidesclemence3992
    @alistidesclemence3992 Месяц назад

    Mpenja atafte mtu mwingine tu....jamaa hajui kohoji huyu!!

  • @DanielMarco-js1kz
    @DanielMarco-js1kz Месяц назад

    Mpenja hapa hauna mtu!

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Месяц назад

    ha ha ha ha ha ha nyie nyie itamgarimu uyu m2 nyie aya

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Месяц назад

    😅😅😂😂😂

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Месяц назад

    u.nakutana nani wee wee aya kulia kuko palepale