KWA MBINU HIZI 4: SIMBA YA FADLU ITAKUWA BALAA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024
  • #MbinuZaFadlu #KochaSimba #KikosiSchaSimba
    Kwenye soka la kisasa, Kocha ni mbinu, mbinu ndizo huibeba Falsafa ya Timu. KOcha asiye na mbinu nyingi na zilizoimara hujikuta akiangukia Pua kila mechi. Kocha wa simba Fadlu Davids amejipambanua kuwa Ni kocha wa Mbinu.
    Kiufundi anazo Nyingi lakini leo nakuletea mbinu zake kuu 4; hivi ndio Vitu anavyofundisha kule nchini Misri; Taswira ya mwisho iliyopo kichwani mwake ni kuona Timu nzima inazi master mbinu hizi lakini pia inazi apply kwenye dakika 90 Uwanjani.
    SImba ikiwa kamili kimbinu; basi uhakika wa matokeo ni Mkubwa kwa kila mechi; itakuwa timu tishio na bora barani Afrika. Kiufundi Mbinu zake ni Mbinu Bora na zinatumiwa na makocha wakubwa kutengeneza Timu tishio.
    Je ni mbinu gani hizo?
    ------------------------------------------------------------------------------------------------------
    TUMEDHAMINIWA NA PELEGRINO SANITARIUM CLINIC
    Hawa ni mabingwa wa kutibu Magonjwa Sugu kama; Kisukari, Kansa, Ukimwi, Presha, Tezi Dume na magonjwa yote Yanayokusumbua..
    Kwa mawasiliano zaidi piga simu Namba...
    0747 805 550.
    ------------------------------------------------------------------------------------------------------
    JE UNAZIFAHAMU VIDEO ZANGU BORA ZAIDI? TAZAMA HIZI HAPA..
    1. Yanga Baada ya Usajili: Kikosi chake cha Kwanza Hatari zaidi. • BAADA YA USAJILI: "KIK...
    2. Baada ya Usajili: Huu ndio Usajili Bora zaidi kwa Simba. • KIUFUNDI: USAJILI BORA...
    3. Kabla ya Pre - Season: Simba wanatakiwa Kufanya Jambo hili Muhimu. • KABLA YA PRE-SEASON: S...
    4. UKWELI: KUHUSU KIWANGO HALISI CHA STEVEN MUKWALA | MSHAMBULIAJI MPYA SIMBA. • UKWELI: KUHUSU KIWANGO...
    5. USAJILI WA CHAMA YANGA: UNA 'MAANA KUU 7' | TAZAMA KWA UMAKINI VIDEO HII. • USAJILI WA CHAMA YANGA...
    6. KIUFUNDI: MAENEO 8 YA USAJILI SIMBA | MO AMEAMUA...
    • KIUFUNDI: MAENEO 8 YA ...
    ------------------------------------------------------------------------------------------------------
    JE UNGEPENDA KUTANGAZA BIASHARA YAKO SOCCERDATA KWA BEI NAFUU? KUWA SEHEMU YA WADHAMINI WETU TUKUTANGAZIE BIASHARA YAKO NA IWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.
    (MAWASILIANO)
    0710 679 388
    0627 532 401
    Email: soccerdata01@gmail.com
    ------------------------------------------------------------------------------------------------------
    KAMA MDAU, TUNAKUOMBA UCHANGIE UNUNUZI WA VIFAA VYA UZALISHAJI.
    Saidia Ununuzi wa Vifaa vya Uzalishaji vitakavyorahisisha Kazi na kuongeza Ubora wa Uchambuzi.
    SoccerData inahitaji Vifaa VITATU vya kuanzia Vinavyogharimu Shilingi 4.7 M ambavyo Ni;
    1. Video Camera
    2. Computer
    3. Condenser Microphone.
    Changia Kiasi chochote Ulichonacho kupitia;
    TIGOPESA: 0710 679 388
    HALOPESA: 0627 532 401
    (Jina : Sekwao Mwendi)
    BANK ACCOUNT.
    CRDB BANK.
    SEKWAO MOHAMEDI MWENDI
    0152235925700
    Lakini pia kwa Mawasiliano zaidi, Wapigie SoccerData kwa Namba hizo.
    ------------------------------------------------------------------------------------------------------
    KARIBU KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII;
    FACEBOOK: / soccerdata
    INSTAGRAM: / soccerdata_tz
    JE UNGEPENDA KUWA SEHEMU HALISI YA SOCCERDATA? JISAJILI KAMA MEMBERSHIP LEO UPATE ZIADA YA UCHAMBUZI...
    / @soccerdata.
    SOCCERDATA KARIBUNI SANA...

Комментарии • 40