SIMBA ULAYA KWA HASIRA AMVAA KAYOKO HATUTAKI MAREFA WA TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 218

  • @KaramaKarama-jm7qo
    @KaramaKarama-jm7qo 2 часа назад +16

    Simba damuu.Shabiki wa Simba Niko Kenya.Hakuna mahali Simba leo wamezidiwa Ila yanga imeshindikana kwa kununua mechi kwa marefaree.Wanabebwa Sana hata inatoa ladha ya kuangalia derby

  • @DotoRamadhani-k1x
    @DotoRamadhani-k1x 2 часа назад +5

    P ddy nipo apa we pasi milioni nakutaka

  • @AmirliAmirli-p1z
    @AmirliAmirli-p1z Час назад +3

    Lile sio goal ni offsides ya wazi ttz letu watanznia hatujui mpira ni mashabiki tu lkn mpira hatuujui kabisa

  • @gaudencehaule7398
    @gaudencehaule7398 2 часа назад +3

    Tukomae kwanza na viongoz waliosajir magarasa

  • @ShawejiHashim
    @ShawejiHashim Час назад +3

    Uyu mzee anaongea udoko mtupu alafu kalewa

  • @AbuuMbarouk
    @AbuuMbarouk 2 часа назад +3

    Hakuna refa ata mmoja atakae chezesha ligi za klabu bingwa ata kayoko mtoto wa vibwengo wa yanga

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 3 часа назад +4

    Hii nchi inachosha ukija serkalin itakutana na ccm na ukija kwenye mpira unakutana na kayoko na el saasi na yule mbulu arajiga

  • @YohanaPeter-x2m
    @YohanaPeter-x2m 3 часа назад +6

    Kwel kabisa huyu refareee sio sio penati zote tumenyimwa daaah

    • @RoseMuniss-y5q
      @RoseMuniss-y5q 3 часа назад +1

      Mnamtaka tatu malogo....

    • @HassaniUlenge-j5j
      @HassaniUlenge-j5j Час назад

      Hakuna penati pale hata moja shida ni moja ushabiki na kimapenzi na si kitaalamu

    • @musapfute6608
      @musapfute6608 49 минут назад

      Ivi amuoni ata aibu kililia penati, ko magoli yenu n ya penati bila penati hamshindi

  • @law93king
    @law93king Час назад +2

    mambo tunayoyapenda haya😅

  • @japheteneza2570
    @japheteneza2570 Час назад +1

    Jana alivyotangazwa Kayoko, Makolo walishangilia...leo mnalia
    Game yetu na mamelodi mkasema goli lilivokataliwa si Yanga mngefunga lingine, na sisi tunawaambia...mngefunga mengine ata kama mlinyimwa penati😅😅😅😅

  • @WiliamMasalu-gs2ov
    @WiliamMasalu-gs2ov Час назад +1

    Kayoko kapuyanga sana kwa maelekezo ya vyura

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Час назад +2

    pass milioni kapanic 😳👀

  • @roggerasili3089
    @roggerasili3089 2 часа назад +2

    Mmepata penati ngapi mnalalamikia kaangalieni maludio mje mchambue
    Waandishi wanahoji shabiki asiejua mpila

  • @hekimaoscar6527
    @hekimaoscar6527 Час назад +1

    Pasi nilyoniii Leo mshamba haelewi

  • @BernadAyubu22
    @BernadAyubu22 Час назад +1

    Muliingia na matokeo saiz munasema refa mumepigwa mala ngapi leo munamsingizia kayoko

  • @abeydalsherawjralsherawjr1672
    @abeydalsherawjralsherawjr1672 31 минуту назад

    Refa wa Leo ndo man of the match hongera yake maana ndo alioshinda mechi

  • @FarisyRashidy
    @FarisyRashidy 2 часа назад +2

    Watu WA yanga makuma kweli matusi ya nn kila mtu na maoni yke

  • @AllyMwinyi-rx8gr
    @AllyMwinyi-rx8gr 2 часа назад +2

    Mpira mwingi sana kwa mnyama ila marefa wanatuua sana mimi naomba sana ikitokea dabi wapewe arefa wa nje

  • @RamazanSaid-s5i
    @RamazanSaid-s5i 45 минут назад

    Naipenda sana Simba ila bana kayoko sio refa bana kwani uko viyongozi awapo

  • @gogofilmstv5520
    @gogofilmstv5520 2 часа назад +5

    Man of the metch ni KAYOKO hiyo hata wao UTO wanajua

  • @KasmirDonathMbala
    @KasmirDonathMbala 2 часа назад +2

    Sasa ulitaka liwe goli hata kama la offside😂😂

    • @roi2554
      @roi2554 2 часа назад +1

      😂😂😂😂

  • @ernestkibada3845
    @ernestkibada3845 59 минут назад

    Yanga wamecheza pira Kayoko

  • @JamesZakayo-o2f
    @JamesZakayo-o2f Час назад +1

    Mkitulia mkaangalie marudio ndio mje mpige taarabu zenu

  • @Almashamis-r6h
    @Almashamis-r6h 2 часа назад +2

    Shrikisho la mpra wa mguu tz bado sana marefa gan wamchongo

  • @ShamsisaidKachukuzi
    @ShamsisaidKachukuzi Час назад

    Aisee huyu baba kaongea kweli Sema simba damuuuu

  • @AlfredApolinali
    @AlfredApolinali 2 часа назад +1

    Msijisahaulishe yanga hii simba kupata droo mpaka 2030

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 3 часа назад +1

    Next match..Mo awe refa.. mangungu

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 3 часа назад +1

    kayoko heri apotee kusikojulikana wallahi yaani unaharibu ili usifiwe mamae kayoko akafie mbele huko

  • @MagesaMusonge
    @MagesaMusonge 2 часа назад +1

    Wandishi wa habari kuweni wakweli nsiwe wanafiki saidien soka le2 kwa kuongea ukweli ninyi ndo mnadidimiza soka kwakuogopa kusema ukweli

  • @mathahosea6783
    @mathahosea6783 3 часа назад

    Simba tunaonewa sana na marefa

  • @mtalemwadenis1500
    @mtalemwadenis1500 58 минут назад

    Hivi kila mkifungwa mnaleta visingizio, sasa tutawataka mech zijazo mlete refa mnayehitaji
    😂😂😂

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Час назад +3

    Refa yupo vizuuuuuuuuuuuuli kabisaaaaaaaaaa acheni ujinga mxha pigwa mnapenda ndondokela acheni ujinga chezeni mpila pumbavu zenu🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa adi 230

    • @HamduniMarwa
      @HamduniMarwa 45 минут назад

      Unaujua mpira wewe

    • @AshaAmiri-l2g
      @AshaAmiri-l2g 16 минут назад

      Hujuwi mpira watu mnapoteza muda na Azizi K anaomba maji mliutaka

  • @EliyaExaudy-dr5cb
    @EliyaExaudy-dr5cb 2 часа назад

    Mwandishiiii chokoooo sijui😢

  • @IdrisaKagoma-kr6ql
    @IdrisaKagoma-kr6ql 2 часа назад

    Penat ya simba na dodoma jiji vp

  • @paultungu1775
    @paultungu1775 3 часа назад

    Hamna marefa Tanzania

  • @ernestkibada3845
    @ernestkibada3845 Час назад

    We unayetuma ujumbe tumia lugha ya sitaha,ukweli mwamzi hajafanya vizuri,tuachane na matokeo ya mpira kayoko

  • @kissengababa
    @kissengababa 3 часа назад +1

    Au ashamba aelewii😂😂😂😂😂

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 3 часа назад +1

    tatu malogo jamani daah uko wapi dhimbaaa wanateseka

  • @MakameJuma-b1h
    @MakameJuma-b1h Час назад

    Yaaani mpaka mseme

  • @Josephtibu-l9e
    @Josephtibu-l9e 2 часа назад +2

    kiukweli kayoko katuuwa

    • @musapfute6608
      @musapfute6608 44 минуты назад

      Ko uwezo wenu n penati, bila penati hamshindi

  • @jovinmbalikila15
    @jovinmbalikila15 43 минуты назад

    Kayoko.tupo nae na tunatamba nae

  • @amosiyoram9482
    @amosiyoram9482 26 минут назад

    Ubaya ubwela😂

  • @HassaniUlenge-j5j
    @HassaniUlenge-j5j Час назад

    Huyu naye vip kaangalia vzr kweli mpira au ndo upenzi wa simba

  • @jaywi5681
    @jaywi5681 Час назад

    Pira Kayoko, Goli Gayoko. Mpira umetoka unakuwaje goli

  • @InnocentKimario-nr1nx
    @InnocentKimario-nr1nx 2 часа назад

    Marefa wa ovyo matokeo ya ovyo

  • @RajabuhamisiHassan-qv5wm
    @RajabuhamisiHassan-qv5wm 3 часа назад

    Nikweli kabisa

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Час назад

    Kibu kachezewa faul nyingi sana, Kayoko kapuyanga

  • @SospeterPeter-q7n
    @SospeterPeter-q7n 3 часа назад

    Mtoto kautaka haswaaaa hahaaha wap mzeee saidii hahaha

  • @SuleimanSuleman-k8c
    @SuleimanSuleman-k8c 3 часа назад

    Kayoko unafeli sana sana sana unajiharibia bro

    • @JILBERTDaniford
      @JILBERTDaniford 2 часа назад

      KAYOKO HATUMTAKI KUCHEZESHA DERB WALA MATCH YOYOTE YA SIMBA

  • @khamismohammed7867
    @khamismohammed7867 2 часа назад +1

    Mlevi uyo

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 2 часа назад +1

    Kayoko utawabeba sana hao utopolo

  • @joackimumalya7138
    @joackimumalya7138 2 часа назад

    Mwandishi kuma

  • @Munyama675
    @Munyama675 Час назад

    😂😂😂😂😂😂 kapaniki huyu...

  • @EdwardWankyo
    @EdwardWankyo Час назад

    Kiukweli simba mpira bado msimulaum refa hata kidogo nunua bando angalia marudio

  • @lenziangowoko9325
    @lenziangowoko9325 Час назад

    Michezo michafu ndio inawabeba yanga, hawana ukubwa wowote, mbele ya simba

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 2 часа назад

    Sasa ukipambana ndio hufungwi😂😂😂😂😂😂

  • @AlphonceMponzi-m8t
    @AlphonceMponzi-m8t Час назад

    Kayoko kumalamamayake

  • @abdulrahimfaki6528
    @abdulrahimfaki6528 Час назад

    Mlimfunga azam kule zanzibar kwa magoli ya ofside na mechi ya coast union refa kakuombeeni

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 Час назад

    Msimlaumu kayoko, tumefungwa tu, tukubari Kwan tumeona tunakosa magori wenyewe

  • @dr.madevualcantara4775
    @dr.madevualcantara4775 3 часа назад

    Kuna shida kubwa sana kwa kayoko bdo refaree ni majipu yakutumbuliwa

  • @salumshilla-ki4ug
    @salumshilla-ki4ug 3 часа назад

    Sio kayoko , sasii, Hadi gharaijga derby ikodishwe marefa kutoka nje

  • @nasibuabdul287
    @nasibuabdul287 2 часа назад

    Akaangali maludio

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 Час назад

    Kagoma alivyotoka nikajua tu, lazima tuliwe, okajefa anazidiwa na wachezaji wa ndan Kama muzamilu na kagoma

  • @BarakaJaphet-b7h
    @BarakaJaphet-b7h 2 часа назад

    Kayoko fala sana

  • @chotark1881
    @chotark1881 2 часа назад +1

    Upo sahihi kabisa hata Mimi niliona kabisa kibu Denis alichezewa rough Refa kapotezea mjinga kabisa

  • @AllyMshenga
    @AllyMshenga 2 часа назад

    Huwezi kula mwanamke Kama mwanamke unasusa kula kale mavi Kama umekasirika

  • @abdallahkhamisi490
    @abdallahkhamisi490 Час назад

    Kayoko lazima alipe fadhila aliyofanyiwa na Engineer kipindi cha ndoa yake

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 2 часа назад

    Yanga mnabebwa sana ila basi ajuae MUNGU

    • @musafrancis3584
      @musafrancis3584 2 часа назад

      We kubali timu lako bovu tu darby 4 zote unafungwa afu bdo unalalamika na refa

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 3 часа назад

    Marefa wa bongo wote wabovu

  • @juma-vy2dl
    @juma-vy2dl 2 часа назад

    Kayoko pumbavu sana

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 3 часа назад

    Mwandishi ovyo sana

  • @maglanloy7644
    @maglanloy7644 Час назад

    Kayoko afungiwe miaka 500 akafie jela,hafai kabisa.

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 58 минут назад

    WEWE NINANI. KAYOKO ASICHEZESHE MECHI.

  • @shadowboytz6299
    @shadowboytz6299 2 часа назад

    Ubaya ubwege

  • @yohanalaizer8551
    @yohanalaizer8551 3 часа назад

    Nikweli muse wangu

  • @BucumiEmmanuel-o6q
    @BucumiEmmanuel-o6q 42 минуты назад

    Kubali kipigo mumeshindwa kufunga

  • @HemedSalum-u2v
    @HemedSalum-u2v 16 минут назад

    Mimi yanga ila leo 2mebebwa

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 3 часа назад +3

    Kayoko best coach kwa tanzania acheni usenge makolo mmezidiwa kila kona hakuna kuomba maji hapa😂😂😂😂😂

    • @LUCASSANGARUFU
      @LUCASSANGARUFU 2 часа назад +4

      Msenge wewe,kayoko siyo coach ni refarii

    • @AmourOthman-n6x
      @AmourOthman-n6x 2 часа назад

      ​@LUCASSANGARUFU nd utukane kolo😂😂 Acha makasiriko

    • @khadijahussein5298
      @khadijahussein5298 2 часа назад +1

      Goli la bahati nasibu baada ya kiza kuingia? si mlijifanya mtafunga 7 sasa ilo moja tiamajitiamaji

    • @OMARIMAULDJUMA
      @OMARIMAULDJUMA 2 часа назад +1

      Kayoko ni best kwenu wanayanga syo kwetu tumia akil

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op 2 часа назад

      ​@@khadijahussein5298mna bahati baadhi wa wachezaji wetu walirudi siku 1, siku 2 kabla ya mechi!

  • @MussaRqjqbu
    @MussaRqjqbu 3 часа назад

    Allah atamhukumu ajua ya dhahir na yaliyojificha

  • @MichaelCharles-uo6rw
    @MichaelCharles-uo6rw Час назад

    Pilaa kayokooo

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 2 часа назад

    pass 1,000,000/- leo umepuyanga 😳👀

  • @JOSEPHSOLOMON-gc8ci
    @JOSEPHSOLOMON-gc8ci 3 часа назад

    Kayoko leo kazidiwa acha usenge uende mbinguni.

  • @saliminikitete4417
    @saliminikitete4417 Час назад +1

    Chezesha wewe

  • @gracekilacy512
    @gracekilacy512 3 часа назад

    Kayoko Alamiwe milele

  • @mtalemwadenis1500
    @mtalemwadenis1500 54 минуты назад

    Acha uzwazwa, Msonda kaangushwa ndan ya pen box mbona cc tumekubali
    Tena kayoko kawalemdelea smb😢😂

  • @ManenoFungo
    @ManenoFungo 2 часа назад +1

    ,kayoko na tff. wanaagenda. za. siri. kayoko sio. refa jjaman

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el Час назад

    Acha kulaumu kayoko timu bovu nyankkondo

  • @ShaabanRamadhanKombo
    @ShaabanRamadhanKombo 28 минут назад

    lakini viongozi wetu wa Simba huyu Kayoko mara ngapi anatufanyia ujinga na hatusikii sauti zenu?

  • @MussaRqjqbu
    @MussaRqjqbu 3 часа назад

    Kayoko kawabeba madada wenzake

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 56 минут назад

    FUKUZENI KOCHA NYIE UBAYA UBWEGE

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 2 часа назад

    Mwandishi mpumbavu sana

  • @GideonMalabega
    @GideonMalabega Час назад

    Yaani mtoke sare 2-2 na Coastal halafu mlalamike kufungwa na Yanga?goli mjifunge wenyewe halafu mnamlaumu refa?mpira unatoka nje kupa anaurudisha ndani,tena kipa huyo huyo aliyefungisha mechi ya Coastal aliyewafungisha......

  • @AngelMwalukunga
    @AngelMwalukunga 3 часа назад

    Hafai huyo refa kahongwa

    • @issapagali1330
      @issapagali1330 3 часа назад

      Hata Kijiri "KAHONGWA"😅., UBAYA UBWEGEEEEEEEE.😢😊😊😊😊

    • @Mkonkotolyo
      @Mkonkotolyo 3 часа назад

      Ukifaka nyumbani angalia marudio utaona goli la Kibu, offside wazi kabisaaa hapo uwanjani hakuna replay tukio likipita ndio basi teeaaana ukiangalia marudio utakaa sawa

  • @SaidyFaranda
    @SaidyFaranda 3 часа назад

    Kayoko msenge tu

  • @MalandoMartine-m6k
    @MalandoMartine-m6k 3 часа назад

    Kayoko umefeli kaka umechezesha ujinga leo

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn 2 часа назад

    Kayoko hakuna refa hapo

  • @johndavid-rg3yl
    @johndavid-rg3yl 3 часа назад

    Shida ya mechi ya leo sio kayoko shida ya Derby zote nne zilizo pita ni Ngungu boy atoke adhalani kukanusha kauli yake ya kuifunga yanga . Usajili mzuri sana uwekezaji mzuri sana shida ya team yangu ni ngungu tu inatakiwa na yeye atoke si alihaidi mwenyewe kuwa tumpe kula ata mfunga yanga ivyo atoke ameshindwa kutetea kauli yake .

  • @MarthaMwasalemba
    @MarthaMwasalemba 2 часа назад

    Kayoko Katfieie mbali kama utapewa tena kuchezesha mechi mniite mbwa wewe ndo mwisho wako leo

  • @ShehaSheha-t9q
    @ShehaSheha-t9q 46 минут назад

    Mwambien uyo marudiano atafute marefarii wake halaf akumbuke wamewafunga Azam zanzbar magoli yote offside mbona hawakusema maneno maneno magoli Yao yakugaiwa ili Simba isipate aibu uwo ndo ukwel

  • @ConjestarSamwel-xr3jw
    @ConjestarSamwel-xr3jw 2 часа назад

    Simba bado tuna shida ya goli kipa tumtumie tena katoro, idadi ya magoli inaongezeka jmn,