GHARIB MZINGA Amdadavua MVP Jean Charles Ahou ndani ya SPORTS BANDO ya UFM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Msikilize mchambuzi na mtangazaji wa Azam Media, Gharib Mzinga akimchambua kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Ahoua aliyetokea Ivory Coast.
    Ahoua ni MVP wa msimu uliopita katika ligi kuu ya Ivory Coast akiwa na klabu ya Stella Club d' Adjamé.

Комментарии • 4

  • @noeljoseph7361
    @noeljoseph7361 Месяц назад +7

    Nilikua na wasiwasi na usajiri wa simba, lakini baada ya kumsikliza gharib sasa nina aman na team yangu...msimu uanze tu

  • @mohamedguveti5372
    @mohamedguveti5372 Месяц назад

    Hivi kwa nini simba tu?!

    • @user-xd2tg8eq1h
      @user-xd2tg8eq1h Месяц назад +1

      Kwaiyo unaumia sana simba ikizungumziwa ktk media mbalimbali bado hujasema utasema tu simba sasa ya watoto 😂😂😂

    • @flova7022
      @flova7022 Месяц назад +1

      Ukubwa wao Tu