Je, Simba SC inahitaji muda zaidi ili kuimarika? Uchambuzi wa Baruan Muhuza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Mtangazaji Mkongwe na Mkuu wa UFM Radio, Baruan Muhuza anaiangazia Simba Sports Club baada ya kuanza kwa msimu wa 2024 / 25 wa NBC Premier League.
    Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tabora United kwenye mchezo wa kwanza wa NBCPL lakini kuna minong'ono kuwa bado ubora wa Simba SC una mashaka?
    Jicho la Muhuza linaonaje?
    Msikilize

Комментарии • 22

  • @MOKIRIMaro-i3n
    @MOKIRIMaro-i3n 21 день назад +2

    Simba bado inahitajika mda sana

  • @user-hk7bp6pt6f
    @user-hk7bp6pt6f 16 дней назад

    ❤❤unaonge vzr sana mzee baba

  • @AlexLazaro-tf3om
    @AlexLazaro-tf3om 25 дней назад +3

    Baruani mhuza ni mtu na nusu🔥🔥

  • @edsonruhasha2003
    @edsonruhasha2003 24 дня назад +2

    Well commented

  • @timotheothadeomgassa4929
    @timotheothadeomgassa4929 25 дней назад +2

    Aisee kaka yangu Baruani Muhuza hakika umenikosha sana. Umeongea vyema sana tena wewe unajua na unajua tena

  • @Magingamerengarichacha
    @Magingamerengarichacha 18 дней назад

    Hongeren san hapo studio naitwa maginga merengali kutoko mara

  • @user-sj4vo9cg2c
    @user-sj4vo9cg2c 25 дней назад +1

    Kabalada hongera sana nakupata Toka kagera

  • @shemsiajuma9113
    @shemsiajuma9113 24 дня назад

    Dah ! Huyu barwan muhuza yuko perfectly yaan ni balaa amenikosha mpk.naumwa ! So ilike it ❤

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 25 дней назад +1

    Mashabiki wa simba msikilize baruani

  • @YusuphMatalle
    @YusuphMatalle 15 дней назад

    Kweli inaitaji muda

  • @halfankipande9903
    @halfankipande9903 25 дней назад +1

    Yess-

  • @sulejmandj7582
    @sulejmandj7582 16 дней назад

    Wasikuwa na furaha hao sio simba ila sisi simba tunajua wapi tulipotoka na wapi tunaenda kwa mtu anaye jua mpira simba ni tm hatr sana

  • @RamadhanMsonde
    @RamadhanMsonde 24 дня назад

    Ww mzee Simba anatawala nn

  • @joshuataramo7317
    @joshuataramo7317 22 дня назад

    Nilimfahamu Buruhan tangu akiwa Redio Free Africa na Star TV na hata alipohamia Azam na akaanza kutangaza Mpira nikafamhamu kuwa Anatangaza jambo akiwa na ufahamu na hakika nalo. Ndo maana.kaongea kwa utaalam na uelewedi Mkubwa. Maua yako Baruhan Mhuuza

  • @finiasmaengela2996
    @finiasmaengela2996 24 дня назад +1

    Huyu ndo anajua mpira

  • @MwobagulalilaBuluti
    @MwobagulalilaBuluti 18 дней назад

    Wa 98.7 bushitals maswa SIMIYU. Mashabiki wa simba wapunguze presha timu inakuja kuimarika wasiwe na haraka ya matokeo matokeo yatakuja baada ya kuunganisha kwa timu furaha itarudi kwa kuwa wavumilivu.

  • @ramsonmadodi8095
    @ramsonmadodi8095 24 дня назад

    Kaka ongea ww yan tatz Kuna watu wameanz tu kuangalia mpira juzi tu wanaongea sana

  • @AbasiShabani-lw2fd
    @AbasiShabani-lw2fd 22 дня назад

    Wanaosema hawana furaha hawana akili

  • @linusrichy6639
    @linusrichy6639 25 дней назад

    Siku mnamwalika Tena Baruani mtujuze kwenye mitandao yenu mapema

  • @danielbenard9053
    @danielbenard9053 25 дней назад

    Wewe ni mikia baruani

  • @danielbenard9053
    @danielbenard9053 25 дней назад

    Kila siku simba na yanga jamani

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 25 дней назад

    Baluwani Yani ww ni kweri mkongwe, wachambuzi mchongo wanatualibia mpira.