Je, Simba SC inahitaji muda zaidi ili kuimarika? Uchambuzi wa Baruan Muhuza
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Mtangazaji Mkongwe na Mkuu wa UFM Radio, Baruan Muhuza anaiangazia Simba Sports Club baada ya kuanza kwa msimu wa 2024 / 25 wa NBC Premier League.
Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tabora United kwenye mchezo wa kwanza wa NBCPL lakini kuna minong'ono kuwa bado ubora wa Simba SC una mashaka?
Jicho la Muhuza linaonaje?
Msikilize
Simba bado inahitajika mda sana
❤❤unaonge vzr sana mzee baba
Baruani mhuza ni mtu na nusu🔥🔥
Well commented
Aisee kaka yangu Baruani Muhuza hakika umenikosha sana. Umeongea vyema sana tena wewe unajua na unajua tena
Hongeren san hapo studio naitwa maginga merengali kutoko mara
Kabalada hongera sana nakupata Toka kagera
Dah ! Huyu barwan muhuza yuko perfectly yaan ni balaa amenikosha mpk.naumwa ! So ilike it ❤
Mashabiki wa simba msikilize baruani
Kweli inaitaji muda
Yess-
Wasikuwa na furaha hao sio simba ila sisi simba tunajua wapi tulipotoka na wapi tunaenda kwa mtu anaye jua mpira simba ni tm hatr sana
Ww mzee Simba anatawala nn
Nilimfahamu Buruhan tangu akiwa Redio Free Africa na Star TV na hata alipohamia Azam na akaanza kutangaza Mpira nikafamhamu kuwa Anatangaza jambo akiwa na ufahamu na hakika nalo. Ndo maana.kaongea kwa utaalam na uelewedi Mkubwa. Maua yako Baruhan Mhuuza
Huyu ndo anajua mpira
Wa 98.7 bushitals maswa SIMIYU. Mashabiki wa simba wapunguze presha timu inakuja kuimarika wasiwe na haraka ya matokeo matokeo yatakuja baada ya kuunganisha kwa timu furaha itarudi kwa kuwa wavumilivu.
Kaka ongea ww yan tatz Kuna watu wameanz tu kuangalia mpira juzi tu wanaongea sana
Wanaosema hawana furaha hawana akili
Siku mnamwalika Tena Baruani mtujuze kwenye mitandao yenu mapema
Wewe ni mikia baruani
Kila siku simba na yanga jamani
Baluwani Yani ww ni kweri mkongwe, wachambuzi mchongo wanatualibia mpira.