Simba SC 4-0 Fountain Gate | Highlights | NBC Premier League 25/08/2024
HTML-код
- Опубликовано: 12 сен 2024
- Simba SC imeitandika Fountain gate kichapo cha mabao 4-0 kwenye Dimba la KMC Complex, Mwenye Dar es Salaam, ukiwa ni mchezo wake wa pili wa Ligi Kuu ya NBC ....
Magoli yametoka kwa Edwin Balua, Steven Mukwala, Jean Charles Ahoua na Valentino Mashaka.....
I love Simba from kenya❤
Mimi nasimba mpaka nakufa yani naipenda Simba mimi jamn
From Rwandaa Ligi ya TZ Kali sana❤
Hii Simba ya Msimuu Huu Inakuja Moto Sanaa Ubayaaa Ubwelaaa Simbaaaaaaaa❤❤❤❤
Hii sasa ndo simba ya ubaya ubwela❤❤❤
Mungu azid kusimama na wachezaji wetu❤
I'm from Capetown city I love both in international duty I mean champions league
Ubaya ubwela Asante sana kutoka 🇷🇼
Yeah is good from Niger 🇳🇪
Good job
Hio ndy maana halisi ya ubaya ubwela... chongen maneno cc nivitendo tyuu😅❤❤🦁💪
Amna lolote subili kidooogo dawa yenu inachemka mtakunywa
Kabisa yn❤🎉
@@ramadhanimrungu5806utopolo bado hamjasema acheni shobo
mungu ibariki chama langu simba tufike mbali 🎉🎉❤❤❤
simba love forever
Hi coaches, please we need high pressing football.
Simba SC Tanzania Nguvu moja daima ❤❤
Asante mkwala niliomba Leo ufunge
❤❤❤❤ Simba hii ndiyo yawaaume
Safi sana kwa Simba hii Kuna timu itapigwa 10
Bado sana uwe uo Amna izo ndoto za mchana
Kabisa yn ubaya ubwela❤❤❤
afu azamTV tangu ligi imeanzaa picha zinazngua kinomaa au ndo hasira kwasababu timuyenu mbovu inatolewa hatua za kwanza tu kila mwakaaaa,,,, sasa tunaomba msitufanyie ivo sisi niwatanzania wafanyieni hivo wanyarwanda jaman😂😂😂😂😂😢😢😢😢
😢😢
Mechi ijayo simba tunawaomba tff tucheze bila ya kipa au tuanze upya na yanga iz point sita wazifute😂😂😂😂😂
Aweeeee ubaya ubwela tuu hii ndio simba yetu ❤️❤️❤️🤍🤍🦁🦁🦁🦁🦁💃💃💃
This is siiiiiiiiiimba ❤️🦁🇹🇿🌍
UBAYA UBWELA 🔥
Ni mwendo wa tabasamu mpk mwisho wa msimu kwa raha zetu wanasimbaa ❤❤❤❤
Bado mechi ngapi umalize msimu mpk unasema Raha sana duh hatar
This is simba
Mukwala asipokuwa shap wa kupiga atapata tabu sana kwenye kufunga,anavuta sana mpk mabeki wanawahi kuondoa hatari,anatakiwa awe shap sana kwa maamuzi
uko poa kiongozi
Ndio ni mzito sanaa
Ndio ni mzito sanaa
Iyo imeendaaah
Hii ndio simba anakuf❤❤❤unga yoyote adi goali kipa hii ndio simba sasa
Bado sanaaaa subir mkutane na wanaume
❤❤❤
@@ramadhanimrungu5806kwani hawa wanawake
I love you simba
Siku hiz quality ya videos za Azam imekuwa mbovu sana! Why?😢
Unaangalia kwenye Infinix gan watu Wa HD tunaona mpaka nyusi @azamtv
hahaha😂@@TGMediaa
Anaangalia 240p
Hujachagua ubora. Kama mtandao wako ndio unaanmua ubora wa video unazoangalia kwenye RUclips baasi mtandao uko chini.
@@TGMediaa😅😅dah
KAMA WEWE HUJAONA MPIRA TENGENEZENI TIMU NA FAMILIA YENU
Mwambie kabsaaa.
Aache wivu
Kabisa yn😂😂😂😊
Ubaya ubwela tumeaza kuwaonyesha❤❤
Saana...mpaka waseme🎉
Sana...spandex wapili wataisoma namba
Jamani azam rekebishen video zenu
Okay wana msimbazi
hakika simba niya moto xana
Hapa mjinga hajibiwi atajijibu yy mwenyewe ubayaaaa ubwelaaa 2
❤❤❤
Simba hongera nashangaa kuna watu wanasema timu imefungwa tujiulize ingekuwa vitalo ingekula ngap kwa simba hii
Fauntain Gate Goalkeeper is very short surely
Mfupi kama Diarra
❤❤❤❤❤
Goli nyingi, pass za kumwaga, pira tele
Well done lads
Simba hii ikija kukaa sawa hao wachezaji wakizoeana inavotakiwa itakua balaa zito watu maji wataita mma
Inshaa allah
Hamna kitu pasi 6 hawendi.
simba imeshinda ila bado
Ubaya Ubwela ❤️🙏👊👊👊
❤❤❤❤ hongera munyama😊
Simba yangu naimani nayo ...
Utopolo mnateseka sana
Simba SC #Nguvu moja
❤❤❤❤I love simba sport
Simba sport club 🔥✅🙌🙌
This is simba brother we ambae unasema Simba hamna kitu katengeneze timu yako mpuuz😮😮😮😮 week
Huyu ndo MVP Ahoua Tunaemtaka 🔥
❤❤❤❤❤❤ nguvu moja
Azam boresha camera
Pira la kwenda❤
Simba.🎉
Ndio Simba hii Raha sana
Wivu tu mtakufa vibaya mikundu ikiwa juu wanayanga😂😂😂😂
Wakwanza ww utakufa uku umebong'a nama kimeng'ng'nia nyuma kenge we
😂😂😂
Hii ndio simba
Simba kipindi Cha pili baada ya mabadiliko ndo angalao first eleven baada ya kagoma kuingia
Mchana kweupe❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Oya zile combination zngu ndo kidg zinanza kdg bdo io trela ubaya ubwela 🎉🎉🎉😂😂😂
Mimi na Simba damdam
Hakuna timu hapa wanakutana na vibonde subiri utaona marathon hii
Kazi nzuri
Hatr
simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
Goli la nne mpk bubu wa yanga kaongea 😂😂😂😂😂
Ndiyo hii no simba
Mmeiona hii game ndo utakavokua tarehee 19 nawale wa wakongwe 🎉🎉🎉
Simba mkaze buti bado sana
mnateseka mkiwa wapi jamani
Yaani utopolo mnateseka 😅😅😅😅
Na bado😂😂😂
Huyu NGODA huyu 🔥🔥🔥
So Quality ..unakuta setting ya quality za simu zeny ndo ndogo piaa
Najua wengi wenu mna mnanuna tumieni dawa iwaingie
Ahou vua kinyago tushakujua ww ni messi 😅
messi ya nyokoooooo mtamuota sanaaa hahahaha
😅😅😅😅😅😅
Messi mwenye mikimbio mizito ivo acheni kumfananisha messi na vitu vya kijinga jamaa
Simba nguvu mojaaa UBAYA UBWELA
Camera mmeishiwa
Huna Akili wew wivu tu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hiii ndio simbaaaa
Mbovuuuuuu
❤simba
Hata kujuta halijuti daaa kibu bana
ALHMDHULILLAH
Linafungwa gori gani hili la awaaa
Azama tv quality ya mchongo😂😂😂
Safi
Uyu barua Nia hatar sana
Ubaya ubwela 😂😂😂😂
Ubaya upwuruuuuuu😅😅😅😅😅
Utopolo wanateseka kwelikweli😂😂😂😂
Wanateseka Kwa kipi? Ni maajabu Gani ambayo wao hawaja yafanya?
Kwaa simba hiii watatukoma na bado hawajazoena wachezaji gojeni wazoeane watajuta
Hakuna kitu hapo ila tumewazoea kwa kuongea
Ww unatamba kwa timu Gani ulioifunga acha kutuongopea ww
Tutaelewana tu🔥
asanteni sana wana simba
uBWELA uBWELA tuu
Yaani raha sana inakuwa kama waliokutana jana wote hamna kitu😂
Simba nguvu mojaaaa
safiiii
Umekosea sana brother 😂 hii ndo simba ya fadru Davis
kmmmk wana simba tuanze gym msimu wa kunenepa huuu
Subilini mtakonda Sasa hv
😂😂😂kabisa yn rahaa
Wanangu sana
Nauliza fountain gate ndo singida au
Ndiyo
@@SwalehIsmail-vg7nw axante 🙏
Ndo huyo huyo
ndio