MAHAKAMA YAMUAMURU ENG. HERSI SAID KUACHIA NGAZI NAFASI YA URAIS YANGA SC/MTIKISIKO MKUBWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024

Комментарии • 293

  • @IssaOmary-r7h
    @IssaOmary-r7h Месяц назад +28

    Hawa wazeee walikua wapi mda wote huuu mbona wanatuvuruga

  • @alfredsaliga1554
    @alfredsaliga1554 Месяц назад +25

    Kwanza kabla hatujaenda mahakaman tunaomba tuwaone hao wanachama waliowapeleka mahakaman

  • @therealaitar4149
    @therealaitar4149 Месяц назад +14

    Mwenyezi Mungu ibariki young Africans na viongozi wake ila hao wazee wapeleke motoni mapema maana hawahitaji furaha za wateule wako!!

  • @TOLA92
    @TOLA92 Месяц назад +2

    Sisi ndo wenye team na mkitufanyia ujinga tutaandamana hatuutaki uongoz wowote kwa sasa zaidi ya engineer

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Месяц назад +20

    Naomba wanachama na mashabiki yanga wasinyamazie kimya hili shauri chafu la waroho wa pesa wachache waliopanga kuiangusha yanga, msikubali walikuwa wapi wakati yanga inayumba?? Kwa nini sasa wakati Injinia anaipaisha yanga???

    • @ObeyEmmanuel-lb9lc
      @ObeyEmmanuel-lb9lc Месяц назад +1

      Ivi unajua tukion sura zao wa mekwisha ivo vichawi

    • @Zaynab-ny6gr
      @Zaynab-ny6gr Месяц назад

      Wachawi hao hawana lolote na wala sio wapenzi wa yanga

    • @hamisishabani4072
      @hamisishabani4072 Месяц назад

      HAO WAZEE NI WACHAWI.WANAONYESHA NI MAMLUKI HAO WAZEE WANAONYESHA SIO WANA YANGA!! NA WANATAKIWA WASIWEPO KABISA HAPO CLUB WAO WANAOJIITA WANACHAMA TOKA UWEPO WAO WALIISAIDIA NINI YANGA? YANGA IMEPITIA VIPINDI VIGUMU,NA KAMA WAO WALIKUWEPO WALIISAIDIA NINI YANGA!! TUNAWAOMBA WASITURUDISHE NYUMA!! NA KAMA WAMETUMWA WATUELEZE WAMETUMWA NA NANI? HAWA WANAJIITA WAZEE WA YANGA,KWA MAENDELEO YANGA ILIYOYAFIKIA KWA KIPINDI HICHI KIFUPI WASITAKE KUTURUDISHA NYUMA NA KUTAKA KULETA VURUGU NDANI YA CLUB YA YANGA!! HAO WAZEE WASITUKETEE HABARI YA KATIBA YAO YA MCHONGO YA KUTAKA KUIHUJUMU CLUB YA YANGA.SISI WANA YANGA TUNAHITAJI MAENDELEO!! NA MAENDELEO YALIYOPATIKANA KWENYE HII KATIBA MPYA NDIO TUNAYOITAKA!!NA NDIO ILIYOLETA MAENDELEO!! HAWA WAZEE WA TATU WATUONYESHE UWEZO WAO WA KUENDESHA CLUB KISASA NA WATUONYESHE MIPANGO YAO YA KIUCHUMI IKOJE JUU YA KUENDESHA CLUB.YA YANGA. HAWA WAZEE WASITAKE KUIVURUGA YANGA KWA TAMAA ZAO NA UCHU WA MADARAKA WANA YANGA TUNAHITAJI MAENDELEO!! KATIBA ILIYOFELI KUTULETEA MAENDELEO HATUITAKI!! BALI TUNAITAKA KATIBA ILIYOLEYATA MANUFAA,MAFANIKIO NA MAENDELO HATA KAMA IMETUNGWA JUZI!! HAWA WAZEE TUNAWASIWASI NAO NI AINA ILE YA KIZAMANI YA KUIFUNGISHA YANGA NA KUIVURUGA PINDI WAKIWA WANAHITAJI MASILAHI YAO BINAFSI NA KUUTETEA UONGOZI AMBAO UTAKUWA UNALINDA MASILAHI YA MATUMBO YAO WAO NA FAMILIA ZAO!! SASA KWA KUWA UONGOZI ULIOPO MADARAKANI UPO KWA MASILAHI YA CLUB YA YANGA NAO WAMEGUNDULIKA NI MAMLUKI HAPAWATI MASILAHI YA MATUMBO YAO BAADA NJAA KUWAZIDI KWA KUTEGEMEA BAHASHA ZA FITINA WALIZOZIZOWEA TUKA HUKO NYUMA WAMEONA.BORA WALETE VURUGU YA KUTAKA KUIVURUGA YANGA ILI USEMEMI WA WATU WENYE ROHO YA KWANINI UTIMIE,MAANA YAKE NI BORA TUKOSE WOTE!! WATU WA AINA HII NI.HATARI SANA KWENYE KWA JAMII INAYOTAKA MAENDELEO.HAWA WAZEE KWA UJUMLA NI WATU HATARI HAWAFAI HATA KITWA WANACHAMA WA YANGA!! NI BORA HATA KUWEKEWA KIKAO NA UITISHWE MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WOTE KUWAPIGIA KURA YA KUWAONDOSHA HAWA MAMLUKI 3,NA WENZI WAO WALIOJIFICHA NYUMA YA PAZIA!! MAANA HAWA NDIO SUMU YA KUTAKA KUIRUDISHA NYUMA CLUB YA YANGA!!! HAWA WAZEE HAWAFAI HATA KUJIITA WANACHAMA WA YANGA!! YANGA SASA HIVI INAHESHIMA KUBWA BARANI AFRIKA NA NJE YA BARA LA AFRIKA KWA UONGOZI HUU WA RAIS INJINIA HERSI SAIDI NA VIONGOZI WAKE WOTE ANAOSAIDIANA NAO KATIKA IDARA MBALIMBALI ZA KULETA MAENDELEO YA CLUB YA YANGA!! WANA YANGA TULIO WENGI HATUHITAJI KUYUMBISHWA NA MAMLUKI WACHACHE WENYE CHUKI BINAFSI, UCHU WA MDARAKA KWA MASILAHI YA MATUMBO YAO NA FAMILIA ZAO.KWANZA CLUB HAIWEZI KUENDESHWA KWA MANENO NA FITINA!! NA SIKU ZITE UKIONA KITONGOJI,MTAA AU MJI HAUNA MABADILIKO YA KIMAENDELEO,NA WATU WANAOGOPA KUJENGA HATA KIBANDA CHA VYUMBA VIWILI TU CHA KISASA.TUNATAKIWA TUJUE MAHALA HAPO NA AINA HIYO KUNA CHAKA LA WACHAWI WENGI NA WANGA WENGI!! MAANA HAWA KAZI YAO KUBWA NI KJITAHIDI KUROGA WATU WANAO PENDA MAENDELEO,ILI WA HARIBIKIWE NA NDIO FURAHA YA WACHAWI NA WANGA WOTE DUNIANI!!! WALIOPITIA TAALUMA CUBA WATAKUWA WAMENIELEWA HATA KWA UCHACHE!! HAWA WAZEE 3 NA WENZI WAI NYUMA YA.PAZIA NI SUMU KWA YANGA HAWAFAI HATA KUJIITA WANACHAMA WA YANGA!!

  • @SubiraMohammed-ks6qg
    @SubiraMohammed-ks6qg Месяц назад +6

    Mchawi ndugu ila kitaumana hatuwezi kukubali njama zao

  • @mohammedsheikh654
    @mohammedsheikh654 Месяц назад +5

    Umefurahi dogo na sauti leo umetoa😊

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Месяц назад +1

    Hamuwez kushindana na sheria hata cku moja

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Месяц назад +6

    Hiyo ni njama jamani tuamke tuipanlmbanie timu yetu

  • @EverEmanuel-k1h
    @EverEmanuel-k1h Месяц назад

    HAWA WAZEE WAKOJE WANAOTAKA TEAM IHARIBIKE

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 Месяц назад +1

    Engener hersi hatoki 💪💪💪🔰🔰💚💛

  • @omarymzuri8012
    @omarymzuri8012 Месяц назад +4

    "" TUTAANDAMAANAA!! Mpaka Kwa RAIS WA TANZANIA ......

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 Месяц назад +5

    Hamna ukweli wowote hapa ni kuichafua Yanga tu hili itoke mchezoni kamwe hamtoweza tutakata rufaa

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Месяц назад

      Mtakata rufaa wakati katimuliwa kwa katiba mlioiandika wenyewe 😂😂😂😂😂

  • @ErnestMoyo
    @ErnestMoyo Месяц назад +1

    Engineer akuna kutoka wazee awawezi wakatushinda sisi kwanza awana elimu

  • @StevenMatimba
    @StevenMatimba Месяц назад +7

    Kama ndo mbinu ya kututoa mchezoni mmegonga mwamba!!!kolo mmekuja na mbinu nyingine siooooo😅😅😅

  • @user-rj3cd2lh8w
    @user-rj3cd2lh8w Месяц назад +3

    Hao sio wazee wa yanga huo ni mchongo wameshaona yanga ina mafanikio wanaanza ujinga wao tunasema patanuka zaidi ya kenya

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 Месяц назад +3

    Taarifa za mapato na matumizi ya fedha husomwa kwenye mikutano mikuu, sasa hawa wanaodai taarifa ya fedha huwa wanakuwa wapi??? Kweli duniani kuna watu na VIKARAGOSI!!!

  • @TOLA92
    @TOLA92 Месяц назад +1

    Ukifanya huo ujinga kadi zetu za uanachama tutazitia moto na tutahama team..

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Месяц назад +4

    Hao niwatu walijikusanya amepewa pesa ili injinia achie ngazi yanga iyumbe amepewa pesa hao wasenge

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 Месяц назад

      Hapa walipochokoza ni pabaya, moto utawaka kweli! Unamwongelea Injinia mtu mwenye mafanikio lukuki? Yanga kaibeba mabegani? Anatunza wachezaji wa nje kama wanao?? Hapo sasa mashabiki wataingia barabarani.

    • @allyjuma9260
      @allyjuma9260 Месяц назад

      Najiuliza hawa wazee walikuwa wapi kipindi icho haijiwezi hawa wametumwa kuja kutuyumbisha hawa wazee nazani hawajui wanalofanya swala muda

    • @Veni584
      @Veni584 Месяц назад

      Hiyo mizee imeshajichokea madishi yalishayumba kitambo

  • @AntonyNdayanse
    @AntonyNdayanse Месяц назад +1

    Heéee!. Yan binadam jaman wameona Tim yetu inaenda vizuri basi wameamua kutuvuruga mda wote walikuwa wapi?.

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Месяц назад +1

    Hicho ni kikundi Cha makolo yanga tuwe makini sana ndani na nje hiii inaashiria msimu ujao tunatakiwa tuwe makini sana sizani kama Kuna mwanayanga halisi anaweza akafanya hicho kitu naona genius wetu Mr president hens kasha Anza kupigwa vita

  • @harunayman
    @harunayman Месяц назад +7

    Hiyo mahakama ni rushwa tupu. Hatuitambui

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Месяц назад +1

      Thibitisha hiyo rushwa ya mahakama😂😂😂

    • @sadih5333
      @sadih5333 Месяц назад +1

      Shika adabu yako wewe usitukane mihimili ya Taifa

    • @ben_digital
      @ben_digital Месяц назад

      Una mwana sheria kweli?

  • @jimmypetr572
    @jimmypetr572 Месяц назад +5

    🎉hasaaaaa pamenukaaa

  • @husseinmejja8041
    @husseinmejja8041 Месяц назад +5

    Shenz kabisa tutawapiga mawe

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Месяц назад +1

    Magoma mzee wetu upo sahihi

  • @DoreenTesha-kk2kw
    @DoreenTesha-kk2kw Месяц назад +1

    Jmni raisi wetu mama samia aingilie kati uyu raisi wetu wa klabu ametuletea mafanikio makubwa sana

  • @FracioElias
    @FracioElias Месяц назад

    Haya sawa bwana

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 Месяц назад +2

    Mahakama wa ya kipuuzi tu. Hao wanachama walikuwa wapi miaka yote katiba mpya ni mwaka wa tatu sasa. Hao wanachama naamini hata kadi zao za uanachama hazijalipiwa.

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Месяц назад

    Hujuma hiii inaelekea kufelisha nchi inamaana TFF pia haijielewi Hadi Sasa na mafanikio yote haya hawayaoni hwa watu walikua wapi tangu mwanzo wa uongozi wake kweli kama ikiamriwa kweli nanamashaka na Mahakama zetu

  • @Wonderkid15-xu1mc
    @Wonderkid15-xu1mc Месяц назад

    Apan bwan iii siy saw kabisa jamn awawez kututolea injinia wetu kibabe babe ivyo jamn awo wazee uzee una wasumbua wamwach injinia wet kam alivy kisa kash tufikish mbal ndo wanaon wamtoe wamevurugwa nin watuach jamn na injinia wet

  • @MathiasKunnanga
    @MathiasKunnanga Месяц назад

    Mm ni simba ila hii sio sawa ni kurudisha nyuma michezo ya Tanzania

  • @mwambajr7679
    @mwambajr7679 Месяц назад +2

    Hao wasenge wanaotaka kuturudisha kwenye umasikin wakome mamae zao watoke wao wamuache rais wetu

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 Месяц назад

    Hivi hao wanaojiita wanachama wanajielewa, sasa iko hivi wafanye madudu yao nasi tutakaaa pembeni kwani kushabikia mpira ni lazima

  • @dentomedicalresourceslimit4602
    @dentomedicalresourceslimit4602 Месяц назад +2

    Tunakata Rufaa. Hao waliokuwa wazee wa zamani wa Yanga wakaunde Timu yao.

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Месяц назад

    Niliwai kusikia eti Yanga na Simba uwa zinapeana Ubingwa kwa kuwa ni timu za tz kwa hili naweza kuliamini bas mpe Azamu

  • @MuhidiniMatibwa
    @MuhidiniMatibwa Месяц назад +4

    Kweli wazee hao niyanga kweli au makolo

  • @berthasamwel8661
    @berthasamwel8661 Месяц назад +1

    Uchaguzi uitishwe leo waone tunavyomthamini eng. wetu

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 Месяц назад +3

    Hakimu mhukumu wa kesi asije akawa kolo...!!!

  • @ShafiiAlly-bq4gx
    @ShafiiAlly-bq4gx Месяц назад +1

    Hao wazee wamechka kuish dinian eee

  • @user-re5xb2hk4g
    @user-re5xb2hk4g Месяц назад

    Ivi hao wazeee kweri nimashabiki wa yanga au ni koro walio changamuka

  • @IddrisIsco
    @IddrisIsco Месяц назад

    Waliokwenda kuahitaki n wasenge wakutupwa.....sisi tumesharizk na pira biriani wao wanaleta ufala....n ndio maana Africa hatuendelei

  • @user-jn9ym1pz5k
    @user-jn9ym1pz5k Месяц назад

    Hatuwatambui tunataka fulaha kutokayanga anaehalibu tutaishinae wanayanga katenikadi lipeni kamamnadaiwa hawowalioenda mahakamani wachachesana wotejela watanyoka

  • @AlafaHaruna
    @AlafaHaruna Месяц назад

    Hii ni hujuma inaamua kutengenezwa na wahuni wachache et wazee sy wazee Bali hao ni wahuni Kam wahuni wengine hvyo vizee vina Kaz gan pale yanga au mchango gn timu Haina xhida viongoz hawan xhida mnakuj kutuletea xhida bila xhak najua Kuna mtu nyuma Yao amewatuma kuihujumu yanga kwa taarifa yenu mmexhindwa xhenz nyny

  • @JULIUSJASTINCHARLES
    @JULIUSJASTINCHARLES Месяц назад

    Kwani kisutu ni tff mbona kama mnanichanganja mimi nina presha oohooo

  • @EdsonDaud-rg5jk
    @EdsonDaud-rg5jk Месяц назад

    Watu hatutaki abaki yanga milele

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Месяц назад

    HUJUMU YA SIMBA KUHUJUMU YANGA IMEFANIKIWA PIYA TUNAJUWA HAKIMU LIOTOWA UWAMUZI NI MWANACHAMA WA SIMBA TUNAMJUWA VIZURI SANA HUWEZI KUTOWA UWAMUZI MAHAKAMANI WAKATI YANGA INA WANACHAMA WENGI YANGA SIO YA WAZEE YANGA NI YAWANANCHI

  • @user-he1om2lu1f
    @user-he1om2lu1f Месяц назад

    Haya yote ni makoro kushukuka kiwango mpira na sisi kama mashabiki wa mpira atukubaliani nayo na wala mahakama hiyo iliyo towa ukumu iyo hakika tutaandamana wasituletee umasikini waho katika kilabu yetu ya yanga

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py Месяц назад

    Hatoki yanga 💪💚 hayo madheee yatoke yatoke hers hatoki

  • @gerrymimi9387
    @gerrymimi9387 Месяц назад

    Hiyo si ni rahisi tu. Ita uchaguzi mpya

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s Месяц назад

    Hao wametumwa kutuharibia timu wapuuzi hao, walikuwa wapi kipindi cha shida tulizokuwa nazo. Mahakama isituingilie kwenye michezo ituache tuu.

  • @JaphetysimonMasumbuko-nh4xp
    @JaphetysimonMasumbuko-nh4xp Месяц назад

    Hao walioushitaki uongozi uliopo walikuwaga wapi kipindi young Africans ilipokuwa kwenye kiwango Cha chini

  • @user-ot3mj7nt2r
    @user-ot3mj7nt2r Месяц назад +2

    Hiyo mahakama hiyo ni yamchongo sisi ndo yanga na yanga hii ndo tunaitambua ya hao wazee hatuijui

  • @iddabdallah4340
    @iddabdallah4340 Месяц назад +1

    Sasa nyinyi wazee wachache wamchongo misitake tuwachukie wazee hote....apa vijana inabidi tuandamane wazee hote wachawi tuwapinge maana mchawi uwa apendi maaendeleo mfano hao wazee wachache awaishi bila ya fitina

  • @dickMassawe
    @dickMassawe Месяц назад +3

    Dah nimekosa cha kusema

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 Месяц назад +1

    Jinsi jambo hili lilivyokuja ni kushughulika nalo hivyo hivyo, kwa kutumia sheria hizo hizo, pamoja na kukanyaga VICHWA VYA VIKARAGOSI husika MPAKA KIELEWEKE!!! Hakuna cha Uongozi wote uliopo kutoka madarakani!!!!!

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Месяц назад

    Tuwaone hao wanachama waliomshitaki kama mlivyotuonyesha mshitakiwa wetu

  • @khatibomary4132
    @khatibomary4132 Месяц назад

    Mbona kipindi cha mavi ya uharo hamkuonekana, kuna mambo mengine yanasikitisha lakini mkutano mkuu ni muhimu na mapato na matumizi pia Muhimu lakini nawaomba hao wanachama kipindi hiki wasubiri kidogo mwataka hesabu Hesabu mjue mtaoneshwa madeni je! Mtayalipa klabu zina hasara

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni4270 Месяц назад +2

    Kwa hili hao wazee wajiandae kupoteza maisha maana kwa mandamano yatakayo tokea hawataamini

  • @PaulMallya-s9d
    @PaulMallya-s9d Месяц назад +1

    Wazee wazee njaa zinawasumbua Kuna mahali wamebanwa hivy hao wazee wanaweza kumlipa pacome tu au wametumwa

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 Месяц назад +3

    JAMANI MSISHANGAE HUU NDO UPUUZI WA SOKA LETU SASA NI ZAMU YA SIMBA SPORTS KUTAMBA HAKUNA SIKU TIMU ZETU ZITAKUJA KUWA ON 🔥🔥🔥 NI LAZIMA ZIPISHANE NI UPUUZI MKUBWA SANA SANA,, SAWA WATANI PAMBANENI WATANI WANAWATOA KWENYE RELI WANGESE HAO

  • @user-vr3hp4xs8m
    @user-vr3hp4xs8m Месяц назад

    Huu ni wivu baada yakuona yanga imesajili majembe yakuuwa watu, haya ni maneno tu hakuna chochote

  • @wakilisharaw
    @wakilisharaw Месяц назад +1

    Wanainchi iyo mahakama imetoa maamuzi kulngana na ushabiki,,,,, yani unataka kusema sisi wanainchi hatjui sheria? Hatujui katiba yetu??? Hahaha,,,, wanasheria tunao na katiba tunao na wajue mtu akili timamu, akili ya pesa GSM hawekezi kama kipofu

  • @IddyAmir-gq1jr
    @IddyAmir-gq1jr Месяц назад +2

    Hao wazee wanatafuta kufilwa, uwezo wa kumlipa hata mkude hawana

  • @ismailmutambara7770
    @ismailmutambara7770 Месяц назад +2

    Uyo hakimu atizamwe anaweza kuwa ni Makolo

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso Месяц назад

    Katiba za 1968 vs 1911 ??? Je na wanachama wote wa sasa pia hawatambuliki?
    Kama ndiyo ,wanachama wa Yanga ni hao wawili tu,au ni akina nani,na wa hadi mwaka gani?
    Pole zenu mlioshinda kesi,kwa Yanga hii ya 2024 yenye mafanikio na vikombe vyake !!! Nawaombea ulinzi 😮😮

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Месяц назад +1

    Sasa kwanini wamejikita kwenye taasisi moja tu(RITA) Je hio taasisi ina exclusivity gani kwenye usajili wa vyama? Tuanzie hapo. Je mamlaka za wilaya na mkoa, wizara, chama cha mpira cha nchi, caf na fifa vinaitambua yanga ipi?

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Месяц назад

    Mie mwana yanga sema kuna wapigaji wengi .

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Месяц назад +3

    Huu ni upumbavu ndo mana hatuendelei

  • @KipatiWazoHuru
    @KipatiWazoHuru Месяц назад

    Hakuna kutokaa hao wazee wakafie mbali na hatuwataki kwenye timu yetu

  • @SamiaMbwana
    @SamiaMbwana Месяц назад

    Hiyo mipango ya makolo wanataka kututoa kwenye reli ila watafeli tu

  • @ObeyEmmanuel-lb9lc
    @ObeyEmmanuel-lb9lc Месяц назад +2

    Tutachoma nyumba za hao wazee nyiee oooh

    • @TinaMzava
      @TinaMzava Месяц назад

      Hapa cyo keny😂

  • @NeemaValentina
    @NeemaValentina Месяц назад

    Makolo wametafta pakjitafta kutuvuruga wamegonga mwambs huu uongoz uko making wamezingatia kila kitu

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Месяц назад

      Kabisa hawataweza linaisha hili hawataamini huu uongozi upo makini

  • @MjakaAkida-fd5ck
    @MjakaAkida-fd5ck Месяц назад

    Hapo wazee wahuni wanalana niwezi tu wanataka kupiga ela waondoke wao kwani wao pia hawapendi maendeleo ya yang afrika

  • @hagaisanga7286
    @hagaisanga7286 Месяц назад

    Imeshutakiwa bidy ya wadhamini halfu unasema hersi asipotekeleza hatua zakisheria zitachukuliwa hersi nd bod??

  • @user-fy3cf1ri8m
    @user-fy3cf1ri8m Месяц назад +3

    Ila mpira wabongo sijui ukoje😮😮

    • @BenjaminChakwe
      @BenjaminChakwe Месяц назад

      Mwanzo wakuharibika kwa yanga ndo huu sasa hii ndo tz

  • @user-jk3qx3dt6c
    @user-jk3qx3dt6c Месяц назад

    Ni Serikali ipi inayoweza kuruhusu Taasisi kama Yanga kufanya, mabadiliko ya muundo na mengineyo choni ya Katiba isoyosajiliwa Wala kutambuliwa? Huyo Hakimu na Madunduka wenziwe wanatafuta faraja kabla ya vipigo vijavyo tu. Ngoja tusubiri kumjua nani amewaruhusu Yanga kufanya michakato yote hiyo kinyume na kanuni na Sheria za nchi???❤

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Месяц назад +2

    Wananchi Gen Z hawatakubali. Sheria ipo kwa ajili yetu, leta utaratibu tutasajili katiba popote

  • @DanielMarwa-q1j
    @DanielMarwa-q1j Месяц назад

    Kolo hao wote mpaka hakimu

  • @sumbaonline4002
    @sumbaonline4002 Месяц назад +3

    Wazee 😢😢

  • @gililwise
    @gililwise Месяц назад

    Hao wazee wafe tu hatutaki kuwaona

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Месяц назад

    Juma magoma akaongoze familia yao mpuuzi hiyo

  • @user-xt3rn8js7t
    @user-xt3rn8js7t Месяц назад

    Injinia haendi kokote wakatafute sehem ya kula sio hapo hao wazee waliofanya hvo walaaniwe kabisa MUNGU Fanya kazi yako tumekuachia

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani Месяц назад

    Mtatutafutiya kila uwaduwi ila ninachojuwa sisi yanga wazee wote wamembariki injiniya raisi wetu mwenye mafanikiyo tuleteeni hao wazee wenu mliyo watuma tuwatambuwe kumamazao vibaraka wakubwa

  • @user-vh8kx5bu9p
    @user-vh8kx5bu9p Месяц назад

    Inauma eeeh

  • @user-vt4og9zl2o
    @user-vt4og9zl2o Месяц назад

    Lakini kumbukeni Hawa wanachama Hawa sijui wao wanawaza Nini na pia hata wanasheria wetu inabidi wajue katiba zote na kumbuka katiba ya TFF inasema timu zote ambazo ni member wa TFF na CAF mambo yote ya vilabu hivyo yanatakiwa kutatuliwa katika ngazi ya TFF na sio mahakama za nchi hivyo basi hata Hakimu huyo anamakosa

  • @zainabuhussein
    @zainabuhussein Месяц назад

    Aiseee m naogopa mwenzenu akiondoka rais yanga imeisha hata cjui itakuwaje nmekosa aman asubuhi tu yan 😭😭 kwan wao hawapendi kuona yanga inamafanikio c wangeacha tu jmn au hawatak kuona yanga inafika mbali😢

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Месяц назад

      Usihofu kila kitu kitakaa sawa hawatawez kuiboboa

  • @mikashumbi2183
    @mikashumbi2183 Месяц назад

    Mpenja unakurupuka tu kupotosha uma hicho unasema sio kweli. Ukweli ni kwamba hao wazee walikuwa wanapinga katiba ambayo kwa madai yao imewabagua wanachama kwamba katika mkutano mkuu wanaotakiwa kuingia na kupiga kura ni wawakilishi wa matawi na sio wanachama wote. Na ilikuwa ni kipindi cha uongozi wa mshindo msola sio uongozi huo sasa. Na walioshitakiwa ni balaza la wadhamini wakati huo alikuwa mama karume na wakina Francis kifukwe na ukumu imekuja kutoka mwaka jana mwezi wa nane. Sasa kwanini unachukua habari bila kufanya uchunguzi na unaleta kwa uma habari ambayo haujui ukweli wake? Ujui kwamba unaleta taharuki kwa watu au ndio mnalipwa ili tu mchafue hali ya hewa tumeshawajua msituharibie timu yetu sisi huko tumeshavuka tumewaacha mbali sana endeleeni kutumika

  • @BekaBiz
    @BekaBiz Месяц назад

    Hao walioenda mahakamani hawana akili na tunapaswa kuwaita mamluki kwanza hao wanachama walikuwa wapi ktk harakati zote zilizo fanyika wakati viongozi hao wanachaguliwa kwa mujibu ya hiyo katiba ndio tujue kwamba tuna mashaka na uanachama wao.

  • @NasibAbdul-m3y
    @NasibAbdul-m3y Месяц назад

    Mimi nasema hatoki mtu kama mnabisha piteni mbere au reten mkono

  • @saidyussuf-my8ew
    @saidyussuf-my8ew Месяц назад

    Nani kaenda mahakamani kushtaki uwongozi wa yana

  • @user-bn6iz2ve1n
    @user-bn6iz2ve1n Месяц назад

    Hao wazee waje niwaowe mke mdogo na mkubwa tutaandamana tutauana huu usenge kabsa

  • @nelsonngowi3950
    @nelsonngowi3950 Месяц назад

    Huyo hakimu ni Simba

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 Месяц назад

    Imeisha hiyo mahakama imeamua kisheria... Sasa nyuma mwiko..hersi anasepa na akina Aziz wake..chama kimenuka... hapo..patamu dadeki 😂❤

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 Месяц назад

    Wachawi wakubwa hao tuachie timu yaooo naenda Azam

  • @SadickHusein
    @SadickHusein Месяц назад

    Vijana yanga mmeikuta sasa mnaumia nn fatilien historia

  • @sultanamry7505
    @sultanamry7505 Месяц назад +3

    Bola tubomoe mahakama

  • @AbuuBinally
    @AbuuBinally Месяц назад

    Nawaona hao wazee wakitangulia akhear mapema kabla ya liigi kuaza tutanza nao

  • @user-iv3gk1vo3y
    @user-iv3gk1vo3y Месяц назад +2

    Churaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 Месяц назад

    Nch pekee inayo amin maneno kwenye ujinga tu

  • @user-bi1pw9hp8x
    @user-bi1pw9hp8x Месяц назад

    Hatokimtu