ENG. HERSI AFUNGUKA MAZITO"SUALA LA UWANJA MPYA WA YANGA| NAFASI YA KUGOMBEA UBUNGE".

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 апр 2024
  • CATCH US LIVE, BONGO FM 📻
    90.0 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 89.7 DODOMA 📻 | 89.9 ARUSHA 📻 | 104.9 MBEYA 📻 | 90.0 MWANZA 📻 | SHINYANGA 89.9 📻 | KIGOMA 89.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: bongo_fmtz
    TWITTER: https: BONGO FM
    FACEBOOK: BONGO FM
    #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #micheZo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumonukuu
    #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbatv #diamond #yangasc #wcb #singidafountaingate #kondegang #wcb #yangatv #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbasc #live #simbatv #diamond #diamond #yangatv #yangasc #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #simbatv #diamond #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang
  • СпортСпорт

Комментарии • 62

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 26 дней назад +10

    Kama unakubali huyu MWAMBA anaweza hata kuwa Waziri wa Michezo hapa nchini,,,Gonga like Yako hapa sawa!!!

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 27 дней назад +6

    Tuna lmani sana na RAIS WETU kijana Kuliko vilabu vyote Africa WANAINCHI TUPO NYUMA YAKO mungu akupe afya njema na maisha marefu 💚💛💚💛💚💛💚

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 27 дней назад +4

    Eng. Hersi unaonekana hata ulivyokuwa shule darasani ulikuwa kichwa sana, yaani ni mpole, umetulia, unachagua maneno ya kuongea, una hekima, sio mtu wa kupayuka ovyo na kuendeshwa na hisia zako (emotions) , na ni mtu wa kuona mbali na kujiamini sana na unaejua unachokifanya na kukisimamia hadi mwisho, umtii na heshima kwa watu, hakika wewe ni kiongozi bora sana - keep it up utafika mbali sana kijana !

  • @Sparosmilebae
    @Sparosmilebae 19 дней назад +1

    Mungu awabariki wote

  • @user-ji7vu5yf8q
    @user-ji7vu5yf8q 21 день назад +1

    Dah! ENG. HERSI nakufananisha N mfalme Sulekman aliyemwkmba Mungu amjalie hekima kuliko Mali kwani 'Hekima ni chanzo cha maarifa" Almighty God bless your future plans for the Young African Sc. Skills growth and development.

  • @singosalim1011
    @singosalim1011 26 дней назад +2

    Eng hongera Sana kwa kuiongoza vizuri team yetu

  • @abasssuleiman6149
    @abasssuleiman6149 26 дней назад +1

    The guy is real nice, knowlagble, na ameifokosha mbali.Yanga
    Mungu akufanyie wepesi kwenye kila.khatua

  • @mujibushamba4383
    @mujibushamba4383 27 дней назад +5

    Mungu amekupa hekima na elimu ya Hali ya juu saanaaa perzdaaaa wa ukweeliii

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 26 дней назад +2

    Our president is Handsome..Smart and intelligent we Love you soo Much as Wananchi

  • @richardfue8920
    @richardfue8920 21 день назад +1

    Mungu akubariki kwa kz nzur unazo zifanya mwahuu tena unatupa ubigwa

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 26 дней назад +1

    Kilalakheir kiongozi wetu M/Mungu akuweke kwenye uongozi wa Yanga

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce 26 дней назад +1

    Salute Sir ❤️♥️

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 26 дней назад +1

    Engineer Rais yanga forever mpaka achoke mwenyewe

  • @YuzoBoy-ld7eh
    @YuzoBoy-ld7eh 27 дней назад +3

    Hao wanaomuombea awe m bunge sipendi wanatutia gundu timu yetu Ili tuteseke.mm Dua zang abaki yanga mpka kufa

  • @user-xn2ny9yt5l
    @user-xn2ny9yt5l 27 дней назад +1

    🎉mungu akufanyie wepesi kwakila Jambo 🎉🎉🎉

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 27 дней назад +1

    Tunakuombea baba kwa Mwenyez Mungu uwe na maisha marefu

  • @ashikalojr6961
    @ashikalojr6961 26 дней назад +1

    Congratulations president 💚

  • @jumasuleymani
    @jumasuleymani 27 дней назад +4

    Wewe ndio kiongozi bora kwetu wana Yanga

  • @rajabvuaimussa7049
    @rajabvuaimussa7049 26 дней назад

    ENG HERIS mie nahisi acha MAMA amalize mihula yake then tukuachie TANZANIA utuongoze , wewe ndo unatufanya wana YANGA leo hii tuna vimba mitaani, Mungu akufanyie wepesi ktk safari yako ya utendani na akujaalie ufike mbali zaidi ya hapo ulipo DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.

  • @ShaphyJamaly
    @ShaphyJamaly 27 дней назад +2

    ❤❤❤ mwananchiiiii

  • @DorikasiSylivesta
    @DorikasiSylivesta 26 дней назад

    Mungu atatuwezesha

  • @IbrahimHassan-ex7sn
    @IbrahimHassan-ex7sn 24 дня назад

    Raisi wetu wa boli tunakukubali sana presda wetu wana jangwani tunakupenda mnooooo

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 27 дней назад

    Big up my Presida

  • @deogratiusmaganga1563
    @deogratiusmaganga1563 27 дней назад

    Mm mwenyewe,nakuombea uendelee kubaki Yanga.lakini mapenzi ya MUNGU yatimizwe.

  • @happyyusuph9981
    @happyyusuph9981 27 дней назад

    Hongera sana kiongozi watu tunakutegemea rais wa mfano

  • @muktarifikiri
    @muktarifikiri 27 дней назад

    daaaah kak abduli hafali fund nmefrh san kukuskia nam shule yangu imetoka wa2 braz hongra san muktar apa

  • @SaidiShabani-cz6pj
    @SaidiShabani-cz6pj 27 дней назад +1

    Rais mama samia kijana anakufaa sana kwenye kwy utawala wako

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni4270 27 дней назад +13

    Hilo la kubaki yanga sijui kama Kuna mwana yanga anatamani wewe rais na safi yako yote Hadi wapiga picha muondoke akitokea mtu wa aina hiyo tutamshangaa sana

    • @ramadhanabdul2297
      @ramadhanabdul2297 27 дней назад

      Pumbavu sana wewe makoro mkubwa

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 27 дней назад

      ​@@ramadhanabdul2297nadhani hujamuelewa! Rudia kusoma Kwa utaratibu

    • @FirdausyAbubakary-bl2wo
      @FirdausyAbubakary-bl2wo 26 дней назад

      ​@@ramadhanabdul2297Mbn kamaanisha vizury tyuu sema weyee ndo hujamuelewa

    • @atikombogolo2356
      @atikombogolo2356 26 дней назад

      Hujamuelewa kaongea kuwa hadhani kama kuna mtu atataka aondoke Yanga kuanzia yeye hadi wapiga picha wa Yanga....Ndio maana kamalizia nakusema kuwa tutamshangaa sanaI​@@ramadhanabdul2297

  • @jumongjr5837
    @jumongjr5837 27 дней назад +2

    Kwanza ww inabidi uwe Raisi wa Tz.......

  • @amosmungure306
    @amosmungure306 8 дней назад

    Pongezi nyingi kwako rais

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 27 дней назад

    Hersi na Gsm kwa ujumla wenu tunaomba muendelee, haya mafanikio ya Yanga yametokana na jitihada zenu, tunaamini Mtachukua ubingwa wa Afrika, Mungu awalinde.

  • @SomoeJuma
    @SomoeJuma 27 дней назад

  • @mauridcharles
    @mauridcharles 26 дней назад

    Uyu ni rais kweli yanga ajawai tokea Toka yanga izaliwe

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 27 дней назад +2

    Vp kuhusu uwanja wa Dodoma , uwanja uliotiwa saini na aliyekuwa rais magufuli na mfalume wa Morocco

  • @MuddyDotto
    @MuddyDotto 26 дней назад

    Uyu jamaa anajua kujielezea sana

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 27 дней назад

    Natamani uongoze maisha

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 23 дня назад

    Niliwambia huyu jamaa nyota kali sana na hapo anatafutiwa angle atapewa wizara huyo mi nakwambia mtu kwelikweli huyo na namwona mbaali sana sio Wizara tuu.

  • @SistyAthanasy-martin
    @SistyAthanasy-martin 27 дней назад

    Hahahahaaa😂😂 make hapo kwanza nicheke.
    Hayo ni maneno ya mdomoni 2 fanyeni vitendo tuone mtatoboa

  • @ramadhanikambalame5185
    @ramadhanikambalame5185 27 дней назад

    Jemedari saidi,, unalakuongea juu ya huyu kijana?? Eng hersi

  • @SamadariElisha
    @SamadariElisha 27 дней назад

    Binafisi huyu ndiye rais wangu erewa neno rais wangu

  • @abdallahkaggy1452
    @abdallahkaggy1452 27 дней назад

    YANGA IS BIG NATION
    SUBSCRIBERS WAMEONGEZEKAA FROM 10.01 K to 11.2K ❤❤❤

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 27 дней назад +3

    Shukurani kwa renovations za viwanja na viwanja vipya. Ni aibu kuona kiwanja kama CCM Kirumba, kimefumbiwa macho. Sijui kama ni suala la kisiasa au vipi.

  • @deogratiusmaganga1563
    @deogratiusmaganga1563 27 дней назад

    Ninakuombea sana baadaye uje kuwa Raisi wa Ttanzania

  • @HafashyOmmy
    @HafashyOmmy 27 дней назад

    Katika kitu ambacho sifikiri ni rais wa yanga kuondoka yanga yanga ipo hapo kwasababu yake yeye na g,s,m hiyo ndo sababu ya wanayanga kumpenda na kumthamini hiyi nizaidi ya zawadi Tanzania tunakupenda sana rais wetu

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 26 дней назад

    kuna kitu sijaelewa ,,,huyu mwanamke anamuuliza Hersi kuwa mama samia amewaahidi yanga uwanja,,,rais amewaahid yanga uwanja???? lini

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 27 дней назад

    Haki iko siku huyu Hersi atakuwa Rais wa FIFA

  • @emanuelyngoi4440
    @emanuelyngoi4440 27 дней назад +2

    Safi Engineer ❤ Yanga mbele 🎉.

  • @majidsalum64
    @majidsalum64 27 дней назад

    Yaan mtu akifanya vzuri tu. Chao anaingiziwa kwenye siasa hii imekaaje ndg zangu. Mbona wenzetu mbele mbele hakuna hii kitu au wale huwa wanakataga?

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 27 дней назад

    Mungu akujalie maisha malefu uwe kiongzi yanga

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 27 дней назад

    Porojo nyingi

  • @SaidOmar-sd2yo
    @SaidOmar-sd2yo 27 дней назад

    naona hilo jina BAOLA ASBUH MNGETAFUTA JENGNE BWANAA

    • @AbshirMubaarack
      @AbshirMubaarack 26 дней назад

      Kwl kbs,maan hawa kizazi cha sasa "Mmh watafkiria" lile bao la kiutuuzima 😂😂😂

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 27 дней назад +1

    Wewe mwisho ni rais wa nchi hatolala mtu na njaa kulala njaa kutaka kwako

  • @husseinchalamila2624
    @husseinchalamila2624 27 дней назад

    Daar huyu jamaa ni jinis aisee katika watu wanaaaakili nilio wahi kuwaona huyu jamaa ni mwisho ukisema uangalie pande huezi muelewa lakini uyu jamaa anatisha