ENG. HERSI AFUNGUKA MAZITO"SUALA LA UWANJA MPYA WA YANGA| NAFASI YA KUGOMBEA UBUNGE".
HTML-код
- Опубликовано: 28 апр 2024
- CATCH US LIVE, BONGO FM 📻
90.0 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 89.7 DODOMA 📻 | 89.9 ARUSHA 📻 | 104.9 MBEYA 📻 | 90.0 MWANZA 📻 | SHINYANGA 89.9 📻 | KIGOMA 89.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: bongo_fmtz
TWITTER: https: BONGO FM
FACEBOOK: BONGO FM
#rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #micheZo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumonukuu
#kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbatv #diamond #yangasc #wcb #singidafountaingate #kondegang #wcb #yangatv #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbasc #live #simbatv #diamond #diamond #yangatv #yangasc #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #simbatv #diamond #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang - Спорт
Kama unakubali huyu MWAMBA anaweza hata kuwa Waziri wa Michezo hapa nchini,,,Gonga like Yako hapa sawa!!!
Tuna lmani sana na RAIS WETU kijana Kuliko vilabu vyote Africa WANAINCHI TUPO NYUMA YAKO mungu akupe afya njema na maisha marefu 💚💛💚💛💚💛💚
Eng. Hersi unaonekana hata ulivyokuwa shule darasani ulikuwa kichwa sana, yaani ni mpole, umetulia, unachagua maneno ya kuongea, una hekima, sio mtu wa kupayuka ovyo na kuendeshwa na hisia zako (emotions) , na ni mtu wa kuona mbali na kujiamini sana na unaejua unachokifanya na kukisimamia hadi mwisho, umtii na heshima kwa watu, hakika wewe ni kiongozi bora sana - keep it up utafika mbali sana kijana !
Mungu awabariki wote
Dah! ENG. HERSI nakufananisha N mfalme Sulekman aliyemwkmba Mungu amjalie hekima kuliko Mali kwani 'Hekima ni chanzo cha maarifa" Almighty God bless your future plans for the Young African Sc. Skills growth and development.
Eng hongera Sana kwa kuiongoza vizuri team yetu
The guy is real nice, knowlagble, na ameifokosha mbali.Yanga
Mungu akufanyie wepesi kwenye kila.khatua
Mungu amekupa hekima na elimu ya Hali ya juu saanaaa perzdaaaa wa ukweeliii
Our president is Handsome..Smart and intelligent we Love you soo Much as Wananchi
Mungu akubariki kwa kz nzur unazo zifanya mwahuu tena unatupa ubigwa
Kilalakheir kiongozi wetu M/Mungu akuweke kwenye uongozi wa Yanga
Salute Sir ❤️♥️
Engineer Rais yanga forever mpaka achoke mwenyewe
Hao wanaomuombea awe m bunge sipendi wanatutia gundu timu yetu Ili tuteseke.mm Dua zang abaki yanga mpka kufa
🎉mungu akufanyie wepesi kwakila Jambo 🎉🎉🎉
Tunakuombea baba kwa Mwenyez Mungu uwe na maisha marefu
Congratulations president 💚
Wewe ndio kiongozi bora kwetu wana Yanga
ENG HERIS mie nahisi acha MAMA amalize mihula yake then tukuachie TANZANIA utuongoze , wewe ndo unatufanya wana YANGA leo hii tuna vimba mitaani, Mungu akufanyie wepesi ktk safari yako ya utendani na akujaalie ufike mbali zaidi ya hapo ulipo DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
❤❤❤ mwananchiiiii
Mungu atatuwezesha
Raisi wetu wa boli tunakukubali sana presda wetu wana jangwani tunakupenda mnooooo
Big up my Presida
Mm mwenyewe,nakuombea uendelee kubaki Yanga.lakini mapenzi ya MUNGU yatimizwe.
Hongera sana kiongozi watu tunakutegemea rais wa mfano
daaaah kak abduli hafali fund nmefrh san kukuskia nam shule yangu imetoka wa2 braz hongra san muktar apa
Rais mama samia kijana anakufaa sana kwenye kwy utawala wako
Hilo la kubaki yanga sijui kama Kuna mwana yanga anatamani wewe rais na safi yako yote Hadi wapiga picha muondoke akitokea mtu wa aina hiyo tutamshangaa sana
Pumbavu sana wewe makoro mkubwa
@@ramadhanabdul2297nadhani hujamuelewa! Rudia kusoma Kwa utaratibu
@@ramadhanabdul2297Mbn kamaanisha vizury tyuu sema weyee ndo hujamuelewa
Hujamuelewa kaongea kuwa hadhani kama kuna mtu atataka aondoke Yanga kuanzia yeye hadi wapiga picha wa Yanga....Ndio maana kamalizia nakusema kuwa tutamshangaa sanaI@@ramadhanabdul2297
Kwanza ww inabidi uwe Raisi wa Tz.......
Pongezi nyingi kwako rais
Hersi na Gsm kwa ujumla wenu tunaomba muendelee, haya mafanikio ya Yanga yametokana na jitihada zenu, tunaamini Mtachukua ubingwa wa Afrika, Mungu awalinde.
❤
Uyu ni rais kweli yanga ajawai tokea Toka yanga izaliwe
Vp kuhusu uwanja wa Dodoma , uwanja uliotiwa saini na aliyekuwa rais magufuli na mfalume wa Morocco
Uyu jamaa anajua kujielezea sana
Natamani uongoze maisha
Niliwambia huyu jamaa nyota kali sana na hapo anatafutiwa angle atapewa wizara huyo mi nakwambia mtu kwelikweli huyo na namwona mbaali sana sio Wizara tuu.
Hahahahaaa😂😂 make hapo kwanza nicheke.
Hayo ni maneno ya mdomoni 2 fanyeni vitendo tuone mtatoboa
Jemedari saidi,, unalakuongea juu ya huyu kijana?? Eng hersi
Binafisi huyu ndiye rais wangu erewa neno rais wangu
YANGA IS BIG NATION
SUBSCRIBERS WAMEONGEZEKAA FROM 10.01 K to 11.2K ❤❤❤
Shukurani kwa renovations za viwanja na viwanja vipya. Ni aibu kuona kiwanja kama CCM Kirumba, kimefumbiwa macho. Sijui kama ni suala la kisiasa au vipi.
Ninakuombea sana baadaye uje kuwa Raisi wa Ttanzania
Katika kitu ambacho sifikiri ni rais wa yanga kuondoka yanga yanga ipo hapo kwasababu yake yeye na g,s,m hiyo ndo sababu ya wanayanga kumpenda na kumthamini hiyi nizaidi ya zawadi Tanzania tunakupenda sana rais wetu
kuna kitu sijaelewa ,,,huyu mwanamke anamuuliza Hersi kuwa mama samia amewaahidi yanga uwanja,,,rais amewaahid yanga uwanja???? lini
Haki iko siku huyu Hersi atakuwa Rais wa FIFA
Safi Engineer ❤ Yanga mbele 🎉.
Yaan mtu akifanya vzuri tu. Chao anaingiziwa kwenye siasa hii imekaaje ndg zangu. Mbona wenzetu mbele mbele hakuna hii kitu au wale huwa wanakataga?
Mungu akujalie maisha malefu uwe kiongzi yanga
Porojo nyingi
Pole sana
naona hilo jina BAOLA ASBUH MNGETAFUTA JENGNE BWANAA
Kwl kbs,maan hawa kizazi cha sasa "Mmh watafkiria" lile bao la kiutuuzima 😂😂😂
Wewe mwisho ni rais wa nchi hatolala mtu na njaa kulala njaa kutaka kwako
Hahaaa😂😂 nzuri Sana hii
Daar huyu jamaa ni jinis aisee katika watu wanaaaakili nilio wahi kuwaona huyu jamaa ni mwisho ukisema uangalie pande huezi muelewa lakini uyu jamaa anatisha
Great thinker