Hiyo starting sio nzuri bhana msiwe mnaiweka mtu unasubilia mpk unachoka ukiwa na haraka huwez subil mpk dakika mbili zifike ndo uangalie ko hiyo ya kucount ndo uangalie wastage of timee liondoeni bhana
Yanga team yangu naipenda mpaka kufa nawaombea mupate matokeo jpili msiwe bize sana na comedy wanayanga tunataka ushindi punguzeni show off daima mbele nyuma mwiko kira hatua Dua
Hahahhhaa Azizi anapenda wimbo wa Yanga 💚💛💚💛😋😋😋 halaf Kennedy anauliza jina lake liko wapii anahitaji Remix ya wimbo haraka sana ili nayeye jina lake liwepo 😂😂😂😂👍👍
Wanayanga tunaraha Sana jamn makolo wanaumiaje🤪 mi nawapend Hawa wakak hasa huyu mpy huyu jamn ni HB🤣huwa namuangalia san kwenye mech nakupend San musonda❤️😍🙈 Ila nahitaj uwezo wako jamn tunataka magoli ili tuwanyamazishe madunduka🙈 mungu akubarik ufunge magoli mengi 7b unainjoi kuwa na wananchiiiii🔥💚💛
Naipenda Yanga 🔰🔰💛💛💚💚kuliko timu yoyote km unaipenda Yanga dondosha likes yako hapa💚💛🔰
Wewe Mysara
Nimependa kingeleza chako mysara🤣🤣🤣🤣🤣🤣
UMBWA WEWE😂😂🤣 .......... BT WE NI MZURII ETY😍🥰😘❤
@@abdaetwelve12 Niaje🤪
@@ommyking3656 😜😜
YANGA AMESHAFUZU NIPENI LIKES ZANGU
InshaAllah Aaamiin Aaamiin thumma Aaamiin 🤲🤲🤲
𝑫𝒖𝒂 𝒚𝒂𝒌𝒐 𝒊𝒘𝒆 𝒚𝒂 𝒉𝒆𝒓𝒊
FUZU YA NYOKOOO
@@menad255 na kesho unakufa 3
@@hansonjosephat8344 VISIT TANZANIA HAIJAWAI KUCHAFULIWA NA WEHU 😂😂
Nimependa hapo Musonda aliposema hawezi kusafiri bila kuwa na BIBLE hii ni nzuri sana 🙌
Nmekuwa wa kwanza naomba likes zangu
Waliyemleta Abdulaziz Kipanduka waliona mbal sana sasaiv Yanga imechangamka kwenye kila idara. Mungu wabariki wadau wa Yanga ulimwengun kote
Muhusika mkuu ni Ally kamwe kwaiyo Ally kamwe pia apewe pongezi
Vijana wote kwenye idara ya habari Big Up wanafanya kazi nzuri
Mtapigwa mpaka mchanganyikiwe
Hiii Ni Yanga Ya Tanzania inayoishii Maishaa Flanii iv kama Mbelee 💚💛👏👌👌
Yes musonda hapo ndo nakupenda bible is everything 🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏
Mm Islamic ila Kennedy umenifunza kitu 🙏💛💚tunashinda mmoja
Nmeota tumefunga goli moja kwa ziro inshalillah ndoto yangu itimie🤲🤲🙏
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mungu atatushindia TU aliye tenda kwa wengne hata kwetu atatenda
Wana Yanga tufanye maombi sana usiku huu.
Hata mm Leo asubh
Wew utakuwa umekimbia milembe kwakweli 😂😂😂😂 ebu tuache kwanza
Azizi anaipenda nyimbo ya yanga
Nyimbo yanan kwali ulkua inapgwa
Japo haelewi lkn anaipenda hivyo hivyo
I like the fact that the first thing Musonda carry in his trips is the bibble.... May God be with him and with the whole team......
God bless Yanga
Natamani ningekuwa hapo kati,,, all the best my team 🙏🙏🙏🔰
Kumbe Kennedy ameoa na amsemi😔nampenda tu hivohvo💌💕😁
Grace Toka pepo 🤣🤣🤣tuachie mchezaji wetu wabongo watu wabaya 🤣🤣🤣👏
Pepo la kumtaka mchezaji wetu likutoke🤣🤣🤣🤣🤣
@@dainangei6608 niachie my wangu jaman🤣🤣😅
@@siraibrahim2925 hahaaa Tena nampenda yeye na familia yake💕💕😂
😂😂😂
Napenda Sana kuona timu yangu pendwa Yanga Africa ikiwa na furaha Kama ivi pia wachezaj wakiwa nafuraha Kama iv
When Musonda said "THIS IS MY WEAPON" I felt that. His accent is also top notch. Very humble and relatable as well.
Wallah yanga sasa imekua na level za kimataifa
Maamaaaa hiyo perfume ya Dior hapo anayotumia Aziz Ki thamani yake ni mshahara wa Kibu na Phiri 😂
umesema kweli kabisa mwamba halafu kwanini hawajakudondoshea likes za kutosha wananchi dondosha likes hapa kwa coment hii ya Elina Gideon
@@masumbukomaganga438 liko wazi na huo ndio ukweli 👏
@@masumbukomaganga438 Asante kaka 🙏
Haha haha ha
😂😂😂
Musonda ana enjoy km yupo Madrid vile
Nilikua nisha miss yanga tv hakika nakushkru aliwantani kwa kazi nzuri usikawihi kutrush vidéo kweny yanga tv
Yanga media you are doing a lot. Congratulations, and keep it up
Tanzania 🇹🇿 tuna haki kabisa ligi Yetu kushika nafac ya Tano kutokana na ubora na mazingira ya vilabu vyetu hongera YANGA Africa
When Musonda said "Because we want to conquer Africa" I felt it....this is huge bro......💪💪💪
This boys are doing well.... very good for de team we have to Conquer Africa...
May God equipped you @@lumistarboy8499
All the best my team pigeni hao waarabu goal nyingi
Musonda Mungu ndo Kila kitu Hongera kwake🥰🥰💚💛💚
Musondaa ni mlokolee naonaa
Nimependa kwa msonda biblia kwake ndo siraha 👌
Mungu afanye wepesi inshallh
Yanga wana mtangazaji mahiri sana ,tangu yupo mpenja tv uyu dogo alikua anafanya vizuri sana.
Mmetisha wananchi 💪💪❤❤
Hiyo starting sio nzuri bhana msiwe mnaiweka mtu unasubilia mpk unachoka ukiwa na haraka huwez subil mpk dakika mbili zifike ndo uangalie ko hiyo ya kucount ndo uangalie wastage of timee liondoeni bhana
Kivip unawapangia watu kaz zao
Yanga tamu nyinyi 💪💪💪💚💚💚💚💚💚💚
Musonda & Aziz ki 💚💚
Yanga team yangu naipenda mpaka kufa nawaombea mupate matokeo jpili msiwe bize sana na comedy wanayanga tunataka ushindi punguzeni show off daima mbele nyuma mwiko kira hatua Dua
This is Young Africans, am very excited with this team
Kitengo cha digital cha yanga kipewe heshima yake
Musonda; put God first
Yanga n Raha jmn cyo Siri 💛💚
With God everthing is possible🙏🙏
Simba fan, but in love with Kennedy from today...Bible or Qur'an must lead our life. Amen, insha'Allah
Mnaenda kuwa master wa dunia ored win
Mungu atusimamie tupate ushindi mnono
Mimi ni yanga
Hizo perfume za Aziz 🙌🙌
🙏💛💚💛basi kunawatu wamenuna
Nimempenda munda kusafili nabibilia pia nimempenda aziziki ni mwanaume simati napenda sana usafi
Cpati picha chumba cha Job na Kibwana 😂😂😂
Hzo shalis zakutosha haha
Yess mwanangu Msonda Bible is weapon to every thing, keep on praying you will succeed in peace in the every match inshaallah
Eeh mungu iongoze team yetu iweze kurudi na ushindi kama unaamin mungu atajibu maombi yetu gonga like hapo
I'm so impressed with this interview...Good lucky men
Kila lakher ITimu pendwa tunategemea furaha itapatika IN SHAA ALLAH 💛💚💛💚
Wow guyz @ Zizki and @Musonda
Hahahhhaa Azizi anapenda wimbo wa Yanga 💚💛💚💛😋😋😋 halaf Kennedy anauliza jina lake liko wapii anahitaji Remix ya wimbo haraka sana ili nayeye jina lake liwepo 😂😂😂😂👍👍
Kazi nzuri vijana wangu mnafanya hongereni alwatan pamoja na ali kamwe
My team god bless young Africans sc
Azizi is matatizo 😂😂pendeza Sana ila tunawaamini Sana wapambanaji wetu hakika Tutaondoka na points zetu huko Kwa uwezo wake Mungu
Jamani uchawi asingerogwa kijana wetu fei angekuwa hku na wenzake anakula bata
Wanayanga tunaraha Sana jamn makolo wanaumiaje🤪 mi nawapend Hawa wakak hasa huyu mpy huyu jamn ni HB🤣huwa namuangalia san kwenye mech nakupend San musonda❤️😍🙈 Ila nahitaj uwezo wako jamn tunataka magoli ili tuwanyamazishe madunduka🙈 mungu akubarik ufunge magoli mengi 7b unainjoi kuwa na wananchiiiii🔥💚💛
Safi sanaaa hongeren vijana Musonda hutembei bila Biblia 🙏🙏 Barikiwa sana MUNGU Kwanza
Nawapendaa sana jamanii nyie wa2 mna2patia furaha sanaasanaaaa cc Wananchiii 💛💚💛💚💛💚🙏
Haya mambo yanapatikana kwa waasisi wa kandanda Tanzania tu basi, Wananchi tunapata fursa ya kuwajua wanachezaji wetu vyema.
❤❤ nomàaaaa!!!!
Safi sana kijana. Good content
Nawapenda sana💛🔰💚 azizi ivyo viatu uje navyo dar usije ukavisahau huko😂
Aziz qna vitu vipendwavyo na wanwake atavamiwa tz huyo na warembo hahahaa ametisha sana
Daima mbele nyuma mwiko
MaashaaA LLAH
My best team Mungu wasaidie wacheze washinde
Song of kennedy musonda plzzz🙏🙏
Hawa jamaa wana mambo musonda is matatzo hahaha
Yanga raha San
Watu kufika Dubai tu imekuwa wimbo, sasa kila kitu utasikia pira dubai, cheki watu wanakula Life, hawa ndio wananchiii.
My yangaaa
Kiukweli uongoz umefanya kila kitu kilichobaki wachezaji kujitoa na kutupa matokeo uwanjan
Kila la kheri insha allah
⚽⚽⚽⚽⚽
😂😂 musonda kachukua nafasi ya morisson kwa Aziz
Hiyo nayo nikweli 🤣🤣🤣🤣
Right
Le Nom de parf😊
Wananchiiiiiiiiiiiii 💛💚💪
Team yangu pendwa
MUNGU awatangulie
I like it your weapon musonda
Good football life young African sports club oyeeeee.
Mbn ipo kwenye trending
Hahahaha am very very happy to see our plys i hope we will win our game there tunusi
Yanga raha
Wachezaj wana morale,,no stress yanga n kubwa sanaaa
Nice
I love this guys💚💚
Nataman next video niwaone wanang kibwana na job majamaa wananifuraishaga
Kazi mzuri sana 👏👏👏👏👏
YANGA ni moja tu🔥🔥🔥
Unyama sana 🙏🙏💚💛
In Sha Allah kila la kher kwenu
Aziz anashinda goli 2 nipe like zangu
0:41 ❤❤❤❤❤
Musinda anacheza vzuri sana huo mdundo
Umemuona kumbe
Yaaan Babu Onyango ndio alikuwa analazimisha alale vijitanda aina hiyo na Mzungu duu... Ilikuwa nii nnoomaa... Makollo bhaanaa.
Yanga raha aise😂
Yote9 kumi 2ludi naushind walama 3 au 2toe sana mungu 2saidie🙏🙏
My fellow Yanga fans, what we need is to motivate and give time to new players, many good things are coming, let's wait and see inshallah
King Lee