PROFESA PACOME ALIVYOKIWASHA MAZOEZINI KUELEKEA FAINALI CRDB CUP - ZANZIBAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Комментарии • 70

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 3 месяца назад +34

    🎉🎉🎉 niwakumbushe tu msiwadharau Azam na msipende kwa kujiamini sana kucheza kwa plan tupate ushindi na muwe makini endapo watakuja na plan kama walizokuja nazo mwanzo za kuumizwa wachezaji wetu muwe mmejiandaa tunahitaji ushindi in Shaa Allah nawatakia Kila la kheri

    • @AthumanRamadhan-h5e
      @AthumanRamadhan-h5e 3 месяца назад +3

      Uhakika mwananchi

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 3 месяца назад +2

      Master Gamondi is well prepared this time worry less

    • @HusseinIsmairy-gj5ux
      @HusseinIsmairy-gj5ux 3 месяца назад +2

      Yan binadam bana ndo huwag mnawaponza wenzenu wanakula_5 Azam uyo kambahatisha yang mala_1 ndan ya misimu10 ndo mnatupa tahadhal wenyewe tu Azam walihojiwa wakadai hatujauona mpira anaochezaga yang leo kwakua ana muwaza mamelod Azam ni mme wa simba so Yang anaijua vzr asa mponzeni Kama IHEF tupo hapas

    • @FatumaMwandendi
      @FatumaMwandendi 3 месяца назад

      Nikwel tusiwazarau azam wamisha tusoma kwahyo kazi yao itakua nikuumza wachezaji mungu nguvu zakuwa shinda

    • @flavianajohn5250
      @flavianajohn5250 3 месяца назад +1

      Inshaalaah🙏🙏🙏🙏🙏 kwa uwezo wa ALLAAH tutashinda hiyo kesho azizi ki 2, max 1, musonda 1

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 3 месяца назад +19

    nawapenda sana wachezaji wote wa yanga mungu awatunze muwe na afya njema

  • @TwahirMohammed-x2h
    @TwahirMohammed-x2h 3 месяца назад +7

    Wananchi wenzangu tunawakaribisha zanzibar daima mbele nyuma mwiko❤❤❤❤❤

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 3 месяца назад +6

    Wananchi HUMU TUUUUU yaan Atatueleza ilikuaje aumize wachezaji wetu Kwenye NBC..hukumu inaisha CRDB💚💛💚💛💚

  • @flavianajohn5250
    @flavianajohn5250 3 месяца назад +7

    Kwa uwezo wa ALLAAH kesho tunashinda 4 azizi ki 2, max 1, musonda1 inshaalaah🙏🙏🙏🙏🙏

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 3 месяца назад +2

    Mungu wetu yupo jana leo na milele na tunamtukuza na kumshukuru YEYE kwa upendo na huruma zake kwetu. Tunamtegemea YEYE kwa kila jambo na amekuwa nasi nyakati zote za shida na raha ambazo tunazipitia na hakuna alipotuacha na tuko salama mikononi MWAKE. Amina.

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 3 месяца назад +6

    ❤❤❤❤ikawe kheri inshallah

  • @claratango9262
    @claratango9262 3 месяца назад +1

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 3 месяца назад

    We are in love with you pacome zouzoua keep hustling brother 💚💚💚

  • @AudaxNdalahwa
    @AudaxNdalahwa 3 месяца назад +17

    MUNGU Atusaidie Wananchi tukamalize vema msimu wetu.

  • @rachelcheyo-p5z
    @rachelcheyo-p5z 3 месяца назад +1

    All the best mungu awatangulie

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr 3 месяца назад +9

    Namba moja mwanachama

  • @AnnaMzava-o2j
    @AnnaMzava-o2j 3 месяца назад +1

    Naipenda yanga sn

  • @KhalidJabir-og2lf
    @KhalidJabir-og2lf 3 месяца назад +2

    Ya Rabbi tunakuomba tuibuke na ushindi inshaallah

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 3 месяца назад +5

    Tutashinda inshallah

  • @r.m5334
    @r.m5334 3 месяца назад +2

    Mungu wetu mwema tutashinda.

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 3 месяца назад +4

    Allaah Akbar

  • @BasraMzava
    @BasraMzava 3 месяца назад +5

    Yes yes 👊🏽

  • @SOPHIASALUMU-u3b
    @SOPHIASALUMU-u3b 3 месяца назад +1

    Chama langu nalipenda

  • @GabrielCrossbones-mg9gi
    @GabrielCrossbones-mg9gi 3 месяца назад +6

    Kazikeni wanangu wananchi wanaangalia ninyi

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 3 месяца назад +2

    Wanajeshi 🎉🎉🎉

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 3 месяца назад +2

    Hii kweli ni taasisi yasikilizeni maoni ya wasshabiki wetu msiende kutuaibisha.mnajua hii yimu ilitufunga ligi kuu.Jipangdni mkishinda ni heshima kwa taifa japo kombe ni la kitaifa.

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 3 месяца назад +4

    Hakikisheni hawa jamaa wanapigwa kama ngoma. Kama kawaida watakuja na plan ya kuumiza wachezaji so ni kuwagonga hadi wamalize mpira wanachechemea...energy iwe ya hali ya juu kama tumewapakia mkongo, nina hasira nao sana hawa wabeba madeli ya ukwaju na urojo...mkiwafunga Tanzania nzima itafurahi...

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 3 месяца назад +2

    Mungu awatangurie jamani Yanga ranguu nipo japani na wapata Yanga yangu siku nikirudi Tanzania niwe na furaha na timu yangu

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 3 месяца назад

    Quality video 🎉🎉🎉❤😊

  • @tawsi-yc3nk
    @tawsi-yc3nk 3 месяца назад

    Inshallah mungu awalinde

  • @MYRAMONEYS2393
    @MYRAMONEYS2393 3 месяца назад

    Love you

  • @JumaSamson-gn7ov
    @JumaSamson-gn7ov 3 месяца назад +3

    Kama kawa 🎉

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 3 месяца назад

    🎉🎉

  • @AndersonJoseph-xu2pn
    @AndersonJoseph-xu2pn 3 месяца назад

    Mimi niwatakie kila la heri mungu awalinde na kuwapa ushindi mkubwa

  • @AmashaMchelemi-bq9yv
    @AmashaMchelemi-bq9yv 3 месяца назад +5

    💚💯💪🙏

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f 3 месяца назад +1

    Uwanja ujae mno

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 3 месяца назад

    Azam hawezi kutoboa

  • @EmmanuelKishiwa
    @EmmanuelKishiwa 3 месяца назад +1

    "hii ni mechi ya ushindi TU na siyo mechi ya kisasi hii na ukitaka kisasi utafungwa tyu hivyo ukitaka ushindi wapaswa uwe imara katika kujilinda kumshambulia adui na hapa Azam lazima kazi mpo nayo"
    All de best my club above all young African sc ni no doubt beyond reasonable

  • @EsterAndreaMtinya
    @EsterAndreaMtinya 3 месяца назад

    Wacha kabisaaa hayo mazoezi kolo akasome Kwanza🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁

  • @AmashaMchelemi-bq9yv
    @AmashaMchelemi-bq9yv 3 месяца назад +3

    😂💯🙏

  • @angelamasyaga6957
    @angelamasyaga6957 3 месяца назад

    Mimi naomba azizi ki,pacome,Yao,max na mzinze waanze kipindi Cha kwanza

  • @KhamisHamad-v7f
    @KhamisHamad-v7f 3 месяца назад

    Namba kumi tu ndy yenye. Weusi kwanini

  • @SadiiHusseni
    @SadiiHusseni 3 месяца назад

    inavoonekan hawa wachezaj wamepania himech kama unabisha tukutane kesho

  • @MohdHumoud-v3c
    @MohdHumoud-v3c 3 месяца назад

    Kwaiyoyanga wakifungwa wamewadharau Azam , huumpira baba, ao Azam nao wahitaji makombe,

  • @mohamedilikusi3980
    @mohamedilikusi3980 3 месяца назад +2

    Penda sana yanqa

  • @AthumanRamadhan-h5e
    @AthumanRamadhan-h5e 3 месяца назад +1

    Hivi jamani Metacha ndo wameshamwacha hivyo?

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 3 месяца назад +1

      Kasusa 😂😂😂😂😂

    • @AthumanRamadhan-h5e
      @AthumanRamadhan-h5e 3 месяца назад

      @@aishabakari8040 kwani Yanga Kuna magolikipa wangapi?

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 3 месяца назад

      @@AthumanRamadhan-h5e wa 3 ila mpaka kwenye paredi sijamuona

    • @ashamkesa979
      @ashamkesa979 3 месяца назад +1

      Aende tu hatuna shida naye

  • @josephezekielmasolwa8283
    @josephezekielmasolwa8283 3 месяца назад

    ILI TUCHUKUE KOMBE LA MABINGWA AFRICA 2024-2025.
    TUWATOE HAWA KWANZA.
    1.METACHA
    2.KIBWANA
    3.KIBABAGE
    4.DENIS NKANE
    5.GIFT FRED
    6.ZAWADI MAUYA
    7.OKRAH
    8.FARID MUSA
    9.MZIZE
    10.MSONDA
    11.SKUDU MAKUDUBELA

    • @FedaMaino
      @FedaMaino 3 месяца назад

      Kibabage na fred nina imani nao sana wanaitaji mechi nyingi

    • @pacomezouzoua9175
      @pacomezouzoua9175 3 месяца назад

      Kibabage vumbi yule Bora hata Fred na mzize na guede nae aende tu mzito sana na magoli yake ya bahati bahati tu

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 3 месяца назад +4

    Damn pacome kazuri MashaAllah 🙈🥰

  • @Kabaikonline
    @Kabaikonline 3 месяца назад +5

    Zouzoua

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 3 месяца назад +1

    Na wapenda sana Yanga tangu Mungu awe nanyi

  • @SamNecessity
    @SamNecessity 3 месяца назад

    Nimeipenda background music

  • @onlyonetztv610
    @onlyonetztv610 3 месяца назад

    Muwachukulie serious hao madogo wasije wakatia mchanga pilau