🎉🎉🎉 niwakumbushe tu msiwadharau Azam na msipende kwa kujiamini sana kucheza kwa plan tupate ushindi na muwe makini endapo watakuja na plan kama walizokuja nazo mwanzo za kuumizwa wachezaji wetu muwe mmejiandaa tunahitaji ushindi in Shaa Allah nawatakia Kila la kheri
Yan binadam bana ndo huwag mnawaponza wenzenu wanakula_5 Azam uyo kambahatisha yang mala_1 ndan ya misimu10 ndo mnatupa tahadhal wenyewe tu Azam walihojiwa wakadai hatujauona mpira anaochezaga yang leo kwakua ana muwaza mamelod Azam ni mme wa simba so Yang anaijua vzr asa mponzeni Kama IHEF tupo hapas
Mungu wetu yupo jana leo na milele na tunamtukuza na kumshukuru YEYE kwa upendo na huruma zake kwetu. Tunamtegemea YEYE kwa kila jambo na amekuwa nasi nyakati zote za shida na raha ambazo tunazipitia na hakuna alipotuacha na tuko salama mikononi MWAKE. Amina.
Hii kweli ni taasisi yasikilizeni maoni ya wasshabiki wetu msiende kutuaibisha.mnajua hii yimu ilitufunga ligi kuu.Jipangdni mkishinda ni heshima kwa taifa japo kombe ni la kitaifa.
Hakikisheni hawa jamaa wanapigwa kama ngoma. Kama kawaida watakuja na plan ya kuumiza wachezaji so ni kuwagonga hadi wamalize mpira wanachechemea...energy iwe ya hali ya juu kama tumewapakia mkongo, nina hasira nao sana hawa wabeba madeli ya ukwaju na urojo...mkiwafunga Tanzania nzima itafurahi...
"hii ni mechi ya ushindi TU na siyo mechi ya kisasi hii na ukitaka kisasi utafungwa tyu hivyo ukitaka ushindi wapaswa uwe imara katika kujilinda kumshambulia adui na hapa Azam lazima kazi mpo nayo" All de best my club above all young African sc ni no doubt beyond reasonable
ILI TUCHUKUE KOMBE LA MABINGWA AFRICA 2024-2025. TUWATOE HAWA KWANZA. 1.METACHA 2.KIBWANA 3.KIBABAGE 4.DENIS NKANE 5.GIFT FRED 6.ZAWADI MAUYA 7.OKRAH 8.FARID MUSA 9.MZIZE 10.MSONDA 11.SKUDU MAKUDUBELA
🎉🎉🎉 niwakumbushe tu msiwadharau Azam na msipende kwa kujiamini sana kucheza kwa plan tupate ushindi na muwe makini endapo watakuja na plan kama walizokuja nazo mwanzo za kuumizwa wachezaji wetu muwe mmejiandaa tunahitaji ushindi in Shaa Allah nawatakia Kila la kheri
Uhakika mwananchi
Master Gamondi is well prepared this time worry less
Yan binadam bana ndo huwag mnawaponza wenzenu wanakula_5 Azam uyo kambahatisha yang mala_1 ndan ya misimu10 ndo mnatupa tahadhal wenyewe tu Azam walihojiwa wakadai hatujauona mpira anaochezaga yang leo kwakua ana muwaza mamelod Azam ni mme wa simba so Yang anaijua vzr asa mponzeni Kama IHEF tupo hapas
Nikwel tusiwazarau azam wamisha tusoma kwahyo kazi yao itakua nikuumza wachezaji mungu nguvu zakuwa shinda
Inshaalaah🙏🙏🙏🙏🙏 kwa uwezo wa ALLAAH tutashinda hiyo kesho azizi ki 2, max 1, musonda 1
nawapenda sana wachezaji wote wa yanga mungu awatunze muwe na afya njema
Wananchi wenzangu tunawakaribisha zanzibar daima mbele nyuma mwiko❤❤❤❤❤
Wananchi HUMU TUUUUU yaan Atatueleza ilikuaje aumize wachezaji wetu Kwenye NBC..hukumu inaisha CRDB💚💛💚💛💚
Kwa uwezo wa ALLAAH kesho tunashinda 4 azizi ki 2, max 1, musonda1 inshaalaah🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu wetu yupo jana leo na milele na tunamtukuza na kumshukuru YEYE kwa upendo na huruma zake kwetu. Tunamtegemea YEYE kwa kila jambo na amekuwa nasi nyakati zote za shida na raha ambazo tunazipitia na hakuna alipotuacha na tuko salama mikononi MWAKE. Amina.
❤❤❤❤ikawe kheri inshallah
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
We are in love with you pacome zouzoua keep hustling brother 💚💚💚
MUNGU Atusaidie Wananchi tukamalize vema msimu wetu.
ameeeeen
Ameen
❤❤
All the best mungu awatangulie
Namba moja mwanachama
Naipenda yanga sn
Ya Rabbi tunakuomba tuibuke na ushindi inshaallah
Tutashinda inshallah
Mungu wetu mwema tutashinda.
Allaah Akbar
Yes yes 👊🏽
❤
Chama langu nalipenda
Kazikeni wanangu wananchi wanaangalia ninyi
Wanajeshi 🎉🎉🎉
Hii kweli ni taasisi yasikilizeni maoni ya wasshabiki wetu msiende kutuaibisha.mnajua hii yimu ilitufunga ligi kuu.Jipangdni mkishinda ni heshima kwa taifa japo kombe ni la kitaifa.
Hakikisheni hawa jamaa wanapigwa kama ngoma. Kama kawaida watakuja na plan ya kuumiza wachezaji so ni kuwagonga hadi wamalize mpira wanachechemea...energy iwe ya hali ya juu kama tumewapakia mkongo, nina hasira nao sana hawa wabeba madeli ya ukwaju na urojo...mkiwafunga Tanzania nzima itafurahi...
Mungu awatangurie jamani Yanga ranguu nipo japani na wapata Yanga yangu siku nikirudi Tanzania niwe na furaha na timu yangu
Quality video 🎉🎉🎉❤😊
Inshallah mungu awalinde
Love you
Kama kawa 🎉
🎉🎉
Mimi niwatakie kila la heri mungu awalinde na kuwapa ushindi mkubwa
💚💯💪🙏
Uwanja ujae mno
Azam hawezi kutoboa
"hii ni mechi ya ushindi TU na siyo mechi ya kisasi hii na ukitaka kisasi utafungwa tyu hivyo ukitaka ushindi wapaswa uwe imara katika kujilinda kumshambulia adui na hapa Azam lazima kazi mpo nayo"
All de best my club above all young African sc ni no doubt beyond reasonable
Wacha kabisaaa hayo mazoezi kolo akasome Kwanza🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁
😂💯🙏
Mimi naomba azizi ki,pacome,Yao,max na mzinze waanze kipindi Cha kwanza
Namba kumi tu ndy yenye. Weusi kwanini
inavoonekan hawa wachezaj wamepania himech kama unabisha tukutane kesho
Kwaiyoyanga wakifungwa wamewadharau Azam , huumpira baba, ao Azam nao wahitaji makombe,
Penda sana yanqa
Hivi jamani Metacha ndo wameshamwacha hivyo?
Kasusa 😂😂😂😂😂
@@aishabakari8040 kwani Yanga Kuna magolikipa wangapi?
@@AthumanRamadhan-h5e wa 3 ila mpaka kwenye paredi sijamuona
Aende tu hatuna shida naye
ILI TUCHUKUE KOMBE LA MABINGWA AFRICA 2024-2025.
TUWATOE HAWA KWANZA.
1.METACHA
2.KIBWANA
3.KIBABAGE
4.DENIS NKANE
5.GIFT FRED
6.ZAWADI MAUYA
7.OKRAH
8.FARID MUSA
9.MZIZE
10.MSONDA
11.SKUDU MAKUDUBELA
Kibabage na fred nina imani nao sana wanaitaji mechi nyingi
Kibabage vumbi yule Bora hata Fred na mzize na guede nae aende tu mzito sana na magoli yake ya bahati bahati tu
Damn pacome kazuri MashaAllah 🙈🥰
Asante
Zouzoua
Na wapenda sana Yanga tangu Mungu awe nanyi
Nimeipenda background music
Muwachukulie serious hao madogo wasije wakatia mchanga pilau