Momo namba za Feitoto zisikudanganye, anacheza timu ndogo ni sawa na Mpore au Mhilu, fikiria kwanini hana ofa timu za nje? Utamlinganishaje na Aziz ke? Angalia zinavyopigana vikumbo.
Tunataka kumuona huyo Fei kwenye mechi za kimataifa ndio tuwalinganishe, siyo unamleta mchezaji wa kimataifa na hawa wa ndondo siyo poa kbsa hii haikubaliki!
Momo namba za Feitoto zisikudanganye, anacheza timu ndogo ni sawa na Mpore au Mhilu, fikiria kwanini hana ofa timu za nje? Utamlinganishaje na Aziz ke? Angalia zinavyopigana vikumbo.
Fei uvumilivu ulimshinda angebaki Yanga nauhakika angecheza nnjeya nchi
Umeongea facts sana unapaswa kuwa mchambuzi
Wapi kasema Azizi ki kasaini miaka 3 mbona waongo sana nyinyi
Tunataka kumuona huyo Fei kwenye mechi za kimataifa ndio tuwalinganishe, siyo unamleta mchezaji wa kimataifa na hawa wa ndondo siyo poa kbsa hii haikubaliki!
Mgunda inategemea alikutana na timu gani na ina hali gani? Hesabu haziko hivyo kimpira!
Acha uchawa
Sawa kabisa
Fei goli anazo ila ufanisi upo chini nafikiri ubonge! Pili amebebwa na magoli dhidi ya timu pungufu kwa wachezaji 3 (hat trick)
Punguza kulamba mdomo wa juu
Fei hizo ni mbio za sakafuni uyo fei utamuona msim ujao kama atakuwa kwenye hicho kiwango mbwembwe. tu uyo
Kwann unakulaga mdomo wa juu lakn momo shid uwaga ni nn
Sasa hapo ujibiwe nini?Maswali mengine ni ya kujaribu kama huna cha kuuliza piga kimya!!
@@hamidjailos8171 🤣sasa we unajibu nn Kam unajua Aya kuhusu siungepita tu🥴