ZA NDAANI RICARDO MOMO ATOBOA SIRI AZIZI KI ASAINI MIAKA 3 YANGA, ANABAKI, CHAMA NAYE ANATUA YANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 15

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 4 месяца назад +10

    Momo namba za Feitoto zisikudanganye, anacheza timu ndogo ni sawa na Mpore au Mhilu, fikiria kwanini hana ofa timu za nje? Utamlinganishaje na Aziz ke? Angalia zinavyopigana vikumbo.

    • @leoninga-y8i
      @leoninga-y8i 4 месяца назад +2

      Fei uvumilivu ulimshinda angebaki Yanga nauhakika angecheza nnjeya nchi

    • @JitihadaMasimba-ng5mv
      @JitihadaMasimba-ng5mv 4 месяца назад

      Umeongea facts sana unapaswa kuwa mchambuzi

  • @salumsaid-i2s
    @salumsaid-i2s 4 месяца назад +1

    Wapi kasema Azizi ki kasaini miaka 3 mbona waongo sana nyinyi

  • @YUSUPHMagohe
    @YUSUPHMagohe 4 месяца назад

    Tunataka kumuona huyo Fei kwenye mechi za kimataifa ndio tuwalinganishe, siyo unamleta mchezaji wa kimataifa na hawa wa ndondo siyo poa kbsa hii haikubaliki!

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 4 месяца назад +1

    Mgunda inategemea alikutana na timu gani na ina hali gani? Hesabu haziko hivyo kimpira!

  • @abdillahmchia8557
    @abdillahmchia8557 4 месяца назад

    Acha uchawa

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 4 месяца назад

    Sawa kabisa

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 4 месяца назад

    Fei goli anazo ila ufanisi upo chini nafikiri ubonge! Pili amebebwa na magoli dhidi ya timu pungufu kwa wachezaji 3 (hat trick)

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 4 месяца назад

    Punguza kulamba mdomo wa juu

  • @RichardAmosi-hz3nm
    @RichardAmosi-hz3nm 4 месяца назад

    Fei hizo ni mbio za sakafuni uyo fei utamuona msim ujao kama atakuwa kwenye hicho kiwango mbwembwe. tu uyo

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 4 месяца назад

    Kwann unakulaga mdomo wa juu lakn momo shid uwaga ni nn

    • @hamidjailos8171
      @hamidjailos8171 4 месяца назад

      Sasa hapo ujibiwe nini?Maswali mengine ni ya kujaribu kama huna cha kuuliza piga kimya!!

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 4 месяца назад

      @@hamidjailos8171 🤣sasa we unajibu nn Kam unajua Aya kuhusu siungepita tu🥴