UNTOLD STORY: Part 1. JE WAJUA KWANINI AZIZ KI ALISAINI YANGA NA KUZIKATAA TIMU 3?/MSIKIE MAMA YAKE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

Комментарии • 294

  • @mamuwadomu8448
    @mamuwadomu8448 Год назад +51

    Ahsante mama kwa kutuzalia AZIZI K master 🔑 tunampenda mwanao na anaishi kwa furaha Tanzania 🇹🇿 💚💛

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 6 месяцев назад +5

    Kumbe Azizi amepitia nyakati tofauti tofauti hivi?? Respect Azizi.😊

  • @EugeKay-vt4lv
    @EugeKay-vt4lv Год назад +158

    wanainchi naombeni like 20 hapa kwaniaba ya mama wa master ki aziz 💛💚💛💚

    • @erickkimaro108
      @erickkimaro108 Год назад +1

      Hizo like zinakusaidia nn vijana punguzeni ushamba kaa tulia tumsikilize mama hapo🥱✍️

  • @siaramadhan4707
    @siaramadhan4707 Год назад +12

    Nyie Mama mrembo n hana papara kwenye kuongea woow😍😍

    • @imanibakili8028
      @imanibakili8028 Год назад

      Huyu siyo mama Feisar
      Yaan huyu anafikiria kabla ya kuzungumza kiukweli ❤

    • @suleimanmwenyemvua995
      @suleimanmwenyemvua995 4 месяца назад

      ​@@imanibakili8028MamA Feisal ni mama mzazi mshari mwanamke wa vijora na tamaa umbea umbea....😊😊😢😢

  • @DevothaFesto
    @DevothaFesto Год назад +24

    She is so cute ❤️❤️, she speaks intellectually In fact, thank you for allowing AZiz to come play in our team 💚💚💛

    • @saalim5401
      @saalim5401 Год назад

      Kweli yangu ni klabu kubwa kumbe inaushawishi mkubwa sana Afrika mimi pia napenda sana mpira wa yanga nimzuri wakisasa pasi nzuri yaani nimeshindwa kujizuia kwa maelezo haya ya mama ki hii yanga inakwenda kua daraja kubwa la kuwavusha wachezaji wa Afrika kwenda kwenye ligi kubwa duniani hongereni viongozi wa yangu mungu azidi kuwasimamia ila engineer mungu kakupa kipaji kikubwa unafanya kaz kubwa sana wengi wanajifanya hawaoni ili wajifunze kwako tutafika mbali

  • @herrychapile8453
    @herrychapile8453 Год назад +21

    Huyu mama ni mwerevu sanaa na ana upeo mpana sanaa wakuona mbali angekua mzazi mwingine angetaka mwanae akachez simba sababu ya ile kufika robo maranying mfululizo lakini yeye akasema hapana Kwa aina ya uchezaji wa mwanangu inatakiwa aonekane na falsafa ya yanga ndio itakayo mfanya mwanangu aonekane hakika mama umefanya vema sana Kwa kipaji cha mwanao Aziz k Kwa ubora alio nao ofa nyingine nyingi zita kuja🎉

  • @helenwailly1558
    @helenwailly1558 Год назад +23

    You are beautiful, we are happy and proud to have your son in our team. He has great talent. . You are welcome to Tanzania

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Год назад +49

    Kama umemuelewa mama bila kusoma Subtitles ,,Gonga like hapa

  • @husseinmejja8041
    @husseinmejja8041 Год назад +40

    Thank you mama for your child he has a big talent and we are very proud to have him in our team

  • @RubenIbrahim-st6dh
    @RubenIbrahim-st6dh Год назад +16

    Thanks so much aziz ki for choosing our team we love u so much wananchiiiiiii 🙏🙏🙏🙏🙏 am very proud of you magician left footer you helped as alot last season when I remember the hard time against club african but master key did it iam very happy this season we make it again no one is perfect

  • @kasandajoel7074
    @kasandajoel7074 Год назад +30

    Very interesting story from a genius, caring and composed Mother. No doubt she knows a lot more about football and nurturing talent.

  • @strikerforce4949
    @strikerforce4949 Год назад +12

    Makolo wakiona hii wanabaki kusonya tu. Aziz ki alichagua sehemu sahihi. Style ya uchezaji ya makolo hamna kitu, ni timu inayokuzwa na media tu ila uwanjani ni kawaida sana

  • @raphaelchauwele3547
    @raphaelchauwele3547 Год назад +5

    Hauna baya mama yetu kipenzi umetuletea Master Ki the only one Key in Africa 💛💚💛💚

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Год назад +26

    Congrats to MAMA to have lovely Kid like AZIZ Ki....Wananchi we're proud of him.....

  • @TamimuNjava
    @TamimuNjava Год назад +7

    Thank you mama, we are very proud of you and Azizi in general, your son has been powerful weapon in our team...you & Aziz have made yanga's fans to be happy always...
    May God bless you all with full of his mercy and groly.

  • @EugeKay-vt4lv
    @EugeKay-vt4lv Год назад +27

    kama unaisubiri part 2 gonga like hapa

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 Год назад +7

    Asante mzazi kutupa kijana mzuri Allah azidi kumlina na wenzake wote Asante pia kwa histori nzuri💛🙏

  • @josephineluzango1463
    @josephineluzango1463 Год назад +8

    Blessed is your womb for giving birth to such a great player, thank you mama

  • @Maulidism
    @Maulidism Год назад +2

    I am Simba, but this story caught me,,and mama is looking good mother, thx for caring as Aziz is fantastic

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Год назад +1

    Mashallah mzazi ndio anawezabkukuza kipaji cha mtoto na kua kipaji cha mtoto ❤❤❤ hongera baba ake azizi kii

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh 4 месяца назад

    Love 💕 ufree.... happy happy Azizi ki Mother from Ouagadougou... BUKINAFASO western Africa

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Год назад +5

    Mama mzuri,,Mashallaahh...🎉

  • @nyungwajunior1301
    @nyungwajunior1301 Год назад +6

    She is profesional hapo usitarajie kusikia habari za ugali na sukari hapi

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 Год назад +5

    ♥️♥️♥️♥️ pokea maua yako mama ki 💐💐💐💐

  • @kudraalmasy
    @kudraalmasy Год назад +3

    Ni mrembo kweli kweli,MashaaAllah mom kiiiiiii💚💛

  • @johnmgalilwa9136
    @johnmgalilwa9136 Год назад +11

    The thinks I learned here ... We need to sappot our kids in there carer and talents ... Week Up 🇹🇿

  • @maestrokiss7245
    @maestrokiss7245 Год назад +11

    7m viewers in August. Tunaendelea tulipoishia kuitafuta 10m viewers mwezi huu wananchi. Twende sasaaaaaaaaaaaaa😅

    • @YoungAfricansSCTV
      @YoungAfricansSCTV  Год назад +3

      Naaam

    • @KIMALEX255
      @KIMALEX255 Год назад +2

      Tena naomba msisitize na kulipia kadi za uanachama naona Muamko mdg sana

    • @jr_mkumbojr
      @jr_mkumbojr Год назад

      ​@@KIMALEX255point hii..naona kama tumelala hivi...Priva na Haji Mfikirwa...mko wapiiii😢😢😢

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 Год назад +5

    We are very proud to have azizi ki in our club Yanga,congratulation Mama to have a heroe in your family.

  • @happyvalence5352
    @happyvalence5352 Год назад +8

    Aziz's mother is very beautiful Lady. 💐💚

  • @Babuu200
    @Babuu200 Год назад +3

    Nimefurahi kuckia Kwamba aliipenda yanga kutoka Moyoni Sio Hela kwanza... That's it!! 🙌🙌

  • @ATHUMANMTENGO
    @ATHUMANMTENGO Год назад +6

    Bonge la Interview 🙌🙌🙌

  • @nawatakiyakilalakheriwashe6624
    @nawatakiyakilalakheriwashe6624 Год назад +4

    Wananichiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nimeipenda hiiiii sasa leteni na zingine

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 Год назад +1

    Tunamuhitaji Mamayake Nzengeli

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Год назад +8

    Ubunifuu Mkubwa saana aisee 🔥💥🔥🖐️ Viva Yanga Viva Wananchiiiiii thanks Mama Aziz Ki Mwamba Wa Ouagadougou 🦵🦵⚽⚽💪

  • @scopy0428
    @scopy0428 Год назад +1

    Mama tunashukuru kwa kutuletea Aziz KI hapa dunian sisi kama Yanga tunasema hatuna cha kukulipa Mwenyeez mungu akupe umri mrefu ili uenjoy matunda ya mwanao

  • @elishamalima7404
    @elishamalima7404 Год назад +4

    Aziz mjanja akaona makolo yanacheza kama nguruwe pori yataua kipaji chake 😂😂😂

  • @abdulkadirnoorhassan4024
    @abdulkadirnoorhassan4024 Год назад +3

    This is the best thang, i can say now the club is progressing well.
    Good idea well done

  • @karenlema4317
    @karenlema4317 Год назад +7

    Sasa naona umuhimu wa kuwa na shule zenye mkondo wa michezo ziwe nyingi kila nchi watoto hawataacha shule maana watapata like wanachokipenda na wakati huohuo wanapata elimu .

  • @CarlosKilumile
    @CarlosKilumile 4 месяца назад

    Mama Nimshauri Mourn Sana Hana Longo Longo Yupo Saw a

  • @hajimaster7624
    @hajimaster7624 Год назад +2

    Ukimuangalia mamaake key Stephen ndio unagundua kweli jamaa mdogo

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Год назад +1

    Very interesting story for our master ki,HE IS VERY VERY BEST PLAYER

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 Год назад +1

    Duh....!!! Noma.
    DAIMA MBELE NYUMA MWIKO WANANCHI

  • @joelzacha
    @joelzacha Год назад +5

    Perfect!

  • @khalidjafary1120
    @khalidjafary1120 Год назад +5

    Wow mamy I love it ❤❤❤

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Год назад +4

    Thats a proud mother

  • @amiyoung5876
    @amiyoung5876 Год назад +4

    Azizi Ki Master key 🔑🔥🔥

  • @abdillahmkaikuta3033
    @abdillahmkaikuta3033 Год назад +5

    Yanga wapo serious sana na club Yao, miaka 10 ijayo kama wataendelea hivi watakuwa club Bora sana hapa Africa.

  • @hk_ballers
    @hk_ballers Год назад +2

    Wise mom. Thank you for Aziz Ki. We love him

  • @mhojamsafiri2273
    @mhojamsafiri2273 Год назад

    Hongera mama kwa kutuzalia jembe AZIZ K tunampenda sana mwanao💚💚💚💛💛💛🔰🔰🔰🏆🏆🏆🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @franckkisau8923
    @franckkisau8923 Год назад

    Ongera chama langu Asante sana kikweli huyu mzazi anajua mpira. Daima Mbele Nyuma Mwiko

  • @abuuahusa6459
    @abuuahusa6459 Год назад +2

    we are very much thanksfully for him being among of us

  • @severineg.mshana2632
    @severineg.mshana2632 Год назад +2

    Hii ni moja ya enterview bora sana. Keep it up guys!

  • @stanslausjoseph5744
    @stanslausjoseph5744 Год назад +4

    Nice 2 see u mama💚💛

  • @festusdickson5520
    @festusdickson5520 Год назад +3

    Aziz ki for life ❤❤❤❤❤

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Год назад +1

    Mama mzaa Fundi🙌🙌

  • @IsackMasanja-m2n
    @IsackMasanja-m2n Год назад +1

    💛💛💛💚💚💚 Hongera yako mama

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Год назад

    Asante mama huna bayaa

  • @francewilliam1020
    @francewilliam1020 Год назад +1

    A very good mother she listens to what his son love and also she knows what is the best 4 his son...we love you mama ki ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 4 месяца назад

    Mama hongela San 🙏

  • @deusdeditknkunga6047
    @deusdeditknkunga6047 Год назад +2

    Merci beaucoup, Mama.

  • @StephanoKaijage
    @StephanoKaijage 4 месяца назад

    Mama nimekuerewa sana urikuwa unampenda sana mtoto wako.naitwa stefhano Andrea kaijage kutoka brembo Kona street

  • @mariamwadangala3804
    @mariamwadangala3804 Год назад +3

    Master key 🗝️

  • @mymuamsrrr7884
    @mymuamsrrr7884 Год назад +1

    Mama should get a bunch of roses every day.thank you mama❤❤❤❤❤❤

  • @shedadiabdul654
    @shedadiabdul654 Год назад

    Mama au nawe tukusajiri?Daima mbele....🧡💛💚🔰🏆💪

  • @innocentkaduma5821
    @innocentkaduma5821 Год назад

    THANKS TO YOUR FAMILY FOR CHOOSING US THE CITIZENS

  • @ThedyAssenga
    @ThedyAssenga Год назад +1

    Mama wewe ni master pia hongera

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh 4 месяца назад

    Good 👍 mother quality color

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Год назад

    We love you mama kiii

  • @issagervase9588
    @issagervase9588 Год назад +3

    so amazing ❤❤❤❤

  • @jonathanchadewa8092
    @jonathanchadewa8092 Год назад +2

    Super Ki

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Год назад +2

    Ongera mama umechagua mahali salama

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 Год назад +3

    ❤❤❤❤my mother

  • @classicmido88
    @classicmido88 Год назад +2

    Very interesting

  • @farajagasper151
    @farajagasper151 4 месяца назад

    Yaani mama anaongea vizuri kwa mapenzi na kazi ya mwanae sio kama mama Faisal wanakula ugali na chunvi

  • @MusaEnos-r2e
    @MusaEnos-r2e Год назад +1

    Thanks for bringing us Aziz

  • @MikeMastory
    @MikeMastory Год назад +1

    Gonga like kwa makolo kukataliwa na Master Ki

  • @DAVIDMLINGO
    @DAVIDMLINGO Год назад

    Hakika yule mama wa kizanzibari angekuwa anajielewa kama mama ake azizi k basi mwanae angefika mbali sana.

  • @UnitedAfrica-uw9ct
    @UnitedAfrica-uw9ct 5 месяцев назад

    Thank you for taking care of him to become one of the best players in our team

  • @exitingmomentsmovie2815
    @exitingmomentsmovie2815 Год назад +2

    Interview nzuri ila jitahidini mtuletee nyingine nzuri kama hii.

  • @elizabethelias3130
    @elizabethelias3130 Год назад +1

    Wow 👌

  • @mathayomgata
    @mathayomgata Год назад

    Sana

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 4 месяца назад

    Mama💛💚💛💛💚🌻🌻

  • @yustobitalio3597
    @yustobitalio3597 Год назад

    Thank you Mama Aziz Ki 💚💚💚💛💛💛💛💛

  • @alvarobaisama6671
    @alvarobaisama6671 Год назад

    Kumbe apa tanzania kulikua na timu mbili zinamtaka 😂🙌🏻🔰🔰🔰

  • @isihakaselemani9530
    @isihakaselemani9530 Год назад +1

    Good interview from azizi ki mother 👏

  • @mussasiraju7193
    @mussasiraju7193 Год назад +2

    Master key ❤

  • @AllyAme-s2w
    @AllyAme-s2w Год назад +1

    No maamuzi mazuri kwako azizi

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton8939 Год назад

    MAMA FEISAL SASA INTERVIEW YAKE SIJUI INGEWAJE.......

  • @tinahkimath9470
    @tinahkimath9470 Год назад

    Asante sana mama kwa kutuamini tunampendaaa sana Mwanao Ali tuweke macho kumsubiri adi asubuhi 😂🙌🙌🙌💓💓

  • @dianasago9214
    @dianasago9214 Год назад

    Mama 💚💛💚💛💚🙏🙏🙏

  • @HamisiKamungu-z7z
    @HamisiKamungu-z7z Год назад

    Good

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Год назад +1

    Congratulations mom for master K

  • @AAMasauni
    @AAMasauni Год назад +1

    "Here in Tanzania" inamaana kuwa bi mkubwa alikuwa ama yupo bado Tz 🤔 AZIZ KI KAONGEZA MKATABA YANGA 🙌

  • @emmynamponda8570
    @emmynamponda8570 Год назад +1

    Yanga tamu bn

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Год назад +1

    Merci Maman🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sarahmtuka2292
    @sarahmtuka2292 Год назад

    Fantastic 💪
    Thank you mom
    We really love and appreciate our master key especially this season the man is 🔥🔥

  • @GardinhoJr
    @GardinhoJr Год назад +1

    Hii ni kubwa...🔥🔥

  • @athumaninyituki7011
    @athumaninyituki7011 Год назад

    Yanga tamuuuu

  • @CLIVEMNYASA
    @CLIVEMNYASA Год назад

    Interesting story, Next time ongezeni hata ka Background ka Mziki kidogo

  • @peterlimbe4242
    @peterlimbe4242 Год назад

    Hiii nzuri sana yanga africa