Kweli yangu ni klabu kubwa kumbe inaushawishi mkubwa sana Afrika mimi pia napenda sana mpira wa yanga nimzuri wakisasa pasi nzuri yaani nimeshindwa kujizuia kwa maelezo haya ya mama ki hii yanga inakwenda kua daraja kubwa la kuwavusha wachezaji wa Afrika kwenda kwenye ligi kubwa duniani hongereni viongozi wa yangu mungu azidi kuwasimamia ila engineer mungu kakupa kipaji kikubwa unafanya kaz kubwa sana wengi wanajifanya hawaoni ili wajifunze kwako tutafika mbali
Huyu mama ni mwerevu sanaa na ana upeo mpana sanaa wakuona mbali angekua mzazi mwingine angetaka mwanae akachez simba sababu ya ile kufika robo maranying mfululizo lakini yeye akasema hapana Kwa aina ya uchezaji wa mwanangu inatakiwa aonekane na falsafa ya yanga ndio itakayo mfanya mwanangu aonekane hakika mama umefanya vema sana Kwa kipaji cha mwanao Aziz k Kwa ubora alio nao ofa nyingine nyingi zita kuja🎉
Thanks so much aziz ki for choosing our team we love u so much wananchiiiiiii 🙏🙏🙏🙏🙏 am very proud of you magician left footer you helped as alot last season when I remember the hard time against club african but master key did it iam very happy this season we make it again no one is perfect
Makolo wakiona hii wanabaki kusonya tu. Aziz ki alichagua sehemu sahihi. Style ya uchezaji ya makolo hamna kitu, ni timu inayokuzwa na media tu ila uwanjani ni kawaida sana
Thank you mama, we are very proud of you and Azizi in general, your son has been powerful weapon in our team...you & Aziz have made yanga's fans to be happy always... May God bless you all with full of his mercy and groly.
Mama tunashukuru kwa kutuletea Aziz KI hapa dunian sisi kama Yanga tunasema hatuna cha kukulipa Mwenyeez mungu akupe umri mrefu ili uenjoy matunda ya mwanao
Sasa naona umuhimu wa kuwa na shule zenye mkondo wa michezo ziwe nyingi kila nchi watoto hawataacha shule maana watapata like wanachokipenda na wakati huohuo wanapata elimu .
Ahsante mama kwa kutuzalia AZIZI K master 🔑 tunampenda mwanao na anaishi kwa furaha Tanzania 🇹🇿 💚💛
Kumbe Azizi amepitia nyakati tofauti tofauti hivi?? Respect Azizi.😊
wanainchi naombeni like 20 hapa kwaniaba ya mama wa master ki aziz 💛💚💛💚
Hizo like zinakusaidia nn vijana punguzeni ushamba kaa tulia tumsikilize mama hapo🥱✍️
Nyie Mama mrembo n hana papara kwenye kuongea woow😍😍
Huyu siyo mama Feisar
Yaan huyu anafikiria kabla ya kuzungumza kiukweli ❤
@@imanibakili8028MamA Feisal ni mama mzazi mshari mwanamke wa vijora na tamaa umbea umbea....😊😊😢😢
She is so cute ❤️❤️, she speaks intellectually In fact, thank you for allowing AZiz to come play in our team 💚💚💛
Kweli yangu ni klabu kubwa kumbe inaushawishi mkubwa sana Afrika mimi pia napenda sana mpira wa yanga nimzuri wakisasa pasi nzuri yaani nimeshindwa kujizuia kwa maelezo haya ya mama ki hii yanga inakwenda kua daraja kubwa la kuwavusha wachezaji wa Afrika kwenda kwenye ligi kubwa duniani hongereni viongozi wa yangu mungu azidi kuwasimamia ila engineer mungu kakupa kipaji kikubwa unafanya kaz kubwa sana wengi wanajifanya hawaoni ili wajifunze kwako tutafika mbali
Huyu mama ni mwerevu sanaa na ana upeo mpana sanaa wakuona mbali angekua mzazi mwingine angetaka mwanae akachez simba sababu ya ile kufika robo maranying mfululizo lakini yeye akasema hapana Kwa aina ya uchezaji wa mwanangu inatakiwa aonekane na falsafa ya yanga ndio itakayo mfanya mwanangu aonekane hakika mama umefanya vema sana Kwa kipaji cha mwanao Aziz k Kwa ubora alio nao ofa nyingine nyingi zita kuja🎉
You are beautiful, we are happy and proud to have your son in our team. He has great talent. . You are welcome to Tanzania
Kama umemuelewa mama bila kusoma Subtitles ,,Gonga like hapa
Thank you mama for your child he has a big talent and we are very proud to have him in our team
Thanks so much aziz ki for choosing our team we love u so much wananchiiiiiii 🙏🙏🙏🙏🙏 am very proud of you magician left footer you helped as alot last season when I remember the hard time against club african but master key did it iam very happy this season we make it again no one is perfect
Very interesting story from a genius, caring and composed Mother. No doubt she knows a lot more about football and nurturing talent.
Makolo wakiona hii wanabaki kusonya tu. Aziz ki alichagua sehemu sahihi. Style ya uchezaji ya makolo hamna kitu, ni timu inayokuzwa na media tu ila uwanjani ni kawaida sana
Hauna baya mama yetu kipenzi umetuletea Master Ki the only one Key in Africa 💛💚💛💚
Congrats to MAMA to have lovely Kid like AZIZ Ki....Wananchi we're proud of him.....
Thank you mama, we are very proud of you and Azizi in general, your son has been powerful weapon in our team...you & Aziz have made yanga's fans to be happy always...
May God bless you all with full of his mercy and groly.
kama unaisubiri part 2 gonga like hapa
Asante mzazi kutupa kijana mzuri Allah azidi kumlina na wenzake wote Asante pia kwa histori nzuri💛🙏
Blessed is your womb for giving birth to such a great player, thank you mama
I am Simba, but this story caught me,,and mama is looking good mother, thx for caring as Aziz is fantastic
Mashallah mzazi ndio anawezabkukuza kipaji cha mtoto na kua kipaji cha mtoto ❤❤❤ hongera baba ake azizi kii
Love 💕 ufree.... happy happy Azizi ki Mother from Ouagadougou... BUKINAFASO western Africa
Mama mzuri,,Mashallaahh...🎉
She is profesional hapo usitarajie kusikia habari za ugali na sukari hapi
Bwana we😂
♥️♥️♥️♥️ pokea maua yako mama ki 💐💐💐💐
Ni mrembo kweli kweli,MashaaAllah mom kiiiiiii💚💛
The thinks I learned here ... We need to sappot our kids in there carer and talents ... Week Up 🇹🇿
Hiyo ni english au Anglishina duuuu
😂😂😂😂😂😂 Daaaahhhh
Eheee
7m viewers in August. Tunaendelea tulipoishia kuitafuta 10m viewers mwezi huu wananchi. Twende sasaaaaaaaaaaaaa😅
Naaam
Tena naomba msisitize na kulipia kadi za uanachama naona Muamko mdg sana
@@KIMALEX255point hii..naona kama tumelala hivi...Priva na Haji Mfikirwa...mko wapiiii😢😢😢
We are very proud to have azizi ki in our club Yanga,congratulation Mama to have a heroe in your family.
Aziz's mother is very beautiful Lady. 💐💚
Beautiful na mwerevu
Nimefurahi kuckia Kwamba aliipenda yanga kutoka Moyoni Sio Hela kwanza... That's it!! 🙌🙌
Bonge la Interview 🙌🙌🙌
Wananichiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nimeipenda hiiiii sasa leteni na zingine
Tunamuhitaji Mamayake Nzengeli
Ubunifuu Mkubwa saana aisee 🔥💥🔥🖐️ Viva Yanga Viva Wananchiiiiii thanks Mama Aziz Ki Mwamba Wa Ouagadougou 🦵🦵⚽⚽💪
Mama tunashukuru kwa kutuletea Aziz KI hapa dunian sisi kama Yanga tunasema hatuna cha kukulipa Mwenyeez mungu akupe umri mrefu ili uenjoy matunda ya mwanao
Aziz mjanja akaona makolo yanacheza kama nguruwe pori yataua kipaji chake 😂😂😂
This is the best thang, i can say now the club is progressing well.
Good idea well done
Sasa naona umuhimu wa kuwa na shule zenye mkondo wa michezo ziwe nyingi kila nchi watoto hawataacha shule maana watapata like wanachokipenda na wakati huohuo wanapata elimu .
Mama Nimshauri Mourn Sana Hana Longo Longo Yupo Saw a
Ukimuangalia mamaake key Stephen ndio unagundua kweli jamaa mdogo
Very interesting story for our master ki,HE IS VERY VERY BEST PLAYER
Duh....!!! Noma.
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO WANANCHI
Perfect!
Wow mamy I love it ❤❤❤
Thats a proud mother
Azizi Ki Master key 🔑🔥🔥
Yanga wapo serious sana na club Yao, miaka 10 ijayo kama wataendelea hivi watakuwa club Bora sana hapa Africa.
Wise mom. Thank you for Aziz Ki. We love him
Hongera mama kwa kutuzalia jembe AZIZ K tunampenda sana mwanao💚💚💚💛💛💛🔰🔰🔰🏆🏆🏆🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ongera chama langu Asante sana kikweli huyu mzazi anajua mpira. Daima Mbele Nyuma Mwiko
we are very much thanksfully for him being among of us
Hii ni moja ya enterview bora sana. Keep it up guys!
Nice 2 see u mama💚💛
Aziz ki for life ❤❤❤❤❤
Mama mzaa Fundi🙌🙌
💛💛💛💚💚💚 Hongera yako mama
Asante mama huna bayaa
A very good mother she listens to what his son love and also she knows what is the best 4 his son...we love you mama ki ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mama hongela San 🙏
Merci beaucoup, Mama.
Mama nimekuerewa sana urikuwa unampenda sana mtoto wako.naitwa stefhano Andrea kaijage kutoka brembo Kona street
Master key 🗝️
Mama should get a bunch of roses every day.thank you mama❤❤❤❤❤❤
Mama au nawe tukusajiri?Daima mbele....🧡💛💚🔰🏆💪
THANKS TO YOUR FAMILY FOR CHOOSING US THE CITIZENS
Mama wewe ni master pia hongera
Good 👍 mother quality color
We love you mama kiii
so amazing ❤❤❤❤
Super Ki
Ongera mama umechagua mahali salama
❤❤❤❤my mother
Very interesting
Yaani mama anaongea vizuri kwa mapenzi na kazi ya mwanae sio kama mama Faisal wanakula ugali na chunvi
Thanks for bringing us Aziz
Gonga like kwa makolo kukataliwa na Master Ki
Hakika yule mama wa kizanzibari angekuwa anajielewa kama mama ake azizi k basi mwanae angefika mbali sana.
Thank you for taking care of him to become one of the best players in our team
Interview nzuri ila jitahidini mtuletee nyingine nzuri kama hii.
Wow 👌
Sana
Mama💛💚💛💛💚🌻🌻
Thank you Mama Aziz Ki 💚💚💚💛💛💛💛💛
Kumbe apa tanzania kulikua na timu mbili zinamtaka 😂🙌🏻🔰🔰🔰
Good interview from azizi ki mother 👏
Master key ❤
No maamuzi mazuri kwako azizi
MAMA FEISAL SASA INTERVIEW YAKE SIJUI INGEWAJE.......
Asante sana mama kwa kutuamini tunampendaaa sana Mwanao Ali tuweke macho kumsubiri adi asubuhi 😂🙌🙌🙌💓💓
Mama 💚💛💚💛💚🙏🙏🙏
Good
Congratulations mom for master K
"Here in Tanzania" inamaana kuwa bi mkubwa alikuwa ama yupo bado Tz 🤔 AZIZ KI KAONGEZA MKATABA YANGA 🙌
Kama nakuelewa hv jamaang, hii imeenda hii
ndo hivo , yupo hapa
Yanga tamu bn
Merci Maman🙏🙏🙏🙏🙏
Fantastic 💪
Thank you mom
We really love and appreciate our master key especially this season the man is 🔥🔥
Hii ni kubwa...🔥🔥
Yanga tamuuuu
Interesting story, Next time ongezeni hata ka Background ka Mziki kidogo
Hiii nzuri sana yanga africa