ENG. HERSI AFUNGUKA MAZITO "KUHUSU SAKATA LA MAYELE NA YANGA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • CATCH US BONGO FM 📻
    90.0 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 89.7 DODOMA 📻 | 89.9 ARUSHA 📻 | 104.9 MBEYA 📻 | 90.0 MWANZA 📻 | SHINYANGA 89.9 📻 | KIGOMA 89.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: bongo_fmtz
    TWITTER: https: BONGO FM
    FACEBOOK: BONGO FM
    #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #micheZo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumonukuu
    #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbatv #diamond #yangasc #wcb #singidafountaingate #kondegang #wcb #yangatv #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbasc #live #simbatv #diamond #diamond #yangatv #yangasc #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #simbatv #diamond #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang
    Transcript

Комментарии • 90

  • @bernadethaabudho6587
    @bernadethaabudho6587 5 месяцев назад +13

    Pongezi Sana Eng Herse Kwa Busara Na Uongozi Wako Ukiotukuka.Kila Jema Tunakuombea .Mungu Akulinde Ktk Kuiongoza Timu Yetu Yanga.Ubarikiwe Sana kwa Busara zako.Mfano Wa Kuigwa.Tunakupenda💛💚 🙏 Utafika Mbali Inshallah.

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 5 месяцев назад +11

    Ana hekma,busara,uelewa wa mambo,akili na ana vision,I real love this guy,he is the best among the best,may Allah guide,guide n protect you bro,in shaa allah

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 5 месяцев назад +5

    Uko vizuri Eng. H. Utulivu,ubunifu,ushirikishaji, hekima,busara na kujiamini lakini kubwa kuliko ni ucha Mungu wako vitaendelea kukuweka wewe na timu yako viziri zaidi. Mungu akuwekee mikono yake ili Yanga na wewe na uongozi na wafadhili wetu mpate mwanga wa mafanikio. Amina.

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk 5 месяцев назад +7

    Hongera saana Hersi kwa kazi nzuuri unayotufanyia 💚💛💚💛

  • @stevenmvungi133
    @stevenmvungi133 4 месяца назад +1

    Eng. Hers unastahili hta kuwa raisi wa CUF. Una upeo mkubwa sana na unajua ethics na principal za mpira wa miguu. Big up

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 5 месяцев назад +11

    Hongera sana Rais wetu big up unafaa sana Mungu azidi kukuweka uwe na maisha marefu

  • @mariaerenest5632
    @mariaerenest5632 5 месяцев назад +5

    Tunakupenda Sana rais wetu

  • @selestinijoseph1949
    @selestinijoseph1949 5 месяцев назад +18

    Huyu mwanahabari nimemkubari sana, ana maswari mazuri sana na sahihi. Pia Engineer Hersi Saidi nae ni hakiri iliyojitosherezea mnooo kuhusu mpira wa miguu

  • @CasperKomba
    @CasperKomba 4 месяца назад +1

    "What a presidar🎉🎉❤" daima mbele nyuma mwiko

  • @HafidhMtulya
    @HafidhMtulya 4 месяца назад +1

    ❤ raisi wa yanga daima mbele nyuma mwiko..... wananchiiii

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma9597 4 месяца назад

    All the best my rais wetu ❤❤❤❤❤

  • @ElizabethNavuri
    @ElizabethNavuri 5 месяцев назад +2

    Hongera Sana unastahili kuwa hiyo nafasi hatujakosea kukuchagua Mungu azidi kukupa hekima zaidi ya uongozi

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 4 месяца назад +12

    Dah nimeangalia kwa utulivu sana kifupi maswali hayajaboa majibu yameeleweka kwa mapana kbs pongezi Eng.Hersi pongezi kwa watangazaji🥰🤝👍👏👏

  • @StephanoKaijage
    @StephanoKaijage 4 месяца назад

    Ongera sana Eng.maerezo yako mazuri

  • @hajrasaid1924
    @hajrasaid1924 5 месяцев назад +1

    Kila la kheri injiania hers mungu akujaalie kila la kheri na akufanyie wepesi kwa kila hatua unayopiga

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce 5 месяцев назад +1

    Young Africans now is driven technically and compitable👍👍👍

  • @issakazi2758
    @issakazi2758 5 месяцев назад +3

    Young African ipo vizuri!!

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 5 месяцев назад +1

    Manshallah upo vizuri Airen

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 5 месяцев назад +1

    Kaka mungu akubariki umefanya makubwa sana kwa kizazi hiki inshallhh

  • @SOPHIASALUMU-u3b
    @SOPHIASALUMU-u3b 5 месяцев назад +1

    Tunakupenda sanaaaaa mungu akuzidishie maisha marefu

  • @Ba63828
    @Ba63828 5 месяцев назад +2

    Our youthful President leading our heroic players

  • @beatricemlay4801
    @beatricemlay4801 5 месяцев назад +1

    Mungu akuweke uishi miaka mingi Rais wetu

  • @FredyDanford
    @FredyDanford 5 месяцев назад +1

    Your the best president in young Africans just be strong

  • @augustinolaurent
    @augustinolaurent 5 месяцев назад +2

    All the best Engineer

  • @SaidiSefu-h4q
    @SaidiSefu-h4q 5 месяцев назад +2

    Hawa wanahabar wanajua Sana angalia jinc wanavyouliza maswali

  • @msaphirimagallah5781
    @msaphirimagallah5781 4 месяца назад

    Huwa nasikia raha sana kukusikiliza Eng. Unaakili sana Engineer

  • @AbdulChakar
    @AbdulChakar 5 месяцев назад +1

    Big up Eng

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc 5 месяцев назад +1

    Mungu akulinde

  • @LusanaTimotheo-mf1nn
    @LusanaTimotheo-mf1nn 5 месяцев назад +2

    Tunakupendaijinia heris

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu 4 месяца назад

    Habari nzuri mchambuzi wengine wamchongo

  • @MaryOoko
    @MaryOoko 5 месяцев назад +1

    Mungu akupe maishamarefu sana injinia ndaniyauwongozi wako ndaniya yanga ❤❤

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk 5 месяцев назад +1

    Dada yangu irini kiyango mubarikiwe Sana

  • @hassanmasanja8720
    @hassanmasanja8720 4 месяца назад

    my guy,my schoolmate ...hili nililiona tukiwa shule na nilimuambia atakuwa kiongozi siku moja...hakuwa na papara shuleni very patient kwenye kila jambo...

  • @elishakigahe9621
    @elishakigahe9621 5 месяцев назад +1

    Big Mind president

  • @mawazochaula3642
    @mawazochaula3642 5 месяцев назад +1

    Mimi mwana Simba lkn kati ya Watu watatu ninao wakubali pale Yanga Eng Hersi no one.

  • @noelsimonmushi
    @noelsimonmushi 4 месяца назад

    Respect engineer

  • @georgesena6690
    @georgesena6690 5 месяцев назад +1

    Acha mungu aitwe mungu bhana huyu jamaa anaupeo wajuu sana kwenye club yetu

  • @bilalseleman5867
    @bilalseleman5867 5 месяцев назад +1

    Upo very smart engineer

  • @lameckkomba4827
    @lameckkomba4827 5 месяцев назад +1

    Rais 💚

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 5 месяцев назад +1

    President🔥🔥🔥

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw 5 месяцев назад +4

    ❤❤❤❤❤

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 5 месяцев назад +1

    Why not next year kombe linakuja Yangaaaaaaaaa TZ

  • @SteraZidadu
    @SteraZidadu 5 месяцев назад +1

    Hongela

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood 5 месяцев назад +2

    Oyo izi koti walizotupia watangazaji pamoja na bos nimezielewa sana nipeni contact chinbo lipo wapi

  • @IsdoryMigodela-ys5hw
    @IsdoryMigodela-ys5hw 4 месяца назад

    Asante

  • @GastorCleophasmkwamira
    @GastorCleophasmkwamira 5 месяцев назад +1

    Huna dhambi Rais wetu
    Coz kila ambacho kiongoz mkubw kama wewe anapaswa kua nacho
    Wew unacho
    Kila ambacho kiongoz anapaswa anapaswa kufanya kwa watu wake
    Wew umefanya zaid
    Na kubwa zaid unaongozw na Hekima Busara maarifa na kila ambacho tunatamani kuona kikifanyika Yanga um3kua ukitembea kwenye Akili zetu pia
    Umemaliza kila kitu🙏🙏 we Ishi tu miaka yoote na Huna dhambi🙏🙏🙏💪🫶💛💚💚

  • @marrymwinuka3105
    @marrymwinuka3105 5 месяцев назад +1

    Hii ndio faida ya shule kweli . Hapa angekuwa mayele ni majungu tu uuu sbb Mayele Ana shule jna busara jna shukrani kbs hlf sijui kesho Yake.ongera rais wa Yanga Una busara snaaaa

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 5 месяцев назад +1

      inaotumika hapo ni akili aliozaliwa nae Toka tumboni

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood 5 месяцев назад +1

    Oyo izo koti walizotupia watangazaji pamoja na bos kazi nimezielewa sana kama kuna yoyote anafahamu nipe contact

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s 5 месяцев назад +5

    Mtu wa maana kabisa huyuu

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 5 месяцев назад +2

    Huyu mwamba mtu wa mpira sana, wa tz woote tunamkubali hata kama si Yanga, labda uwe mchawi

  • @FloraChami-o7s
    @FloraChami-o7s 5 месяцев назад +1

    Mungu akutunze Kila iitwayo Leo. Rais wa watu huyu apewe mauwa yake

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations 5 месяцев назад +1

    Unyama saana

  • @JacksonMukoko
    @JacksonMukoko 4 месяца назад +1

    Ndiyo watu wazuri ,wapole wanyenyekevu wapo duniani kwa hiyo yupo pale ni raisi wa yanga

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 5 месяцев назад +1

    Maana ya kiongozi

  • @alexsulle9683
    @alexsulle9683 5 месяцев назад +2

    Sidhani kama nimekosea kusema nchi yetu inataka viongozi kama huyu jamaa

  • @douglasmwakamoja4133
    @douglasmwakamoja4133 5 месяцев назад +1

    aisee rais wa CAF ajaye

  • @noahmgovano7657
    @noahmgovano7657 5 месяцев назад +1

    Nguvu moja inafika kwako kaka

  • @hamisially-sy5fm
    @hamisially-sy5fm 4 месяца назад

    👍👍👍👍👍👍

  • @happymalidadi8151
    @happymalidadi8151 5 месяцев назад +1

    Kwa sasa Yang's IPO mikono salama chini ya injinia

  • @cax1338
    @cax1338 5 месяцев назад +2

    Akili kubwa 🧠

  • @omegahealingchurchiringa2818
    @omegahealingchurchiringa2818 5 месяцев назад +2

    Wewe ni kijana hazina wa soka la Tanzania

    • @georgemwapela1654
      @georgemwapela1654 5 месяцев назад

      Jamaa atafika mbali sana...Mungu amsimamie katika yote..

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 5 месяцев назад +1

    Kuna kitu Cha kuigwa Kwa vilabu vingi hapa tz

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 5 месяцев назад +1

    Niko Dar,kiukweli Mr president ana uono wa Mbali Sana,Na hayo maelewano yake Mr GSM nakwambieni huyu mtu Ni hatari Sana ana akili nyingi Allah kamjaalia Na si ktk mpira Tu hata ktk upande wa Siasa bado atatoboa Tu,km ataamua

  • @HabibuMalick
    @HabibuMalick 4 месяца назад

    Naweza nikasema rais wa yanga unastahili pongezi umetufanya tukaona tunatimu natamani ubaki yanga maisha yote najua watu wataisema timu ya yanga kwa ubaya lakini na zani nikwajili ya mafanikio yanayo onekana

  • @ZahariaKassimu
    @ZahariaKassimu 5 месяцев назад +3

    Yuko vixuri

  • @hassankumba6938
    @hassankumba6938 4 месяца назад

    Siyo tegemezi ni tegemeo.

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 5 месяцев назад

    Mwiteni na mangungu aje ajieleze kama rais wa yanga au try again tuone wanavyoropoka huyu kijana ana kipawa cha uongozi yaani hasoni anakujibu titi for tati

  • @katalisajuka-fl3st
    @katalisajuka-fl3st 5 месяцев назад

    Sijasikia kuhusu kufungiwa kusajili wachezaji

  • @omegahealingchurchiringa2818
    @omegahealingchurchiringa2818 5 месяцев назад

    Rais mwenye weredi wa soka la kisasa lisilo na figisu mpira ni Akili na Pesa tu kwa Dunia ya leo

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 5 месяцев назад

    Huna lolote wewe zaidi ya kununua Mechi za ligi yetu unaharibu sana Mpira wetu kenge wewe

    • @kitaurosalim6562
      @kitaurosalim6562 5 месяцев назад

      Baki na Mangungu wako acha kumuingilia raisi wa wananchi

    • @AbshirMubaarack
      @AbshirMubaarack 5 месяцев назад

      Yaan kwl nyny ni madunduka

  • @IbrahimHassan-ex7sn
    @IbrahimHassan-ex7sn 5 месяцев назад

    Wewe ndio jembe letu hapo jangwani hunaga baya raisi wetu wa boli Kijani na Njano Nyeusi tupo juu kwaajili yako.

  • @omarmakore6919
    @omarmakore6919 4 месяца назад

    Kongore kwa waandishi wa habari kwa Maswali yenu ya msingi , pia hongera kwa raisi WETU Haris kwa majibu yenye tija

  • @mbwambog5969
    @mbwambog5969 5 месяцев назад

    Engineer anajmjibu mwanahabari kitaalamu kweli kweli. Munaonaje tukimuuza Simba kwa bei Kali kisha tukatafuta mbadala!

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 5 месяцев назад +2

    Mm simba lakini nakubali hersi said❤

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood 5 месяцев назад

    Oyo izo koti walizotupia watangazaji pamoja na bos kazi nimezielewa sana kama kuna yoyote anafahamu nipe contact

  • @Haji-hi7lw
    @Haji-hi7lw 5 месяцев назад +1

    Uko sahihi kabisa huyu ni kiongozi kweli kweli

  • @deomusyebi9930
    @deomusyebi9930 5 месяцев назад +1

    Presidwaa kama huyu anatumia akili hasa za shule yake na ki ukweli huyu jamaa ameenda shule na shuleni alikuwa anaitendea haki kwa jinsi anavyoiongoza timu lazima ujue yupo vizuri sana. Hongera sana eng. Utaendelea kuwa raisi wetu mpaka useme basi.

  • @NEEMAMSIGWA-d1z
    @NEEMAMSIGWA-d1z 5 месяцев назад

    Yaani daaah wewe ungekuwa raisi wetu wa nchi tungekua mbali

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 5 месяцев назад

    Utopolo atabaki kuwa utopolo tu nyinyi msifieni Leo lakin siku sio nyingi mutamkataa tu

    • @AminaMuhammed-bh2pg
      @AminaMuhammed-bh2pg 5 месяцев назад

      Kama ambavyo mnavyomkataa mangungu eeh😂😂😂 endeleeni kusubiri boti kwenye kituo cha daladala

  • @ashafundi2941
    @ashafundi2941 5 месяцев назад

    Mimi nataka kujuwa maana maneno ni mengikyhysu Pacome maaba sielewi