ENG. HERSI AFUNGUKA MAZITO "KUHUSU SAKATA LA MAYELE NA YANGA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 апр 2024
  • CATCH US BONGO FM 📻
    90.0 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 89.7 DODOMA 📻 | 89.9 ARUSHA 📻 | 104.9 MBEYA 📻 | 90.0 MWANZA 📻 | SHINYANGA 89.9 📻 | KIGOMA 89.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: bongo_fmtz
    TWITTER: https: BONGO FM
    FACEBOOK: BONGO FM
    #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #micheZo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumonukuu
    #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbatv #diamond #yangasc #wcb #singidafountaingate #kondegang #wcb #yangatv #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbasc #live #simbatv #diamond #diamond #yangatv #yangasc #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #simbatv #diamond #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang
    Transcript
  • СпортСпорт

Комментарии • 90

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Месяц назад +11

    Dah nimeangalia kwa utulivu sana kifupi maswali hayajaboa majibu yameeleweka kwa mapana kbs pongezi Eng.Hersi pongezi kwa watangazaji🥰🤝👍👏👏

  • @bernadethaabudho6587
    @bernadethaabudho6587 Месяц назад +13

    Pongezi Sana Eng Herse Kwa Busara Na Uongozi Wako Ukiotukuka.Kila Jema Tunakuombea .Mungu Akulinde Ktk Kuiongoza Timu Yetu Yanga.Ubarikiwe Sana kwa Busara zako.Mfano Wa Kuigwa.Tunakupenda💛💚 🙏 Utafika Mbali Inshallah.

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Месяц назад +11

    Ana hekma,busara,uelewa wa mambo,akili na ana vision,I real love this guy,he is the best among the best,may Allah guide,guide n protect you bro,in shaa allah

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Месяц назад +5

    Uko vizuri Eng. H. Utulivu,ubunifu,ushirikishaji, hekima,busara na kujiamini lakini kubwa kuliko ni ucha Mungu wako vitaendelea kukuweka wewe na timu yako viziri zaidi. Mungu akuwekee mikono yake ili Yanga na wewe na uongozi na wafadhili wetu mpate mwanga wa mafanikio. Amina.

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk Месяц назад +7

    Hongera saana Hersi kwa kazi nzuuri unayotufanyia 💚💛💚💛

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 Месяц назад +11

    Hongera sana Rais wetu big up unafaa sana Mungu azidi kukuweka uwe na maisha marefu

  • @selestinijoseph1949
    @selestinijoseph1949 Месяц назад +18

    Huyu mwanahabari nimemkubari sana, ana maswari mazuri sana na sahihi. Pia Engineer Hersi Saidi nae ni hakiri iliyojitosherezea mnooo kuhusu mpira wa miguu

  • @mariaerenest5632
    @mariaerenest5632 Месяц назад +5

    Tunakupenda Sana rais wetu

  • @CasperKomba
    @CasperKomba Месяц назад +1

    "What a presidar🎉🎉❤" daima mbele nyuma mwiko

  • @stevenmvungi133
    @stevenmvungi133 Месяц назад +1

    Eng. Hers unastahili hta kuwa raisi wa CUF. Una upeo mkubwa sana na unajua ethics na principal za mpira wa miguu. Big up

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma9597 28 дней назад

    All the best my rais wetu ❤❤❤❤❤

  • @HafidhMtulya
    @HafidhMtulya Месяц назад +1

    ❤ raisi wa yanga daima mbele nyuma mwiko..... wananchiiii

  • @ElizabethNavuri
    @ElizabethNavuri Месяц назад +2

    Hongera Sana unastahili kuwa hiyo nafasi hatujakosea kukuchagua Mungu azidi kukupa hekima zaidi ya uongozi

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce Месяц назад +1

    Young Africans now is driven technically and compitable👍👍👍

  • @hajrasaid1924
    @hajrasaid1924 Месяц назад +1

    Kila la kheri injiania hers mungu akujaalie kila la kheri na akufanyie wepesi kwa kila hatua unayopiga

  • @Ba63828
    @Ba63828 Месяц назад +2

    Our youthful President leading our heroic players

  • @augustinolaurent
    @augustinolaurent Месяц назад +2

    All the best Engineer

  • @user-tb5gp4wi4e
    @user-tb5gp4wi4e Месяц назад +1

    Tunakupenda sanaaaaa mungu akuzidishie maisha marefu

  • @FredyDanford
    @FredyDanford Месяц назад +1

    Your the best president in young Africans just be strong

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Месяц назад +1

    Manshallah upo vizuri Airen

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Месяц назад +1

    Kaka mungu akubariki umefanya makubwa sana kwa kizazi hiki inshallhh

  • @issakazi2758
    @issakazi2758 Месяц назад +3

    Young African ipo vizuri!!

  • @AbdulChakar
    @AbdulChakar Месяц назад +1

    Big up Eng

  • @bilalseleman5867
    @bilalseleman5867 Месяц назад +1

    Upo very smart engineer

  • @StephanoKaijage
    @StephanoKaijage 25 дней назад

    Ongera sana Eng.maerezo yako mazuri

  • @beatricemlay4801
    @beatricemlay4801 Месяц назад +1

    Mungu akuweke uishi miaka mingi Rais wetu

  • @user-fp5xn6iv1m
    @user-fp5xn6iv1m Месяц назад +2

    Hawa wanahabar wanajua Sana angalia jinc wanavyouliza maswali

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Месяц назад +2

    Mm simba lakini nakubali hersi said❤

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk Месяц назад +1

    Dada yangu irini kiyango mubarikiwe Sana

  • @elishakigahe9621
    @elishakigahe9621 Месяц назад +1

    Big Mind president

  • @msaphirimagallah5781
    @msaphirimagallah5781 Месяц назад

    Huwa nasikia raha sana kukusikiliza Eng. Unaakili sana Engineer

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw Месяц назад +4

    ❤❤❤❤❤

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc Месяц назад +1

    Mungu akulinde

  • @LusanaTimotheo-mf1nn
    @LusanaTimotheo-mf1nn Месяц назад +2

    Tunakupendaijinia heris

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 Месяц назад +1

    President🔥🔥🔥

  • @noelsimonmushi
    @noelsimonmushi Месяц назад

    Respect engineer

  • @lameckkomba4827
    @lameckkomba4827 Месяц назад +1

    Rais 💚

  • @georgesena6690
    @georgesena6690 Месяц назад +1

    Acha mungu aitwe mungu bhana huyu jamaa anaupeo wajuu sana kwenye club yetu

  • @Haji-hi7lw
    @Haji-hi7lw Месяц назад +1

    Uko sahihi kabisa huyu ni kiongozi kweli kweli

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood Месяц назад +2

    Oyo izi koti walizotupia watangazaji pamoja na bos nimezielewa sana nipeni contact chinbo lipo wapi

  • @mawazochaula3642
    @mawazochaula3642 Месяц назад +1

    Mimi mwana Simba lkn kati ya Watu watatu ninao wakubali pale Yanga Eng Hersi no one.

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 Месяц назад +1

    Why not next year kombe linakuja Yangaaaaaaaaa TZ

  • @SteraZidadu
    @SteraZidadu Месяц назад +1

    Hongela

  • @deomusyebi9930
    @deomusyebi9930 Месяц назад +1

    Presidwaa kama huyu anatumia akili hasa za shule yake na ki ukweli huyu jamaa ameenda shule na shuleni alikuwa anaitendea haki kwa jinsi anavyoiongoza timu lazima ujue yupo vizuri sana. Hongera sana eng. Utaendelea kuwa raisi wetu mpaka useme basi.

  • @marrymwinuka3105
    @marrymwinuka3105 Месяц назад +1

    Hii ndio faida ya shule kweli . Hapa angekuwa mayele ni majungu tu uuu sbb Mayele Ana shule jna busara jna shukrani kbs hlf sijui kesho Yake.ongera rais wa Yanga Una busara snaaaa

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 Месяц назад +1

      inaotumika hapo ni akili aliozaliwa nae Toka tumboni

  • @GastorCleophasmkwamira
    @GastorCleophasmkwamira Месяц назад +1

    Huna dhambi Rais wetu
    Coz kila ambacho kiongoz mkubw kama wewe anapaswa kua nacho
    Wew unacho
    Kila ambacho kiongoz anapaswa anapaswa kufanya kwa watu wake
    Wew umefanya zaid
    Na kubwa zaid unaongozw na Hekima Busara maarifa na kila ambacho tunatamani kuona kikifanyika Yanga um3kua ukitembea kwenye Akili zetu pia
    Umemaliza kila kitu🙏🙏 we Ishi tu miaka yoote na Huna dhambi🙏🙏🙏💪🫶💛💚💚

  • @IsdoryMigodela-ys5hw
    @IsdoryMigodela-ys5hw Месяц назад

    Asante

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i Месяц назад +5

    Mtu wa maana kabisa huyuu

  • @hassanmasanja8720
    @hassanmasanja8720 Месяц назад

    my guy,my schoolmate ...hili nililiona tukiwa shule na nilimuambia atakuwa kiongozi siku moja...hakuwa na papara shuleni very patient kwenye kila jambo...

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu Месяц назад

    Habari nzuri mchambuzi wengine wamchongo

  • @user-bk4ug8tj3n
    @user-bk4ug8tj3n Месяц назад +1

    Mungu akutunze Kila iitwayo Leo. Rais wa watu huyu apewe mauwa yake

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood Месяц назад +1

    Oyo izo koti walizotupia watangazaji pamoja na bos kazi nimezielewa sana kama kuna yoyote anafahamu nipe contact

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 Месяц назад +2

    Huyu mwamba mtu wa mpira sana, wa tz woote tunamkubali hata kama si Yanga, labda uwe mchawi

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations Месяц назад +1

    Unyama saana

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 Месяц назад +1

    Maana ya kiongozi

  • @douglasmwakamoja4133
    @douglasmwakamoja4133 Месяц назад +1

    aisee rais wa CAF ajaye

  • @hamisially-sy5fm
    @hamisially-sy5fm Месяц назад

    👍👍👍👍👍👍

  • @alexsulle9683
    @alexsulle9683 Месяц назад +2

    Sidhani kama nimekosea kusema nchi yetu inataka viongozi kama huyu jamaa

  • @cax1338
    @cax1338 Месяц назад +2

    Akili kubwa 🧠

  • @noahmgovano7657
    @noahmgovano7657 Месяц назад +1

    Nguvu moja inafika kwako kaka

  • @happymalidadi8151
    @happymalidadi8151 Месяц назад +1

    Kwa sasa Yang's IPO mikono salama chini ya injinia

  • @MaryOoko
    @MaryOoko Месяц назад +1

    Mungu akupe maishamarefu sana injinia ndaniyauwongozi wako ndaniya yanga ❤❤

  • @JacksonMukoko
    @JacksonMukoko Месяц назад +1

    Ndiyo watu wazuri ,wapole wanyenyekevu wapo duniani kwa hiyo yupo pale ni raisi wa yanga

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 Месяц назад +1

    Kuna kitu Cha kuigwa Kwa vilabu vingi hapa tz

  • @omegahealingchurchiringa2818
    @omegahealingchurchiringa2818 Месяц назад +2

    Wewe ni kijana hazina wa soka la Tanzania

    • @georgemwapela1654
      @georgemwapela1654 Месяц назад

      Jamaa atafika mbali sana...Mungu amsimamie katika yote..

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Месяц назад +1

    Niko Dar,kiukweli Mr president ana uono wa Mbali Sana,Na hayo maelewano yake Mr GSM nakwambieni huyu mtu Ni hatari Sana ana akili nyingi Allah kamjaalia Na si ktk mpira Tu hata ktk upande wa Siasa bado atatoboa Tu,km ataamua

  • @user-br3oc1dt1x
    @user-br3oc1dt1x Месяц назад +3

    Yuko vixuri

  • @hassankumba6938
    @hassankumba6938 Месяц назад

    Siyo tegemezi ni tegemeo.

  • @user-uh5vv6or4s
    @user-uh5vv6or4s Месяц назад

    Yaani daaah wewe ungekuwa raisi wetu wa nchi tungekua mbali

  • @HabibuMalick
    @HabibuMalick Месяц назад

    Naweza nikasema rais wa yanga unastahili pongezi umetufanya tukaona tunatimu natamani ubaki yanga maisha yote najua watu wataisema timu ya yanga kwa ubaya lakini na zani nikwajili ya mafanikio yanayo onekana

  • @katalisajuka-fl3st
    @katalisajuka-fl3st Месяц назад

    Sijasikia kuhusu kufungiwa kusajili wachezaji

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 Месяц назад

    Utopolo atabaki kuwa utopolo tu nyinyi msifieni Leo lakin siku sio nyingi mutamkataa tu

    • @AminaMuhammed-bh2pg
      @AminaMuhammed-bh2pg Месяц назад

      Kama ambavyo mnavyomkataa mangungu eeh😂😂😂 endeleeni kusubiri boti kwenye kituo cha daladala

  • @ashafundi2941
    @ashafundi2941 Месяц назад

    Mimi nataka kujuwa maana maneno ni mengikyhysu Pacome maaba sielewi

  • @omegahealingchurchiringa2818
    @omegahealingchurchiringa2818 Месяц назад

    Rais mwenye weredi wa soka la kisasa lisilo na figisu mpira ni Akili na Pesa tu kwa Dunia ya leo

  • @IbrahimHassan-ex7sn
    @IbrahimHassan-ex7sn Месяц назад

    Wewe ndio jembe letu hapo jangwani hunaga baya raisi wetu wa boli Kijani na Njano Nyeusi tupo juu kwaajili yako.

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад

    Huna lolote wewe zaidi ya kununua Mechi za ligi yetu unaharibu sana Mpira wetu kenge wewe

  • @mbwambog5969
    @mbwambog5969 Месяц назад

    Engineer anajmjibu mwanahabari kitaalamu kweli kweli. Munaonaje tukimuuza Simba kwa bei Kali kisha tukatafuta mbadala!

  • @omarmakore6919
    @omarmakore6919 Месяц назад

    Kongore kwa waandishi wa habari kwa Maswali yenu ya msingi , pia hongera kwa raisi WETU Haris kwa majibu yenye tija

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood Месяц назад

    Oyo izo koti walizotupia watangazaji pamoja na bos kazi nimezielewa sana kama kuna yoyote anafahamu nipe contact

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er Месяц назад

    Mwiteni na mangungu aje ajieleze kama rais wa yanga au try again tuone wanavyoropoka huyu kijana ana kipawa cha uongozi yaani hasoni anakujibu titi for tati