🔴LIVE:ALLY KAMWE "FEI TOTO HAWEZI KUCHEZA NA DEBORA SIMBA/CHAMA TUMEMPA ULINZI MKUBWA/HATUOKOTIOKOTI
HTML-код
- Опубликовано: 6 июл 2024
- Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe Leo July 7,2024 amezungumza na Vyombo vya habari,punde tu alipotua kwenye uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport akitokea Mbeya
Aidha amefunguka kuhusu usajili unaoendelea huku akigusia kuhusiana na usajili wa Prince Dube. Спорт
Acha Debora!! 😅ngoja akacheze na Joyce😂😂😂
Uko sawa simba no makolo🧡💛💛💛💛
Na hao watoto wakikomaa tunwachukua. Acha hiyo iwe ni as academy yetu
Mbona watu wanatukana au ni Simba mbovu😂😂😂💚💚💚💛💛💛
Ally kamwe unaniuwa uku😂😂
Yanga ni namba moja Africa na hamsemi, we huogop
Nikukumbushe acha kuwasimanga wachezaji kwanini unamuonea huyu debora
Tasafu fc
We chama karib yanga
Hata Joyce ni Joyce
Mbona alicheza na Joyce
Eti sisi hatuchukui watu kuja kuwalea.
anaongea ukweli simba bado mnazidi kuporomoka poleni sana
Huyu hana taaluma ya uandishi,anaiongelea simba tu
❤❤❤❤❤❤ young African
Nakubali kamwe
Bado hamjasema2
Simba brand Ili uonekane lazma uisemee Simba ndo maana
Zoa zoa fc mchukueni na bocco hhhhhhhhh wewe si ulisema chama ni kilema cha ajabu njiti kakata keki mamae
Hivi Deborah na muda nan mkali comment
Why debo😅😂
Zungumzia timu Yako,Kila cku Simba Simba,
Waambie Kamwe❤❤❤😂😂😂
Ali kamwe unajua kukela
Mwana zungumzia na timu zingine kama makolo wasiokuwa na msemaji
Mkata mauno akiongea anajulikana
We huna jipya umeishiwa nyimbo unaemtegea ni scaut was Simba chama ,bareke,mkude na okrahuna jipya pumbaa v
P kuhusu jous hujui kikongo umesoma kiswahili ndio maana
Team kubwa haifanyi scout, wachezaj wanaipenda wenyewe,, na hao waliosajiliwa akiwemo mzuri 2 anaejua bori, anakuja team kubwa..
Ila kacheza na Joyce sio
Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham
DC😂😂😂
𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲 𝗻𝗮 𝗧𝘂𝗻𝗮 𝗧𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗡𝗮𝗲 😂😂😂
Alli umenikumbusha msemo wa Kiingereza usemao: You may be hungry and yet abandon the food that is already on dining table. For it's not hunger that makes one eat from the table but rather it's the arrangement of the table and the mood of its attendant. Yanga inawavutia. wachezaji wakubwa hivi sasa wanapo assess quality ya wachezaji watakao fanya combination nao na hatimaye kufanya familia moja. Lakini pia uongzi, manjonjo na maslahi watakayo kutana nayo kama wanafamilia ktk club.
Simba sasahv wanaitwa mishangazi wanalea watoto
Dogo hajielewi uyu
Badala aongelee team yake anaongelea simba
Kwani fei hakucheza na Joyce
Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham 9:31
Unajipendekeza kwa fei
Uta umia sana Kwa usajili wa Simba na Bado mpa ukome Usha Anza kuunga unga maneno
Usajili gani huo alioufanya Simba😆😆😆😆 mnachukua watoto wa ili muwalee🤣🤣🤣
Nimekuwa wakwanza
Debo😂😂😂😂
Kitoto kinajidai hiki
Xavi mtupu fei
Yanga hamna mchezaji wa kuifunga alahli
Pacome ni bibi yako eti😂
Uzuri msemaji wetu wa simba akiongea huwa haongelei hawa mashog
Duh huyu jamaa akapimwe akili,,coz msemaji mzuri ni yule anayeongelea timu yake sasa huyu mmmh anatia ad huruma
Michezo sio matusi
Kwan dube kaishafany nn cha maana ????
Acha upumbavu wako mbona Feitoto alipokuwaapo alicheza na joyce
Debora ni mcheza lede huyo hamna ki2
Watapat Tabu Xan Mwaka Huu Makolo Kazi Yaho Kuzurura Tu😅😅
Makolo mama yako
Ndo jina lenu 😂😂😂
Debora fc wamenuna
Duuu hili nisemaji au ni bwabw tu
Ww zungumza ynu ni NSSF mbna hatuwataji wenu . Kolo ni mjomba kk wa mamako. Utaiga sana .fara ww
Yani huyu jamaa hajui kabisa kuongea Yani ni zero nyeusi
Choko we alikomwe
Haujakua bado siku ukikua utaacha utoto
Yaani Yanga mnasajili watalakiwa 😂
Mwacheni aongee semaji letu nyie wote mnaomsema ni ya mkosaji
Wewe zungumzia team yako simba na Azam ndo nn
Huyu ni zero lipuuuzi m
Atacheza. Na. Mamaaako
Wewe huna akili ndomaana unajikilimu hunalolotewewe
Ww ni chura a,k,,a uto kama kaweza kucheze utopolo timu zingine je
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 unachukuatuu sio?? Gonga taarabu babaaaa
Baba simba namba sita timu yako yaangapi??????😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pimbi tu huyo kelele nyingi tu
Yanga ni namba moja
😂😂😂😂
Acha zako wewe mbn unakufa kwa maneno muache msemaji wa caf na mashabki wa caf tutambe weweee
Unajipendekeza kwa fei wewe alikamwe
Kati ya alikamwe na madunduka nani anajipendekeza😊😂
Waaambie
Acha hizo wewe dogo, kwani Fei hakuiacha Yanga inakwenda Champions Club akaenda Azam ambayo ilicheza Confidaration Cup? watu wana angalia Pesa sio sifa ya kucheza michuano mikubwa.
We ni kapumbavu kabisa
Zungumzia usajir wako acha kuzungumzia wachezaj wasimba na cuf hamfik popote hata robo hamtoboi
Nani kakutuma umskize....😂😂😂
Unatafuta nini huku choo cha kike??
😂😂😂😂 unateseka na maneno
Mbona mapovu ndugu?!
Kasikilize wasemaj watim ndogo achana na mwananchi
Ubingwa unaujua wewe bwaaa
😂 debora fc 😂😂😂😂😂
Joyce lomalisa
Inatamkwa Debrii Fernandez
Huyo joisi wako unajizima data humjui.pumbafu wewe.
Mtaumia sana makolo😅😅😅
Joyce, zawadi,
We vp mbona unakimdomo sana
Wewe nimjinga mchezaji wa simba anakuhusu nini.mwehu tu wewe
😂😂😂 njiti fc mtoeni hiyo miwani mtu unacheza mpira umevaa miwani na huyo si alisema chama mzee chama ni kilema dunia hii lakin sawa zoa zoa fc mchukueni na bocco
Yan Ww mxhukulu Mungu kukuumba wakiume Ila Ungekuwa wakike Ucnge olewa Nahata Asaiv Nina Hofu inaezekana Co Mwenzetu Kwann huzungumzii Timu Yako Ya Wazee lazima uitaje Simba Huo Ndo Mwanzo Wakufeli Mbwa ww
Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham