🔴LIVE:ALLY KAMWE "FEI TOTO HAWEZI KUCHEZA NA DEBORA SIMBA/CHAMA TUMEMPA ULINZI MKUBWA/HATUOKOTIOKOTI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июл 2024
  • Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe Leo July 7,2024 amezungumza na Vyombo vya habari,punde tu alipotua kwenye uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport akitokea Mbeya
    Aidha amefunguka kuhusu usajili unaoendelea huku akigusia kuhusiana na usajili wa Prince Dube.
  • СпортСпорт

Комментарии • 110

  • @mierin8456
    @mierin8456 9 дней назад +5

    Acha Debora!! 😅ngoja akacheze na Joyce😂😂😂

  • @SalomeEmanuelimpalasinge
    @SalomeEmanuelimpalasinge 8 дней назад

    Uko sawa simba no makolo🧡💛💛💛💛

  • @francisngowi7556
    @francisngowi7556 9 дней назад +3

    Na hao watoto wakikomaa tunwachukua. Acha hiyo iwe ni as academy yetu

  • @mimiwajuu
    @mimiwajuu 9 дней назад +2

    Mbona watu wanatukana au ni Simba mbovu😂😂😂💚💚💚💛💛💛

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 9 дней назад +4

    Ally kamwe unaniuwa uku😂😂

  • @roi2554
    @roi2554 9 дней назад +2

    Yanga ni namba moja Africa na hamsemi, we huogop

  • @emmanuelmathiasmpesa9396
    @emmanuelmathiasmpesa9396 8 дней назад +1

    Nikukumbushe acha kuwasimanga wachezaji kwanini unamuonea huyu debora

  • @aamarsuleymain2932
    @aamarsuleymain2932 8 дней назад +1

    Tasafu fc

  • @AntonyPitter
    @AntonyPitter 8 дней назад

    We chama karib yanga

  • @martinkabazo8412
    @martinkabazo8412 9 дней назад +2

    Hata Joyce ni Joyce

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt 9 дней назад +6

    Mbona alicheza na Joyce

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 9 дней назад +1

    Eti sisi hatuchukui watu kuja kuwalea.

  • @marthajosephdihimbwa2329
    @marthajosephdihimbwa2329 9 дней назад

    anaongea ukweli simba bado mnazidi kuporomoka poleni sana

  • @athumanmsuya2688
    @athumanmsuya2688 9 дней назад +1

    Huyu hana taaluma ya uandishi,anaiongelea simba tu

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 9 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤ young African

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 9 дней назад

    Nakubali kamwe

  • @Abdurazaqmbuni714
    @Abdurazaqmbuni714 9 дней назад +1

    Bado hamjasema2

  • @jonasinocent7477
    @jonasinocent7477 9 дней назад

    Simba brand Ili uonekane lazma uisemee Simba ndo maana

  • @user-hv9mb4uy1z
    @user-hv9mb4uy1z 9 дней назад +1

    Zoa zoa fc mchukueni na bocco hhhhhhhhh wewe si ulisema chama ni kilema cha ajabu njiti kakata keki mamae

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 8 дней назад

    Hivi Deborah na muda nan mkali comment

  • @khayrounabdullah806
    @khayrounabdullah806 9 дней назад +1

    Why debo😅😂

  • @AllyAbdallah-hn9rq
    @AllyAbdallah-hn9rq 9 дней назад

    Zungumzia timu Yako,Kila cku Simba Simba,

  • @chawalagodfrey9013
    @chawalagodfrey9013 9 дней назад

    Waambie Kamwe❤❤❤😂😂😂

  • @MunirPingili
    @MunirPingili 8 дней назад

    Ali kamwe unajua kukela

  • @josephndaki8003
    @josephndaki8003 8 дней назад

    Mwana zungumzia na timu zingine kama makolo wasiokuwa na msemaji

  • @JumaLuwaly
    @JumaLuwaly 9 дней назад +1

    Mkata mauno akiongea anajulikana

  • @TeresiaDeo
    @TeresiaDeo 9 дней назад +1

    We huna jipya umeishiwa nyimbo unaemtegea ni scaut was Simba chama ,bareke,mkude na okrahuna jipya pumbaa v
    P kuhusu jous hujui kikongo umesoma kiswahili ndio maana

    • @KevinPhilberth
      @KevinPhilberth 9 дней назад +1

      Team kubwa haifanyi scout, wachezaj wanaipenda wenyewe,, na hao waliosajiliwa akiwemo mzuri 2 anaejua bori, anakuja team kubwa..

  • @shaxonboy_
    @shaxonboy_ 9 дней назад

    Ila kacheza na Joyce sio

  • @KibinzaCharles
    @KibinzaCharles 9 дней назад

    Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham

  • @mimiwajuu
    @mimiwajuu 9 дней назад +1

    DC😂😂😂

  • @bilombelekilozodieudonne123
    @bilombelekilozodieudonne123 9 дней назад +1

    𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲 𝗻𝗮 𝗧𝘂𝗻𝗮 𝗧𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗡𝗮𝗲 😂😂😂

  • @brownmasai774
    @brownmasai774 9 дней назад

    Alli umenikumbusha msemo wa Kiingereza usemao: You may be hungry and yet abandon the food that is already on dining table. For it's not hunger that makes one eat from the table but rather it's the arrangement of the table and the mood of its attendant. Yanga inawavutia. wachezaji wakubwa hivi sasa wanapo assess quality ya wachezaji watakao fanya combination nao na hatimaye kufanya familia moja. Lakini pia uongzi, manjonjo na maslahi watakayo kutana nayo kama wanafamilia ktk club.

  • @salumuomari
    @salumuomari 9 дней назад

    Simba sasahv wanaitwa mishangazi wanalea watoto

  • @jumakalinga2812
    @jumakalinga2812 9 дней назад +1

    Dogo hajielewi uyu

  • @Vedax_mashauri
    @Vedax_mashauri 9 дней назад

    Badala aongelee team yake anaongelea simba

  • @jonasinocent7477
    @jonasinocent7477 9 дней назад

    Kwani fei hakucheza na Joyce

  • @KibinzaCharles
    @KibinzaCharles 9 дней назад

    Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham 9:31

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m 9 дней назад

    Unajipendekeza kwa fei

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m 9 дней назад

    Uta umia sana Kwa usajili wa Simba na Bado mpa ukome Usha Anza kuunga unga maneno

    • @sosomacharles9920
      @sosomacharles9920 9 дней назад +1

      Usajili gani huo alioufanya Simba😆😆😆😆 mnachukua watoto wa ili muwalee🤣🤣🤣

  • @shabanishabani9350
    @shabanishabani9350 9 дней назад +1

    Nimekuwa wakwanza

  • @jacminjosefh4400
    @jacminjosefh4400 8 дней назад

    Debo😂😂😂😂

  • @user-yr8eq7rr1z
    @user-yr8eq7rr1z 7 дней назад

    Kitoto kinajidai hiki

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 8 дней назад

    Xavi mtupu fei

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m 9 дней назад

    Yanga hamna mchezaji wa kuifunga alahli

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy 9 дней назад

    Uzuri msemaji wetu wa simba akiongea huwa haongelei hawa mashog

  • @Kelvin-gi1zp
    @Kelvin-gi1zp 9 дней назад

    Duh huyu jamaa akapimwe akili,,coz msemaji mzuri ni yule anayeongelea timu yake sasa huyu mmmh anatia ad huruma

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 9 дней назад

    Michezo sio matusi

  • @Marthamajebele-xr8lb
    @Marthamajebele-xr8lb 9 дней назад

    Kwan dube kaishafany nn cha maana ????

  • @cyprianbernard3378
    @cyprianbernard3378 9 дней назад

    Acha upumbavu wako mbona Feitoto alipokuwaapo alicheza na joyce

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 9 дней назад

    Debora ni mcheza lede huyo hamna ki2

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 9 дней назад

    Watapat Tabu Xan Mwaka Huu Makolo Kazi Yaho Kuzurura Tu😅😅

  • @emmanuelngussa1529
    @emmanuelngussa1529 9 дней назад +2

    Makolo mama yako

  • @ZainabSimith-ey6vm
    @ZainabSimith-ey6vm 9 дней назад

    Duuu hili nisemaji au ni bwabw tu

  • @ZuberiMlanzi
    @ZuberiMlanzi 9 дней назад

    Ww zungumza ynu ni NSSF mbna hatuwataji wenu . Kolo ni mjomba kk wa mamako. Utaiga sana .fara ww

  • @johnfrank234
    @johnfrank234 9 дней назад

    Yani huyu jamaa hajui kabisa kuongea Yani ni zero nyeusi

  • @JustinePogba
    @JustinePogba 9 дней назад

    Choko we alikomwe

  • @johnshija8917
    @johnshija8917 9 дней назад

    Haujakua bado siku ukikua utaacha utoto

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 9 дней назад

    Yaani Yanga mnasajili watalakiwa 😂

  • @devynnedennis7358
    @devynnedennis7358 9 дней назад

    Mwacheni aongee semaji letu nyie wote mnaomsema ni ya mkosaji

  • @Busagotz
    @Busagotz 9 дней назад

    Wewe zungumzia team yako simba na Azam ndo nn

  • @ZainabSimith-ey6vm
    @ZainabSimith-ey6vm 9 дней назад

    Huyu ni zero lipuuuzi m

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi 9 дней назад

    Atacheza. Na. Mamaaako

  • @cyprianbernard3378
    @cyprianbernard3378 9 дней назад

    Wewe huna akili ndomaana unajikilimu hunalolotewewe

  • @YahayaBakari-hf5yk
    @YahayaBakari-hf5yk 8 дней назад

    Ww ni chura a,k,,a uto kama kaweza kucheze utopolo timu zingine je

  • @user-pf6tl1jy8c
    @user-pf6tl1jy8c 9 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 unachukuatuu sio?? Gonga taarabu babaaaa

  • @user-pf6tl1jy8c
    @user-pf6tl1jy8c 9 дней назад +1

    Baba simba namba sita timu yako yaangapi??????😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @law93king
    @law93king 9 дней назад

    😂😂😂😂

  • @NadriqDotto-lk5ss
    @NadriqDotto-lk5ss 9 дней назад

    Acha zako wewe mbn unakufa kwa maneno muache msemaji wa caf na mashabki wa caf tutambe weweee

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m 9 дней назад +1

    Unajipendekeza kwa fei wewe alikamwe

    • @jamessanga6768
      @jamessanga6768 8 дней назад

      Kati ya alikamwe na madunduka nani anajipendekeza😊😂

  • @shabanishabani9350
    @shabanishabani9350 9 дней назад

    Waaambie

  • @HajiKanju-x8o
    @HajiKanju-x8o 8 дней назад

    Acha hizo wewe dogo, kwani Fei hakuiacha Yanga inakwenda Champions Club akaenda Azam ambayo ilicheza Confidaration Cup? watu wana angalia Pesa sio sifa ya kucheza michuano mikubwa.

  • @RwechungulaBegumisa
    @RwechungulaBegumisa 9 дней назад

    We ni kapumbavu kabisa

  • @emmanuelngussa1529
    @emmanuelngussa1529 9 дней назад +6

    Zungumzia usajir wako acha kuzungumzia wachezaj wasimba na cuf hamfik popote hata robo hamtoboi

    • @user-lr6kf6bf9l
      @user-lr6kf6bf9l 9 дней назад +2

      Nani kakutuma umskize....😂😂😂

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 9 дней назад

      Unatafuta nini huku choo cha kike??

    • @user-cb3uo6rs7o
      @user-cb3uo6rs7o 9 дней назад

      😂😂😂😂 unateseka na maneno

    • @paulnzilo7252
      @paulnzilo7252 9 дней назад

      Mbona mapovu ndugu?!

    • @KevinPhilberth
      @KevinPhilberth 9 дней назад +3

      Kasikilize wasemaj watim ndogo achana na mwananchi

  • @jonasinocent7477
    @jonasinocent7477 9 дней назад

    Ubingwa unaujua wewe bwaaa

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 9 дней назад

    😂 debora fc 😂😂😂😂😂

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 9 дней назад

    Huyo joisi wako unajizima data humjui.pumbafu wewe.

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 8 дней назад

    Wewe nimjinga mchezaji wa simba anakuhusu nini.mwehu tu wewe

  • @user-hv9mb4uy1z
    @user-hv9mb4uy1z 9 дней назад

    😂😂😂 njiti fc mtoeni hiyo miwani mtu unacheza mpira umevaa miwani na huyo si alisema chama mzee chama ni kilema dunia hii lakin sawa zoa zoa fc mchukueni na bocco

  • @ShabaniIssaBenja
    @ShabaniIssaBenja 9 дней назад

    Yan Ww mxhukulu Mungu kukuumba wakiume Ila Ungekuwa wakike Ucnge olewa Nahata Asaiv Nina Hofu inaezekana Co Mwenzetu Kwann huzungumzii Timu Yako Ya Wazee lazima uitaje Simba Huo Ndo Mwanzo Wakufeli Mbwa ww

  • @KibinzaCharles
    @KibinzaCharles 9 дней назад

    Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham