🔴LIVE: WAZEE WA YANGA WACHACHAMAA/MAGOMA MTOTO MDOGO/KAMA KASHINDA KESI AJE MAKAO MAKUU YA KLABU
HTML-код
- Опубликовано: 27 авг 2024
- Leo July 17,2024 Mpenja TV Tumefika Makao Makuu ya Yanga Jangwani na tumezungumza na baadhi ya Wazee waliopo kwenye Baraza la Wazee wa klabu hiyo, Kuhusu kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo mara baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa uamuzi wa uongozi uliopo Madarakani, ukiongozwa na Eng Hersi Said ung'atuke madarakani.
Mzee heshima kwako mungu azidi kukupatia afya njema nakuelewa sana kwa uyasemayo
Watuachie yanga yetu na hersi haondoki💚💚💚💛💛
Huku Pemba tuna mjuwa heris tu💚💛💛💚💚💚
Mia mia sisi wapemba tuna mtambua heris nawakilisha wapujini woote waaaaaa wiiiii 😂😂😂😂
Duh wazee nyie safi nimewaelewa sanaaa
safi sana mzee,,uyo mzee magoma ni kenge mwenye mikia 7
Huyo magoma tutayapiga magoma yake na tutayacheza😅
Kumbe mtu mwenyewe tangu miaka ya 90 uko ndio mambo yake
😊
Mchafuzi huyo kanikeraaaaaa yani wote wapenzi wa Yanga tungane dunia nzima kumtetea Eng Heri wetu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ mbele kwa mbele
Ama kweli ya kabwela huyu ni kituko cha mwaka huu.tumseme hadi achanganyikiwe
Njaa mbaya
Uyo mzee magoma hatoboi Wala usiwe na wasi wasi
Mzee Sindano kaongea point sana asee
Kweli kabisa kwenye mafanikio kuna Vita,
Mti wenye matunda unapigwa mawe
Daaah mzeee wangu mungu akubarik tunawapend wazeee kam ww mzee wangu
Nmependa msimamo wa wazee
safi sana wezee mwenyezi mungu azidishie umri mrefu amina
Huyu Mzee yuk vizur jibu zuri sanaa
Asante Sana mungu akubariki sana
Huyo magoma tutamdunda❤❤yanga
😂😂😂 safi sana wazee Wangu mko vizuli Yanga ni kubwa❤ me J.Naldo apa kutoka Bagamoyo CR7
Hizi ndizo mbinu nje ya uwanja. Wanajua kuwa Yanga iko bussy na maandalizo ya usajili na michezo ya ndani na nje na wanataka kututoa kwenye reli. Magoma ni Fisi aliye zoea kuishi kwenye chumba cha mizoga haawexi kuvumilia kuona chumba kile amepewa mwingine. Sisi tunaangalia maendeleo ya timu. Katiba inarekebishika na wala sio msshafu.
Mzee Wangu miaka 💯 umeongea umetulia Sana Mungu awe Mwema kwako❤
Mtangazaji uwe na ADABU. Cha kwanza ni salaam kwa wazee.
Watuachie yanga yetu wasituvuruge washaona tumetulia mamluki wameanzaa sasa
Mamluki anajua kufuata utaratibu Wala hajatumiwa na klabunyeyote anafuata haki mbumbu mtabaki hivyo hivyo
Nimekupenda bure mzee wangu mungu akubariki Amina.
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Amna kitu kinaweza tokea
Masha Allah
❤❤yanga
Hii nimipango ya kutaka kuimaliza ynga
Wajaribu tena baadae hapa wamechemka
😅😅😅😅😅😅😅😅
Hilo lizee mungu asaidie life ata usiku wa leo limbwa hilo kumamake
Young Ni kijana asa mzee aanzishe timu yake hii timu Ni ya kijana wa kiafrika ndiyo maana ya YOUNG AFRICA. kila mzee aseme yake yanga itakuwa ya nani tumeangaika na akilimali atusumbue MAGOMA. senge kweliii
Hata mm Nashangaa "Yaan Mzee umri wa kina Kapombe,Fabrice Ngoma,Saidoo na Mukwala" Atusumbue wananchii.Aah wapi banaa
Pesa ya mo inaongea hv hamjiulizi kwa nini wamekuja na neno ubaya ubwela? Hiyo ndo siri mo kashaanza kutoa pesa tutayasikia mengi
😂😂😂😂wew hembu waache simba hovyo kabisa mo ameingiaje ? ubaya ubwile Ahmed anasemea usajili huna unachokijua
Amka kumekucha bado umelala uendelee ķuota ndoto za abunuasi
Washanunuliwa Huyo Mzee Wakolo Watatua Wana Kutuvunjia Hao Ila Hasbillah Waneemalwakiyl ...
Tutaichoma hyo mahakama raisi akiondoka engener kisutu tunaipiga moto hatutaki Usenge kabsa!🔥🔥
Mzee nimekuelewa vizuli sana
BUNDI KAHAMIA JANGWANI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kudadeki
Ulipofanywa uchaguzi hio mahakama haikuwepo ikaweka pingamizi na hao wanachama walikuwa wapi hadi Leo ndio wanakwenda mahakamani.
Safi sana😊
Wee banaaa eti nani angatuke
Hapana machezo
Hersi hoyeee
Huyo jaji ni kolo! Wabunge 19 bungeni WANAKULA Hela jaramu wakati Wamama wanalia maisha magumu, wanauza ndizi na karanga jua Kali, Hela za Kodi zao mnawapa michepuko wa lazima. Hakuna tamko lolote na mnajua ni haramu na Sheria zimevunjwa.
Mbona mnapenda kuumiza umma mkubwa Kwa maslahi watatu? Hii Nchi mpaka yapatikane mapinduzi kwakweli.
Tunaitaji wazee wenyee akili za utuuzima kama Hawa mungu awabaliki wazee wa hovyo wajifuze kwenu hizi ndo busala za wazee Tena kama wpo wapige magoti watubu Kwa mungu
Saf sana nimekuelewa sana hyo mzeee magoma njaaaaa hyo nyumba yake yenyewe nyasi
Kweli safari ya Mamba na kenge wapo na kenge mwenyewe mzee magoma mchawi huyo magoma
Mzee umeongea point sana
Magoma mtoto tu', Hana uzee wwt shida tu' zinamsumbua, hawezi kuwa na rank za kina motisha....🤣🤣🤣
Umeongea pwent mzee
Kwa sasa hatuweziii kuludia bakuliiii 🔰🌍🫡
Uyu ndo mzee wa Yanga bwana yule boya magoma sijui katoka wapi
Safi sana wazee wetu
Mirija imeziba magoma njaa tele ss
Dah jmni embu msituvurugeee kabisa sawa eeeh au umeona kiongoz wetu anafaidi au nin sasa nawaomben mtuavhie huyoo binadam plz 😢😢😢
Mmezowea kuwanga lakini hii ni enzi ya teknlojia
Mzee magoma anahangaishwa na njaa tu
Njaa zinamsumbua alaf nimeskia hii mara ya 3 mzee hana kadi ya uanachama😂😂😂😂
Kwann asitafutwe popote alipo😅😅😅😅
Huyuu mzeee ni shoga kachafua hali ya hewa
Nimekukubali mzeewetu.wewe nimuelewa sana
Yaani kuna vizee vingine vikiona vinakaribia kufa vinatafuta sababu za kufa nazo
Nadhani hakimu aliyempa ushindi huyo mpuizi ni msimba.
Kumb😂nmegundua magoma nd alimwambia fei Toto aseme hers aondoke ili Toto arudi😂 kumb alitumwa na huyu Mzee magoma Siri imefichuka
Mzee ameongea point sana
Kumbe ni kijana kwendraa zake
Mmmh jamani hakika elimu ni kitu BORA SANA,hilo debe tupu na wanaomzunguka WATUACHE NA MAFANIKIO YETU WANANCHI,cc na eng.Hersi/eng Hersi na cc,wananchiiiiiiii !
Uyo Mzee mchawi na asipo kuwa makini atakufa kweli
Atakufa kwasababu gani?
SIMBA WAONYESHE UWEZO UWANJANI SIO NJE YA UWANJA
Wanaanza kutengeneza migogoro mapema ili wapate kamserereko
Saf sana
Waache usenge yanga kuyumba wamuache mwamba atuongoze vyema
Sasa unazungumzia habari ya Simba na umeulizwa kuhusu timu yenu?
Yaani tungekuaga na majini kweli mzee magoma ningemtupia majini kumi
Mzee huyu kaupiga mwingi sana💚🔰
Njaaa nayo sio 😂😂😂😂
Na sisi vijana hatumtaki sio kijana yule atafute pakukaa hakuna kijana wa vile😅
💛💚
TUNAEMJUA MAGOMA JAMANI KAFANYWA CHAMBO MDOGO SANAAAA HUYO ANA UZEE NJAAA KALI ATULIE KAKA ETU
Ili limzee magoma lawezekana nilichawi kwanini linachanganya yangayetu
Kagoma kaikataa yanga magoma kaenda kuishaki piga like kwa watu wa majina ya gomagoma😂😂😂
Magoma mtu wa maana kabisa 😂😂😂
Yanga itabaki kamayanga daimambele nyumamwiko
Makoma kaniharibia siku aise jini saidizi
Katka safari ya mamba kenge wapo, ukitaka kuwaua kenge wote utawaonea ua mmoja mmoja
Rais wetu tunampenda ww kama humtaki hama timu
Mzee uishii tuuu 😅😅😅
🙏
Pamoja sana mmwambie ukweri huyo mzee ajue tena atulie kama njaa wamsagie unga wa ubuyu wampee
Hizi simba haijageuzwa soko makao makuu ya jengo la simba ni msimbazi na ni katikati ya mji sasa kuna ubaya kugodisha jengo klabu ipate hela
Achani yanga yetu
Uyo mzee aturie
Wazee hao bado ni wafuata upepo tu
Mzee umeongea magoma hana umri na haki ya kuitwa mzee
Natumai sio wazee wote wa yanga upo na ao mamluki akina kagoma na mwaipopo.
Wazee yanga hawana pesa ya ugolo😅😅
Mm kunawatu wanatamani kuibomoa time laminitis hiyo niyanga sio simba
Tutamfila huyo mangoma tushavulugwa
Hapo ni wanahitaji pesa tu sikingine
Njaaa itamuuuuua uyo mzeee
Huyu mzee mtu wa maana kabisaaa
kwanza hels anatuhujum aondoke hatumtaki mbona kipindi tunatembeza bakuri hakujitokeza kwanza anatuhujum yeye na mo ni kitu kimoja
Kwanza hata kama ni mwanachama afutiwe
Mzee hakushitaki wakati wa tembeza bakuli! Mafaniakio yanaonekana anafikiri kuna ulaji! Hersi ni injinia, ina maana kafanikiwa kabula ya kuja Yanga, mzee aache wivu.
Lakini huyo Mzee magoma anatambulika na mahakama imeona ukweli hivyo wazee hapo katiba imefinyangwa lazima mtambue
Magoma ni mchawi
Huyo magoma anacho kitaka atakipata kenge huyo kitanuka akae kwa kutulia tusimuone kitaa mamae
wewe ndyo mzee sasa siyo uyo magoma mpuuzi anataka kuleta upuuzi wake kwenye furha yetu atoke zake
Nuksi tu mnaitia timu