🔴LIVE: WAZEE WA YANGA WACHACHAMAA/MAGOMA MTOTO MDOGO/KAMA KASHINDA KESI AJE MAKAO MAKUU YA KLABU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • Leo July 17,2024 Mpenja TV Tumefika Makao Makuu ya Yanga Jangwani na tumezungumza na baadhi ya Wazee waliopo kwenye Baraza la Wazee wa klabu hiyo, Kuhusu kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo mara baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa uamuzi wa uongozi uliopo Madarakani, ukiongozwa na Eng Hersi Said ung'atuke madarakani.

Комментарии • 166

  • @DominicBwanali-xl4wj
    @DominicBwanali-xl4wj Месяц назад +16

    Mzee heshima kwako mungu azidi kukupatia afya njema nakuelewa sana kwa uyasemayo

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 Месяц назад +17

    Watuachie yanga yetu na hersi haondoki💚💚💚💛💛

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Месяц назад +10

    Huku Pemba tuna mjuwa heris tu💚💛💛💚💚💚

    • @user-lq7kv7sx3t
      @user-lq7kv7sx3t Месяц назад

      Mia mia sisi wapemba tuna mtambua heris nawakilisha wapujini woote waaaaaa wiiiii 😂😂😂😂

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 Месяц назад +7

    Duh wazee nyie safi nimewaelewa sanaaa

  • @innocentiBonifas
    @innocentiBonifas Месяц назад +13

    safi sana mzee,,uyo mzee magoma ni kenge mwenye mikia 7

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Месяц назад +1

      Huyo magoma tutayapiga magoma yake na tutayacheza😅

    • @BenPeter-vp2cy
      @BenPeter-vp2cy Месяц назад +2

      Kumbe mtu mwenyewe tangu miaka ya 90 uko ndio mambo yake

    • @AbrodNsemwa
      @AbrodNsemwa Месяц назад

      😊

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb Месяц назад +9

    Mchafuzi huyo kanikeraaaaaa yani wote wapenzi wa Yanga tungane dunia nzima kumtetea Eng Heri wetu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ mbele kwa mbele
    Ama kweli ya kabwela huyu ni kituko cha mwaka huu.tumseme hadi achanganyikiwe

  • @anthonylister754
    @anthonylister754 Месяц назад +7

    Mzee Sindano kaongea point sana asee

  • @JuliethMshiu
    @JuliethMshiu Месяц назад +5

    Kweli kabisa kwenye mafanikio kuna Vita,
    Mti wenye matunda unapigwa mawe

  • @SadikBakary
    @SadikBakary Месяц назад

    Daaah mzeee wangu mungu akubarik tunawapend wazeee kam ww mzee wangu

  • @adolfjosephmwatulo
    @adolfjosephmwatulo Месяц назад +5

    Nmependa msimamo wa wazee

  • @shabanimussa4269
    @shabanimussa4269 Месяц назад +9

    safi sana wezee mwenyezi mungu azidishie umri mrefu amina

  • @user-ly2cz2nb2x
    @user-ly2cz2nb2x Месяц назад +5

    Huyu Mzee yuk vizur jibu zuri sanaa

  • @SAKINAJUMA-ey8qd
    @SAKINAJUMA-ey8qd Месяц назад +4

    Asante Sana mungu akubariki sana

  • @SalmuWilson
    @SalmuWilson Месяц назад +6

    Huyo magoma tutamdunda❤❤yanga

  • @OmaryzingZing-jd3xm
    @OmaryzingZing-jd3xm Месяц назад +1

    😂😂😂 safi sana wazee Wangu mko vizuli Yanga ni kubwa❤ me J.Naldo apa kutoka Bagamoyo CR7

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Месяц назад +4

    Hizi ndizo mbinu nje ya uwanja. Wanajua kuwa Yanga iko bussy na maandalizo ya usajili na michezo ya ndani na nje na wanataka kututoa kwenye reli. Magoma ni Fisi aliye zoea kuishi kwenye chumba cha mizoga haawexi kuvumilia kuona chumba kile amepewa mwingine. Sisi tunaangalia maendeleo ya timu. Katiba inarekebishika na wala sio msshafu.

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Месяц назад

    Mzee Wangu miaka 💯 umeongea umetulia Sana Mungu awe Mwema kwako❤

  • @dentomedicalresourceslimit4602
    @dentomedicalresourceslimit4602 Месяц назад

    Mtangazaji uwe na ADABU. Cha kwanza ni salaam kwa wazee.

  • @HappyJohn-jo8im
    @HappyJohn-jo8im Месяц назад +18

    Watuachie yanga yetu wasituvuruge washaona tumetulia mamluki wameanzaa sasa

    • @ArafaMkomwele-vi2hp
      @ArafaMkomwele-vi2hp Месяц назад

      Mamluki anajua kufuata utaratibu Wala hajatumiwa na klabunyeyote anafuata haki mbumbu mtabaki hivyo hivyo

  • @FeristaPaulo-v7d
    @FeristaPaulo-v7d Месяц назад

    Nimekupenda bure mzee wangu mungu akubariki Amina.
    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @abdu36tz68
    @abdu36tz68 Месяц назад +13

    Amna kitu kinaweza tokea

  • @user-hk4hk4gd5x
    @user-hk4hk4gd5x Месяц назад

    Masha Allah

  • @SalmuWilson
    @SalmuWilson Месяц назад +2

    ❤❤yanga

  • @abdu36tz68
    @abdu36tz68 Месяц назад +14

    Hii nimipango ya kutaka kuimaliza ynga

  • @IborochaWarioba
    @IborochaWarioba Месяц назад

    Hilo lizee mungu asaidie life ata usiku wa leo limbwa hilo kumamake

  • @AminaRobert-c7p
    @AminaRobert-c7p Месяц назад +2

    Young Ni kijana asa mzee aanzishe timu yake hii timu Ni ya kijana wa kiafrika ndiyo maana ya YOUNG AFRICA. kila mzee aseme yake yanga itakuwa ya nani tumeangaika na akilimali atusumbue MAGOMA. senge kweliii

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack Месяц назад +2

    Hata mm Nashangaa "Yaan Mzee umri wa kina Kapombe,Fabrice Ngoma,Saidoo na Mukwala" Atusumbue wananchii.Aah wapi banaa

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Месяц назад +7

    Pesa ya mo inaongea hv hamjiulizi kwa nini wamekuja na neno ubaya ubwela? Hiyo ndo siri mo kashaanza kutoa pesa tutayasikia mengi

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x Месяц назад

      😂😂😂😂wew hembu waache simba hovyo kabisa mo ameingiaje ? ubaya ubwile Ahmed anasemea usajili huna unachokijua

    • @NurudinZuberi
      @NurudinZuberi Месяц назад

      Amka kumekucha bado umelala uendelee ķuota ndoto za abunuasi

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Месяц назад +1

    Washanunuliwa Huyo Mzee Wakolo Watatua Wana Kutuvunjia Hao Ila Hasbillah Waneemalwakiyl ...

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm Месяц назад +3

    Tutaichoma hyo mahakama raisi akiondoka engener kisutu tunaipiga moto hatutaki Usenge kabsa!🔥🔥

  • @user-kt3ro2zt5i
    @user-kt3ro2zt5i Месяц назад +1

    Mzee nimekuelewa vizuli sana

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад

    BUNDI KAHAMIA JANGWANI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kudadeki

  • @AliMgana-u7r
    @AliMgana-u7r Месяц назад +2

    Ulipofanywa uchaguzi hio mahakama haikuwepo ikaweka pingamizi na hao wanachama walikuwa wapi hadi Leo ndio wanakwenda mahakamani.

  • @user-lq1fm4dj2n
    @user-lq1fm4dj2n Месяц назад

    Safi sana😊

  • @PhilipMwakio-r1z
    @PhilipMwakio-r1z Месяц назад +2

    Wee banaaa eti nani angatuke
    Hapana machezo
    Hersi hoyeee

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Месяц назад +3

    Huyo jaji ni kolo! Wabunge 19 bungeni WANAKULA Hela jaramu wakati Wamama wanalia maisha magumu, wanauza ndizi na karanga jua Kali, Hela za Kodi zao mnawapa michepuko wa lazima. Hakuna tamko lolote na mnajua ni haramu na Sheria zimevunjwa.
    Mbona mnapenda kuumiza umma mkubwa Kwa maslahi watatu? Hii Nchi mpaka yapatikane mapinduzi kwakweli.

  • @josephmwangita7041
    @josephmwangita7041 Месяц назад +1

    Tunaitaji wazee wenyee akili za utuuzima kama Hawa mungu awabaliki wazee wa hovyo wajifuze kwenu hizi ndo busala za wazee Tena kama wpo wapige magoti watubu Kwa mungu

  • @mustafanassoro-zv8fc
    @mustafanassoro-zv8fc Месяц назад

    Saf sana nimekuelewa sana hyo mzeee magoma njaaaaa hyo nyumba yake yenyewe nyasi

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk Месяц назад +1

    Kweli safari ya Mamba na kenge wapo na kenge mwenyewe mzee magoma mchawi huyo magoma

  • @aloycekashumba7541
    @aloycekashumba7541 Месяц назад

    Mzee umeongea point sana

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Месяц назад +1

    Magoma mtoto tu', Hana uzee wwt shida tu' zinamsumbua, hawezi kuwa na rank za kina motisha....🤣🤣🤣

  • @mkingakusota
    @mkingakusota Месяц назад +1

    Umeongea pwent mzee

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Месяц назад +2

    Kwa sasa hatuweziii kuludia bakuliiii 🔰🌍🫡

  • @eliathomas8446
    @eliathomas8446 Месяц назад

    Uyu ndo mzee wa Yanga bwana yule boya magoma sijui katoka wapi

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Месяц назад

    Safi sana wazee wetu

  • @hosseagoodluck1900
    @hosseagoodluck1900 Месяц назад

    Mirija imeziba magoma njaa tele ss

  • @mohammedhilal1855
    @mohammedhilal1855 Месяц назад

    Dah jmni embu msituvurugeee kabisa sawa eeeh au umeona kiongoz wetu anafaidi au nin sasa nawaomben mtuavhie huyoo binadam plz 😢😢😢

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe1160 Месяц назад

    Mmezowea kuwanga lakini hii ni enzi ya teknlojia

  • @maryammussa2835
    @maryammussa2835 Месяц назад

    Mzee magoma anahangaishwa na njaa tu

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy Месяц назад +1

    Njaa zinamsumbua alaf nimeskia hii mara ya 3 mzee hana kadi ya uanachama😂😂😂😂

  • @IdrisaKwepu
    @IdrisaKwepu Месяц назад +1

    Kwann asitafutwe popote alipo😅😅😅😅

  • @FarajiSinawasa
    @FarajiSinawasa Месяц назад +1

    Huyuu mzeee ni shoga kachafua hali ya hewa

  • @user-eu6sv8qq3x
    @user-eu6sv8qq3x Месяц назад

    Nimekukubali mzeewetu.wewe nimuelewa sana

  • @IborochaWarioba
    @IborochaWarioba Месяц назад

    Yaani kuna vizee vingine vikiona vinakaribia kufa vinatafuta sababu za kufa nazo

  • @user-cy6wu9cd7k
    @user-cy6wu9cd7k Месяц назад

    Nadhani hakimu aliyempa ushindi huyo mpuizi ni msimba.

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Месяц назад

    Kumb😂nmegundua magoma nd alimwambia fei Toto aseme hers aondoke ili Toto arudi😂 kumb alitumwa na huyu Mzee magoma Siri imefichuka

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Месяц назад +2

    Mzee ameongea point sana

  • @kayikumazoya322
    @kayikumazoya322 Месяц назад

    Kumbe ni kijana kwendraa zake

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek Месяц назад

    Mmmh jamani hakika elimu ni kitu BORA SANA,hilo debe tupu na wanaomzunguka WATUACHE NA MAFANIKIO YETU WANANCHI,cc na eng.Hersi/eng Hersi na cc,wananchiiiiiiii !

  • @user-be8dw4ck4j
    @user-be8dw4ck4j Месяц назад +1

    Uyo Mzee mchawi na asipo kuwa makini atakufa kweli

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Месяц назад +1

    SIMBA WAONYESHE UWEZO UWANJANI SIO NJE YA UWANJA

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Месяц назад

      Wanaanza kutengeneza migogoro mapema ili wapate kamserereko

  • @EsterEgidius
    @EsterEgidius Месяц назад +4

    Saf sana

  • @AbdulmarickLuhoma
    @AbdulmarickLuhoma Месяц назад

    Waache usenge yanga kuyumba wamuache mwamba atuongoze vyema

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 Месяц назад

    Sasa unazungumzia habari ya Simba na umeulizwa kuhusu timu yenu?

  • @bakarijuma1827
    @bakarijuma1827 Месяц назад

    Yaani tungekuaga na majini kweli mzee magoma ningemtupia majini kumi

  • @jamesmwakila5866
    @jamesmwakila5866 Месяц назад +1

    Mzee huyu kaupiga mwingi sana💚🔰

  • @SadikBakary
    @SadikBakary Месяц назад

    Njaaa nayo sio 😂😂😂😂

  • @salehsemwija2624
    @salehsemwija2624 Месяц назад

    Na sisi vijana hatumtaki sio kijana yule atafute pakukaa hakuna kijana wa vile😅

  • @Lucasmapela-sq6nw
    @Lucasmapela-sq6nw Месяц назад

    💛💚

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e Месяц назад

    TUNAEMJUA MAGOMA JAMANI KAFANYWA CHAMBO MDOGO SANAAAA HUYO ANA UZEE NJAAA KALI ATULIE KAKA ETU

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Месяц назад

    Ili limzee magoma lawezekana nilichawi kwanini linachanganya yangayetu

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Месяц назад

    Kagoma kaikataa yanga magoma kaenda kuishaki piga like kwa watu wa majina ya gomagoma😂😂😂

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 Месяц назад

    Magoma mtu wa maana kabisa 😂😂😂

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f Месяц назад

    Yanga itabaki kamayanga daimambele nyumamwiko

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад

    Makoma kaniharibia siku aise jini saidizi

  • @kayikumazoya322
    @kayikumazoya322 Месяц назад

    Katka safari ya mamba kenge wapo, ukitaka kuwaua kenge wote utawaonea ua mmoja mmoja

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko Месяц назад

    Rais wetu tunampenda ww kama humtaki hama timu

  • @Defalausmpokola-t9v
    @Defalausmpokola-t9v Месяц назад

    Mzee uishii tuuu 😅😅😅

  • @AmonBarongo
    @AmonBarongo Месяц назад

    🙏

  • @ObeidKiwanga
    @ObeidKiwanga Месяц назад +1

    Pamoja sana mmwambie ukweri huyo mzee ajue tena atulie kama njaa wamsagie unga wa ubuyu wampee

  • @fj8317
    @fj8317 Месяц назад

    Hizi simba haijageuzwa soko makao makuu ya jengo la simba ni msimbazi na ni katikati ya mji sasa kuna ubaya kugodisha jengo klabu ipate hela

  • @murijiMohammedy
    @murijiMohammedy Месяц назад

    Achani yanga yetu

  • @RashidTanga-vt1vz
    @RashidTanga-vt1vz Месяц назад

    Uyo mzee aturie

  • @vom84
    @vom84 Месяц назад

    Wazee hao bado ni wafuata upepo tu

  • @shabanabdalatupa
    @shabanabdalatupa Месяц назад

    Mzee umeongea magoma hana umri na haki ya kuitwa mzee

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Месяц назад

    Natumai sio wazee wote wa yanga upo na ao mamluki akina kagoma na mwaipopo.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Месяц назад +1

    Wazee yanga hawana pesa ya ugolo😅😅

  • @SalmuWilson
    @SalmuWilson Месяц назад

    Mm kunawatu wanatamani kuibomoa time laminitis hiyo niyanga sio simba

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES Месяц назад

    Tutamfila huyo mangoma tushavulugwa

  • @fidelismasaka2735
    @fidelismasaka2735 Месяц назад

    Hapo ni wanahitaji pesa tu sikingine

  • @HassanMshamu
    @HassanMshamu Месяц назад

    Njaaa itamuuuuua uyo mzeee

  • @francisjameswadira6917
    @francisjameswadira6917 Месяц назад

    Huyu mzee mtu wa maana kabisaaa

  • @DavidLucas-oz2je
    @DavidLucas-oz2je Месяц назад

    kwanza hels anatuhujum aondoke hatumtaki mbona kipindi tunatembeza bakuri hakujitokeza kwanza anatuhujum yeye na mo ni kitu kimoja

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 Месяц назад

    Kwanza hata kama ni mwanachama afutiwe

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 Месяц назад

    Mzee hakushitaki wakati wa tembeza bakuli! Mafaniakio yanaonekana anafikiri kuna ulaji! Hersi ni injinia, ina maana kafanikiwa kabula ya kuja Yanga, mzee aache wivu.

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Месяц назад

    Lakini huyo Mzee magoma anatambulika na mahakama imeona ukweli hivyo wazee hapo katiba imefinyangwa lazima mtambue

  • @Simonmollelmollel-ce3sk
    @Simonmollelmollel-ce3sk Месяц назад

    Magoma ni mchawi

  • @user-uh7to2kw2z
    @user-uh7to2kw2z Месяц назад

    Huyo magoma anacho kitaka atakipata kenge huyo kitanuka akae kwa kutulia tusimuone kitaa mamae

  • @yuzolove7120
    @yuzolove7120 Месяц назад

    wewe ndyo mzee sasa siyo uyo magoma mpuuzi anataka kuleta upuuzi wake kwenye furha yetu atoke zake

  • @bekerekelvisamaniano1149
    @bekerekelvisamaniano1149 Месяц назад

    Nuksi tu mnaitia timu